MLALEO DAY 1 24 07 2013 KWANINI WAISLAM WANAFUNGA (WHY DO MUSLIM FAST)

/ akashadaawahtraders

Пікірлер: 200

  • @rakshanbilally-1341
    @rakshanbilally-13413 жыл бұрын

    Allah awape umri mrefu wote wanaolingalia Dini ya kiislam n awape nguvu n subra n awaondolee kisiki njiani n pingamizi llote , awape uzma n afya njema n awaondolee maradhi .n maisha marefu n rizki y kila siku z huai wao inshaallah Aamin .💞💓😍

  • @abakuramaadan3788
    @abakuramaadan37885 жыл бұрын

    Tungeomba sheikh wetu mazinge Allah amzidishie umri mingi kama angeweza kufika sehemu za eastleah nairobi kama angeweza i.a Allah amfikishe

  • @nuruhamisi7742
    @nuruhamisi77426 жыл бұрын

    MashAa Allah mazinge kiboko ya wakiristo

  • @mahamoudmohammed1488
    @mahamoudmohammed14887 жыл бұрын

    Mwenyezimungu awaongoze wahadhiri wote inshaallah

  • @shuaibkhuzeima2689
    @shuaibkhuzeima26899 жыл бұрын

    Maashaa Allah Mola akuzidishie Ndugu Mohammed Abdulkarim Akasha Kwa Juhudi zako hizi Nzuri

  • @jumaadremane7756
    @jumaadremane77565 жыл бұрын

    Allah Akbar. Ho Allah, help these our shehs that are doing good job. Olso, it's not easy so help them to proceed, insha allah.

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mashallah shehk habib mazinge Allah subhaana watahaalah atujalie khery nyinyi amiin

  • @fatumameyer8443
    @fatumameyer84439 жыл бұрын

    Mashallah wallahi najivunia kua muislamu na Allah awalipe mema wote wanao pigania dini ya Allah kwa hakika uislamu ni dini ya haki na wakristo wana mkufuru mungu sana haswa huku nchi za ulaya Astakafirul Allah wanamtukana Allah vibaya walakini dini ya Allah itasimama kwa uwezo wake Allah na in shall Allah uislamu utasimama mbele ya nchi zote

  • @abdallahmtima8733

    @abdallahmtima8733

    9 жыл бұрын

    J

  • @mumkmamy5186

    @mumkmamy5186

    6 жыл бұрын

    Aameen

  • @stephanshio9729

    @stephanshio9729

    5 жыл бұрын

    Fatuma Meyer mashallaaaa

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    4 жыл бұрын

    Jamaniii

  • @fatumamwantumu4081

    @fatumamwantumu4081

    3 жыл бұрын

    Swadakt nkweli kbsaa usemayo ahsante

  • @khadijaidi6077
    @khadijaidi60778 жыл бұрын

    mashaallah jazaka llah Mungu awape afya njema na awape nguvu zaidi ya makafiri na awajaaliye kila la kheri inshaallah

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale7 жыл бұрын

    Doctor of Divinity... MashaaAllah Allah ya'teek el afyeh ustadh mazinge

  • @OmarOmar-eo1wg

    @OmarOmar-eo1wg

    3 жыл бұрын

    Adc

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah33197 жыл бұрын

    Allha.Awape nguvu wahubir Na subra kuendelea kuhubir Dn y Allha.kwan Hata mitume wote walipata Balaa kubwa kwa watu wao kwa Ajili y dn tu.Hata huyo yesu.Alitaka kuuwawa kwadlsabb yahio dn.

  • @omarweda2480
    @omarweda24805 жыл бұрын

    Mashaallah, namshukuru Allah kwa kuniajalia kuijua dini ya kweli na kuifuata.

  • @thomassan2114
    @thomassan211410 жыл бұрын

    duguzangu tuna bahati kubwa sana ya kuwa waislam

  • @pambatz2984

    @pambatz2984

    5 жыл бұрын

    thomas san kwel

  • @lileoh3893

    @lileoh3893

    3 жыл бұрын

    Mazingr mungu akulehe inshalah

  • @ahmedibrahim2127

    @ahmedibrahim2127

    2 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @mugangamuganga3323
    @mugangamuganga33233 жыл бұрын

    Sheekh madinge naomba mwenye iziimungu akupe afyaa naumri, insha allaah.

