Hio tukio lililokukuta ilikua mungu alitaka uweneze uislam jela na sio mateso.. allahu akbar pole sana
@stevewanga9576 жыл бұрын
Long life Ustadh Mazinge
@omarhakizimanakishikbongo21865 жыл бұрын
Mazinge nampenda sanasasa Allah amrinde ampe shifa na ushindi
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi masheikh wetu katika kupigania dini ya Allah inshaallah na mtalipwa yaliyo mema Inshallah Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah
@zuberiismail67135 жыл бұрын
Jazakllah khayra sheikh mazinge,,,, Allah awe nasi mpaka siku ya mwisho na Allah Atujalie mwisho mwema
@issaally98067 жыл бұрын
inshaallah allah atatujaalia kheir na atafanya wepesi katika kulingania dini na inshaallah tutapata manufaa hapa duniani na kesho yaumul kiama
@zainabmsuya70225 жыл бұрын
Nakupenda ostaz Mazinge kwa ajili ya Allah na mwenyez Mungu akupe nguvu na akujaze ujasiri uendee kutupa daawa.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
alhabb a, alaykm namuomba allah akufanyie wepsi katka kaz ya kufanya daawa.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
na ss allah atupe limi zenye kufahamika.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
katka kaz ya kufanya daawa.
@mstafahassan39895 жыл бұрын
mungu atujalie Sana tufe tukiwa waislam
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
MSTAFA HASSAN amin
@hassancharo6330
3 жыл бұрын
MSTAFA HASSANI AMIIINI
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
Allah akulinde na Shari na mashekhe wwnzako..kazi ya daawa iko na mitihani.. lakini insha'Allah Allah atafanya wepesi Kwa wanaotoa daawa
@alisharif5704 жыл бұрын
Aaaaaa mazinge unanimaliza uko vizuri Allah akulipe kila la kheri
@kudramzee14754 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu Inshaallah
@ummuabdillahi51958 жыл бұрын
nakupenda ustadh Mazinge kwa ajili.ya Allah...Allah awazidishie masheikh wetu na atuongoze sote ndugu katika imani...ameen
@unknownuser-ek5id
8 жыл бұрын
Amin
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
ummu abdillahi aaamin
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
unknown user pindi nilivyokuwa primary school huu msamiati UNKNOWN kaka yangu aliandika kwenye mkanda wake basi nilijaribu kumuambia ili anipe maana yake hakunipa nami kipindi hicho nilikuwa na shauku ya kujua hii lugha ya English japo nilikuwa primary school nilihuzunika sana , nimeliona hili jina nimekumbuka hiki kisa
@masssjasscard91475 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie Sana sheikh wangu
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mungu we2 akufanyie wepesi katika kila Jambo la duniani na haera amiiiiiiiii
@abdichokosh4578
3 жыл бұрын
Pia ww
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mazinge Allah subuana wA tahala akubaliki Sana huzidi kuwepo na kuwaongoa wanna wA adamu wamjue mungu wA kweli
@smartlady71728 жыл бұрын
Masha Allah beautifull qiira'a allahu akbar MA shehe wetu may Allah bless you all of you. Ustad habib mazinge walahi i love you for the sake of Allah mungu akozidhisheye cumri na ciibada nzuri
@zulfaalnabhanzulfaalnabhan86538 жыл бұрын
mashaa ALLAH Mungu awajaze kheyr sheikh mazinge na ndugu akasha
@kudramzee46383 жыл бұрын
Wangapi wanaangalia hii mpaka leo mawaidha
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Mimi nipo hapa
@taturajabukhalfani7953
3 жыл бұрын
Mpaka mwisho tutabaki kiangalia inshallah!!
@adankabaye89184 жыл бұрын
Masha allah prof mazinge mungu ampelke Jana na wenzake mashake wengine
@sweetmeena59703 жыл бұрын
Mashallah sheikh Mazinge hiki ni kipaji chake Mungu amemjaalia hikma ya kuongea sana hasa na makafiri.
