Je Yesu alileta Uislamu au Ukristo? , je sinagogi ni msikiti? Je Ukristo ni dini?
Fuatilia uchambuzi huu makini na Pr Dominic Mapima akijibu maswali yote haya kwa Biblia na Quran
Жүктеу.....
Пікірлер: 745
@castrochelela666023 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@PeterMahona-zd3oz15 күн бұрын
Ubalikiwe mungu. akusaidie
@petromachanga295 жыл бұрын
Asante sana aman
@linetligono13715 жыл бұрын
Amen mchugaji asante sana kunielimisha mungu akubariki Sanaa
@georgealoyce4452Ай бұрын
MUNGU azidi KUKUPELEKA VIWANGO vinginee pastor
@charleskuyeko16602 ай бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa ufafanuzi mzuri. Mungu akubariki.
@allyissalipawe70723 жыл бұрын
Akili zako kama Paulo endelea kuwapoteza
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Paulo tena
@barnabasanga7552
3 жыл бұрын
Tatizo la hawa wenzetu wamerisishwa tu h
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Endelea na akili za malehem mhammadi mkafiri wamaka
@aminashaaban5846
Жыл бұрын
@@petromachanga5538 kafiri baba ako na mama ako alokutoa ktk uislamu akakubatiza ukawa ukafiri,
@user-wy4yn2xi3nАй бұрын
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
@eliakanyika53792 жыл бұрын
Safi sana mtumishi wa Mungu kwa kuweka bayana Kati ya msikiti na sinagogi kuwa ni mkutano.
@user-wy4yn2xi3n
Ай бұрын
Upo Vizuri katika ufafanuzi Safi sana Mtumishi.
@abrahambash668724 күн бұрын
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
@davidmghanga8502 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@johnmnonjela98095 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi
@bendit44763 жыл бұрын
Umechambua vizuri sana. Nimekuelewa vizuri
@grdcgv7ufdwdfghh6332 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho ya kina
@user-tz8zu2gt6u2 ай бұрын
asante sana mtumishi ubarikiwe sana
@upendoluv71972 жыл бұрын
Nimekupata vzr Mtumishi ubarikiwe
@esterjoseph6702 жыл бұрын
Nimekuelea sana kamanda,nimekupenda bule.
@advesproduction96225 жыл бұрын
HAPO SAWA KABISA. Yaani asiyeelewa atakuwa na sikio la kufa. Kumbuka tu kuna wana wa upotevu. Endelea kutupa masomo mengine mtu wa Mungu
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Labda wafuga majini
@simonmwambene44412 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ushauri wangu tafuta vijana wafundishe habari hizi maana kanisa linaangamia Kwa kutojua haya utapata thawabu Kwa Mungu
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Kanisa la mungu la kweri ni la ISA yaani (KAN-ISA, Aliye kufa msalabani yaani INRI I =ISA, N =NAZARESI , R=REXLUDAERUM I =ISIRAER. Yaani mungu wa Ibrahim Isaack Isiraeri ndiye Isa masiah. Huu ndio ukweri. Walio ktk aya majina apa chini ni ya lile kanisa lire MALAYA (Ufunuo 17:5-6. ZEWUSI YESU YEZU JESUS Walio ktk
@kelvinyohana41785 жыл бұрын
Nimejifunza k2 hapo mchungaji asanteee can mungu akubariki sanaaaa nitamuaminii yesu maisha yangu yote
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
tatizo dini yenu nyinyi wakristo.!! makolokocho mengi imekuwa kama movie yaani uongo mwingi kuliko ukweli au wewe huoni!!,
@sabrikhvuai2327
3 жыл бұрын
Dah kwaiyo unamtogoza Nani ?
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 kwa taarifa yako uongo ukiutaka hata kwenu upo uislamuni ndo maana watu husema hekma ikzd huondoa maarifa kwahyo wamefunyua kuitafuta hekma na nia zao so lazma haya yatokee
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Wafuasi wamalehem
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Utamfataje malehem???
@janetkahada52064 жыл бұрын
Ubarikiwa amen
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Ona umepiga shungi la kislam s mnapenda kukaa
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Uchi
@marygaspar64295 жыл бұрын
Pr. Dominiki hongera hii kazi unayoifanya, ni kubwa mno!! Mungu akubariki sana baba, waelimishe waede Mbinguni.
@njiasalamatv4794
4 жыл бұрын
Barikiwa pia
@njiasalamatv4794
4 жыл бұрын
Amina Mary nashukuru
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Wataeleweje wafuasi wamalehem?
@hassanjuma2772
16 сағат бұрын
@@petromachanga5538tunakuja na kwa sababu na wewe ni marehemu mtarajiwa
@allyissalipawe70723 жыл бұрын
Yesu akimsujudia mungu wake ww ninyi mnafanya ivyo
@jacksonnzai1593
3 жыл бұрын
Macho ya mwili yanasumbua kutambua ya rohoni. Sivizuri kuosha kkmbe nje ilikpendza watu na ndani kichafu
@abrahambash6687
24 күн бұрын
@@jacksonnzai1593hueleweki anamaanisha nini
@samuelmuiruri44055 жыл бұрын
Mungu akubariki sana..tunaomba utuletee mada ingine
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Sio ingine, Ni nyingine acha upotoshaji
@jacksonnzai15933 жыл бұрын
Nakubali sana maelezo na utafiti wako. Waislam ni janja nyingi kuhadaa watu
@issackabdi7001
2 жыл бұрын
Wapi yesu alihingia kanisa 😂😂😂😂 kama hii imani ya ukiristo
@user-jj6sd8me9kАй бұрын
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
@barakambise78662 жыл бұрын
Kaka nimekupenda pure uko vizuri
@parfaitkouassi94785 жыл бұрын
3. Kisha, njiwa wawili wakaja kwangu na wakaenda mara tena juu ya maji. Na kukawa na patwa jua (mwezi), halafu mtu aliyefanana wingu na mwenye kushika Upanga akashuka toka Mbinguni pamoja na mwana Kondoo na dunia ikaangazwa tena. Walisimama juu ya maji na mwana Kondoo akaanza kusema nami kwa lugha isiyo julikana. Sauti yake iliingiya ndani mwangu na nikaanguka kama mfu. Nafsi yangu ikaenda kusimama pamoja nao juu ya maji wakati mwili wangu ulilazwa juu ya mchanga wa bahari. Alipo maliza kusema nami, nafsi yangu ikanirudilia na nikawa tena hai lakini sikuwaona tena. #pkpchaneltv
@Nim68182
3 ай бұрын
Huuu ni ushuhuda au ,sijafaham
@dahabomahmud35393 жыл бұрын
Wacha kujificha marika jumba nenda huko ukajitambulishe wacha kufunza watu uwongo
@godisgreat18453 жыл бұрын
Kanisa makanisa yametajwa katika Quraan lakini Yessu hakuwa hi ijenga kanisa wala hakuwa hi kuingia kanisani hata siku moja wala kupitia nje ya kanisa wala haja anzisha ibada yoyote ambayo nyie mnajifanya Sasa twambieni Hilo sinagogi ndio kanisa gani maana mnasema sio msikiti mbona hakuna andiko Yessu ameingia kanisani Imani ya Uislamu hakuileta yeye naye pia ameikuta Imani ya Uislamu
@masta_android3 жыл бұрын
Pastor Habari. Naomba Mualiko Tujadiliane Kuhusu Maandiko.
