HABIB MAZINGE MITIHANI WAHUBIRI TUNAYO PATANA NAYO bondeni mombasa

AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082

Пікірлер: 217

  • @alee4252
    @alee42524 жыл бұрын

    Hio tukio lililokukuta ilikua mungu alitaka uweneze uislam jela na sio mateso.. allahu akbar pole sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga9576 жыл бұрын

    Long life Ustadh Mazinge

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo21865 жыл бұрын

    Mazinge nampenda sanasasa Allah amrinde ampe shifa na ushindi

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49334 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi masheikh wetu katika kupigania dini ya Allah inshaallah na mtalipwa yaliyo mema Inshallah Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @zuberiismail6713
    @zuberiismail67135 жыл бұрын

    Jazakllah khayra sheikh mazinge,,,, Allah awe nasi mpaka siku ya mwisho na Allah Atujalie mwisho mwema

  • @issaally9806
    @issaally98067 жыл бұрын

    inshaallah allah atatujaalia kheir na atafanya wepesi katika kulingania dini na inshaallah tutapata manufaa hapa duniani na kesho yaumul kiama

  • @zainabmsuya7022
    @zainabmsuya70225 жыл бұрын

    Nakupenda ostaz Mazinge kwa ajili ya Allah na mwenyez Mungu akupe nguvu na akujaze ujasiri uendee kutupa daawa.

  • @mohdabdallah0127

    @mohdabdallah0127

    3 жыл бұрын

    alhabb a, alaykm namuomba allah akufanyie wepsi katka kaz ya kufanya daawa.

  • @mohdabdallah0127

    @mohdabdallah0127

    3 жыл бұрын

    na ss allah atupe limi zenye kufahamika.

  • @mohdabdallah0127

    @mohdabdallah0127

    3 жыл бұрын

    katka kaz ya kufanya daawa.

  • @mstafahassan3989
    @mstafahassan39895 жыл бұрын

    mungu atujalie Sana tufe tukiwa waislam

  • @omarhakizimanakishikbongo2186

    @omarhakizimanakishikbongo2186

    5 жыл бұрын

    MSTAFA HASSAN amin

  • @hassancharo6330

    @hassancharo6330

    3 жыл бұрын

    MSTAFA HASSANI AMIIINI

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe96493 жыл бұрын

    Allah akulinde na Shari na mashekhe wwnzako..kazi ya daawa iko na mitihani.. lakini insha'Allah Allah atafanya wepesi Kwa wanaotoa daawa

  • @alisharif570
    @alisharif5704 жыл бұрын

    Aaaaaa mazinge unanimaliza uko vizuri Allah akulipe kila la kheri

  • @kudramzee1475
    @kudramzee14754 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu Inshaallah

  • @ummuabdillahi5195
    @ummuabdillahi51958 жыл бұрын

    nakupenda ustadh Mazinge kwa ajili.ya Allah...Allah awazidishie masheikh wetu na atuongoze sote ndugu katika imani...ameen

  • @unknownuser-ek5id

    @unknownuser-ek5id

    8 жыл бұрын

    Amin

  • @othmanabdallah1948

    @othmanabdallah1948

    7 жыл бұрын

    ummu abdillahi aaamin

  • @othmanabdallah1948

    @othmanabdallah1948

    7 жыл бұрын

    unknown user pindi nilivyokuwa primary school huu msamiati UNKNOWN kaka yangu aliandika kwenye mkanda wake basi nilijaribu kumuambia ili anipe maana yake hakunipa nami kipindi hicho nilikuwa na shauku ya kujua hii lugha ya English japo nilikuwa primary school nilihuzunika sana , nimeliona hili jina nimekumbuka hiki kisa

  • @masssjasscard9147
    @masssjasscard91475 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akusaidie Sana sheikh wangu

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mungu we2 akufanyie wepesi katika kila Jambo la duniani na haera amiiiiiiiii