@siamabakwe42743 жыл бұрын
Asante kazi long life sheikh love u big
@nkurunzizaabdul-aziz72114 жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh .ninamuomba Allah akupe pepo yake (janatu filidaus)alafu nami pia tupakutanie tucangiye wote zaituni zahuko peponi, Allahum Amin ya Rabb
@khamisbakari57724 жыл бұрын
Mashaalah msomaji qur-an yaani mpk machozi yananitoka
@aboubakarsalym1318 жыл бұрын
mashallah Allah awalipe
@eeg54858 жыл бұрын
Mashaallah Allah Akuzindishie mri Ameen
@meymunaabdi44375 жыл бұрын
Mash Allah Allah akujali afya sheikh
@aishaaisha96362 жыл бұрын
sheikh mazinge Mungu akupe uzima n afya njema n akupe muongozo mwema inshallah
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mashallah mungu awabaliki san kwa ku2pa mawaidha ya Allah subuana wA tahala
@rashidkalimbo24514 жыл бұрын
IshaAllah Allah Yuko na wewe Shekh Mazinge...
@omarmchoya92854 жыл бұрын
Allah Akupe nguvu
@MctMct-tt4rq3 жыл бұрын
MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA USTADH MAZINGE AKUZIDISHIE IMANI NA AFYA NJEMA UZIDI KUPIGANIA NIDI
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@issmuking39873 жыл бұрын
Allah akulipe mazinge na wenzako kwa kuipigania dini ya Allah
@TanzaniOman4 жыл бұрын
Mazinge ww kiboko 👍
@husseinmongolare16613 жыл бұрын
Allah atufishe tukiwa waislamu insha allah
@queenramadhan22937 жыл бұрын
duuh naikumbuka hiyo tulipigwa mabom ya machozi balaa taqbiriiiii
@bennymochiwa4800
4 жыл бұрын
Allah Akbar
@mathewsodiambo57614 жыл бұрын
Inshallah Allah atujalie waislamu duniani
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Allah wakibar...kabisa mazinge nimusaidizi wa yesu we wafunga makanisa yesu atarudi angushamisalaba watu wasali kiisilamukama gisi inatufundisha coroan wallahi siku ikiisha bila kumusikiya mazinge wala masheikh sipatagi raha kabisa njo kanipa Allah iyo Alhamdulillah
@dusabearafatrwigema9248
Жыл бұрын
Mashallah
@zehrahaji15663 жыл бұрын
Laana ya Allah iwe juu yake mobutu
@salmaathman19738 жыл бұрын
subhanallah !!! if u keep Allah first, u will always rise higher. may Allah protect u my beloved sheikh.
@mimah2543
3 жыл бұрын
MashaAllah.. Shkh nakupenda kwa ajili ya Allah.. Allah akupe ilmu zaidi na umri uzidi kuwazindua wasomjua Allah..
@shabanimohamedi2280
2 жыл бұрын
Inshaala
@razansalim5324 жыл бұрын
MashaAllah jadha ka Allah kheir shuq-ran
@nattysuleimani37835 жыл бұрын
Mashallah kila la kher shekhe mazinge
@kudramzee46383 жыл бұрын
Nakukubali sana Habibu mazinge MWENYEZI MUNGU AKUPE maisha marefu
@kassimukuambiana37244 жыл бұрын
subuhanna Allah uko bandundu ni hatar Allah wanusuru waijuwe haki
@yusufukasereka1082 Жыл бұрын
Sheh mazinge Allah mwenyewe najua garama ya malipoyako peponi🤲🤲🤲
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Swalala nabii
@Glorydavid2486 жыл бұрын
mazinge mimi mkrsto ila nakupenda sana napenda mafundish yako sana sanaaa
@SalumAAbeid
6 жыл бұрын
Glory David "bila shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko wakati uliotangulia" Allah ukujaliee
@happyarooun6037
6 жыл бұрын
Alla akuongoze inshaalah uujue ukweli
@stevenngunzi419
6 жыл бұрын
Pia mimi ni mkristo lkni na mpenda mazinge sanaaaa
@stevenngunzi419
6 жыл бұрын
Mazingeeee,MUNGU na akuongeze ufahamu
@salehehassan1330
5 жыл бұрын
Karibu kwenye uislam hata usisite wala kua Na shaka
@happyarooun60376 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
Happy Arooun amina baba
@sayleewaprocesse2173 жыл бұрын
Mashallah mashallah mungu akulinde daima uishi miakaa mingi yenye fulaha maisha mwako
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Allah wakbar
@salmajuma40155 жыл бұрын
Mashaaalaaah
@ramahdanndayishimiye47063 жыл бұрын
Mugu akupe afia akupe phepu maisha Niah mungu atupe mwichomwema tu
@haaigood Жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie in shaalla
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Subuana Allah
@mbarukrashid33386 жыл бұрын
Safi sana
@mzeesalum44324 жыл бұрын
MASHA'ALLAH
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Inshaallah Waislamu tuisome sana dini yetu tupate kuilewa na kumuabudu Allah kwa usahihi.