@luiskiwale31452 жыл бұрын
Amina
@zuberkasim7150Ай бұрын
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
@lileoh38933 жыл бұрын
Hayo ni maneno yako mungu anasema issa na wanafunzi wslam
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Issa anasema wapi kwenye Quran au
@trophywilson7211
2 ай бұрын
mmh hatuna Hilo Andiko ndani ya Biblia
@husha63727 күн бұрын
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
@abrahambash668724 күн бұрын
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
@mossesmichaelnzowa3378Ай бұрын
Mwalimu yupo vizuri sana na Mimi nimemuelewa.
@adamally404Ай бұрын
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
@josephmtemi56585 жыл бұрын
Mungu akuzidishie maarifa zaidi
@rajabally2431
5 жыл бұрын
Af ww muinjilist ww uciwe mfinyinu wa mawazo cio kila ukiona neno njia ndio huaga lina maanisha dini, coz kuna cku nimeshakusoma njian ya mbagala utasema ni kiristo nayo,
@queen.christelle1
3 жыл бұрын
@@rajabally2431 heshima ni kitu cha bure
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
@@rajabally2431 hahahaaaa Elim ya madrasa
@eshuchimukholi28903 жыл бұрын
Asante. Huwauliza waongeze somo mpaka Yesu anasoma kitabu cha Isaiah. Swali ni vtabu gani vinasomwa katika sinagogi?
@zachariabin54004 жыл бұрын
We unawapotosha bibila kwa wakristo wenzio
@tinnahagustinolyelu42473 ай бұрын
Nyakati za mwisho hizi kila mmoja atakuja na elimu yake kikubwa ni Kumwamini Mungu na kutii sheria zake maana mwanadamu ana mavumbuzi mengi na ndio maana alitushindwa lakini anatuoa neema ya uhai sababu sisi ni viumbe wake na anatujalia mema japo sisi tunamtenda uovu
@timoteokajinaki73063 жыл бұрын
Yesu ni njiia ya uzima
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Usidangwanwe mungu wa Ibrahim, Isaack Isiraeri ndiye Isa masiya. Mumgu INRI
@wazirisaid8326Ай бұрын
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
@MaryMuigai-zj8fz2 ай бұрын
BwanaYesu hakuleta ndini ndini ni mpango wa shetani
@baghabaghaingwengwe17502 ай бұрын
Uko vizuri mno
@loner_wolf2 ай бұрын
MTU Wa content tu , hauna point.
@SAM_1635 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI.
@MaryMuigai-zj8fz2 ай бұрын
Yesu alileta ukristo hakuleta uislamu
@rojac-uq1sc2 ай бұрын
Shida hapa ni pesa za Warabu zilizotumwa na kuwafikia Akina Lusekelo
@kessyrojas95492 жыл бұрын
omba friend match na ustadh mazinge kama ujatokea dirishani!
@Nim68182
4 ай бұрын
Mazinge hana kitu😂😂😂😂 umekos wengine wakutaja hapo
@pekomisegese77245 жыл бұрын
Financial Loan. Muislamu Wa Kwanza Si Mke Wa Muhammad Rehema Na Amani Ziwe Juu Yake. Muislamu Wa Kwanza Ni Nabii Adam. Soma Wacha Kukariri.
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Toa andiko basi ktk vitabu vya kale tuone adamu alipo kua muislam...kweli waislam ni 0 wkt mama w Mohammad mpaka amekufa ajui neno uislam sasa adamu uyo vp?Mohammad kazaliwa ajakuta uislam kweli mwalimu wenu kipofu na kawaroga kweli kweli maana mnamshobokea yule mbakaji kamlala Aisha akiwa na miaka 9 so sad moto wa milele umchome yule kafiri wa kiarabu
@lukmanbakari23183 жыл бұрын
Kwanza wew Mtumish umeongea uwongo na unajaribu kuwapotosha Wakrito wenzako na watu wengine, uislamu haukuanza mwaka 622 kama ulivyosema bali mwaka huo ndio kalenda au tarehe ya uislamu. Hebu rudi ukasome tena Qur-aan tuquf halafu urudi tena.
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
622AD Muhammad alianzisha ilo diini. ISA MASIYA NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA. Muhammad mwenyewe alikubali injili ya Isa masiya ila akupata mafunzo ya kina akawa amefanya kinyume na injili iyo.
@rashidkassimjuma43203 ай бұрын
USIBABAISHE NYOOSHA MANENO WEWE UNACHANGANYA WATU NA KUJICHANGANYA MWENYEWE
@mbukumagiubukumagu4065 жыл бұрын
Upo tayari kwa muhadhara ?
@romeobraoua70095 жыл бұрын
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
@alimuniira5436
5 жыл бұрын
Shame on you
@georgekimasa7393
5 жыл бұрын
romeo braoua unacho Ongea wewe na mada inayo ongelewa hapo nitafauti kabisa,so subri ufundishwe uskalili
@chalzdom72994 жыл бұрын
Tujiulize swali" kwa mujibu wa biblia, tukiangalia ibada za yesu ndani biblia zinaendana na ibada za makanisani au misikitini?"
