MDAHALO MKUBWA KAYOLE MATOPENI 22/4/2019

hii mjadala imefanyika katika mtaa wa Kayole Nairobi County 22/4/2019

Пікірлер: 90

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa76645 жыл бұрын

    Masha Allah, Masha Allah, mna kazi nzito walimu wetu ila kwa uwezo wa Allah awafannyie wepesi kwa kila palipo na uzito insha Allah

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Yesu alitumwa kwa wana wa izrail c kwa wakenya sawa👍👍👍live dubai

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    Uislam raha kweli jamani

  • @rkenea4262
    @rkenea42625 жыл бұрын

    Allah akbar masha Allah ma shekhe. Wapi shekhe yahya aseme tena na tena mtume wa ulimwengu mzima ndio ni waulimwengu mzima

  • @abuamso3390

    @abuamso3390

    5 жыл бұрын

    Jamani waislamu lazima tujidai kwani sura tul maida ishasema wazi dini imekamilika na makafir hakuna siku watatushinda so waache watapetape ili dini uislim ni kitabu chetu ishatupa ushindi hakuna kitu kwa quran chakosekana its a complete cord

  • @MohamedHassan-tf3kn
    @MohamedHassan-tf3kn5 жыл бұрын

    Allah awalinde Masheikh wetu

  • @kenyadawahtv90

    @kenyadawahtv90

    5 жыл бұрын

    Allahuma Amin

  • @asmaabdallah4055

    @asmaabdallah4055

    5 жыл бұрын

    Muhamad alirongwa vipi unauma mini mungu alie uwawa yeso kauwawa katumbikwa kwenye msalaba wa laaana akashindwa kujitoa katika kifo akamlilia Allah akamsaidia alie rogwa na alie uwawa nani mbora mungu kauwawa na viumbe zake

  • @hildababyabdullah5627

    @hildababyabdullah5627

    5 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @minaminaa1669
    @minaminaa16695 жыл бұрын

    SubhanAllah. yani mashekh mna kibarua Allah awalipe malipo kesho yakhera Amiin

  • @kenyadawahtv90

    @kenyadawahtv90

    5 жыл бұрын

    Allahuma Amin

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    Amiin Yarabb

  • @user-nj1jd6zy8e

    @user-nj1jd6zy8e

    5 жыл бұрын

    Allahumma amiiin

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85115 жыл бұрын

    ALLAH AWALIPENI KWA KAZI YA IMANI NZURI YA DINI YA PEKEE ISLAMIC

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26635 жыл бұрын

    ماشاء الله Mungu awajazi kula lakhery maustadhi wetu

  • @kenyadawahtv90

    @kenyadawahtv90

    5 жыл бұрын

    Allahuma Amin

  • @ashaboke8849
    @ashaboke88495 жыл бұрын

    Maasha Allah sheik

  • @mwatimasaleh423
    @mwatimasaleh4235 жыл бұрын

    Mashalla mungu awazidishie nguvu masheikh mzidi kupigania dini ya haki Islamic

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын

    Kila nikiona wahadhiri wetu nafadhaika Sana jamani waislamu wote tutembee kifua mbele utukufu uko kwa mungu kupitia Muhammad S.A.W

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    Rehema Amadi. kabisaa yani tujivunie na dini yetu ya haki .MashaAllah waadhiri Wajitahidi na ao wenye masikio lakin hawasikii wana macho lakin hawaoni

  • @rehemaahamadiahmadi566

    @rehemaahamadiahmadi566

    5 жыл бұрын

    Kabisa ndugu yangu

  • @shabanichacha4562
    @shabanichacha45625 жыл бұрын

    Islamic is a true way to heaven

  • @ahmedmohamed9040
    @ahmedmohamed90405 жыл бұрын

    Mungu awalipe masheikh, Taabu kweli kufunza asiyejua hajui

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa76645 жыл бұрын

    Masha Allah tabarakallah

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel66924 жыл бұрын

    Sheikh Yahya mnanyima watu raha, mada zenu fupi na mnazirusharusha kwa kuzkatakata

