JOSEPH MBILINYI ATESTI MITAMBO JIMBO LA RUNGWE WATU WAITIKA

Ойын-сауық

Пікірлер: 20

  • @alvezog_3836
    @alvezog_383614 күн бұрын

    Kama unaikubali Chadema gonga like hapo tujuane..

  • @akidajulius1581

    @akidajulius1581

    14 күн бұрын

    Chadema wa maandamano wapo lkn wapiga kura ndi ttzo, wengi hawaendi kupiga kura wanakwambia hata ukienda kupiga ni kazi bule

  • @alvezog_3836

    @alvezog_3836

    13 күн бұрын

    @@akidajulius1581 Tatizo Sio Kuupiga Kura,Tatizo CCM Wanaiba Sana Kura..

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani616714 күн бұрын

    Hongera sana chadema tupo pamoja inshaallah mr sugu kamanda mpo vizuri

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403Күн бұрын

    Chama mpenda haki tena msema kweli🎉

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje710515 күн бұрын

    Weldone Sugu! Live your talk; against Msigwa the failure (too much talk no action!)

  • @alvezog_3836
    @alvezog_383614 күн бұрын

    Pamoja Sana Kutoka Johannesburg Westdene South Africa..

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha108014 күн бұрын

    Hapa CHADEMA mmtisha🎉🎉🎉

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e15 күн бұрын

    Hakunaga mwaisa mjinga asante Rungwe

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella20515 күн бұрын

    Kiukweli sugu anastahili hii nafasi ya mwenyekiti wa kanda

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino258414 күн бұрын

    Asante Rungwe naona mmeitwa mkaitika,Mungu wabariki viongozi wa Chadema wote wanaotetea na kupigania haki Katika Taifa letu, asante mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mh. Sugu, Wananchi amkeni hakikisha uchaguzi huu 2024/2025 ccm ifutike kuanzia wenyeviti wa vitongoji,mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais.

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u14 күн бұрын

    Aya Mambo yameiva

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda581914 күн бұрын

    MUNGU atunzee

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131915 күн бұрын

    Be strong but we need lmotion politician into opposition is about pulling people from different angle to grow part ok sugu be strong opposition is lmotion

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha108014 күн бұрын

    Rungwe imeitika

  • @EmmanuelAngetile-gn2td

    @EmmanuelAngetile-gn2td

    14 күн бұрын

    Kabisa hawataki mzaha

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517914 күн бұрын

    kwenye upande wa music bado hamjaa jipanga tumieni wasanii wanaopendwa

  • @user-lt1nr4tk9r

    @user-lt1nr4tk9r

    14 күн бұрын

    Nan mweny shida ya msann wat watak sera

  • @EmmanuelAngetile-gn2td

    @EmmanuelAngetile-gn2td

    14 күн бұрын

    Waache wasanii waendelee kula hela za hao ccm, huku hawana kazi labda ney pekee

Келесі