HABIB MAZINGE UISLAM KATIKA VITABU VYA KALE 4

AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082
KWA WALE WANAOISHI NNCHI ZA MBALI TAFADHALI TUWASILIANE KUPITIA #viber free calling

Пікірлер: 170

  • @adamsalim8639
    @adamsalim86394 жыл бұрын

    Yaa Allah atuajalie tuwe na mwisho mwema inshaallah mwenyez akuajalie maisha marefu uzidi kuitukuza dini yake

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi42185 жыл бұрын

    Aslmalkm ndngu waislam ??? Haki sheikh Mazinge InshaAllah Allah hakueke uzidi kutuelimisha

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo21865 жыл бұрын

    Nakupenda sana mazinge

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18054 жыл бұрын

    Allahu Akbar. She Mazinge Allah wakupe Afya njema na maisha mazuri.Ili uwape makafiri UKWELI.

  • @hemedisaid5949
    @hemedisaid59496 жыл бұрын

    Allhamdulillahi,natamani siku moja niwe mwanafunzi wa Habib Mazinge ili nifanye kazi kwa ajiri ya Allah!!

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid83815 жыл бұрын

    Maa sha Allah shekh mazinge Allah akuongoze ktk kheri pamoja na cc pia

  • @allykango9440
    @allykango94404 жыл бұрын

    Masha Allah Shekhe Mazinge Allah akuweke miaka mingi hakika waitendea haki dini yetu Allah atujaalie elimu na Nia kusudi la kutangaza Dini

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan86538 жыл бұрын

    mashaa ALLAH kila kitu kiko wazi makafiri wanabisha tu

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38265 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mazinge

  • @jhayparism1152
    @jhayparism11524 жыл бұрын

    Ustadh Mazinge Mwenyezi Mungu akulinde na azidi kukujaalia Uhai ili uendelee kuitetea Dini ya haki Dini ya Mwenyezi Mungu Islam...

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Penda sana shekhe maxinge from dubai

  • @kadilisaidi9807
    @kadilisaidi98075 жыл бұрын

    Professor Professional

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Nakupenda shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe kher inshallah na akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mashallah mungu awabaliki san inshallah

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv39987 жыл бұрын

    You are notable person in Islam, Jazaakallahu khayran Allah akufanyie wepesi sheikh wangu