  • @chimam.a2984
    @chimam.a298410 жыл бұрын

    wallahi nimebarikiwa kuwa Muislamu - Alhamdulillah

  • @mariyamahmed9136

    @mariyamahmed9136

    3 жыл бұрын

    Takbiiiiir

  • @AKASHA.P
    @AKASHA.P11 жыл бұрын

    amina

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j5 ай бұрын

    Mazinge mungu akupe umri mrefu uzid kuwaelimisha wakiristo.

  • @abokrarshamsan7963
    @abokrarshamsan79633 жыл бұрын

    Mungu awape nguvu zaid, ili muweze kututoa kwny giza n amuwezeshe mutufikie n ss huku Mombasa upande wa kalolen I Maan waliokafirika n wengi mno, Allah awali de zaid n zaid.

  • @higahassib6614
    @higahassib66145 жыл бұрын

    Jazaka Allah kheri Sheik Habib kwajuhudi zako za kueneze jina la ALLAH

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg6 ай бұрын

    Heroes of Muslim thank you

  • @ahmedmohamed-wm5ec
    @ahmedmohamed-wm5ec6 жыл бұрын

    Mashallah Allah awalipe kila la kheri Wahadhir wetu dah uislam ndio dini ya kweli Big up profesa Mazinge unatisha mzee Doctor of Divinity kiboko ya makafiri Allah akupe umri mrefu

  • @munirayusra91
    @munirayusra918 жыл бұрын

    Mashaallah mungu awazidishie ma sheik wetu...Mungu akuwekee mazinge na kupe moyo huo huo wa ujasiri na akuwepushe na hasad..🙊🙏

  • @aishairakoze9129

    @aishairakoze9129

    6 жыл бұрын

    Mashallah

  • @noahwamalwa4385

    @noahwamalwa4385

    3 жыл бұрын

    @@aishairakoze9129 Hapana Mazinge hajaelewa thiolojia ya ukristo vizuri. Kwa wakristo Yesu kwa kweli ni Mungu Mwana. Hata Biblia nayo iko wazi Wafilipi 2:6-11 Yeye, kwa asili alikuwa daima Mungu; lakini hakufikiri kwamba kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kungangania kwa nguvu. Bali, kwa hiari yake mwenyewe, aliachilia hayo yote, akajitwalia hali ya mtumishi, akawa sawa na wanadamu, akaonekana kama wanadamu. Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Kwa sababu hiyo Mungu alimkweza juu kabisa, akampa jina lililo kuu kuliko majina yote. Ili kwa heshima ya jina la Yesu, viumbe vyote mbinguni, duniani na kuzimu, vipige magoti mbele yake, na kila mtu akiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • @mrsdully1613
    @mrsdully16137 жыл бұрын

    mashaAllah nafrahika wallahi nikisikilizaaga mhadhara wa mzinge nawenzake NADYA FROM OMAN

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    Shukran Sheikh wetu Mazinge

  • @samia-lt2be
    @samia-lt2be7 жыл бұрын

    Allah awazidishiye kila lakheri awawekeye wepesi in shaa allah

  • @salminmnyasa5362
    @salminmnyasa53625 жыл бұрын

    Mashallah

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan86538 жыл бұрын

    mashaa ALLAH jazakumullah kheyr

  • @muhammadabdulkarim962
    @muhammadabdulkarim9628 жыл бұрын

    Assalam Aleikum.. Shukran kwa wale wote wanaotuombea dua kwa kazi ngumu tunayoifanya.. Allahu Baarik

  • @user-fw7hq8uf1t

    @user-fw7hq8uf1t

    7 жыл бұрын

    duh pamoja na kuwaeleza yote hayo lkn hawakubali kweli wakristo mashetani

  • @abeidomary6135

    @abeidomary6135

    7 жыл бұрын

    wallahi Mohammed unajitahidi sana kuelimisha nafatuatilia sana midaharo yenu. kwakweli mnajitahidi sana mungu awazidishie