  • @abdichokosh4578

    @abdichokosh4578

    3 жыл бұрын

    Pia ww

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mazinge Allah subuana wA tahala akubaliki Sana huzidi kuwepo na kuwaongoa wanna wA adamu wamjue mungu wA kweli

  • @smartlady7172
    @smartlady71728 жыл бұрын

    Masha Allah beautifull qiira'a allahu akbar MA shehe wetu may Allah bless you all of you. Ustad habib mazinge walahi i love you for the sake of Allah mungu akozidhisheye cumri na ciibada nzuri

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan86538 жыл бұрын

    mashaa ALLAH Mungu awajaze kheyr sheikh mazinge na ndugu akasha

  • @kudramzee4638
    @kudramzee46383 жыл бұрын

    Wangapi wanaangalia hii mpaka leo mawaidha

  • @sweetmeena5970

    @sweetmeena5970

    3 жыл бұрын

    Mimi nipo hapa

  • @taturajabukhalfani7953

    @taturajabukhalfani7953

    3 жыл бұрын

    Mpaka mwisho tutabaki kiangalia inshallah!!

  • @adankabaye8918
    @adankabaye89184 жыл бұрын

    Masha allah prof mazinge mungu ampelke Jana na wenzake mashake wengine

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena59703 жыл бұрын

    Mashallah sheikh Mazinge hiki ni kipaji chake Mungu amemjaalia hikma ya kuongea sana hasa na makafiri.

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe42743 жыл бұрын

    Asante kazi long life sheikh love u big

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz72114 жыл бұрын

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh .ninamuomba Allah akupe pepo yake (janatu filidaus)alafu nami pia tupakutanie tucangiye wote zaituni zahuko peponi, Allahum Amin ya Rabb

  • @khamisbakari5772
    @khamisbakari57724 жыл бұрын

    Mashaalah msomaji qur-an yaani mpk machozi yananitoka

  • @aboubakarsalym131
    @aboubakarsalym1318 жыл бұрын

    mashallah Allah awalipe

  • @eeg5485
    @eeg54858 жыл бұрын

    Mashaallah Allah Akuzindishie mri Ameen

  • @meymunaabdi4437
    @meymunaabdi44375 жыл бұрын

    Mash Allah Allah akujali afya sheikh

  • @aishaaisha9636
    @aishaaisha96362 жыл бұрын

    sheikh mazinge Mungu akupe uzima n afya njema n akupe muongozo mwema inshallah

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mashallah mungu awabaliki san kwa ku2pa mawaidha ya Allah subuana wA tahala

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo24514 жыл бұрын

    IshaAllah Allah Yuko na wewe Shekh Mazinge...

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya92854 жыл бұрын

    Allah Akupe nguvu

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq3 жыл бұрын

    MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA USTADH MAZINGE AKUZIDISHIE IMANI NA AFYA NJEMA UZIDI KUPIGANIA NIDI

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Jazakallahu kher shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @issmuking3987
    @issmuking39873 жыл бұрын

    Allah akulipe mazinge na wenzako kwa kuipigania dini ya Allah

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman4 жыл бұрын

    Mazinge ww kiboko 👍

  • @husseinmongolare1661
    @husseinmongolare16613 жыл бұрын

    Allah atufishe tukiwa waislamu insha allah

  • @queenramadhan2293
    @queenramadhan22937 жыл бұрын

    duuh naikumbuka hiyo tulipigwa mabom ya machozi balaa taqbiriiiii

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    4 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @mathewsodiambo5761
    @mathewsodiambo57614 жыл бұрын

    Inshallah Allah atujalie waislamu duniani

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Allah wakibar...kabisa mazinge nimusaidizi wa yesu we wafunga makanisa yesu atarudi angushamisalaba watu wasali kiisilamukama gisi inatufundisha coroan wallahi siku ikiisha bila kumusikiya mazinge wala masheikh sipatagi raha kabisa njo kanipa Allah iyo Alhamdulillah

  • @dusabearafatrwigema9248

    @dusabearafatrwigema9248

    Жыл бұрын

    Mashallah

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji15663 жыл бұрын

    Laana ya Allah iwe juu yake mobutu

  • @salmaathman1973
    @salmaathman19738 жыл бұрын

    subhanallah !!! if u keep Allah first, u will always rise higher. may Allah protect u my beloved sheikh.