  • @khalfanhamisi4218

    @khalfanhamisi4218

    5 жыл бұрын

    aslmalkm ndugu waislam??? Jazzakahallahu khayram,

  • @rahmatumam357
    @rahmatumam3575 жыл бұрын

    Anaitwa ustadh mazinge mzee wa shortcut

  • @albertpike6208
    @albertpike62084 жыл бұрын

    Sichoki kutazama clip za Mazinge he's one of my inspiration in da 'wa

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid70405 жыл бұрын

    Mungu akupe afia ameen thuma ameen

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13224 жыл бұрын

    MaashaaAllah Allah akujalie

  • @adanharon1297
    @adanharon12976 жыл бұрын

    mashallah Shiek mazinge mungu akuzidishie in shall Allah

  • @rashidimoshi8417

    @rashidimoshi8417

    6 жыл бұрын

    mazing mungu akusaidie sana

  • @sidisaid4833

    @sidisaid4833

    6 жыл бұрын

    adan haron mashallah

  • @mstafaassan4707

    @mstafaassan4707

    6 жыл бұрын

    mungu akubariki sana mazing insha allah

  • @user-xc8wn3fb4z

    @user-xc8wn3fb4z

    6 жыл бұрын

    Masha Allah Mungu akupe wepesi shekhe watu

  • @bakarihassan6718
    @bakarihassan67186 жыл бұрын

    Mashallah mungu akupe maishaalef shekh mazinge

  • @steventitus2174

    @steventitus2174

    5 жыл бұрын

    Mungu ampe maisha uyu mpumbavu kafiri mkubwa uyu

  • @eliudidamasi514

    @eliudidamasi514

    5 жыл бұрын

    Steven Titus ee mungu ampe maixha marefu inxhaallah

  • @zainabzanzibar1518
    @zainabzanzibar15187 жыл бұрын

    Mashaa Allah Shekhe Mazinge tunakuelewa kwa ufafanuzi wako

  • @noahwamalwa4385

    @noahwamalwa4385

    3 жыл бұрын

    kwa Wakristo Mungu ni mmoja lakini hujidhihirisha kama Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Mfano karibu na huu ni kama vile mvuke(vapour), barafu(ice) na hata unyevunyevu(liquid) yote ni maji hata yaweza kuwa kitu kimoja Ile wanasayansi wanaita "TRIPLE point of water". Msalabani Yesu (Mwana) alimuomba Mungu Baba. Kwani kunashida ipi?. Wewe nijibu kuhusu Mohammed kubusu jiwe jeusi na kumnajisi Binti wa miaka 9 tu

  • @zainabomar5512
    @zainabomar55125 жыл бұрын

    Nakuombea mqzinge mng akupe umri mref

  • @yesusimungu404
    @yesusimungu4047 жыл бұрын

    Napenda saaana Sheikh Mazinge

  • @hajimakame620
    @hajimakame6205 жыл бұрын

    Mshaalllah

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha75057 жыл бұрын

    Mashallah

  • @khamisrashid4646
    @khamisrashid46464 жыл бұрын

    mashallah

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 жыл бұрын

    Maashaallah professional mazinge

  • @mstafahassan3989
    @mstafahassan39895 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @welsonlameckdodere4277
    @welsonlameckdodere42774 жыл бұрын

    Isa hakufa msalabani, lakini Yesu ambaye ndiye ufufuo na uzima yeye mwenyewe alithibitisha mbele ya Thomasi kuwa alikufa msalabani!!(Luk.24:25-27;44--46)

  • @MoherZO

    @MoherZO

    3 жыл бұрын

    Luk hakuelewa kilichotokea

  • @ibrahimomary7434

    @ibrahimomary7434

    3 жыл бұрын

    Maixh bila yes ni xawa na Dela bila mtandio

  • @asinakassim1548
    @asinakassim15487 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @mayahashim5688
    @mayahashim56885 жыл бұрын

    Wakristo POV la nn sasa leten ukweli kam anadangany

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 Жыл бұрын

    Yani ww mazinge mungu akuweke adi uzeeni inshara

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb5 жыл бұрын

    MashaAllah,

  • @yusufsong9158
    @yusufsong91583 жыл бұрын

    Sasa nashangaa makafiri wanasema anawadanganya uyo padre wako anachemka akikutana na Mazinge yote anaongea kweli aya siku ya uzinifu pasaka vyote kaongea kweli

  • @petromachanga29
    @petromachanga294 жыл бұрын

    Wewe ni wakala wa shetan yaan Allah subhana wataala

  • @amalzahor5865
    @amalzahor58657 жыл бұрын

    ماشاءالله

  • @saidswalehe383

    @saidswalehe383

    5 жыл бұрын

    alhamdu Lilah alah aulinde uislamu

  • @ishmailsaiyore7873
    @ishmailsaiyore78732 жыл бұрын

    Mashehe pongezi inshallah

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Жыл бұрын

    Mashalla

  • @yusufsong9158
    @yusufsong91583 жыл бұрын

    Tatizo wakristo wanadanganywa mpaka wanakufa na motoni wanaingia

  • @johnjunior5339
    @johnjunior53395 жыл бұрын

    If you see Muslims attacking Paul it's because when you try to bring Muhammad after Jesus it doesn't add up.when you try to say that Jesus promised that he would send a helper, Paul comes before Mohamed but they want Mohamed to be after immediately after Jesus.(even though the helper is holy spirit)

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi42185 жыл бұрын

    aslmalkm ndugu waislam?? Allah Akbar' Allah Akbar' Allah' Akbar!!!......

  • @asinatjuma8088
    @asinatjuma80884 жыл бұрын

    MashaAllah jadha ka Allah kheir

  • @omarmukhutar6847
    @omarmukhutar68474 жыл бұрын

    Uongo za mazinge !!!!dahh!!!

