Coronavirus and it's 9years ago. Beauty of my religion. May God bestow us all His Blessings.
@innocentulomi3260
2 жыл бұрын
this is really
@lorahjhoo3690
2 жыл бұрын
Very true
@qwizzmena9237
2 жыл бұрын
Am afraid
@mangalamlala35166 жыл бұрын
Mimi ni mkristo ila maneno yako nimeyakubali sana
@khadijakombo42078 жыл бұрын
Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...
@benardyengo12412 жыл бұрын
Everyone is 4r himself bt God is 4r us all.
@dullywamashairi1213 жыл бұрын
Yalisemwa miaka nane iliyopita, hatimaye leo kuhusu suala la chanjo limetimia!! Allah Akbar
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Nilikuwa natafuta hii coment na bado tutaona mengii🙌🙌🙌
@dullywamashairi121
3 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Allah Akbar!! Japo n hiyari, binafsi nakushauri usikubali kuchanjwa, n hatari sana
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
@@dullywamashairi121 mm labda waniue
@dullywamashairi121
3 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Maashaallaah!! Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua
@lorahjhoo3690
2 жыл бұрын
Iwas looking for this comment
@husnakabaya45466 жыл бұрын
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir!
@emmyngowi16817 жыл бұрын
Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine
@ashaali71542 жыл бұрын
Mwenyeezi Mungu ndiye anaehukumu tumuachie kazi yake sisi tafuateni yale mema aliyotuamuru na kutoa mawaidha yanayosaidia vizazi vyetu.
@hellenjelimokiplagat5615
2 жыл бұрын
Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa
@sharmakeahmed67688 жыл бұрын
masha Allah good information my brother thanks
@fathimaishmail27689 ай бұрын
Ooo Ma Sha Allah THABAARAKA pongezi kwenu mungu azidi kuwapa imani ya kuzidi kutuelimisha Inshaallah 🙏
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah maustdh mungu awape kheri 🙏 kwa kutufafanulia mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah
@dullymsomaly37823 жыл бұрын
Ulishaaaongea zaman kumbe...daah mashallah...kila mwenye macho aone
@mohdsalum5428
3 жыл бұрын
Haswaaaa.ni.zaman sn
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Toka nina miaka 13 mpka sasa nina 21 bdo watu haweelew
@benjathekingofficialshows2 жыл бұрын
Hawa jamaa wakweli kabsa japo waislamu siwaelewagi kabisa ila ukweli mtupu duh yesu mungu wangu tuokoe
@FatmaFatmA-qk3zl
2 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa
@chrispinramadhani36627 жыл бұрын
Jesus is the way the truth and life no one can go to his heavenly except by him
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
chrispin ramadhani wewe nawe huna ujualo mungu wako ni Paulo ndo kawaandikia nyie bible af mwadanganyana eti ni nitabu ya issa peace be upon him
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
chrispin ramadhani utaenda pepo ya nani paulo hana pepo hko
@rahimbanda4954
6 жыл бұрын
sasa quran nani akayandika
@saidadan8018
6 жыл бұрын
kkkkkkkk let chrispin tell us...tuone ataenda wapi Ati pepo...do think Paul ana pepo
@jjody1980
2 жыл бұрын
Jesus de only truth
@umfahad26092 жыл бұрын
Ma sha allah.. Namuomba ALLAH akulinde na maadui. Na akupe uzima, afya na umri mrefu in Sha Allah.🤲
@issackdiso2250
Жыл бұрын
Aamin
@mariomimi47697 жыл бұрын
MashaAllah
@meekdee38192 жыл бұрын
Sheikh leo tunapiga chanjo Allah knows the best
@bahatiboicomedian60672 жыл бұрын
Ak uongo yenye mko nayo na Ni jina ya mungu mnachezea ..
@mbwanamohamedy54887 жыл бұрын
Safi sana shehe kwa kutuelimisha kwa ss ambao hatuelewi
@Fazuunafac3 жыл бұрын
May Allah grant us the highest rank in jannah Ameen thuma Ameen
@Haramacad12
2 жыл бұрын
ameeen
@zahraomar61722 жыл бұрын
Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana
@husseinabdulahi10369 ай бұрын
Marsha Allah may Allah help us inshaalah amen may Allah grant us to jannah
@kennethsondoyi77852 жыл бұрын
Thanks for giving me the word of God Jesus is my chief shepherd.