  • @mimah2543

    @mimah2543

    3 жыл бұрын

    MashaAllah.. Shkh nakupenda kwa ajili ya Allah.. Allah akupe ilmu zaidi na umri uzidi kuwazindua wasomjua Allah..

  • @shabanimohamedi2280

    @shabanimohamedi2280

    2 жыл бұрын

    Inshaala

  • @razansalim532
    @razansalim5324 жыл бұрын

    MashaAllah jadha ka Allah kheir shuq-ran

  • @nattysuleimani3783
    @nattysuleimani37835 жыл бұрын

    Mashallah kila la kher shekhe mazinge

  • @kudramzee4638
    @kudramzee46383 жыл бұрын

    Nakukubali sana Habibu mazinge MWENYEZI MUNGU AKUPE maisha marefu

  • @kassimukuambiana3724
    @kassimukuambiana37244 жыл бұрын

    subuhanna Allah uko bandundu ni hatar Allah wanusuru waijuwe haki

  • @yusufukasereka1082
    @yusufukasereka1082 Жыл бұрын

    Sheh mazinge Allah mwenyewe najua garama ya malipoyako peponi🤲🤲🤲

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Swalala nabii

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid2486 жыл бұрын

    mazinge mimi mkrsto ila nakupenda sana napenda mafundish yako sana sanaaa

  • @SalumAAbeid

    @SalumAAbeid

    6 жыл бұрын

    Glory David "bila shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko wakati uliotangulia" Allah ukujaliee

  • @happyarooun6037

    @happyarooun6037

    6 жыл бұрын

    Alla akuongoze inshaalah uujue ukweli

  • @stevenngunzi419

    @stevenngunzi419

    6 жыл бұрын

    Pia mimi ni mkristo lkni na mpenda mazinge sanaaaa

  • @stevenngunzi419

    @stevenngunzi419

    6 жыл бұрын

    Mazingeeee,MUNGU na akuongeze ufahamu

  • @salehehassan1330

    @salehehassan1330

    5 жыл бұрын

    Karibu kwenye uislam hata usisite wala kua Na shaka

  • @happyarooun6037
    @happyarooun60376 жыл бұрын

    Allah atupe mwisho mwema

  • @omarhakizimanakishikbongo2186

    @omarhakizimanakishikbongo2186

    5 жыл бұрын

    Happy Arooun amina baba

  • @sayleewaprocesse217
    @sayleewaprocesse2173 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mungu akulinde daima uishi miakaa mingi yenye fulaha maisha mwako

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Allah wakbar

  • @salmajuma4015
    @salmajuma40155 жыл бұрын

    Mashaaalaaah

  • @ramahdanndayishimiye4706
    @ramahdanndayishimiye47063 жыл бұрын

    Mugu akupe afia akupe phepu maisha Niah mungu atupe mwichomwema tu

  • @haaigood
    @haaigood Жыл бұрын

    Mashallah mungu akuzidishie in shaalla

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Subuana Allah

  • @mbarukrashid3338
    @mbarukrashid33386 жыл бұрын

    Safi sana

  • @mzeesalum4432
    @mzeesalum44324 жыл бұрын

    MASHA'ALLAH

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed47683 жыл бұрын

    Inshaallah Waislamu tuisome sana dini yetu tupate kuilewa na kumuabudu Allah kwa usahihi.