  • @omarchedi

    @omarchedi

    7 жыл бұрын

    Muhammad Abdulkarim Assalamualeikum shekh muhammad kwanza nikupongeze kwa vitu vyako. pili naomba namba yako ya simu tuwasiliane zaidi insha-Allah

  • @maulidsharif9463

    @maulidsharif9463

    7 жыл бұрын

    Muhammad's Abdulkarim

  • @shafiijuma6114

    @shafiijuma6114

    7 жыл бұрын

    Muhammad Abdulkarim

  • @tumahamsini
    @tumahamsini11 жыл бұрын

    Masha Allah, mungu akuzidishie umri AKASHA DAWAA kwani tulioko nje ya kenya tunafarijika sana.

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato10 жыл бұрын

    Masha Allah . Love it !!! Baarak Allahu feekum for sharing.

  • @adandahir2638

    @adandahir2638

    2 жыл бұрын

    Aniga 9pm

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor35075 жыл бұрын

    Allah atuongozee

  • @nazonahdi9993
    @nazonahdi99934 жыл бұрын

    Mashallah mashallah shekh mungu akupe maisha marefu njoo morogoro tukuone mm nimependa sanaaaa mdahalo wenu nakuomba uje 🙏🙏

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz72113 жыл бұрын

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh Allah awape janatul filidaus Kwa kazi mnaoifanya

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mashallah mungu awabaliki san kwa ku2pa dahaawa ya Allah subuana wA tahala

  • @kingdardykingdardy1205
    @kingdardykingdardy12055 жыл бұрын

    mashalaà mazinge munguakuzidishiye. kilalaheri

  • @othmanabdallah1948
    @othmanabdallah19487 жыл бұрын

    m.mungu awalipe pepo mawadhli wetu In sha Allah

  • @yusufhabimana4093

    @yusufhabimana4093

    2 жыл бұрын

    Sheikhs habib mazinge wekiboko

  • @labilowabikongo1952
    @labilowabikongo19525 жыл бұрын

    Allah awazidishiye kher tunawapatavizursana,allahbarik

  • @munirnahdi3774
    @munirnahdi37744 жыл бұрын

    I love u mazinge,wanyooshe makafiri,,,ukweli wanaujua

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Allahu Akbr

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani31946 жыл бұрын

    AlhamduliLLAH kuw muislam ukristo nibiashar naukafr tu InnaliLLAH wainnailairajiun

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri76495 жыл бұрын

    Mashallah TANZANIAN mazinge

  • @alimaalima6016
    @alimaalima60167 жыл бұрын

    Takbirr Allahu Akbar

  • @user-ih8yq8dp4z
    @user-ih8yq8dp4z3 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62193 жыл бұрын

    Shukran sheikh mazinge Allah akulinde na mabaya akuruzuku pepo,kwa kazi yake ya da'waa

  • @ahmedibrahim2127

    @ahmedibrahim2127

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @sifunaderissharkhan2998
    @sifunaderissharkhan29985 жыл бұрын

    Ustadh Mazinge nakuombea heri na mwenyezi Mungu akujalie Jannah Fir Daus....Napata hoja mingi sana kuwafundisha wenzangu.🙏🙏🙏👍

  • @yassirkipemba7889

    @yassirkipemba7889

    5 жыл бұрын

    amiiin amiin yarabbyallamiinna🗣

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha41453 жыл бұрын

    Wallah mazinge wanimaliza Kwa maneno mawili tuu hebu subiri na mpe huyu

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim49774 жыл бұрын

    Mashallah kheir

  • @kikuikobe7324
    @kikuikobe73245 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @kaburabilali5536
    @kaburabilali55364 жыл бұрын

    Masha allah

  • @salmanyussuffaris7008
    @salmanyussuffaris700810 жыл бұрын

    Nice video

  • @kimoyochemokos6908
    @kimoyochemokos69084 жыл бұрын

    mna kazi enyi wa sheikh lakini Allah awa neemeshe na makubwa na madogo! Kwani si wanadamu hatuna la kuwa lipa!