@ayanaamri35844 жыл бұрын
Sheikh mazinge baraka lwahu fii, allah akulipe kila lilo jema walahi, unaongea maneno mazito tena kwa hisia kubwa kama kuna binadamu mwenye akili zake timamu haelewi maneno haya kwa kweli ni mtihani mzito allah atuhifadhi waja wake, hakuna kwa kukumbilia zaidi ya kwake allah, yailahi nakuomba wahifadhi mashekhe wetu hawa zidi kuwajaalia afya ya mwili na akili, yaani mpaka naishiwa na maneno zaidi ya kuhisi simanzi na majonzi mwilini dunia si kitu jamani tutende mema tuondoke duniani salama tuendako ni kuzito sana ya ummat muhammad s.a.w
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Takibiiiiiiiiiiiii
@ramosfally23183 жыл бұрын
mi namuomba allah usife kabla ajanleta kama wewe inshallah..from mozambique nakupenda bule kw a ajili ya allah
Kapita njia ya mustafa Ismail na Ahmad mustafa kamil
@asilclub2 жыл бұрын
FFU FANYA FUJO UONE
@beatricezacharia43134 жыл бұрын
Sikupendi mazinge kwa ajili ya kuwapotosha watu ukwel wewe unaujia ila kiburi tu chakutaka kuangamiza roho za watu
@marymmarym3914
3 жыл бұрын
Wewe usompenda mazinge huna akili
@allanothuman2941
3 жыл бұрын
😥😥😥😥
@allanothuman2941
3 жыл бұрын
Umerogwa ww
@frankanold98035 жыл бұрын
Mazinge wewe kiboko Yako ni yohana omary alikutandika vibaya mno ukashindwa kuonesha wapi imeandikwa Mohammed amepewa utume, waislamu amkeni Mohammed mwenyewe alikuwa hajui kusoma wala kuandika,alafu Mohammed alimuoa binti wa miaka 9, waislamu amkeni kitabu Cha quran hakina spiritual powers
@festokimath2245
5 жыл бұрын
Nicheki kwa # hizi 0746469479
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold...mpumbavu ni ww unae mtukana nabii ambae hawapi nyie usingizi majahilia MUHAMMAD katajwa na kateremshiwa Qur'an ww uliteremshiwa nn....ushalishwa mkate mikavu ndo maana huwezi kumuamini
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold...kawa kibaka kwa sababu ww ndo ulomfanya kuwa kibaka maana hatakubali ukejeli na kumtusi mungu wake sasa watu kama ww ndo alikuwa hawaachi kiholela alete upuzi kwenye dini anakushughulikia tu kwa maneno au ukimjia vibaya anakumalizia kwa vitendo jahilia ni jahilia tu mikate mikavu hayaja muacha mtu salama
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold....hiyo kutojuwa kusoma wala kuandika ndio ilikuwa moja wa wahyi yake kwani mungu alikuwa hajui kama yuwatumana kwa mtu asie jua kusoma wala kuandika?au ulifikiri wahyi wake utakuja kama manabii walopita kila nabii kateremshiwa wahyi kinjia yake ubora ni kuelimisha hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu hapo kabla hajamtuma MUHAMMAD umdharaulie na alipochaguliwa ndo ikamalizika hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu na MUHAMMAD ni mtume na nabii wake...kwa sababu mola alijua wako majahilia watakaye mpinga kama ww
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold....alafu wasema kuwa aliowa mtoto wa miaka tisa maskini hujui mwili wa yule binti ulikuwaje na mwenyewe binti na wazazi wake karidhika lkn angekuwa anatamaa na binti mbona kaowa mke alomzidi umri khadija kabla ya kumuowa huyo binti umshangaae sahii, khadija mkubwa MUHAMMAD mdogo maa shaa Allah akampenda na kumienzi mpaka mkewe alipokufa ndo akamuowa Aisha akiwa balekh yake ya kwanza hapo patakuwaje na tamaa au ubakaji kama musemavyo hamfikirii kabisa ....mkate umewatoa ufahamu ili musimtambue MUHAMMAD