@Awatee
2 жыл бұрын
Yesu alisujudu tena nyakati 5 kila siku jee kanisani mnafanya hivyo ndugu
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Mtahangaika San ila hakuna dini inaitwa ukristo au vitabu vya dini vinaitwa biblia
@mwagilomasukuzi44024 жыл бұрын
Katika dini zote hii dini ndo inaongoza kuleta manabii wa uongo na mijitu inawaamini poleni sana mtayumbishwa sana na hao manabii njaa wenu sisi tulii dini ya haki lazima ipigwe mawe wala hatuna papara na kama mnajiamini kelele za nini?ila nyie bhana mna macho lkn hamuoni poleni sana maana hata bibilia mnayodai mnaisoma hamuijui
@mwagilomasukuzi44024 жыл бұрын
Kumbe sio kosa lenu mnasubiri kufundishwa na wachungaji badala ya kusoma vitabu sisi waislam tunasoma vitabu kwahiyo hakuna ambacho utamdanganya muislamu cz bibilia tunasoma agano la kale na quran tunasoma ko sijui utapita wapi tusipopajua pole rudini darasani
@josephkirimi54532 жыл бұрын
Waislam sio wayaundi. Wayaundi ni waisraeli. Leo nikiingia msikiti wa waislam, nitaitwa muislam?
@felixgitonga67833 ай бұрын
Soma ufunuo wa 3;9-hio die wa waislamu jini akasilimu akawa muislamu sawa?
@gamelahg46135 жыл бұрын
Amen asante kwamafundisho Mucungaji ubalikiwe sana
@ezlanshakilbhanji41332 жыл бұрын
Yeah amefata mtume Musa na mafundisho yake. Kwa hiyo Musa alikuwa muislamu na yesu kumfata inamaana naye muislamu
@husha63727 күн бұрын
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
@abduswamdalwymoh.d39514 жыл бұрын
Sasa ww wateteanini mbona hawakuita Hilo sinagogi kansa hata misikiti ni mahali pa watu kukutana na kuswali hamu a dini yy mwababanya
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Hakuna vitabu vinaitwa biblia Wala dini inaitwa ukristo
@sullecom5 жыл бұрын
Kweli mtumishi
@ommyomario3069
3 жыл бұрын
Kwanini sasa unalazimisha ukweli mtumzima ufikirilesho?
@manyrambo31643 жыл бұрын
KUMBE UNANEGEMEA UPANDE WA K I KITRISO HUNA UJUZI WA WAKWELI BALI UUWONGO
@jacksonnzai1593
3 жыл бұрын
Angeegemea kwako ndio angekua naujuzi. Heri kuwa bawabu katka nymba ya Bwana kulko kuwa katka hema la waovu
@bernarddaudi96575 жыл бұрын
Hongera sana!!! Mungu akubaliki sana umemwinua bwana wetu Sisi wakristo tunamsubiri Yesu kumlaki tukiwa hai au mauti.Ninawaonya wale wasioujua Ukiristo wasijiweke kuwakilisha wakristo.
@binyamina8850
4 жыл бұрын
Kwanza kabisa Sio baliki bali ni kubariki Pili Yesu akija atakuwa nasi sisi waislam nasio nyie
@moseskatega84412 ай бұрын
Yesu ni mmoja kati ya Kristo wengi
@MohamedAli-tg7xp3 жыл бұрын
Soma lugha asili ya bibilia yenyewe sio kiingereza au kiswahili ndio hautapata tabu mchungaji
@aboujanomarion61214 жыл бұрын
Abraham alipokua akifanya ibada ana via viatu Yesu pia alivua viatu nyinyi mnavua viatu .??
@ushahidifilms2011
4 жыл бұрын
Nani alikuambia kwamba Abraham na Yesu walivua viatu kufanya ibada? Unaweza kuleta ushahidi??
@pastorstevenmdoe51434 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe Sana! Naomba unielekeze wapi napata hivi vitabu
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Iviiiiiii ww bado tu hujui huyu anaongea kwa matamanio yake tafsiri iko wazi inasema kama kawaida yake yesu anaenda ktk sinagogi kufanya ibada kanisa halikuwepo kanisa limekuja baada ya kuondoka yesu kanisa halijui ninyi mnaingia kwa kumfua nani yesu au Paulo kazi kwako
@sokakilumbi9293
3 жыл бұрын
MSEMAJI kutoka Vatican ameshangaza kutangaza rasmi kuwa kurejea kwa Yesu Kristo mara ya pili kunaweza kukosekana baada ya kusubiriwa sana, japo akiwarai waumini kuendelea kuwa na imani. Kadinali Giorgio Salvadore alisema kuwa maadhimisho ya 1981 katika Jiji la Vatican yatakuwa ya mwisho, kuhusiana na kusubiri Yesu kurejea duniani. “Tunahisi kuwa Yesu harudi duniani tena kulingana na jinsi mambo yanaonekana,” akasema Giorgio, “Imekuwa miaka mingi. Huenda anafanya mambo mengine ya muhimu kwa watu mahali pengine.” Alikuwa akisema haya kutokana na hadithi ya Biblia kuwa miaka 2000 iliyopita, Yesu aliahidi wafuasi wake kuwa atarejea tena. “Kuna maboma mengi huko anakoishi baba yangu, na ninaenda kuyaandaa kwa ujio wenu. Kila kitu kikiwa tayari, nitarejea kuwachukua ili muwe name milele,” Yesu akaahidi wafuasi wake, katika kitabu cha Yohana 14:1-3. Lakini mkatoliki huyo wa Vatican alidai kuwa wakati alipokuwa akisema maneno hayo “huenda alikuwa akinywa mvinyo.” “Sote tunaweka ahadi ambazo hatuwezi kutimiza tunapokuwa walevi. Yesu alikuwa hivyo tu,” akasema Salvadore. Kanisa hilo sasa limesema kuwa litaangazia kujenga heshima yake duniani, japo bila kupoteza matumaini kuwa Yesu anaweza kuja tena. kama unabisha click iyo link hapo chini usome mwenyewe taifaleo.nation.co.ke/?p=26260 Eti mungu wenu alikuwa mlevi a.k.a chapombe !!! na hao waliosema kuwa yesu alikuwa chapombe ndio mabosi katika kampuni yenu ya ukristo!!! Thsy nasema ukristo ni kama movie ya kihindi uongo mwiingi!!!
@barnabasanga7552
3 жыл бұрын
@@allyissalipawe7072 sinagogi ni kanisa.