  • @ashfynahrasheyd6352
    @ashfynahrasheyd63525 жыл бұрын

    A.alykum hahahaa Wanataka wapewe supu mbinguni wataiona supu ya moto km hawatatubia allahu aqbar

  • @fatumamwantumu4081
    @fatumamwantumu40813 жыл бұрын

    Mashalla Allah Allah

  • @mohamedsenzo8588
    @mohamedsenzo85887 жыл бұрын

    da. mazinge balaaaa

  • @salumdaluga6976
    @salumdaluga69764 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwa Kua Muislamu

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe69654 жыл бұрын

    Asw chehe wangu mazing kwanini Congo haufike ? Tulichukuru Allah kwakumuona chehe doctor sule apa GOMA CONGO naweye vipi kuja bwana tunakupenda sana chehe

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y4 жыл бұрын

    Mbona chekh mazing simusikiye 2020 ukowabi muzehewetu tunataka mihazara

  • @muddaththirhamoud1240
    @muddaththirhamoud12406 жыл бұрын

    Allah amuweke mazinge 🙏

  • @buruhanisalumu9960
    @buruhanisalumu99606 жыл бұрын

    Mashaallah zidi kuwaelimisha makafili wapate kuelewa

  • @faidhishabani3608
    @faidhishabani36084 жыл бұрын

    Naona raha sana kuzaliwa muisilaam

  • @princeado9511
    @princeado95117 жыл бұрын

    Waislamu hio haitakiwi kutoa matusi haileti picha nzuri kwa dini yetu tueni na subra Enshalah

  • @khamistomohamed7079

    @khamistomohamed7079

    5 жыл бұрын

    prince ado 9 sawa Awadhi

  • @benedictvaati33
    @benedictvaati338 жыл бұрын

    mshallh

  • @remam1867
    @remam18679 жыл бұрын

    Love it

  • @benedictvaati33

    @benedictvaati33

    8 жыл бұрын

    I lov it to

  • @faridsaid9180

    @faridsaid9180

    5 жыл бұрын

    Follow it

  • @AKASHA.P
    @AKASHA.P11 жыл бұрын

    INSHAALLAH.....IKIDHAMINIWA NITAIWEKA

  • @saidmunye8626

    @saidmunye8626

    7 жыл бұрын

    Mohammad Abdulkariim nakuombea kwa Allah akupe kila la kher duniani na akhera. wallah unaelewesha kwa dalili kweli maasha Allah. Allah akulipe ujira wako mwemaaa amiiiiiin yarabb!!!!

  • @mwamadihussein3613

    @mwamadihussein3613

    6 жыл бұрын

    kaka nisaidie Namba za mazinge

  • @petromachanga29
    @petromachanga294 жыл бұрын

    Ukty dini yawayahudi wanaabudu jmamos ,wislam ijumaa

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    3 жыл бұрын

    Umeisha hiita dini ya Mayahudi kwahiyo ni dini iliyotokana na watu wenyewe yaani dini ya kikabira sio ya mwenyezi mungu!

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49334 жыл бұрын

    Na leo ni Ramadhani ya pili 2020 nimesikiliza na mdada wangu wa kazi anashangaa kwamba hee kwanini kanisani hawafundishwi haya? Nikamwambia nitakuwa naendelea kukupa darasa! Mazinge Mungu akuweke miaka dahari! Naakumbuka kuna siku Mwanza ulikuja muhadhara na sheikh Shariff na Mwaipopo ukasema umefikisha miaka 60 na ndo unaisogelea ahera wallah niliumia mnoo nikaomba Mungu asikuchukuwe bado tunakuhitaji nasi unatusaidia side na wakristo pia! Inshallah uishi miaka miaa

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    4 жыл бұрын

    Jazaaka Allah

  • @salumchina3258

    @salumchina3258

    4 жыл бұрын

    Yeye dada wa kazi alikua mkristo au

  • @sifunaderissharkhan2998
    @sifunaderissharkhan29985 жыл бұрын

    Doctor of Divinity

  • @iddyboy5835
    @iddyboy58354 жыл бұрын

    Masharaa

  • @huguettemuhorakeye2541
    @huguettemuhorakeye25413 жыл бұрын

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @hassanijaweta402
    @hassanijaweta4024 жыл бұрын

