IPI KITABU CHA MWENYEZI MUNGU kATI QURAN NA BIBILI?
Mjadala uliofanyika katika runinga ya Lolwe Television Network kati ya makisisi na masheikh kubainisha kwamba kama kweli wanalo Taurati sahihi aliyopewa Musa (A.S).
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@mohamedAli-vf8hp5 жыл бұрын
Elimu hawana wacristo waislam tulipewa hekma na elimu alhamdulillah ALLAH awape maisha marefu mashekh wetu amiin
@oman77102 жыл бұрын
Masha Allah Allah awahifadhi masheikh wetu
@ashajuma86864 жыл бұрын
Mashallah... asanteni masheikh wetu kwa elimu yenu.....
@zuhraabdi76 жыл бұрын
Ma Shaa Allah nimeipenda sana,duh!mpaka wamechanganyikiwa😂😂😂Mola awajaze khery ma sheikh wetu
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
Zuhra Abdi # Allahuma amin thenks ukhty zahra
@malicboy79735 жыл бұрын
Hahahha.. huyu bishop nitakuja kumsalimia in sha Allah. Mana anajitetea kama samaki alie naswa na ndoana 🤣🤣🤣🤣👏🏼
@siamabakwe42743 жыл бұрын
Huyu nusu muislam kabisa Allah Amuongoze big up ma sheikh's Allah bless
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Jadhaakallahu kheri
@enoughisenough14782 жыл бұрын
🌎💧🙏🐓Subhana Allah,(ALLAH HU AKUBAR YEAH ALLAAH 💧 ALQURAN KAREEM 🌎 ANA BI MOHAMMED HE DELIVERED THE MASSAGE AROUND THE THE WHOLE INTERNAL LANGUAGES.ALL MUSLIMIIN SHOULD THANKS (ALLA HU AKUBAR)🍞💧🙏🐓🌎
@enoughisenough14782 жыл бұрын
🌎💧🐓🙏ANA BI ISSAH A MUSLIM THOUGH 💧🌎
@salmaothuman97625 жыл бұрын
Mwenyezimungu awabariki sana kwa kuwafundisha hawa watu maana huu ni msiba
@mirajisalehe62955 жыл бұрын
Bishop kujua kiebrania kidogo isiwe nogwa. Ukakufuru
@musanike30792 жыл бұрын
My favourite debate.. Mashallah
@rkenea42625 жыл бұрын
Mashaa Allah shekhe yahya ungeendalea 2 kusoma nipate raha zaidi
@hansiselemani80255 жыл бұрын
sheikh mm nakupend kwa ajiri ya Allah ,,nafuatilia sana mambo yako kla ukitoa news from Tanzania,,(iringa)
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Karibu sana kaka
@swalehkiuga167
4 жыл бұрын
Ishaalah
@siwajibufarida34285 жыл бұрын
Ma shaa Allah nice one
@myoutubecom-gg7sb5 жыл бұрын
mashaAllah
@samisarwar36 жыл бұрын
Masha allah
@timrex57223 жыл бұрын
Biblia iko sawa vichwa vyenu ndio haviko sawa Kristo ni mwana wa mungu na Bwana wa wote kama biblia inavosema Mungu anawapenda sana kupitia kristo amen
@hamidukimaro5746
2 жыл бұрын
sijui kama akili yako ipo sawa,mwalim wako ajui apo ww ndo unasema ipo sawa
#IbnusharafDAAWAH ....Tunazidi kuwaombea dua Masheikh wetu’ ALLAH awape nguvu Kwa kila mmoja wenu na mchango wake katika kuitangaza dini ya haki na mwisho wa siku ndugu zetu katika Adam waione haki.....IN SHAA ALLAH ..!