@ismaeldaprince47974 жыл бұрын
kazi ya daawa ni ngumu sana Allah akujaalie afya fildunia wal akhera na akujaalie mwisho mwema
@khadijakibwana52789 жыл бұрын
Ishaallah mwenyenzi mungu atakuzidishia kila la kheli amin
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
khadija kibwana amin
@mombasarahasa6814
4 жыл бұрын
@@omarhakizimanakishikbongo2186 kxkxkckcmvmcmzllllqppppppkvmvkkkk Llsvkrlgvkkkpwrimskw A Fkjfjkfsjhkgkf😮😈😐😈(/)/=/$/&(
Пікірлер: 217
Hio tukio lililokukuta ilikua mungu alitaka uweneze uislam jela na sio mateso.. allahu akbar pole sana
Long life Ustadh Mazinge
Mazinge nampenda sanasasa Allah amrinde ampe shifa na ushindi
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi masheikh wetu katika kupigania dini ya Allah inshaallah na mtalipwa yaliyo mema Inshallah Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah
Jazakllah khayra sheikh mazinge,,,, Allah awe nasi mpaka siku ya mwisho na Allah Atujalie mwisho mwema
inshaallah allah atatujaalia kheir na atafanya wepesi katika kulingania dini na inshaallah tutapata manufaa hapa duniani na kesho yaumul kiama
Nakupenda ostaz Mazinge kwa ajili ya Allah na mwenyez Mungu akupe nguvu na akujaze ujasiri uendee kutupa daawa.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
alhabb a, alaykm namuomba allah akufanyie wepsi katka kaz ya kufanya daawa.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
na ss allah atupe limi zenye kufahamika.
@mohdabdallah0127
3 жыл бұрын
katka kaz ya kufanya daawa.
mungu atujalie Sana tufe tukiwa waislam
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
MSTAFA HASSAN amin
@hassancharo6330
3 жыл бұрын
MSTAFA HASSANI AMIIINI
Allah akulinde na Shari na mashekhe wwnzako..kazi ya daawa iko na mitihani.. lakini insha'Allah Allah atafanya wepesi Kwa wanaotoa daawa
Aaaaaa mazinge unanimaliza uko vizuri Allah akulipe kila la kheri
Mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu Inshaallah
nakupenda ustadh Mazinge kwa ajili.ya Allah...Allah awazidishie masheikh wetu na atuongoze sote ndugu katika imani...ameen
@unknownuser-ek5id
8 жыл бұрын
Amin
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
ummu abdillahi aaamin
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
unknown user pindi nilivyokuwa primary school huu msamiati UNKNOWN kaka yangu aliandika kwenye mkanda wake basi nilijaribu kumuambia ili anipe maana yake hakunipa nami kipindi hicho nilikuwa na shauku ya kujua hii lugha ya English japo nilikuwa primary school nilihuzunika sana , nimeliona hili jina nimekumbuka hiki kisa
Mwenyezi mungu akusaidie Sana sheikh wangu
Mungu we2 akufanyie wepesi katika kila Jambo la duniani na haera amiiiiiiiii
@abdichokosh4578
3 жыл бұрын
Pia ww
Mazinge Allah subuana wA tahala akubaliki Sana huzidi kuwepo na kuwaongoa wanna wA adamu wamjue mungu wA kweli
Masha Allah beautifull qiira'a allahu akbar MA shehe wetu may Allah bless you all of you. Ustad habib mazinge walahi i love you for the sake of Allah mungu akozidhisheye cumri na ciibada nzuri
mashaa ALLAH Mungu awajaze kheyr sheikh mazinge na ndugu akasha
Wangapi wanaangalia hii mpaka leo mawaidha
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Mimi nipo hapa
@taturajabukhalfani7953
3 жыл бұрын
Mpaka mwisho tutabaki kiangalia inshallah!!