  • @ayanaamri3584
    @ayanaamri35844 жыл бұрын

    Sheikh mazinge baraka lwahu fii, allah akulipe kila lilo jema walahi, unaongea maneno mazito tena kwa hisia kubwa kama kuna binadamu mwenye akili zake timamu haelewi maneno haya kwa kweli ni mtihani mzito allah atuhifadhi waja wake, hakuna kwa kukumbilia zaidi ya kwake allah, yailahi nakuomba wahifadhi mashekhe wetu hawa zidi kuwajaalia afya ya mwili na akili, yaani mpaka naishiwa na maneno zaidi ya kuhisi simanzi na majonzi mwilini dunia si kitu jamani tutende mema tuondoke duniani salama tuendako ni kuzito sana ya ummat muhammad s.a.w

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Takibiiiiiiiiiiiii

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23183 жыл бұрын

    mi namuomba allah usife kabla ajanleta kama wewe inshallah..from mozambique nakupenda bule kw a ajili ya allah

  • @user-bi4um8cn2u
    @user-bi4um8cn2u3 жыл бұрын

    Twakuombea. Kila Kheeri. Na. Akupe. Afya. Njema. Na. Akulinde. Na. Kila. La. Shari. Ww. Na. Ndugu. Zetu. Wanao Kwenda. Kusema. Neno. La. ALLAH. AMIN

  • @mimah2543

    @mimah2543

    3 жыл бұрын

    ثم امين

  • @naimasharif294
    @naimasharif2948 жыл бұрын

    amiin

  • @mwanaidihassan665
    @mwanaidihassan6654 жыл бұрын

    Daaa mungu yupo na waislamu wote

  • @abuukhan2127
    @abuukhan21273 жыл бұрын

    Hatar sana shekhe wangu kazi nzur

  • @nzeyimanashukrani3425
    @nzeyimanashukrani34253 жыл бұрын

    Maanshaallah

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын

    Allah Akulind Ulip Nakupend Kwaajil Ya Allah

  • @supereagletv2881
    @supereagletv28813 жыл бұрын

    Mazinge Kila Siku Namsikiliza Kupata Maneno Ya Kujidai Na Uislamu Wangu dhidi ya maqafili

  • @saidyhasshim2373
    @saidyhasshim23737 жыл бұрын

    Mungu atakulipa

  • @abdiali224
    @abdiali2245 жыл бұрын

    Jamani nitawezaje kuisaidia daawa na kiongea na ustadh mazinge

  • @Mnoo_

    @Mnoo_

    5 жыл бұрын

    Abdi Mohamed mashallah

  • @omarhakizimanakishikbongo2186

    @omarhakizimanakishikbongo2186

    5 жыл бұрын

    I. Mohamed Ali mungu akuongezee

  • @hassancharo1496
    @hassancharo14967 жыл бұрын

    mashaAllah

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari5458 жыл бұрын

    mashallah mola awazidishie

  • @abu_AZOZ

    @abu_AZOZ

    7 жыл бұрын

    nimekuelewa mazinge

  • @husseinmongolare1661
    @husseinmongolare16613 жыл бұрын

    Shukrani

  • @teflonloya228
    @teflonloya2284 жыл бұрын

    Allah huakbar.

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz72114 жыл бұрын

    Mnafanya kazi nzito kabisa malipo nikwa Allah inshaallah

  • @mordally
    @mordally7 жыл бұрын

    Mashallah

  • @alikapashi6650
    @alikapashi66502 жыл бұрын

    Long life sheik

  • @saumuseif9189
    @saumuseif91893 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu

  • @nurudinamchome6852
    @nurudinamchome68524 жыл бұрын

    Amani iwe kwetu, prof Mazinge,, mbona sielewi unavoweka vidole vyako?? .Allah akujalie kheri wewe na waislaam waumin.Aaamiin

  • @aminamukantabana8241
    @aminamukantabana82414 жыл бұрын

    Asalaama alikum w w! Chekh Mazinge naomba number yako plz!