    🙏

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew73434 жыл бұрын

    hakika utukufu wa mungu ni mkubwa.maana leo mumetambua kuwa bwana ni mungu.mungu aendelee kuwapa ufunuo na kutambua kuwa yesu kristo ndie mkombozi wa dunia

  • @salehrwigemagisa81

    @salehrwigemagisa81

    4 жыл бұрын

    Acha uduwanzi wewe.Leta andiko kuwa Yesu ni mkombozi.

  • @suleymanally4729

    @suleymanally4729

    3 жыл бұрын

    Sas mkomboz vip namwasem mkimtundika, yey mwenyew anatak kukombolew hahaaha nashkur Allah kua muislam

  • @AKASHA.P
    @AKASHA.P11 жыл бұрын

    2HR46MIN HIYO NI FUPI KWELI???

  • @kingrojo667
    @kingrojo6675 жыл бұрын

    naomba andiko na uyo padri mwenzioo😁😁😁

  • @pambatz2984

    @pambatz2984

    5 жыл бұрын

    King Rojo hahahaaaa

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Na papa hasogeleyi coroani😆😆mazinge nikiboko wamakafiri nazamiyaga sana mihazara kwa simu makafiri nikupindisha manenotu

  • @trizahmim9006
    @trizahmim90068 жыл бұрын

    alichaguliwa na askofu lakini so mungu

  • @hannyhassan3111
    @hannyhassan311111 жыл бұрын

    As.alkm nice video mashaall lakin nifupi ipo inayoiendeleza

  • @ukhtysakinaa7664

    @ukhtysakinaa7664

    4 жыл бұрын

    khaa ni hii ni fupi? yakaribia 3hrs wasema fupi

  • @munaseif9769
    @munaseif97696 жыл бұрын

    mazinge kiboko

  • @alirashid4291
    @alirashid429110 жыл бұрын

    wallah wakristo wamepotea kabisa ,wana maco hawaoni ,masikio hawasikie wanaendelea kupinga tu maneno yanayo eleweka hata motto mchanga anaelewa ,wallah uislam ndo dini ya hakhi na ukristo sio dini sijui wanaisoma bibilia

  • @fauzjibaba5956
    @fauzjibaba59564 жыл бұрын

    Naangalia Zama za corona

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Didi tupe hayikuoni

  • @maoningalla8627
    @maoningalla86277 жыл бұрын

    mh

  • @user-wv5fq1bm5x
    @user-wv5fq1bm5x4 жыл бұрын

    Ona yule kijana alikuja wa pili mwanzo alikua na pupa mwisho alivyosikia mbele nyuma kulia kushoto kimyaaaaaaa

  • @Truthshallprevail1291
    @Truthshallprevail129111 жыл бұрын

    hii mubarikiwe nayingojeya na kiwi kabisaa

  • @mansourjafari9130

    @mansourjafari9130

    7 жыл бұрын

    Uislam ni dini ya haki mbele ya Allah (s.w).

  • @rashidimoshi8417

    @rashidimoshi8417

    6 жыл бұрын

    mazing nibalaa mungu akusaidie mazing

  • @higahassib6614
    @higahassib66145 жыл бұрын

    Huyo mjamaa ni mpumbavu hajui anachosema

  • @muhammadabdulkarim962
    @muhammadabdulkarim9626 жыл бұрын

    Assalam Aleikum ikhwaani. Tunaomba tupate mfadhil ambaye ataweza kutununulia viombo vya da'awa. kwa mawasiliano zaidi +254725432304

  • @alidanger5663

    @alidanger5663

    5 жыл бұрын

    Asalam alaikum

  • @rajabhamiso373

    @rajabhamiso373

    5 жыл бұрын

    M npo tanzania,nakuchangia kupitia namba gan?????