Allah awalipe Kheir Insha Allah, sauti ilikua chini
@mohamedissack80535 жыл бұрын
Masha Allah
@abdulmnatii10276 жыл бұрын
Shukran Sheikh anwar umewapa ukweli,ni Abdul long time bro
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Thenks brother
@mariamawadhi43635 жыл бұрын
Pastor umependeza ukivaa kanzu
@hassanhabibu6356 жыл бұрын
Inna ddina i'ndallah huwa l islaam Allahumma aamin
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Aywaa
@Keymolin4 жыл бұрын
MaasshaaAllah kama wanataka original Hebrew scripture Muhammad is mentioned there as muhammadim in song of Solomon
@tysonsamamba15935 жыл бұрын
Imani bila ya akili jamani shida sana
@ukhtyhalima63426 жыл бұрын
Nice debete
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Wellcome
@abuuyaasinrashidirashidi9638
5 жыл бұрын
بارك الله فيكم
@happyarooun60376 жыл бұрын
hata mtoto mdogo anataelewa ipi dini ya kwel
@mahfuthamafuta82587 жыл бұрын
Quran is the only book ambae haina shaka naitizama nikiwa USA
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
mahfutha mafuta #naam
@isaa_ogutu2 ай бұрын
Tora pia ilikuwa na hizo chapters za bibilia ama ilikuwa na different chapters with different names?
@timrex57223 жыл бұрын
Kama kuna litreture lugha ya picha mnapenda kila kitu kisemwe direct rekebisheni akili zenu kwanza
@km-xv2eq6 жыл бұрын
Hao wachungaji wamechanganikiwa kweli hhh
@malicboy79735 жыл бұрын
Hahaha.. pastor gershon aimba nyimbo ya alpha blonde 🤣🤣👏🏼👏🏼
@simonkaggwanjala9597
4 жыл бұрын
🤣acha zako ww🤓
@rashidkeke9462
4 жыл бұрын
Alpha blondy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zaituniashki18946 жыл бұрын
Quran ndio kitabu peke hakina shaka
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
Zaituni Ashki@,hakika Quran haina shaka
@michaelambani1135
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 be careful
@chorakondoa9051
4 жыл бұрын
Maashaallah
@mirajisalehe62955 жыл бұрын
Sasa ungeonyesha uongo uko wapi na kweli uko wapi katika hivyo vitabu viwili kimaandiko sio maneno tu. Aisee unatuchachanganya
@shabamuhidin634 Жыл бұрын
Nisalimie Prisca na Akila...mwambie aniletee lile joho langu na vitabu nilivyoviacha Troa alafu mtu anakuambia ni neno la mungu hili?
@MrMbeva6 жыл бұрын
Kwanza kabisa hawa wachungaji hawana ufahamu na historia ya Bibilia. Torah imeandikwa kwa kihibrania lakini Injili iliaandikwa kwa lugha ya Kigreeki. Mwenye kiti wa huyu mjandala pia nikam anaengemea upande moja
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Kaka wewe kama unajiamini karibu sana
@MrMbeva
5 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Asante Sana kwa kunialika. Nyinyi huwa based wapi?
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
@@MrMbeva Nairobi Town
@chidzore
5 жыл бұрын
...sikubaliani na wewe unaposema kuwa injili iliandikwa kwa lugha ya kigiriki....iliandikwa in Aramaic ndio baadaye ikatafsiriwa kwa kigiriki....then translated into Latin...then into other languages....