@amineznymlessniccur1755 жыл бұрын
Sheikh mungu akupeleke mpaka janah
@thuweinthabit63133 жыл бұрын
Hapo inapozungumziwa chanjo, sijui kuna mtu katika wakati huu anasikiliza kwa umakini hii video
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tupo mbona tutaona mengi tu
@idamammy6081
Жыл бұрын
Sasa mbna madaktari wanatulazimisha watoto wetu wadungwe sindano
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
حقا يافضيلة الشيخ.
@husnakabaya45466 жыл бұрын
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir
@kamalolatofficialpage4 жыл бұрын
Mashaallah continue with daawa.
@zipporahbiyaki24637 жыл бұрын
Tell them my brother,Mimi c Islamic but I support maneno yako .
@williammariach3441
7 жыл бұрын
Zipporah biyaki I support
@MrMarcomoravia37
6 жыл бұрын
Zipporah biyaki
@ximaleeumaabowy4767
6 жыл бұрын
Facilitator bowy jazakallah
@mankaboy5143
6 жыл бұрын
Zipporah biyaki what are you waiting?
@ibukaharuna8360
2 жыл бұрын
Zippy ukoje n unaeza kubali kua Muslim please 🙏🙏🙏
@rashidmaina21662 жыл бұрын
Kweli xx watu waliona kuwa nlikua waongo bt hii Corona imesadikisha yote nlikua mkisema kweli
@sizzladennh53342 жыл бұрын
But kuna mahali umeogea uogo,natural mystic ya bob hakuna mahali amesema mungu ako na dhambii...zingne uko right but hio ya bob ziii
@saidabdallah68411 жыл бұрын
ALLAH atulinde na hao mashaitwan
@saduninassoro84910 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri katika elimu yako
@lianabram4088
3 жыл бұрын
dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)
@winstonhuxley5064
3 жыл бұрын
@Lian Abram Yea, been watching on InstaFlixxer for since december myself :)
@mugishayves813 ай бұрын
Asww sheik mtupe habari za dunita❤❤
@saidiramazani155011 жыл бұрын
mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!
@abdillahhussein30202 жыл бұрын
Wallah Nina mashaka na chanjo ya korona huenda ndo tayari wameshapigwa hizo sign
@samsonadhiambo13912 жыл бұрын
I love your research my brothers, I truly believe.
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Nonsense
@mohamedhamduni933410 жыл бұрын
Wote wanao wapinqa mashehe wetu wasitoe dawa nasema munqu awarani hao ndo wanawapa nquvu makafiri
@rahmaabid447
3 жыл бұрын
Ni.kweli wanaona dunia ni tamu sana....ukweli wanaukwepa hata waislamu kwwli majanga hii dunia nitambara bovu.jamani
@shaffitsuma12506 жыл бұрын
Assalaam waleikum, MashaAllah Mola awazidishie kwa ilmu mnayotupa in shaa Allah
@topclipentertainment71732 жыл бұрын
Daah n hatar kwenye swala la kuwekewa cheap ndo mambo ya corona na chanjo
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Laahaulaa walaakuwwata illaa billah!!!
@khaliddawa6821 Жыл бұрын
Amazing genius...
@neemainabikorwa55703 жыл бұрын
Baraka Allahu fiiQ
@stephenemuya85755 жыл бұрын
watu wanaitaji elimu sana kutolishwa ujinga hivi wanachulia ujinga wa watu for manufaa yao waliuza cd lakini
@ke.46122 жыл бұрын
Ndo maana Africa ipo nyuma. Upusi tu! Wacha watu wasonge Mbele. Kwani ni kesho.