@mebbukatibalo7872 жыл бұрын
Wewe ni bingwa kiukwel umetusaidia watu ni wabishi sana👏👏
@omakywazamani66964 жыл бұрын
OK
@abaafarhat91913 жыл бұрын
Nyie wakristo mnaomshabikia kuwa ni jembe na mnaona yuko mwambie afanye mdahalo na waislamu kwa hoja zake hizo kama si muongo asijifungie chumbani na kurusha video youtube wala usitukane dini ya mtu sema kwa hoja ewe mkiristo kutukana bila hoja ni chuki hiyo hapa tunataka halafu mchungaji huyo asijifungie chumbani afanye muhadhara na waislamu kama yeye mkwelii?
@allymohamedy67153 жыл бұрын
Asante sana tumekusikia sana ila unajuwa uisilaam au neno uislam ina maana gani na kama ukijua maana yake ndy utajua kuwa uislam hakuuleta mtume muhammad bali aliuleta mungu mwenyewe
@hashimumoshi71794 жыл бұрын
Wakristo, huyu mchungaji kawa fumbua akili, anachokusudia nikuwaambia tafsiri ya Biblia mnayo itumia sio sahihi kwa sababu imetaja sinagogi ni Msikiti, lakini jiulize wakati wana tafsiri hivyo waliokuepo wakati huo walikua hawajui chochote ? Pili kama utasema sinagogi ni ukumbi wa mafundisho kwanini yesu alikua akiingia katika Masigogi wakati wa kuabudu?
@kuzmandasilva7418
3 жыл бұрын
Kwa tafsiri ilishindwa kusema sinagogi ni kanisa la wayahudi?
@kuzmandasilva7418
3 жыл бұрын
Na kwa maelezo hayo inamaanisha kua wayahud wanalo kanisa ila Nabii issa hakuwa akiingia humo yy aliingia mckiti wa wayahud
@user-jl5un4wf3uКүн бұрын
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
@NemeyeMaliki3 ай бұрын
Acha ushabiki zungumza ukweli yesu hatambuwe ukristo abadan Hana habari namnayo yafanya.
@khalidahmed87745 жыл бұрын
Hapo sawa ukimuamini yesu utaingia mbinguni au atakayemfuata vilivyo atapata njia ya uokozi.Swali wapi yesu amekuja na dini ya kikristo??????Wewe umesoma vitabu Kwa faida yako.Pia nikushukuru Kwa kuujuwa ukweli na kuuficha.
@abaafarhat9191
3 жыл бұрын
Mwambie afanye mdahalo na waislamu asizungumze peke yake kama ukiristo ni dini asijifungie chumbani
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Duuu kuelezea kote hapo hujamuelewa yesu ndo kristo wanamfuata yy ndo wanaitwa wakristo
@MaulidMtopa-sh6in3 ай бұрын
Apo unatetea Kwani ata Kwenye qur an. Lipo neno klisto sasa waliitafsili wakilisto?
@josephmtemi56585 жыл бұрын
mtumishi ningekuomba ungekwenda kuwafungua nacho wakristo kwenye mihadhara.. Kwa sababu wanadanganywa sana na kuslimishwa hadi nawaonea huruma... plzzz
@frankjohn8570
5 жыл бұрын
joseph mtemi ukifuatilia wanaosilimiswa wengi WAO ni wale wale kula siku na hupenda majina kama Joseph john,Mariam yani Yale majina yalio kwenye biblia yanaoitwa watu wengi, na kusema wametokea kabisa LA asante josefu ATI ndio SaINT JOSEPH kweli mkristo asali Sent Josef asiweze kuita sent Josef aseme asante josefu sio kweli NI waongo
@rajabally2431
5 жыл бұрын
Yeye mwenyewe anahitaji kufumbuliwa macho
@angeljustene9380
4 жыл бұрын
Mkristo aliye simama hawezi kuslim,labda kama haujui ukwelii
@user-wq4pl5dv6b5 ай бұрын
Yesu alisema iko siku siri zote zitafichuliwa na ukweli utajulikana kwahiyo wakristo hata msiwe na wasiwasi
@allyabdallah43572 жыл бұрын
Mimi nilitegemea utatoa andiko kuwa aliingia kanisani lakini hakuna ndio maana umejifungia useme pekeako hata mfichie ukweli bado mtateseka sana mta wadanya wale wasio taka kuachia akili za huru kazi yao ni kuhubiliwa tuu hivi yesu alikuwa mzungu au mswahili leteni maandiko aliyo yatumia ya kiebrania mta danganya watu sana leo mna sema walio tafsiri biblia ni waislam hii yote mwelevu ataelewa likini mjinga hawezi kuelewa
@adventsumari5776
Жыл бұрын
Bwana yesu Asifiwe. Sema Amina
@rashidkassimjuma43203 ай бұрын
JE UNAAMINI KWAMBA BIBLIA IMEWEKWA MANENO YA WATU NA IKIWA UNAAMINI HIVYO ICHO KITABU UNACHOKIITA BIBLIA KASHUSHIWA MTUME GANI
@shafiimpilika414 жыл бұрын
Kila ukitaka uchome uongo ili ionekane sinagogi sio msikiti unapata tabu sana neno limesema wewe unahangaika nini acheni kutapatapa Allah ndo njia ya haki
@ushahidifilms2011
4 жыл бұрын
Ujiulize Yesu akafanya nini alipoingia sinagogi? Soma Luka 4:17
@josephkirimi54532 жыл бұрын
Yesu hakuleta uislam.synagogi sio msikiti bali ni nyumba ya kuabundia la la waisraeli ukristo ni ndini.
@customercyber67753 жыл бұрын
Yesu hakuleta dini ya kisilam bali alikunja kuwambia watu wasiache maana ni dini ya kweli wasifate dini zengine.
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Uzima wa milele uko kwa mtu mmoja naye ni ISA MASIAH aliyekufa msalabani (INRI
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Kama auko nda ya ISA MASIAH uko nje ya ufalme wa mbinguni. Kwa haya majina na mengine Yesu kristo Yezu kristu Jesus christ Yaliwekwa na madini sio neno la mungu bali ni fikra na tamaa za watu.
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Yesu hakuwahii kuuta uislam
@wazirisaid8326Ай бұрын
Haya yufanye dini ni njia kama utakavyo. Sasa muislam njiabyake ni uislam na Mkristo njia yake ni ipi? Wacha kuzunguka mbuyu badilisheni bibilia kama mlivyo badilisha maana ya sinagogi
@saidsuleiman90182 жыл бұрын
Mbona viongoz wa kiroma hwapendi kuingia ktk mijadala
@sylvestersamwel8210
3 ай бұрын
Hamuwaoni kwa sababu Roman Catholic ndio waanzilishi wa Uisilam.