@happyarooun60376 жыл бұрын
yaani shekhe yahya Issa nakupendaga xna yaan ww ni handsome sijui ni msomali
@samxx411
5 жыл бұрын
usimpe mtihani shehe wetu tafadhali umpende kwa ajili ya Allah
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Ukiuliza pastor yoyote beblia imetoka wapi watapata shida sana kujibu kwa maana hawajui nani ka waletea mpaka kiama kitasimama hawa pati jibu
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Wao wanafwata it kadi ya wazungu kula kwa kijike kujipangusa na magaseti na kuva min sket hiyo ndiyo shida ya wakristo kufwata tu hawajui wa nakwenda wapi
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Wewe wata ushindani musa alitelewa na wa misri akiwa mdogo hakuwa anajuwa wa zazi wake mtoto akilelewa mahali anaongea ile lugha ya hapo mahali
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Kwanza nyinyi wakristo hiyo ibada ya juma pili mumetoa wapi kila juma pili munaenda kanisa nani kawambia ama kitabu gani kawambia muende kanisa juma pili hamupati mpaka kiama kitasimana
@rahmakishiwa15283 жыл бұрын
huyu mtu wakampime na akili😀😀
@burbiddy3165 жыл бұрын
KAKA WAELIMISHE HAO NA MUNGU ATAWAFANYIA WEPESI NA KAMA BIBILIA IPO SAHIHI BASI ........ UKOO WA YESU NI WAZINAA KWA MUJIBU WA BIBILIA Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba: A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. B. (Qur'an 5:76). B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29). Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake. Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba: 1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1). 2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1). 1 Basi, Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kwa siri kutoka Shitimu waende kufanya upelelezi, katika nchi ile na hasa mji wa Yeriko. Wakaenda, wakafika kwenye nyumba ya malaya mmoja aliyeitwa Rahabu wakalala humo. 3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18). 13Tamari aliposikia kwamba baba mkwe wake alikuwa njiani kwenda Timna kukata manyoya ya kondoo wake, 14-alivua mavazi yake ya ujane na kujifunika shela kisha akaketi penye lango la kuingilia Enaimu, kijiji kilichokuwa njiani kwenda Timna. Alifanya hivyo kwa vile aliona kwamba Shela alikwisha kuwa mtu mzima, lakini yeye Tamari hakuozwa awe mkewe. 15-Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso. 16-Hapo, bila kujua kwamba huyo alikuwa mke wa mwanawe, akamwendea pale kando ya njia, akamwambia, “Napenda kulala nawe.” Tamari akamwuliza, “Utanipa nini nikikubali?” 17-Yuda akamjibu, “Nitakupa mwanambuzi kutoka kundi langu.” Tamari akamwambia, “Weka rehani kuthibitisha utaniletea huyo mwanambuzi.” 18-Yuda akamwuliza, “Unataka nikupe nini kama rehani?” Naye akamjibu, “Nipe hiyo pete na kamba yake pamoja na hiyo fimbo unayoshika.” Basi, Yuda akampa vitu hivyo vyote, akalala naye. Tamari akapata mimba yake. 4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5). 2-Siku moja, wakati wa jioni, Daudi aliamka kitandani akaenda kwenye paa ya ikulu. Alipokuwa anatembea huko juu, alimwona mwanamke mmoja akioga na mwanamke huyo alikuwa mzuri sana. 3Daudi akatuma mtu kuuliza mwanamke huyo ni nani. Mtu huyo akamwambia Daudi “Mwanamke huyo ni Bathsheba binti wa Eliabu, na ni mke wa Uria Mhiti.” 4-Basi, Daudi alituma wajumbe wamlete. Basi Bathsheba akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye; (mwanamke huyo alikuwa ndio tu amejitakasa baada ya hedhi yake); kisha akarudi nyumbani kwake. 5-Mwanamke huyo akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kuwa ana mimba yake. Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema: “Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2). Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu. Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w. mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili. Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu. Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni. Maana sasa hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam. Kwahiyo karibuni sana.
Пікірлер: 72
Elimu hawana wacristo waislam tulipewa hekma na elimu alhamdulillah ALLAH awape maisha marefu mashekh wetu amiin
Masha Allah Allah awahifadhi masheikh wetu
Mashallah... asanteni masheikh wetu kwa elimu yenu.....