  • @husseinjumanne6383

    @husseinjumanne6383

    5 жыл бұрын

    Swadakta

  • @nasraalsharyani5513
    @nasraalsharyani55138 жыл бұрын

    Google

  • @paulduke6712
    @paulduke67123 жыл бұрын

    Kumbe auna kitu mazinge

  • @paulduke6712

    @paulduke6712

    3 жыл бұрын

    Unaje bendegeza enibele ya watu wako

  • @hannyhassan3111
    @hannyhassan311111 жыл бұрын

    As alkm video ya burundi tuwekee inshaallah

  • @joycemaffa8935

    @joycemaffa8935

    5 жыл бұрын

    Mmy

  • @saidhamad5294
    @saidhamad52945 жыл бұрын

    Sijawahi ona wakiristo wanashinda dibeti sijui kwanini!!

  • @labilowabikongo1952

    @labilowabikongo1952

    5 жыл бұрын

    Amen allahbarik

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh69065 жыл бұрын

    Waisilam wajanja saaana maswali walioulizwa hawajibu sikia maswali ya kwanza na wanako endeleza wajanja tena wajanja wana wa shetani kabsaa.

  • @queenofrevenge1093

    @queenofrevenge1093

    5 жыл бұрын

    Kafir hakos sababu...muombe Allah akurudishe kwenye din ya haki

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Uyo kafiri hajasilimi tu eti mutume MUHAMADI SIO WAKE IPO SIKU ATAONAKAMA A ALIKUA WAKE

  • @abdulazizshaban9466
    @abdulazizshaban94665 жыл бұрын

    ببب

  • @higahassib6614
    @higahassib66145 жыл бұрын

    Mpumbavu wewe mijikenda gani hao waliambiwa wasiende msikitini ?

  • @katungukitambala4561
    @katungukitambala45618 жыл бұрын

    Je kuswali nikuabudu, nakama ndio basi , huwa nasikia tumu swalini mtume

  • @yesusimungu9084

    @yesusimungu9084

    7 жыл бұрын

    Katungu Kitambala "kaakimya kafiri, mkubwa, mwanaaram mbwa, kumamaako, ngurue shuain.

  • @user-yu9zd6jm3f

    @user-yu9zd6jm3f

    7 жыл бұрын

    umekosea.kaka.kumtukana.katungu.hajiele.mwenyez.mungu.awasamehe

  • @yesusimungu404

    @yesusimungu404

    7 жыл бұрын

    Qafiri tuuu Huyo Kiziwi, bubu kipofu 2 Huyou

  • @hasmondbinladen6217

    @hasmondbinladen6217

    7 жыл бұрын

    Kwaiyo kuswl c kuabdu,katungu naomb unjb

  • @mussaibnimussamussa5349

    @mussaibnimussamussa5349

    6 жыл бұрын

    nivibaya kutukana uliyetukana omba msamaha pili katunguu hajui chukua fursa kumuelimisha

  • @kambanimwanyulu7570
    @kambanimwanyulu75705 жыл бұрын

    Hata wewe mazinge hujaelewa Soma ufunuo 3:9 masinagogi kuna kiti cha shetani.

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    5 жыл бұрын

    Ufunuo 3:9 Ufunuo 3:9 BHN Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate kujua kwamba nimekupenda wewe. BHN: Biblia Hao ni wakristo wanajifanya Wayahudi.. Maana Yesu ameletwa kwa ajili Wayahudi, Wayahudi fake wako wengi.

  • @salumbakayoko4258

    @salumbakayoko4258

    4 жыл бұрын

    Pumbavu zako ww ndo unajua sana kuliko mazinge au kafiri mkiristo moto unakuhusu

  • @salehrwigemagisa81

    @salehrwigemagisa81

    4 жыл бұрын

    Yesu aliingia sinagogi lakini....😂😂😂

  • @petromachanga29
    @petromachanga294 жыл бұрын

    Ninyi wahazili wa kiislam niwaongo maana kwenye bibilia hakuna wislam sinagogi msikiti wawayahudi sio wawaislam

  • @ukhtysakinaa7664

    @ukhtysakinaa7664

    4 жыл бұрын

    Mayahudi sio dini ni kabila

  • @salehrwigemagisa81

    @salehrwigemagisa81

    4 жыл бұрын

    Mbona hawakusema "kanisa la wayahudi"?