@samsoni6873 Жыл бұрын
Ast san bro nimeelew
@wazirisaid8326Ай бұрын
Kama bibilia ilitafsiriwa kwa lugha kimvita ili watu wa Mombasa waielewe ndio maana watu wa Mombasa ni waislamu maana wameyaelewa maneno ya kitabu hiko.
@ilalykhalfaniilaly54085 жыл бұрын
Misahafu yote ujue kiarabu sio utegemee tafsiri za watu ikiwa kizungu au kiswahili. Km weye hodari tafsiri mwenyeo. Hapo hata uchukue tafsiri ya kichina ni bure Tu. Halaf unadidai kutafsiri kwa kuzikatisha aya. Wahadhiri kina mazinge wapo watafute mfanye mdahalo km kidume. Unajificha km mwari upo upo chumbani Tu. Na hapo ndio wanapotoka wajinga. Mkiristo gani anasujudu km yesu? Mkiristo gani anaingia sinagogi? Bosi usilazimishe mambo kila Mtume alikuja na taratibu na miujiza haifanani hata ibada sio zote zifanane. Masuali yakijinga kabisa.
@missmrs829
2 жыл бұрын
Ni kweli na ukweli unauma
@AbdulMohamed-c8e5 күн бұрын
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
@issackabdi70012 жыл бұрын
Vitimbi haiishi kwa imani ya ukiristo 😂😂😂😂😂😂 matendo ya mitume 11 .25.26
@neemafelister95842 жыл бұрын
Akuna diini yeyote ipelekayo watu mbinguni bali NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE NI ISA MASIAH asiye badilika milele. Aya majina yaliwekwa ili watu wasimujue mungu wao wa kweri. Yesu kristo Yezu kristu Jesus christ. Mungu wa kweri abadiliki ata na jina lake alibadiliki au kubadilishwa ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
@africrowd4559 Жыл бұрын
Yani Hawa wachungaji hawaingii akili bora hata waislamu
@ilalykhalfaniilaly54085 жыл бұрын
Majogoo wakubwa wakienda machumoni bac ndio vidogo vinapata kuwika. Usipoteze watu we nenda kwenye mdahalo usijifiche chumbani. Mbina huyo Joni June new kumtetea
Пікірлер: 745
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Ubalikiwe mungu. akusaidie
Asante sana aman
Amen mchugaji asante sana kunielimisha mungu akubariki Sanaa
MUNGU azidi KUKUPELEKA VIWANGO vinginee pastor
Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa ufafanuzi mzuri. Mungu akubariki.
Akili zako kama Paulo endelea kuwapoteza
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Paulo tena
@barnabasanga7552
3 жыл бұрын
Tatizo la hawa wenzetu wamerisishwa tu h
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Endelea na akili za malehem mhammadi mkafiri wamaka
@aminashaaban5846
Жыл бұрын
@@petromachanga5538 kafiri baba ako na mama ako alokutoa ktk uislamu akakubatiza ukawa ukafiri,
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
Safi sana mtumishi wa Mungu kwa kuweka bayana Kati ya msikiti na sinagogi kuwa ni mkutano.
@user-wy4yn2xi3n
Ай бұрын
Upo Vizuri katika ufafanuzi Safi sana Mtumishi.
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
Ubarikiwe sana mtumishi
ubarikiwe mtumishi
Umechambua vizuri sana. Nimekuelewa vizuri
Asante sana kwa mafundisho ya kina
asante sana mtumishi ubarikiwe sana
Nimekupata vzr Mtumishi ubarikiwe
Nimekuelea sana kamanda,nimekupenda bule.
HAPO SAWA KABISA. Yaani asiyeelewa atakuwa na sikio la kufa. Kumbuka tu kuna wana wa upotevu. Endelea kutupa masomo mengine mtu wa Mungu
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Labda wafuga majini
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ushauri wangu tafuta vijana wafundishe habari hizi maana kanisa linaangamia Kwa kutojua haya utapata thawabu Kwa Mungu
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Kanisa la mungu la kweri ni la ISA yaani (KAN-ISA, Aliye kufa msalabani yaani INRI I =ISA, N =NAZARESI , R=REXLUDAERUM I =ISIRAER. Yaani mungu wa Ibrahim Isaack Isiraeri ndiye Isa masiah. Huu ndio ukweri. Walio ktk aya majina apa chini ni ya lile kanisa lire MALAYA (Ufunuo 17:5-6. ZEWUSI YESU YEZU JESUS Walio ktk
Nimejifunza k2 hapo mchungaji asanteee can mungu akubariki sanaaaa nitamuaminii yesu maisha yangu yote
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
tatizo dini yenu nyinyi wakristo.!! makolokocho mengi imekuwa kama movie yaani uongo mwingi kuliko ukweli au wewe huoni!!,
@sabrikhvuai2327
3 жыл бұрын
Dah kwaiyo unamtogoza Nani ?
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 kwa taarifa yako uongo ukiutaka hata kwenu upo uislamuni ndo maana watu husema hekma ikzd huondoa maarifa kwahyo wamefunyua kuitafuta hekma na nia zao so lazma haya yatokee
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Wafuasi wamalehem
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Utamfataje malehem???
Ubarikiwa amen
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Ona umepiga shungi la kislam s mnapenda kukaa
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Uchi
Pr. Dominiki hongera hii kazi unayoifanya, ni kubwa mno!! Mungu akubariki sana baba, waelimishe waede Mbinguni.
@njiasalamatv4794
4 жыл бұрын
Barikiwa pia
@njiasalamatv4794
4 жыл бұрын
Amina Mary nashukuru
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Wataeleweje wafuasi wamalehem?