  • @1nesoch

    @1nesoch

    3 жыл бұрын

    +255 689 570278 +255 713 279980 +255 767 279980 Hizo numbers nimezitowa kunanako KZread.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @nadimmebu4575
    @nadimmebu45756 жыл бұрын

    nakupenda sana

  • @MrManchoso
    @MrManchoso8 жыл бұрын

    Asante kwa shekhe

  • @user-ee8hq1bg5l

    @user-ee8hq1bg5l

    7 жыл бұрын

    athumani hussein

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha75057 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @rahmahrahmah6683

    @rahmahrahmah6683

    5 жыл бұрын

    Ma sha Allah

  • @suleymansele9291
    @suleymansele92913 жыл бұрын

    God sana

  • @hossenim.athumani7090
    @hossenim.athumani70909 жыл бұрын

    Dawa safi kwanini huwezi kudowload

  • @user-ee8hq1bg5l

    @user-ee8hq1bg5l

    7 жыл бұрын

    Hosseni Muhidini

  • @stevewanga957

    @stevewanga957

    6 жыл бұрын

    Hosseni M. Athumani tumia tubemate

  • @rahmatumam357

    @rahmatumam357

    5 жыл бұрын

    U can download using mp 3 juice

  • @alicesamson6316
    @alicesamson63163 жыл бұрын

    Maisha marefu sheikh

  • @hassammohammed5046
    @hassammohammed50463 жыл бұрын

    Shekhe mazinge hupenda sauti yake

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis77313 жыл бұрын

    Haya wakristo swali hhilo mbona mwaowa na yesu hakuowa???🤨🤔

  • @hassansalum8496
    @hassansalum84967 жыл бұрын

    mabela oyeeeeh ningejua kweli

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe80834 жыл бұрын

    Alhamndulillah, jamani naomba mwenye namba ya huyu Shekhe wetu kipenzi anisaidie

  • @1nesoch

    @1nesoch

    3 жыл бұрын

    +255 689 570278 +255 713 279980 +255 767 279980 Hizo numbers nimezitowa kunanako KZread.

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis77313 жыл бұрын

    Mbona mkifa mwazikwa hampai mbinguni...😁🥵🥵yesu alipaa..kazi mnayo😳🤐

  • @rajabunyambi6254

    @rajabunyambi6254

    3 жыл бұрын

    Asalam alaykum ndug yang mwislam

  • @sabrinakhamis7731

    @sabrinakhamis7731

    3 жыл бұрын

    Waalaikum ssalam warahmattullah wabarakatuh 🙏

  • @aishahamissi3775
    @aishahamissi37753 жыл бұрын

    Natami usimalizi mawaiza

  • @asilclub
    @asilclub2 жыл бұрын

    MWANZA NA SUMBAWANGA NA WARABU KAMA MCHANGA

  • @fahadsaid1418
    @fahadsaid14183 жыл бұрын

    26

  • @klcozgur5715
    @klcozgur57156 жыл бұрын

    Shekh iyooo bayat ( nimekubali) nirushie nyingne kama unazote mwalimu wasap+905445405920

  • @abdulazizmwipi9750

    @abdulazizmwipi9750

    3 жыл бұрын

    Kapita njia ya mustafa Ismail na Ahmad mustafa kamil

  • @asilclub
    @asilclub2 жыл бұрын

    FFU FANYA FUJO UONE

  • @beatricezacharia4313
    @beatricezacharia43134 жыл бұрын

    Sikupendi mazinge kwa ajili ya kuwapotosha watu ukwel wewe unaujia ila kiburi tu chakutaka kuangamiza roho za watu