  • @ibrahimomary7434

    @ibrahimomary7434

    3 жыл бұрын

    Umeonae

  • @gansoanmomusic1454
    @gansoanmomusic14544 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10742 жыл бұрын

    Jibu swali Acha janja janja mazinge huu ni msiba

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    oman

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Hapa kama Oman

  • @yusufsong9158
    @yusufsong91583 жыл бұрын

    Biblia sio kitabu cha Mungu mfano Injili zaburi taurati na Quran unajua kapewa nabii fulani aya Biblia kapewa nani utopata jibu mpaka unaenda jikoni

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10742 жыл бұрын

    Waislam njooni Kwa yesu kama mazinge ndo anawadanganyaga hivi akili zake ndogo

  • @jhayparism1152
    @jhayparism11524 жыл бұрын

    Kwa yeyote mwenye namba ya Ustadh Mazinge naomba anitumie tafadhari...

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10742 жыл бұрын

    Ila ili jamaaa liongo 😂😂😂😂😂😂 Bible ingekua inatafasiliwa hivi, huu tunaita msiba

  • @omaryandrew2584
    @omaryandrew25843 жыл бұрын

    Mazinge kiboko

  • @kulthumali5050
    @kulthumali50508 жыл бұрын

    mashaallah

  • @abu_AZOZ

    @abu_AZOZ

    7 жыл бұрын

    Akaasha tuekee CD ya mafundisho ya wanawake tafadhali kwa hidhini llah

  • @mumkmamy5186

    @mumkmamy5186

    6 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh jazaaka Allahv kheiran

  • @deoally8417
    @deoally84175 жыл бұрын

    😀😀

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh69065 жыл бұрын

    Wana wauongo shetani.

  • @rahmaahmed5759

    @rahmaahmed5759

    4 жыл бұрын

    Nyinyi bakieni tu kudanganya watu makanisani kuwaapa pesa sababu mwatafuta biashara poleni Sana.

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud12565 жыл бұрын

    Wafuasi wa marehemu Muhammad na waona mnavyojitekenya na kucheka wenyewe

  • @rehemahamisi9971

    @rehemahamisi9971

    5 жыл бұрын

    Ata uyo yesu pia marehem nyie amuchekagi kanisani bc wafuasi wa yesu wt mabubu

  • @user-wv5fq1bm5x

    @user-wv5fq1bm5x

    4 жыл бұрын

    @@rehemahamisi9971 😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Haoo ngoja siku ya kiama wakigeuzwa kuwa Chups za jahannama

  • @najmamakame9881

    @najmamakame9881

    4 жыл бұрын

    Ningekuwa nakuona police ingeniusu

  • @saumubenson5015
    @saumubenson50154 жыл бұрын

    Mazinge ukovizuri

  • @baddynapenya5962
    @baddynapenya59626 жыл бұрын

    Ni dextuli za kiloma

  • @ibrahimomary7434
    @ibrahimomary74343 жыл бұрын

    Ee YESU. Waokoe hawa waislaam kwakua awajui walitendalo

  • @johnpangalas9687
    @johnpangalas96873 жыл бұрын

    Jamaa anawadanganya wenzake nila woga na mchana kweupe

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh69065 жыл бұрын

    Kawafanya waarabu wooote wenye Dini kua bwege ajabu sana.

  • @abdishakurahmed2088
    @abdishakurahmed20886 жыл бұрын

    Hapa ni wapi ?

  • @suleimanjailos2600

    @suleimanjailos2600

    5 жыл бұрын

    abdishakur ahmed oman

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh5 жыл бұрын

    Hii mtu amerongwa shetani anamtumia na mijini

  • @licacpeter3748

    @licacpeter3748

    5 жыл бұрын

    Eleza ukweli wako bac

  • @Julia-gm1wh

    @Julia-gm1wh

    5 жыл бұрын

    @@licacpeter3748 ukweli ni kuwa waslamu wanatumikia majini na shetani so ni ndugu wa shetani kiimani

  • @omaralbattashi1187

    @omaralbattashi1187

    5 жыл бұрын

    @@Julia-gm1wh acha ubweg ww ww ndo ndug yak na sheitwan

  • @allyyussuf7419

    @allyyussuf7419

    5 жыл бұрын

    Katka dini yetu ya haki uislamu , muislam yeyote anayewatumikia majini na sheitani huyo ni mshirikina na Allah anasema katika kitabu kitukufu kuwa hakika washirika wataingia katika moto. Tatzo wewe hutaki kusoma ndo maana unaongozwa na hisia wala sio maandiko.