@hassanjuma2772
16 сағат бұрын
@@petromachanga5538tunakuja na kwa sababu na wewe ni marehemu mtarajiwa
Yesu akimsujudia mungu wake ww ninyi mnafanya ivyo
@jacksonnzai1593
3 жыл бұрын
Macho ya mwili yanasumbua kutambua ya rohoni. Sivizuri kuosha kkmbe nje ilikpendza watu na ndani kichafu
@abrahambash6687
24 күн бұрын
@@jacksonnzai1593hueleweki anamaanisha nini
Mungu akubariki sana..tunaomba utuletee mada ingine
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Sio ingine, Ni nyingine acha upotoshaji
Nakubali sana maelezo na utafiti wako. Waislam ni janja nyingi kuhadaa watu
@issackabdi7001
2 жыл бұрын
Wapi yesu alihingia kanisa 😂😂😂😂 kama hii imani ya ukiristo
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
Kaka nimekupenda pure uko vizuri
3. Kisha, njiwa wawili wakaja kwangu na wakaenda mara tena juu ya maji. Na kukawa na patwa jua (mwezi), halafu mtu aliyefanana wingu na mwenye kushika Upanga akashuka toka Mbinguni pamoja na mwana Kondoo na dunia ikaangazwa tena. Walisimama juu ya maji na mwana Kondoo akaanza kusema nami kwa lugha isiyo julikana. Sauti yake iliingiya ndani mwangu na nikaanguka kama mfu. Nafsi yangu ikaenda kusimama pamoja nao juu ya maji wakati mwili wangu ulilazwa juu ya mchanga wa bahari. Alipo maliza kusema nami, nafsi yangu ikanirudilia na nikawa tena hai lakini sikuwaona tena. #pkpchaneltv
@Nim68182
3 ай бұрын
Huuu ni ushuhuda au ,sijafaham
Wacha kujificha marika jumba nenda huko ukajitambulishe wacha kufunza watu uwongo
Kanisa makanisa yametajwa katika Quraan lakini Yessu hakuwa hi ijenga kanisa wala hakuwa hi kuingia kanisani hata siku moja wala kupitia nje ya kanisa wala haja anzisha ibada yoyote ambayo nyie mnajifanya Sasa twambieni Hilo sinagogi ndio kanisa gani maana mnasema sio msikiti mbona hakuna andiko Yessu ameingia kanisani Imani ya Uislamu hakuileta yeye naye pia ameikuta Imani ya Uislamu
Pastor Habari. Naomba Mualiko Tujadiliane Kuhusu Maandiko.
Amina
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
Hayo ni maneno yako mungu anasema issa na wanafunzi wslam
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Issa anasema wapi kwenye Quran au
@trophywilson7211
2 ай бұрын
mmh hatuna Hilo Andiko ndani ya Biblia
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
Mwalimu yupo vizuri sana na Mimi nimemuelewa.
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
@noahwamalwa4385
Ай бұрын
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
Mungu akuzidishie maarifa zaidi
@rajabally2431
5 жыл бұрын
Af ww muinjilist ww uciwe mfinyinu wa mawazo cio kila ukiona neno njia ndio huaga lina maanisha dini, coz kuna cku nimeshakusoma njian ya mbagala utasema ni kiristo nayo,
@queen.christelle1
3 жыл бұрын
@@rajabally2431 heshima ni kitu cha bure
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
@@rajabally2431 hahahaaaa Elim ya madrasa
Asante. Huwauliza waongeze somo mpaka Yesu anasoma kitabu cha Isaiah. Swali ni vtabu gani vinasomwa katika sinagogi?
We unawapotosha bibila kwa wakristo wenzio
Nyakati za mwisho hizi kila mmoja atakuja na elimu yake kikubwa ni Kumwamini Mungu na kutii sheria zake maana mwanadamu ana mavumbuzi mengi na ndio maana alitushindwa lakini anatuoa neema ya uhai sababu sisi ni viumbe wake na anatujalia mema japo sisi tunamtenda uovu
Yesu ni njiia ya uzima
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Usidangwanwe mungu wa Ibrahim, Isaack Isiraeri ndiye Isa masiya. Mumgu INRI
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
BwanaYesu hakuleta ndini ndini ni mpango wa shetani
Uko vizuri mno
MTU Wa content tu , hauna point.
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI.
Yesu alileta ukristo hakuleta uislamu
Shida hapa ni pesa za Warabu zilizotumwa na kuwafikia Akina Lusekelo
omba friend match na ustadh mazinge kama ujatokea dirishani!
@Nim68182
4 ай бұрын
Mazinge hana kitu😂😂😂😂 umekos wengine wakutaja hapo
Financial Loan. Muislamu Wa Kwanza Si Mke Wa Muhammad Rehema Na Amani Ziwe Juu Yake. Muislamu Wa Kwanza Ni Nabii Adam. Soma Wacha Kukariri.
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Toa andiko basi ktk vitabu vya kale tuone adamu alipo kua muislam...kweli waislam ni 0 wkt mama w Mohammad mpaka amekufa ajui neno uislam sasa adamu uyo vp?Mohammad kazaliwa ajakuta uislam kweli mwalimu wenu kipofu na kawaroga kweli kweli maana mnamshobokea yule mbakaji kamlala Aisha akiwa na miaka 9 so sad moto wa milele umchome yule kafiri wa kiarabu
Kwanza wew Mtumish umeongea uwongo na unajaribu kuwapotosha Wakrito wenzako na watu wengine, uislamu haukuanza mwaka 622 kama ulivyosema bali mwaka huo ndio kalenda au tarehe ya uislamu. Hebu rudi ukasome tena Qur-aan tuquf halafu urudi tena.
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
622AD Muhammad alianzisha ilo diini. ISA MASIYA NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA. Muhammad mwenyewe alikubali injili ya Isa masiya ila akupata mafunzo ya kina akawa amefanya kinyume na injili iyo.
USIBABAISHE NYOOSHA MANENO WEWE UNACHANGANYA WATU NA KUJICHANGANYA MWENYEWE
Upo tayari kwa muhadhara ?
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
@alimuniira5436
5 жыл бұрын
Shame on you
@georgekimasa7393
5 жыл бұрын
romeo braoua unacho Ongea wewe na mada inayo ongelewa hapo nitafauti kabisa,so subri ufundishwe uskalili
Tujiulize swali" kwa mujibu wa biblia, tukiangalia ibada za yesu ndani biblia zinaendana na ibada za makanisani au misikitini?"
@Awatee
2 жыл бұрын
Yesu alisujudu tena nyakati 5 kila siku jee kanisani mnafanya hivyo ndugu
Mtahangaika San ila hakuna dini inaitwa ukristo au vitabu vya dini vinaitwa biblia
Katika dini zote hii dini ndo inaongoza kuleta manabii wa uongo na mijitu inawaamini poleni sana mtayumbishwa sana na hao manabii njaa wenu sisi tulii dini ya haki lazima ipigwe mawe wala hatuna papara na kama mnajiamini kelele za nini?ila nyie bhana mna macho lkn hamuoni poleni sana maana hata bibilia mnayodai mnaisoma hamuijui
Kumbe sio kosa lenu mnasubiri kufundishwa na wachungaji badala ya kusoma vitabu sisi waislam tunasoma vitabu kwahiyo hakuna ambacho utamdanganya muislamu cz bibilia tunasoma agano la kale na quran tunasoma ko sijui utapita wapi tusipopajua pole rudini darasani
Waislam sio wayaundi. Wayaundi ni waisraeli. Leo nikiingia msikiti wa waislam, nitaitwa muislam?