  • @drgerishonodare3572
    @drgerishonodare35723 ай бұрын

    Mwongo tu sanaa huyu Sasaka😢

  • @abdirizakaadan1153
    @abdirizakaadan11535 жыл бұрын

    Mungu ahifathi masheqe wetu waendelee kumfikisha kila mahali

  • @kenyadawahtv90

    @kenyadawahtv90

    5 жыл бұрын

    Allahuma Amin

  • @hildababyabdullah5627

    @hildababyabdullah5627

    5 жыл бұрын

    Amiin thumma Amiin

  • @kamandaafande766
    @kamandaafande7665 жыл бұрын

    Kenya mnaendelea na mi hadhara Tz akuna sikuhizi dahhh!!!!!

  • @fundimagari5825

    @fundimagari5825

    5 жыл бұрын

    Miadhara ipo kama kawaida tanzania ila waadhiri wamejiongeza wanafanya miadhara kwa style nyingine ya kuuza madawa ya kisuna

  • @bwegelanyakhaido3088

    @bwegelanyakhaido3088

    5 жыл бұрын

    fundi magari anasemea ya haina hii

  • @drgerishonodare3572
    @drgerishonodare35723 ай бұрын

    Ngugi Salim unaleta ukora.

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66905 жыл бұрын

    Mashaallaaah kenya

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe42743 жыл бұрын

    Garison alazimisha somo lake kuingia vichwani mwa watu hata jaso jamani Hahaaaaa hilo kwa kanisa banaaaa si kwa waislam

  • @hanshiabdirahman3115
    @hanshiabdirahman31155 жыл бұрын

    Mash Allah

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Mungu hana mtoto we we mkristo vip nyie

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82625 жыл бұрын

    Mashallah

  • @vincentnyakundi2388
    @vincentnyakundi23885 жыл бұрын

    Na mbona mnakatakata video, this is not the full video

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Yesu ni bwana wewe ni nani 😆😆😆

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan3733 жыл бұрын

    😃😃😃 kumepambazuka

  • @maryjohn8785
    @maryjohn87855 жыл бұрын

    Bishaneni

  • @omarymtotela2487
    @omarymtotela24875 жыл бұрын

    Nawapongeza viongozi wa Kenya kuruhusu mihadhara uku tz hakuna kabisaa viongozi wababaishaji hawataki kujua ukweli

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    Allah ajaalie wepesi InshaAllah

  • @zephaniahvitus5540
    @zephaniahvitus55405 жыл бұрын

    Dini halimpeleki MTU mbinguni isipokuwa matendo yake na Neema ya Mungu tu

  • @muhammadabdi774

    @muhammadabdi774

    5 жыл бұрын

    Dini ni kama passport na vitendo ni kama Visa na mtu bila ya hiyo mbili hawezi safiri. Au dini ni kama funguo na vitendo ni kama meno.ili mlango ifunguliwe hamna budi funguo enye meno ipatikane.

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    @@muhammadabdi774 kabsaa

  • @nooordubem2802

    @nooordubem2802

    5 жыл бұрын

    Wacha zako kaka,kwani Mungu alikuwa mjinga ndio akaleta dini kwa viumbe wake ndio iwe uongofu kwa watu duniani???...dini ni njia bwanawe!

  • @AbdulWahid-hp8qr
    @AbdulWahid-hp8qr5 жыл бұрын

    Maashallah

  • @maryjohn8785
    @maryjohn87855 жыл бұрын

    🤣😂🤣😂

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel66924 жыл бұрын

    Mada zenu ni nzuri sheikh but ni fupi

  • @aliaden5512
    @aliaden55124 жыл бұрын

    L

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40005 жыл бұрын

    Hawa watu wanaojiita wakristo, hawana akili

  • @fetynurdin7088
    @fetynurdin70885 жыл бұрын

    polen saana

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85105 жыл бұрын

    Kama majini Wanaswali JIULIZE Ibada wanamfanyia nani?

  • @dullyvidully7798

    @dullyvidully7798

    5 жыл бұрын

    Aliewaumba

  • @johnbenedict8343

    @johnbenedict8343

    5 жыл бұрын

    @@dullyvidully7798 Ili iweje??