  • @user-wv5fq1bm5x

    @user-wv5fq1bm5x

    4 жыл бұрын

    @@omaralbattashi1187 Joseph kalume huyu Akili zake hazipo sawa kabisa

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh69065 жыл бұрын

    Wewe mazinge vipi Biblia kisiwe kitabu cha Mungu baadae muhammadi akapatikana ndani yake???huo sii uongo mtupu.oooh uisilamu ndani ya Biblia mmerogwa na kununuliwa kimbia kifo uamini YESU KRISTO akupe uzima.

  • @mwakakhamis5762

    @mwakakhamis5762

    5 жыл бұрын

    Tatizo bibilia mumekoti baadhi ya maneno ya injili mchenganya na maneno yenu

  • @rahmaahmed5759

    @rahmaahmed5759

    4 жыл бұрын

    Wewe Yesu Ni mtume wa Allah sio mungu.

  • @popod177

    @popod177

    4 жыл бұрын

    @@rahmaahmed5759 wanamacho lkn hawaoni, wanamasikio lkn hawasikii.. Ujumbe umeingia mahala pake, ndo ukaona povu LA makafiri linawatoka na mitusi.. Mazinge anatoa maandiko kwenye tabu lenu na bado mnapinga, kwa nn?? Kwasababu hayo yote anayoyasema yote yanatoka ndani ya bible, tatizo nyinyi hamuisomi litabu lenu, mkienda kanisani mnangojea mchungaji awaambie fungueni page fulani, anawasomea na ndio basi, hadi jumapili ijayo tena.. Kila kitu anachosema sheikh mnapinga kwasababu hamjawahi kusomewa wala kusoma, na ukiuliza swali unaambiwa unampinga mchungaji... Hamjiulizi kwa nn headquarters ya ukiristo upo Vatican na wala haupo yesu alipozaliwa.. Zindukeni makafiri, ukiristo ni shida, biashara tu na ndo maana yesu akasema watu wake wamepotea kwa kukosa maarifa.. Na wachungaji wao ni mbwa, ndo wanawapoteza..

  • @ibrahimomary7434

    @ibrahimomary7434

    3 жыл бұрын

    @@popod177 YESU akuponye week dada

  • @johnjunior5339
    @johnjunior53395 жыл бұрын

    Hi ni ujinga sana.sasa kati ya Paulo na Mohamed nani alikuja kwanza?

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    5 жыл бұрын

    Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo. 11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali. Huyo ndio Paulo

  • @rahmaahmed5759

    @rahmaahmed5759

    4 жыл бұрын

    Wewe ndo mjinga wakwanza sababu unajua tu kua Paulo alikuja Kwanza but hujui historia yake.

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh5 жыл бұрын

    Hawa watu wote wanadanganywa na wanasikiza tu pumbavu kweli

  • @brightonwashira5420

    @brightonwashira5420

    5 жыл бұрын

    We mjinga Kweli we ni mkristo hamna lolote

  • @Julia-gm1wh

    @Julia-gm1wh

    5 жыл бұрын

    @@brightonwashira5420 na ww ni muislamu wa kupulizwa matako na shetani msikitini

  • @mandianuhumuinatv9654

    @mandianuhumuinatv9654

    5 жыл бұрын

    Wewe dini huna unaongea pumba tafuta kwaza dini Sawa kafir mkuu

  • @allyyussuf7419

    @allyyussuf7419

    5 жыл бұрын

    Dini yenu nyinyi wakristo( makafiri) ni ya kutengeneza na kuunga unga, hakuna kitabu chochote ulimwenguni kinachothibitisha kuwa ukristo ni dini lakini ndani ya Qur'an inathibitisha kuwa " hakika dini ya haki mbele ya Allah n Uislam