Soma ufunuo wa 3;9-hio die wa waislamu jini akasilimu akawa muislamu sawa?
Amen asante kwamafundisho Mucungaji ubalikiwe sana
Yeah amefata mtume Musa na mafundisho yake. Kwa hiyo Musa alikuwa muislamu na yesu kumfata inamaana naye muislamu
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
Sasa ww wateteanini mbona hawakuita Hilo sinagogi kansa hata misikiti ni mahali pa watu kukutana na kuswali hamu a dini yy mwababanya
Hakuna vitabu vinaitwa biblia Wala dini inaitwa ukristo
Kweli mtumishi
@ommyomario3069
3 жыл бұрын
Kwanini sasa unalazimisha ukweli mtumzima ufikirilesho?
KUMBE UNANEGEMEA UPANDE WA K I KITRISO HUNA UJUZI WA WAKWELI BALI UUWONGO
@jacksonnzai1593
3 жыл бұрын
Angeegemea kwako ndio angekua naujuzi. Heri kuwa bawabu katka nymba ya Bwana kulko kuwa katka hema la waovu
Hongera sana!!! Mungu akubaliki sana umemwinua bwana wetu Sisi wakristo tunamsubiri Yesu kumlaki tukiwa hai au mauti.Ninawaonya wale wasioujua Ukiristo wasijiweke kuwakilisha wakristo.
@binyamina8850
4 жыл бұрын
Kwanza kabisa Sio baliki bali ni kubariki Pili Yesu akija atakuwa nasi sisi waislam nasio nyie
Yesu ni mmoja kati ya Kristo wengi
Soma lugha asili ya bibilia yenyewe sio kiingereza au kiswahili ndio hautapata tabu mchungaji
Abraham alipokua akifanya ibada ana via viatu Yesu pia alivua viatu nyinyi mnavua viatu .??
@ushahidifilms2011
4 жыл бұрын
Nani alikuambia kwamba Abraham na Yesu walivua viatu kufanya ibada? Unaweza kuleta ushahidi??
Mtumishi ubarikiwe Sana! Naomba unielekeze wapi napata hivi vitabu
@allyissalipawe7072
3 жыл бұрын
Iviiiiiii ww bado tu hujui huyu anaongea kwa matamanio yake tafsiri iko wazi inasema kama kawaida yake yesu anaenda ktk sinagogi kufanya ibada kanisa halikuwepo kanisa limekuja baada ya kuondoka yesu kanisa halijui ninyi mnaingia kwa kumfua nani yesu au Paulo kazi kwako
@sokakilumbi9293
3 жыл бұрын
MSEMAJI kutoka Vatican ameshangaza kutangaza rasmi kuwa kurejea kwa Yesu Kristo mara ya pili kunaweza kukosekana baada ya kusubiriwa sana, japo akiwarai waumini kuendelea kuwa na imani. Kadinali Giorgio Salvadore alisema kuwa maadhimisho ya 1981 katika Jiji la Vatican yatakuwa ya mwisho, kuhusiana na kusubiri Yesu kurejea duniani. “Tunahisi kuwa Yesu harudi duniani tena kulingana na jinsi mambo yanaonekana,” akasema Giorgio, “Imekuwa miaka mingi. Huenda anafanya mambo mengine ya muhimu kwa watu mahali pengine.” Alikuwa akisema haya kutokana na hadithi ya Biblia kuwa miaka 2000 iliyopita, Yesu aliahidi wafuasi wake kuwa atarejea tena. “Kuna maboma mengi huko anakoishi baba yangu, na ninaenda kuyaandaa kwa ujio wenu. Kila kitu kikiwa tayari, nitarejea kuwachukua ili muwe name milele,” Yesu akaahidi wafuasi wake, katika kitabu cha Yohana 14:1-3. Lakini mkatoliki huyo wa Vatican alidai kuwa wakati alipokuwa akisema maneno hayo “huenda alikuwa akinywa mvinyo.” “Sote tunaweka ahadi ambazo hatuwezi kutimiza tunapokuwa walevi. Yesu alikuwa hivyo tu,” akasema Salvadore. Kanisa hilo sasa limesema kuwa litaangazia kujenga heshima yake duniani, japo bila kupoteza matumaini kuwa Yesu anaweza kuja tena. kama unabisha click iyo link hapo chini usome mwenyewe taifaleo.nation.co.ke/?p=26260 Eti mungu wenu alikuwa mlevi a.k.a chapombe !!! na hao waliosema kuwa yesu alikuwa chapombe ndio mabosi katika kampuni yenu ya ukristo!!! Thsy nasema ukristo ni kama movie ya kihindi uongo mwiingi!!!
@barnabasanga7552
3 жыл бұрын
@@allyissalipawe7072 sinagogi ni kanisa.
Wewe ni bingwa kiukwel umetusaidia watu ni wabishi sana👏👏
OK
Nyie wakristo mnaomshabikia kuwa ni jembe na mnaona yuko mwambie afanye mdahalo na waislamu kwa hoja zake hizo kama si muongo asijifungie chumbani na kurusha video youtube wala usitukane dini ya mtu sema kwa hoja ewe mkiristo kutukana bila hoja ni chuki hiyo hapa tunataka halafu mchungaji huyo asijifungie chumbani afanye muhadhara na waislamu kama yeye mkwelii?
Asante sana tumekusikia sana ila unajuwa uisilaam au neno uislam ina maana gani na kama ukijua maana yake ndy utajua kuwa uislam hakuuleta mtume muhammad bali aliuleta mungu mwenyewe
Wakristo, huyu mchungaji kawa fumbua akili, anachokusudia nikuwaambia tafsiri ya Biblia mnayo itumia sio sahihi kwa sababu imetaja sinagogi ni Msikiti, lakini jiulize wakati wana tafsiri hivyo waliokuepo wakati huo walikua hawajui chochote ? Pili kama utasema sinagogi ni ukumbi wa mafundisho kwanini yesu alikua akiingia katika Masigogi wakati wa kuabudu?
@kuzmandasilva7418
3 жыл бұрын
Kwa tafsiri ilishindwa kusema sinagogi ni kanisa la wayahudi?