  • @sleymankassim4332

    @sleymankassim4332

    5 жыл бұрын

    Mungu

  • @allyyussuf7419

    @allyyussuf7419

    4 жыл бұрын

    Wanamuabudu Allah subhanahu wataala. Kwa sabb hakuubwa mwanaadamu Na majini Ila wamuabudu Allah.

  • @nooordubem2802
    @nooordubem28025 жыл бұрын

    Sasa huyu akisema eti Muhammad alirogwa eti hafai kuwa mtume,na je yesu aliyepigwa mijeledi na akasulubishwa nani hafai kuwa mtume,hayo ni ukosefu wa elimu

  • @ramadhanmusa8505

    @ramadhanmusa8505

    4 жыл бұрын

    Nooor Dubem hawajielewi hawa ndugu zetu wa damu

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24445 жыл бұрын

    Gerishon anahubiri umesaya au ukristo?cjamuelewa!

  • @sofiamamaa5145
    @sofiamamaa51454 жыл бұрын

    Nyinyi waislam wacheni kubisha wenyewe ata Quran haimuezisoma paka ujifunze arabic Bibilia hamjaielewa kabisa coz maana zake ni za ndani...wacheni kubisha just openup your eyes end minds stop being blind folded use your comon sense ata stile y kuomba yenyewe hamuoni mna busu arzi afu eti mtu akipita kw mbele eti unaaza tena sasa waomba Mungu alojuu au kitu cha apa apa chini duniani

  • @jahadibrahimtv7958

    @jahadibrahimtv7958

    4 жыл бұрын

    Wewe bibilia waifahamu kweli??

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85105 жыл бұрын

    Mkimaliza MKASWALI NA MAJINI YANAWASUBIRI msikitini mnamwabudu MUNGU WENU IBLIS

  • @dullyvidully7798

    @dullyvidully7798

    5 жыл бұрын

    We ushawahi kuona mskitini akatolewa jini si makanisani uko ndo mnakotowana majini nyie kenge

  • @bwegelanyakhaido3088

    @bwegelanyakhaido3088

    5 жыл бұрын

    Joseph Bonday kuswali na majini nikawaida ni waislamu wenzetu...majini ni viumbe vya mwenyezi mungu so kuabudu mungu pia ni Aki yao kwani ata yesu aliwatuma wafuac wake waubiri injili Kwa kila kiumbe akimaanisha hadi majini sio mapepo mnayo kuwa nayo kanisani kila siku Toka Toka waende wapi na umo ndio kwao

  • @josephbonday8510

    @josephbonday8510

    5 жыл бұрын

    @@bwegelanyakhaido3088 Yesu alipo waagiza kuhubiri Injili kwa kila kiumbe ALIKUSUDIA BINADAMU TU.SIO WANYAMA WALA MAJINI(MAPEPO).NDIO MAANA MSTARI HUO ANAENDELEA NA KUSEMA " AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYEAMINI ATAHUKUMIWA".WANYAMA NI VIUMBE ILA HAWANA UTASHI WA KUAMINI, VILEVILE MAJINI HAWANA SIFA YA KUAMINI

  • @josephbonday8510

    @josephbonday8510

    5 жыл бұрын

    Pia MAJINI NI MAWAKALA WA IBLISI HIVYO HAWANA SIFA YA KUMFANYIA IBADA MWENYEZI MUNGU ILI HALI WAO MKUU WAO NI YULE IBLISI NA SHETANI.

  • @josephbonday8510

    @josephbonday8510

    5 жыл бұрын

    Kama WATAKUWA WANAFANYA IBADA, BASI ITAKUWA IBADA YA KUMTUKUZA KIONGOZI WAO AMBAE NI SHETANI NA IBLISI KWA KUWA ALISHAMUASI MWENYEZI MUNGU HIVYO HATAKUWA NA MSAMAHA KWA ADHABU YA MOLA

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Yesu alitumwa kwa wana wa izrail c kwa wakenya sawa👍👍👍live dubai