Masha allah prof mazinge mungu ampelke Jana na wenzake mashake wengine
Mashallah sheikh Mazinge hiki ni kipaji chake Mungu amemjaalia hikma ya kuongea sana hasa na makafiri.
Asante kazi long life sheikh love u big
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh .ninamuomba Allah akupe pepo yake (janatu filidaus)alafu nami pia tupakutanie tucangiye wote zaituni zahuko peponi, Allahum Amin ya Rabb
Mashaalah msomaji qur-an yaani mpk machozi yananitoka
mashallah Allah awalipe
Mashaallah Allah Akuzindishie mri Ameen
Mash Allah Allah akujali afya sheikh
sheikh mazinge Mungu akupe uzima n afya njema n akupe muongozo mwema inshallah
Mashallah mungu awabaliki san kwa ku2pa mawaidha ya Allah subuana wA tahala
IshaAllah Allah Yuko na wewe Shekh Mazinge...
Allah Akupe nguvu
MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA USTADH MAZINGE AKUZIDISHIE IMANI NA AFYA NJEMA UZIDI KUPIGANIA NIDI
Jazakallahu kher shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
Allah akulipe mazinge na wenzako kwa kuipigania dini ya Allah
Mazinge ww kiboko 👍
Allah atufishe tukiwa waislamu insha allah
duuh naikumbuka hiyo tulipigwa mabom ya machozi balaa taqbiriiiii
@bennymochiwa4800
4 жыл бұрын
Allah Akbar
Inshallah Allah atujalie waislamu duniani
Allah wakibar...kabisa mazinge nimusaidizi wa yesu we wafunga makanisa yesu atarudi angushamisalaba watu wasali kiisilamukama gisi inatufundisha coroan wallahi siku ikiisha bila kumusikiya mazinge wala masheikh sipatagi raha kabisa njo kanipa Allah iyo Alhamdulillah
@dusabearafatrwigema9248
Жыл бұрын
Mashallah
Laana ya Allah iwe juu yake mobutu
subhanallah !!! if u keep Allah first, u will always rise higher. may Allah protect u my beloved sheikh.
@mimah2543
3 жыл бұрын
MashaAllah.. Shkh nakupenda kwa ajili ya Allah.. Allah akupe ilmu zaidi na umri uzidi kuwazindua wasomjua Allah..
@shabanimohamedi2280
2 жыл бұрын
Inshaala
MashaAllah jadha ka Allah kheir shuq-ran
Mashallah kila la kher shekhe mazinge
Nakukubali sana Habibu mazinge MWENYEZI MUNGU AKUPE maisha marefu
subuhanna Allah uko bandundu ni hatar Allah wanusuru waijuwe haki
Sheh mazinge Allah mwenyewe najua garama ya malipoyako peponi🤲🤲🤲
Swalala nabii
mazinge mimi mkrsto ila nakupenda sana napenda mafundish yako sana sanaaa
@SalumAAbeid
6 жыл бұрын
Glory David "bila shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko wakati uliotangulia" Allah ukujaliee
@happyarooun6037
6 жыл бұрын
Alla akuongoze inshaalah uujue ukweli
@stevenngunzi419
6 жыл бұрын
Pia mimi ni mkristo lkni na mpenda mazinge sanaaaa
@stevenngunzi419
6 жыл бұрын
Mazingeeee,MUNGU na akuongeze ufahamu
@salehehassan1330
5 жыл бұрын
Karibu kwenye uislam hata usisite wala kua Na shaka
Allah atupe mwisho mwema
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
Happy Arooun amina baba
Mashallah mashallah mungu akulinde daima uishi miakaa mingi yenye fulaha maisha mwako
Allah wakbar
Mashaaalaaah
Mugu akupe afia akupe phepu maisha Niah mungu atupe mwichomwema tu
Mashallah mungu akuzidishie in shaalla
Subuana Allah
Safi sana
MASHA'ALLAH
Inshaallah Waislamu tuisome sana dini yetu tupate kuilewa na kumuabudu Allah kwa usahihi.