@kuzmandasilva7418
3 жыл бұрын
Na kwa maelezo hayo inamaanisha kua wayahud wanalo kanisa ila Nabii issa hakuwa akiingia humo yy aliingia mckiti wa wayahud
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
Acha ushabiki zungumza ukweli yesu hatambuwe ukristo abadan Hana habari namnayo yafanya.
Hapo sawa ukimuamini yesu utaingia mbinguni au atakayemfuata vilivyo atapata njia ya uokozi.Swali wapi yesu amekuja na dini ya kikristo??????Wewe umesoma vitabu Kwa faida yako.Pia nikushukuru Kwa kuujuwa ukweli na kuuficha.
@abaafarhat9191
3 жыл бұрын
Mwambie afanye mdahalo na waislamu asizungumze peke yake kama ukiristo ni dini asijifungie chumbani
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Duuu kuelezea kote hapo hujamuelewa yesu ndo kristo wanamfuata yy ndo wanaitwa wakristo
Apo unatetea Kwani ata Kwenye qur an. Lipo neno klisto sasa waliitafsili wakilisto?
mtumishi ningekuomba ungekwenda kuwafungua nacho wakristo kwenye mihadhara.. Kwa sababu wanadanganywa sana na kuslimishwa hadi nawaonea huruma... plzzz
@frankjohn8570
5 жыл бұрын
joseph mtemi ukifuatilia wanaosilimiswa wengi WAO ni wale wale kula siku na hupenda majina kama Joseph john,Mariam yani Yale majina yalio kwenye biblia yanaoitwa watu wengi, na kusema wametokea kabisa LA asante josefu ATI ndio SaINT JOSEPH kweli mkristo asali Sent Josef asiweze kuita sent Josef aseme asante josefu sio kweli NI waongo
@rajabally2431
5 жыл бұрын
Yeye mwenyewe anahitaji kufumbuliwa macho
@angeljustene9380
4 жыл бұрын
Mkristo aliye simama hawezi kuslim,labda kama haujui ukwelii
Yesu alisema iko siku siri zote zitafichuliwa na ukweli utajulikana kwahiyo wakristo hata msiwe na wasiwasi
Mimi nilitegemea utatoa andiko kuwa aliingia kanisani lakini hakuna ndio maana umejifungia useme pekeako hata mfichie ukweli bado mtateseka sana mta wadanya wale wasio taka kuachia akili za huru kazi yao ni kuhubiliwa tuu hivi yesu alikuwa mzungu au mswahili leteni maandiko aliyo yatumia ya kiebrania mta danganya watu sana leo mna sema walio tafsiri biblia ni waislam hii yote mwelevu ataelewa likini mjinga hawezi kuelewa
@adventsumari5776
Жыл бұрын
Bwana yesu Asifiwe. Sema Amina
JE UNAAMINI KWAMBA BIBLIA IMEWEKWA MANENO YA WATU NA IKIWA UNAAMINI HIVYO ICHO KITABU UNACHOKIITA BIBLIA KASHUSHIWA MTUME GANI
Kila ukitaka uchome uongo ili ionekane sinagogi sio msikiti unapata tabu sana neno limesema wewe unahangaika nini acheni kutapatapa Allah ndo njia ya haki
@ushahidifilms2011
4 жыл бұрын
Ujiulize Yesu akafanya nini alipoingia sinagogi? Soma Luka 4:17
Yesu hakuleta uislam.synagogi sio msikiti bali ni nyumba ya kuabundia la la waisraeli ukristo ni ndini.
Yesu hakuleta dini ya kisilam bali alikunja kuwambia watu wasiache maana ni dini ya kweli wasifate dini zengine.
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Uzima wa milele uko kwa mtu mmoja naye ni ISA MASIAH aliyekufa msalabani (INRI
@neemafelister9584
2 жыл бұрын
Kama auko nda ya ISA MASIAH uko nje ya ufalme wa mbinguni. Kwa haya majina na mengine Yesu kristo Yezu kristu Jesus christ Yaliwekwa na madini sio neno la mungu bali ni fikra na tamaa za watu.
@nicholousmtemi3902
2 жыл бұрын
Yesu hakuwahii kuuta uislam
Haya yufanye dini ni njia kama utakavyo. Sasa muislam njiabyake ni uislam na Mkristo njia yake ni ipi? Wacha kuzunguka mbuyu badilisheni bibilia kama mlivyo badilisha maana ya sinagogi
Mbona viongoz wa kiroma hwapendi kuingia ktk mijadala
@sylvestersamwel8210
3 ай бұрын
Hamuwaoni kwa sababu Roman Catholic ndio waanzilishi wa Uisilam.
Ast san bro nimeelew
Kama bibilia ilitafsiriwa kwa lugha kimvita ili watu wa Mombasa waielewe ndio maana watu wa Mombasa ni waislamu maana wameyaelewa maneno ya kitabu hiko.
Misahafu yote ujue kiarabu sio utegemee tafsiri za watu ikiwa kizungu au kiswahili. Km weye hodari tafsiri mwenyeo. Hapo hata uchukue tafsiri ya kichina ni bure Tu. Halaf unadidai kutafsiri kwa kuzikatisha aya. Wahadhiri kina mazinge wapo watafute mfanye mdahalo km kidume. Unajificha km mwari upo upo chumbani Tu. Na hapo ndio wanapotoka wajinga. Mkiristo gani anasujudu km yesu? Mkiristo gani anaingia sinagogi? Bosi usilazimishe mambo kila Mtume alikuja na taratibu na miujiza haifanani hata ibada sio zote zifanane. Masuali yakijinga kabisa.
@missmrs829
2 жыл бұрын
Ni kweli na ukweli unauma
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
Vitimbi haiishi kwa imani ya ukiristo 😂😂😂😂😂😂 matendo ya mitume 11 .25.26
Akuna diini yeyote ipelekayo watu mbinguni bali NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE NI ISA MASIAH asiye badilika milele. Aya majina yaliwekwa ili watu wasimujue mungu wao wa kweri. Yesu kristo Yezu kristu Jesus christ. Mungu wa kweri abadiliki ata na jina lake alibadiliki au kubadilishwa ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
Yani Hawa wachungaji hawaingii akili bora hata waislamu
Majogoo wakubwa wakienda machumoni bac ndio vidogo vinapata kuwika. Usipoteze watu we nenda kwenye mdahalo usijifiche chumbani. Mbina huyo Joni June new kumtetea