Ma Shaa Allah nimeipenda sana,duh!mpaka wamechanganyikiwa😂😂😂Mola awajaze khery ma sheikh wetu
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
Zuhra Abdi # Allahuma amin thenks ukhty zahra
Hahahha.. huyu bishop nitakuja kumsalimia in sha Allah. Mana anajitetea kama samaki alie naswa na ndoana 🤣🤣🤣🤣👏🏼
Huyu nusu muislam kabisa Allah Amuongoze big up ma sheikh's Allah bless
Jadhaakallahu kheri
🌎💧🙏🐓Subhana Allah,(ALLAH HU AKUBAR YEAH ALLAAH 💧 ALQURAN KAREEM 🌎 ANA BI MOHAMMED HE DELIVERED THE MASSAGE AROUND THE THE WHOLE INTERNAL LANGUAGES.ALL MUSLIMIIN SHOULD THANKS (ALLA HU AKUBAR)🍞💧🙏🐓🌎
🌎💧🐓🙏ANA BI ISSAH A MUSLIM THOUGH 💧🌎
Mwenyezimungu awabariki sana kwa kuwafundisha hawa watu maana huu ni msiba
Bishop kujua kiebrania kidogo isiwe nogwa. Ukakufuru
My favourite debate.. Mashallah
Mashaa Allah shekhe yahya ungeendalea 2 kusoma nipate raha zaidi
sheikh mm nakupend kwa ajiri ya Allah ,,nafuatilia sana mambo yako kla ukitoa news from Tanzania,,(iringa)
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Karibu sana kaka
@swalehkiuga167
4 жыл бұрын
Ishaalah
Ma shaa Allah nice one
mashaAllah
Masha allah
Biblia iko sawa vichwa vyenu ndio haviko sawa Kristo ni mwana wa mungu na Bwana wa wote kama biblia inavosema Mungu anawapenda sana kupitia kristo amen
@hamidukimaro5746
2 жыл бұрын
sijui kama akili yako ipo sawa,mwalim wako ajui apo ww ndo unasema ipo sawa
Mashaa Allah
بارك الله فيكم
Sheikh Anwar umewakamata kwelikweli.... Wachungaji wamechanganyikiwa ...mpaka wanakataa vitabu ...!...INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN..!
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
NAAM SHEIKH ANWAR ANAWEKA SAWA DUA ZENU
@ismailyusuph740
5 жыл бұрын
#IbnusharafDAAWAH ....Tunazidi kuwaombea dua Masheikh wetu’ ALLAH awape nguvu Kwa kila mmoja wenu na mchango wake katika kuitangaza dini ya haki na mwisho wa siku ndugu zetu katika Adam waione haki.....IN SHAA ALLAH ..!
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
@@ismailyusuph740 Allahuma Amin, Shukran jazilan Akhifillah.
Allah awalipe Kheir Insha Allah, sauti ilikua chini
Masha Allah
Shukran Sheikh anwar umewapa ukweli,ni Abdul long time bro
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Thenks brother
Pastor umependeza ukivaa kanzu
Inna ddina i'ndallah huwa l islaam Allahumma aamin
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Aywaa
MaasshaaAllah kama wanataka original Hebrew scripture Muhammad is mentioned there as muhammadim in song of Solomon
Imani bila ya akili jamani shida sana
Nice debete
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Wellcome
@abuuyaasinrashidirashidi9638
5 жыл бұрын
بارك الله فيكم
hata mtoto mdogo anataelewa ipi dini ya kwel
Quran is the only book ambae haina shaka naitizama nikiwa USA
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
mahfutha mafuta #naam
Tora pia ilikuwa na hizo chapters za bibilia ama ilikuwa na different chapters with different names?
Kama kuna litreture lugha ya picha mnapenda kila kitu kisemwe direct rekebisheni akili zenu kwanza
Hao wachungaji wamechanganikiwa kweli hhh
Hahaha.. pastor gershon aimba nyimbo ya alpha blonde 🤣🤣👏🏼👏🏼
@simonkaggwanjala9597
4 жыл бұрын
🤣acha zako ww🤓
@rashidkeke9462
4 жыл бұрын
Alpha blondy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Quran ndio kitabu peke hakina shaka
@kenyadawahtv90
6 жыл бұрын
Zaituni Ashki@,hakika Quran haina shaka
@michaelambani1135
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 be careful
@chorakondoa9051
4 жыл бұрын
Maashaallah
Sasa ungeonyesha uongo uko wapi na kweli uko wapi katika hivyo vitabu viwili kimaandiko sio maneno tu. Aisee unatuchachanganya
Nisalimie Prisca na Akila...mwambie aniletee lile joho langu na vitabu nilivyoviacha Troa alafu mtu anakuambia ni neno la mungu hili?
Kwanza kabisa hawa wachungaji hawana ufahamu na historia ya Bibilia. Torah imeandikwa kwa kihibrania lakini Injili iliaandikwa kwa lugha ya Kigreeki. Mwenye kiti wa huyu mjandala pia nikam anaengemea upande moja
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
Kaka wewe kama unajiamini karibu sana
@MrMbeva
5 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Asante Sana kwa kunialika. Nyinyi huwa based wapi?