Sheikh mazinge baraka lwahu fii, allah akulipe kila lilo jema walahi, unaongea maneno mazito tena kwa hisia kubwa kama kuna binadamu mwenye akili zake timamu haelewi maneno haya kwa kweli ni mtihani mzito allah atuhifadhi waja wake, hakuna kwa kukumbilia zaidi ya kwake allah, yailahi nakuomba wahifadhi mashekhe wetu hawa zidi kuwajaalia afya ya mwili na akili, yaani mpaka naishiwa na maneno zaidi ya kuhisi simanzi na majonzi mwilini dunia si kitu jamani tutende mema tuondoke duniani salama tuendako ni kuzito sana ya ummat muhammad s.a.w
Takibiiiiiiiiiiiii
mi namuomba allah usife kabla ajanleta kama wewe inshallah..from mozambique nakupenda bule kw a ajili ya allah
Twakuombea. Kila Kheeri. Na. Akupe. Afya. Njema. Na. Akulinde. Na. Kila. La. Shari. Ww. Na. Ndugu. Zetu. Wanao Kwenda. Kusema. Neno. La. ALLAH. AMIN
@mimah2543
3 жыл бұрын
ثم امين
amiin
Daaa mungu yupo na waislamu wote
Hatar sana shekhe wangu kazi nzur
Maanshaallah
Allah Akulind Ulip Nakupend Kwaajil Ya Allah
Mazinge Kila Siku Namsikiliza Kupata Maneno Ya Kujidai Na Uislamu Wangu dhidi ya maqafili
Mungu atakulipa
Jamani nitawezaje kuisaidia daawa na kiongea na ustadh mazinge
@Mnoo_
5 жыл бұрын
Abdi Mohamed mashallah
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
I. Mohamed Ali mungu akuongezee
mashaAllah
mashallah mola awazidishie
@abu_AZOZ
7 жыл бұрын
nimekuelewa mazinge
Shukrani
Allah huakbar.
Mnafanya kazi nzito kabisa malipo nikwa Allah inshaallah
Mashallah
Long life sheik
Allah akupe umri mrefu
Amani iwe kwetu, prof Mazinge,, mbona sielewi unavoweka vidole vyako?? .Allah akujalie kheri wewe na waislaam waumin.Aaamiin
Asalaama alikum w w! Chekh Mazinge naomba number yako plz!
@1nesoch
3 жыл бұрын
+255 689 570278 +255 713 279980 +255 767 279980 Hizo numbers nimezitowa kunanako KZread.
Allahu akbar
nakupenda sana
Asante kwa shekhe
@user-ee8hq1bg5l
7 жыл бұрын
athumani hussein
Mashaallah
@rahmahrahmah6683
5 жыл бұрын
Ma sha Allah
God sana
Dawa safi kwanini huwezi kudowload
@user-ee8hq1bg5l
7 жыл бұрын
Hosseni Muhidini
@stevewanga957
6 жыл бұрын
Hosseni M. Athumani tumia tubemate
@rahmatumam357
5 жыл бұрын
U can download using mp 3 juice
Maisha marefu sheikh
Shekhe mazinge hupenda sauti yake
Haya wakristo swali hhilo mbona mwaowa na yesu hakuowa???🤨🤔
mabela oyeeeeh ningejua kweli
Alhamndulillah, jamani naomba mwenye namba ya huyu Shekhe wetu kipenzi anisaidie
@1nesoch
3 жыл бұрын
+255 689 570278 +255 713 279980 +255 767 279980 Hizo numbers nimezitowa kunanako KZread.