  • @saadsalum3253

    @saadsalum3253

    5 жыл бұрын

    Nenda huko wewe unayefuata upagani

  • @goldmansun5859
    @goldmansun58595 жыл бұрын

    hakuna muitaliano mweusi,Paul alikuwa mweus ka Yesu alivyokuwa,Musa alivyokuwa,haroun,na waisrael wote ndivyo walivyokuwa,hata ka kulikuwa na weupe,ni ka ss ,unakuwa wekundu ila DNA ni blacks coz Jacob n Abraham ,isack ,Ishmael were blacks too ,alikkuwa myahid wa kabila ya benjamini na siyo muitaliano,pili Yesu hajawah kuitwa issa ,uislam unanuka kwa udanganyifu ,anaitwa Yahshua kiebrania lugha ya wayahud,yasuhe kiarab,yesu kiswahl,hii ni mothertongue problems,maana yak Mungu uokovu wetu,uislam hauna evidance yeyote kihistoria leo hii unatoa stor za wayahud wakat wa Yesu!no labda hicho kibwengo chenu issa,acha uongo wew mzee,ukiendelea utakufa bila ulimi,na hii text yangu ikumbukwe

  • @allyyussuf7419

    @allyyussuf7419

    5 жыл бұрын

    Usiseme kitu ambacho huna ujuzi nacho, neno YESUHE haliwezi kuingia ktk maandish ya kiarabu, acha kibri na chuki, tafuta ukweli utaupata na wisho wa siku utajuwa kuwa hakika uislam ndio dini ya haki.

  • @aminaally3116

    @aminaally3116

    5 жыл бұрын

    Yaani wakiristo wote hawana akili yaani ivi mungu anazaliwa ? yaani ukweli hawasemi wanadanganyana makanisani

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh69065 жыл бұрын

    Huyu kachanganyikiwa.sijui kahongwa? kala maharagwe mengi na chapati???vipi wewe kwa uongo huo YESU MFALME akusamehe.

  • @johnjunior5339

    @johnjunior5339

    5 жыл бұрын

    Hawa watu hawana kitu Cha kusema.kwami hii imani inahitaji kutetewa jamani?

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    5 жыл бұрын

    Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh5 жыл бұрын

    Huyu mtu anapoteza watu yaani uongo wazi kabisa wa wazi

  • @adamnassiri8512

    @adamnassiri8512

    5 жыл бұрын

    Allah akuzidishie

  • @ayunramadhan3104

    @ayunramadhan3104

    5 жыл бұрын

    Weee unasema ukweli we baki na ukafiri wako

  • @rahmaahmed5759

    @rahmaahmed5759

    4 жыл бұрын

    Wewe lete aya zako uliohifadhi nikiuuliza kwanini nyinyi mnasoma kwa kitabu mbona hamuhifadhi Kama waislamu kazi yenu Ni wivu tuuu poleni sana

  • @najmamakame9881

    @najmamakame9881

    4 жыл бұрын

    Unatesekaaaaaa

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    4 жыл бұрын

    @@najmamakame9881 utaangaikasana namotoni utakwenda usiposilim we kafiri mkubwa weeee Kaz unayo

  • @elizawallace2971
    @elizawallace29714 жыл бұрын

    Hakuna isa kwenye mathayo muongo wewe,unafundisha vipofu wenzako

  • @steventitus2174
    @steventitus21745 жыл бұрын

    Hujui kutafsir biblia wewe kaziyako kiarabu 2 na mwajua waarabu walivyo watesa wazee wenu leoii mmeshaa saau alafu awoawo wawaletee dini Kuna Nini apo makafir wakubwa nyinyi wamjua kafiri wewe wakati nyinyi ndomakafir

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    5 жыл бұрын

    Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.

  • @hatibuahmadi7237

    @hatibuahmadi7237

    5 жыл бұрын

    @@jumajaffary9698 hongera sana allah akuzidishie maarifa maana ulivo mjibu huyu kafiri umemjibu kiufundi sana yaani kakosa hata lakujibu nakama akuslim basi kapigwa muhuri wamotoni

  • @rahmaahmed5759

    @rahmaahmed5759

    4 жыл бұрын

    Si waona ndo nyinyi musiependa waraabu kwa ujinga wenu

  • @steventitus2174
    @steventitus21745 жыл бұрын

    Wewe kafir mkubwa wewe hakuna jehad yaivyo maulamaa wengi mnanjaa kubwa Sana kafir niwewe msinda wewe

  • @minaminaa1669
    @minaminaa16695 жыл бұрын

    mashaAllah

  • @hassancharo1496
    @hassancharo14965 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha75057 жыл бұрын

    Mashallah