  • @marymmarym3914

    @marymmarym3914

    3 жыл бұрын

    Wewe usompenda mazinge huna akili

  • @allanothuman2941

    @allanothuman2941

    3 жыл бұрын

    😥😥😥😥

  • @allanothuman2941

    @allanothuman2941

    3 жыл бұрын

    Umerogwa ww

  • @frankanold9803
    @frankanold98035 жыл бұрын

    Mazinge wewe kiboko Yako ni yohana omary alikutandika vibaya mno ukashindwa kuonesha wapi imeandikwa Mohammed amepewa utume, waislamu amkeni Mohammed mwenyewe alikuwa hajui kusoma wala kuandika,alafu Mohammed alimuoa binti wa miaka 9, waislamu amkeni kitabu Cha quran hakina spiritual powers

  • @festokimath2245

    @festokimath2245

    5 жыл бұрын

    Nicheki kwa # hizi 0746469479

  • @mishyyusuph3288

    @mishyyusuph3288

    5 жыл бұрын

    Frank Anold...mpumbavu ni ww unae mtukana nabii ambae hawapi nyie usingizi majahilia MUHAMMAD katajwa na kateremshiwa Qur'an ww uliteremshiwa nn....ushalishwa mkate mikavu ndo maana huwezi kumuamini

  • @mishyyusuph3288

    @mishyyusuph3288

    5 жыл бұрын

    Frank Anold...kawa kibaka kwa sababu ww ndo ulomfanya kuwa kibaka maana hatakubali ukejeli na kumtusi mungu wake sasa watu kama ww ndo alikuwa hawaachi kiholela alete upuzi kwenye dini anakushughulikia tu kwa maneno au ukimjia vibaya anakumalizia kwa vitendo jahilia ni jahilia tu mikate mikavu hayaja muacha mtu salama

  • @mishyyusuph3288

    @mishyyusuph3288

    5 жыл бұрын

    Frank Anold....hiyo kutojuwa kusoma wala kuandika ndio ilikuwa moja wa wahyi yake kwani mungu alikuwa hajui kama yuwatumana kwa mtu asie jua kusoma wala kuandika?au ulifikiri wahyi wake utakuja kama manabii walopita kila nabii kateremshiwa wahyi kinjia yake ubora ni kuelimisha hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu hapo kabla hajamtuma MUHAMMAD umdharaulie na alipochaguliwa ndo ikamalizika hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mungu na MUHAMMAD ni mtume na nabii wake...kwa sababu mola alijua wako majahilia watakaye mpinga kama ww

  • @mishyyusuph3288

    @mishyyusuph3288

    5 жыл бұрын

    Frank Anold....alafu wasema kuwa aliowa mtoto wa miaka tisa maskini hujui mwili wa yule binti ulikuwaje na mwenyewe binti na wazazi wake karidhika lkn angekuwa anatamaa na binti mbona kaowa mke alomzidi umri khadija kabla ya kumuowa huyo binti umshangaae sahii, khadija mkubwa MUHAMMAD mdogo maa shaa Allah akampenda na kumienzi mpaka mkewe alipokufa ndo akamuowa Aisha akiwa balekh yake ya kwanza hapo patakuwaje na tamaa au ubakaji kama musemavyo hamfikirii kabisa ....mkate umewatoa ufahamu ili musimtambue MUHAMMAD

  • @ismaeldaprince4797
    @ismaeldaprince47974 жыл бұрын

    kazi ya daawa ni ngumu sana Allah akujaalie afya fildunia wal akhera na akujaalie mwisho mwema

  • @khadijakibwana5278
    @khadijakibwana52789 жыл бұрын

    Ishaallah mwenyenzi mungu atakuzidishia kila la kheli amin

  • @omarhakizimanakishikbongo2186

    @omarhakizimanakishikbongo2186

    5 жыл бұрын

    khadija kibwana amin

  • @mombasarahasa6814

    @mombasarahasa6814

    4 жыл бұрын

    @@omarhakizimanakishikbongo2186 kxkxkckcmvmcmzllllqppppppkvmvkkkk Llsvkrlgvkkkpwrimskw A Fkjfjkfsjhkgkf😮😈😐😈(/)/=/$/&(