Mbona mkifa mwazikwa hampai mbinguni...😁🥵🥵yesu alipaa..kazi mnayo😳🤐
@rajabunyambi6254
3 жыл бұрын
Asalam alaykum ndug yang mwislam
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Waalaikum ssalam warahmattullah wabarakatuh 🙏
Natami usimalizi mawaiza
MWANZA NA SUMBAWANGA NA WARABU KAMA MCHANGA
26
Shekh iyooo bayat ( nimekubali) nirushie nyingne kama unazote mwalimu wasap+905445405920
@abdulazizmwipi9750
3 жыл бұрын
Kapita njia ya mustafa Ismail na Ahmad mustafa kamil
FFU FANYA FUJO UONE
Sikupendi mazinge kwa ajili ya kuwapotosha watu ukwel wewe unaujia ila kiburi tu chakutaka kuangamiza roho za watu
@marymmarym3914
3 жыл бұрын
Wewe usompenda mazinge huna akili
@allanothuman2941
3 жыл бұрын
😥😥😥😥
@allanothuman2941
3 жыл бұрын
Umerogwa ww
Mazinge wewe kiboko Yako ni yohana omary alikutandika vibaya mno ukashindwa kuonesha wapi imeandikwa Mohammed amepewa utume, waislamu amkeni Mohammed mwenyewe alikuwa hajui kusoma wala kuandika,alafu Mohammed alimuoa binti wa miaka 9, waislamu amkeni kitabu Cha quran hakina spiritual powers
@festokimath2245
5 жыл бұрын
Nicheki kwa # hizi 0746469479
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold...mpumbavu ni ww unae mtukana nabii ambae hawapi nyie usingizi majahilia MUHAMMAD katajwa na kateremshiwa Qur'an ww uliteremshiwa nn....ushalishwa mkate mikavu ndo maana huwezi kumuamini
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold...kawa kibaka kwa sababu ww ndo ulomfanya kuwa kibaka maana hatakubali ukejeli na kumtusi mungu wake sasa watu kama ww ndo alikuwa hawaachi kiholela alete upuzi kwenye dini anakushughulikia tu kwa maneno au ukimjia vibaya anakumalizia kwa vitendo jahilia ni jahilia tu mikate mikavu hayaja muacha mtu salama
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold....hiyo kutojuwa kusoma wala kuandika ndio ilikuwa moja wa wahyi yake kwani mungu alikuwa hajui kama yuwatumana kwa mtu asie jua kusoma wala kuandika?au ulifikiri wahyi wake utakuja kama manabii walopita kila nabii kateremshiwa wahyi kinjia yake ubora ni kuelimisha hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu hapo kabla hajamtuma MUHAMMAD umdharaulie na alipochaguliwa ndo ikamalizika hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu na MUHAMMAD ni mtume na nabii wake...kwa sababu mola alijua wako majahilia watakaye mpinga kama ww
@mishyyusuph3288
5 жыл бұрын
Frank Anold....alafu wasema kuwa aliowa mtoto wa miaka tisa maskini hujui mwili wa yule binti ulikuwaje na mwenyewe binti na wazazi wake karidhika lkn angekuwa anatamaa na binti mbona kaowa mke alomzidi umri khadija kabla ya kumuowa huyo binti umshangaae sahii, khadija mkubwa MUHAMMAD mdogo maa shaa Allah akampenda na kumienzi mpaka mkewe alipokufa ndo akamuowa Aisha akiwa balekh yake ya kwanza hapo patakuwaje na tamaa au ubakaji kama musemavyo hamfikirii kabisa ....mkate umewatoa ufahamu ili musimtambue MUHAMMAD
kazi ya daawa ni ngumu sana Allah akujaalie afya fildunia wal akhera na akujaalie mwisho mwema
Ishaallah mwenyenzi mungu atakuzidishia kila la kheli amin
@omarhakizimanakishikbongo2186
5 жыл бұрын
khadija kibwana amin
@mombasarahasa6814
4 жыл бұрын
@@omarhakizimanakishikbongo2186 kxkxkckcmvmcmzllllqppppppkvmvkkkk Llsvkrlgvkkkpwrimskw A Fkjfjkfsjhkgkf😮😈😐😈(/)/=/$/&(