@kenyadawahtv90
5 жыл бұрын
@@MrMbeva Nairobi Town
@chidzore
5 жыл бұрын
...sikubaliani na wewe unaposema kuwa injili iliandikwa kwa lugha ya kigiriki....iliandikwa in Aramaic ndio baadaye ikatafsiriwa kwa kigiriki....then translated into Latin...then into other languages....
yaani shekhe yahya Issa nakupendaga xna yaan ww ni handsome sijui ni msomali
@samxx411
5 жыл бұрын
usimpe mtihani shehe wetu tafadhali umpende kwa ajili ya Allah
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Ukiuliza pastor yoyote beblia imetoka wapi watapata shida sana kujibu kwa maana hawajui nani ka waletea mpaka kiama kitasimama hawa pati jibu
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Wao wanafwata it kadi ya wazungu kula kwa kijike kujipangusa na magaseti na kuva min sket hiyo ndiyo shida ya wakristo kufwata tu hawajui wa nakwenda wapi
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Wewe wata ushindani musa alitelewa na wa misri akiwa mdogo hakuwa anajuwa wa zazi wake mtoto akilelewa mahali anaongea ile lugha ya hapo mahali
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Kwanza nyinyi wakristo hiyo ibada ya juma pili mumetoa wapi kila juma pili munaenda kanisa nani kawambia ama kitabu gani kawambia muende kanisa juma pili hamupati mpaka kiama kitasimana
huyu mtu wakampime na akili😀😀
KAKA WAELIMISHE HAO NA MUNGU ATAWAFANYIA WEPESI NA KAMA BIBILIA IPO SAHIHI BASI ........ UKOO WA YESU NI WAZINAA KWA MUJIBU WA BIBILIA Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba: A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. B. (Qur'an 5:76). B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29). Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake. Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba: 1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1). 2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1). 1 Basi, Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kwa siri kutoka Shitimu waende kufanya upelelezi, katika nchi ile na hasa mji wa Yeriko. Wakaenda, wakafika kwenye nyumba ya malaya mmoja aliyeitwa Rahabu wakalala humo. 3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18). 13Tamari aliposikia kwamba baba mkwe wake alikuwa njiani kwenda Timna kukata manyoya ya kondoo wake, 14-alivua mavazi yake ya ujane na kujifunika shela kisha akaketi penye lango la kuingilia Enaimu, kijiji kilichokuwa njiani kwenda Timna. Alifanya hivyo kwa vile aliona kwamba Shela alikwisha kuwa mtu mzima, lakini yeye Tamari hakuozwa awe mkewe. 15-Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso. 16-Hapo, bila kujua kwamba huyo alikuwa mke wa mwanawe, akamwendea pale kando ya njia, akamwambia, “Napenda kulala nawe.” Tamari akamwuliza, “Utanipa nini nikikubali?” 17-Yuda akamjibu, “Nitakupa mwanambuzi kutoka kundi langu.” Tamari akamwambia, “Weka rehani kuthibitisha utaniletea huyo mwanambuzi.” 18-Yuda akamwuliza, “Unataka nikupe nini kama rehani?” Naye akamjibu, “Nipe hiyo pete na kamba yake pamoja na hiyo fimbo unayoshika.” Basi, Yuda akampa vitu hivyo vyote, akalala naye. Tamari akapata mimba yake. 4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5). 2-Siku moja, wakati wa jioni, Daudi aliamka kitandani akaenda kwenye paa ya ikulu. Alipokuwa anatembea huko juu, alimwona mwanamke mmoja akioga na mwanamke huyo alikuwa mzuri sana. 3Daudi akatuma mtu kuuliza mwanamke huyo ni nani. Mtu huyo akamwambia Daudi “Mwanamke huyo ni Bathsheba binti wa Eliabu, na ni mke wa Uria Mhiti.” 4-Basi, Daudi alituma wajumbe wamlete. Basi Bathsheba akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye; (mwanamke huyo alikuwa ndio tu amejitakasa baada ya hedhi yake); kisha akarudi nyumbani kwake. 5-Mwanamke huyo akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kuwa ana mimba yake. Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema: “Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2). Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu. Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w. mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili. Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu. Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni. Maana sasa hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam. Kwahiyo karibuni sana.