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    3 жыл бұрын

    haya sawa,bora kuna neno msikiti lakini sio kanisa,pwahahah si mufute muandike kanisa la wayahudi

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew73434 жыл бұрын

    yesu kapewa kutabu kinachoitwa injili au habari njema.muhamad kapewa furkani sio msahafu.acha kudanganya watu

  • @suleymanally4729

    @suleymanally4729

    3 жыл бұрын

    Hahahahahaha sasa furqan nijina ktk majin ya qur an, albyaanu, alkitaabu, alqur ani, adhdhkru, hahahaah uislam raha sana

  • @joseeandrew7343

    @joseeandrew7343

    3 жыл бұрын

    @@suleymanally4729 wewe ni maamuma.uisilamu ni tendo sio dini na ili upate wokovu au ufufuke lazima ufanye matendo mengi nayo ni upendo huruma unyenyekevu kusamehe hekima busara na mengine kama hayo sasa kuwa muisilam tu kwa maana ya unyenyekevu haitoshi kumuona Mungu.MUngu aendelee kuwa roho mtakatifu na pia awape jicho la rohoni ili muwe kumtamua Yesu Kristo kwamba ni bwana na mokozi wa maisha yenu

  • @petromachanga29
    @petromachanga294 жыл бұрын

    Waongo wakubwa isa sio yesu

  • @swabraawadh1173

    @swabraawadh1173

    3 жыл бұрын

    weee ndo hujui ndugu yesu ninani kasome usimamishe mada na mimi muache profesa mazinge apunzik kwangu hutoki bwana mdogo

  • @muhammadmuhaznun380

    @muhammadmuhaznun380

    2 жыл бұрын

    Yesu ni Nani sasa nyie mtachomwa bure Tu nyie enedeleeni kuabudu binadamu Tu ....Yesu ni Mtu kama wew Yesu alikula samaki wew uliskia wapi Mungu anakula...

  • @isaacmafole2136
    @isaacmafole21365 жыл бұрын

    Mazinge nimekufuatilia sana na nimegundua kuwa uijui bible vzuri ww unaisoma kma gazeti kuwa makini sana na ukipatkana unakwepa kwepa maswali

  • @user-wv5fq1bm5x

    @user-wv5fq1bm5x

    4 жыл бұрын

    Ww ndio hujui hata kidogo km hujui

  • @fatimaabdulla1320

    @fatimaabdulla1320

    4 жыл бұрын

    Bora anyamaze

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    3 жыл бұрын

    Haiwezekani uulizwe swali yesu ni nani ukajibu vitu tofauti au umeulizwa swali na ww unauliza swali hapo hapo?hapo unaweza kuwa na akili timamu?Mtu timamu anajibu alichoulizwa sio kwamba Mazinge alishindwa kujibu maswali yake huyo jamaa!

  • @suleimankhalfan6938

    @suleimankhalfan6938

    3 жыл бұрын

    Nenda uko huna mpya we

  • @tambaboy7922
    @tambaboy79225 жыл бұрын

    Allah nishetani bila kupinga. hyo pastar yuko vizuri tatizo lenu hamjibu anachouliza. na mtume ni mbakaji wa watoto someni vizur quran

  • @labilowabikongo1952

    @labilowabikongo1952

    5 жыл бұрын

    Sikweli kaka

  • @queenofrevenge1093

    @queenofrevenge1093

    5 жыл бұрын

    Innalilahi..yani mola wako alo kuumba ni shetani??? Akusamehe maaana hujielewi na hjui usemalo..kafir mkubwa ww

  • @tambaboy7922

    @tambaboy7922

    5 жыл бұрын

    Zeinab Mboka alla ndo kafiri soma quran 98-17

  • @queenofrevenge1093

    @queenofrevenge1093

    5 жыл бұрын

    @@tambaboy7922 sura gani katka kuran kakangu nifahamishe..

  • @nazonahdi9993

    @nazonahdi9993

    4 жыл бұрын

    Kaka angu unakufuru sanaaa kutukana mungu na mtume huogopi stakhfirulaah