@mashiabdul499711 жыл бұрын
asante sheikh
@lelahassanali73736 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah aliekua na akili amekuelewa
@Chekanamimi_4 жыл бұрын
Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa
@majaliwajumamathias2006
2 жыл бұрын
Kaka ucha ubaya
@issafaquedalaura82792 жыл бұрын
Masha Allah
@godwinakengo30602 жыл бұрын
Kila mtu ashike sana imani yake maana siku zimefika
@Andre-jr7vq2 жыл бұрын
Wewe ni utumbo kweli
@amranismail69793 жыл бұрын
Shekh alitabiri ndo chanjo hiyo sasa watu wanachanjwa
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
Kabisa
@jm650m2 жыл бұрын
Let's tearch our faithfuls the core values of religion instead of sowing fear and adding confusion to them.
@jjody19802 жыл бұрын
Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu
@yahyaabdi45475 жыл бұрын
Allah subxana watalla akupatie kheir
@atuyanyangeri37482 жыл бұрын
Uyu sheikh ni mwongo😂😂😂😂
@n.w.l10912 жыл бұрын
Muongooo bob hajawai sema mungu ana makosa ...shenz
@tumainsawe69603 жыл бұрын
Wangapi mnaangalia hawa masheihk mpa leo
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
Covid19 imetuleta tena hapa
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
@@yahyashariff5693 acha tu ndugu yangu😭😭
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
@@tumainsawe6960 Tufanye maombi sana na tumumuaini Mungu tu
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tupo
@felosopha445
2 жыл бұрын
Covid 19 Astra Zeneca Vaccine.
@ramiahassani5603 Жыл бұрын
nilikuwepo ulipo kua ukiichambua mada hii ni Msiki wa Dar es salaam Buguruni Rozana unaitwa Masjid Haqqa, yaani kweli imepita miaka 10
@orpharmogaka37368 жыл бұрын
Thanks to sijui nimuite muubili Kwa uchumbe ila kila mtu anaelewa kifiake
@reubenayiendanyakundi96042 жыл бұрын
don"t judge ,let God do his job
@samsonokoth50332 жыл бұрын
God bless you
@kabibikhamis68972 жыл бұрын
Allah atuepushe n atuongoz n atupe mwisho mwema n Pepo inshallah
@erickjuma76432 жыл бұрын
These are some enlightened individuals.
@mathayonelson95006 жыл бұрын
Mashalaah
@kanyamagaraabdallah83002 жыл бұрын
Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana. Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu
@mafabimadina41832 жыл бұрын
Allah bless u
@fathiafathia87013 жыл бұрын
Mashaallah
@cypriansinkala46932 жыл бұрын
Mbona kama kweli
@mnyamwezionlinetv39987 жыл бұрын
Ismail Gitau Ndutaa,Allah akulinde na azidi kukuongoza katka kheri.
@bahashachembea6922
2 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
@kassimmzee15893 жыл бұрын
Kama chanjo ya Corona
@ayotiyosamu698
2 жыл бұрын
Kweri kabisa kwenye chanjo nimemuerewa sana
@jojoskitchen12102 жыл бұрын
Allah atunusuru, kama chanjo nimeshachanja😢😢
@priscarkandonga7701
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@consultantbayport52852 жыл бұрын
Hii ni miaka 9 iliyopita na sasa imekuwa kweli
@seifukinyogoli73805 жыл бұрын
Allah atuhifazi yarabi
@ramadhankijana94422 жыл бұрын
Dah pole sana kwa wazazi
@mubarakabdirahman22202 жыл бұрын
Nawatch sai
@najmaalkindy63828 жыл бұрын
mashaallah
@youngblvck30192 жыл бұрын
😂😂😂hapo kwa cartoon amedanganya 😂😂likes za 2021
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
Unaijua historia ya cartoon?
@stanstano60642 жыл бұрын
Life is spiritual
@mikedizzo61272 жыл бұрын
Believe in jesus because is the only way of truth no one can see heven without jeasus
@metalcombat44707 жыл бұрын
Hiyo logo ya Vodafone/Vodacom maana yake ni tone la damu itokayo kwenye moyo ulio chomwa kisu! Maana yake ni huzuni tupu kwa binaadamu duniani.
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
Metal Combat shikilia hpo hpo patakuokoa sawa eeh
@abdulsoccerkid11 жыл бұрын
alla akubarik kwa kutuelimisha
@trikxstar11 жыл бұрын
mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims
@donedaddy45613 жыл бұрын
Sasa tunajionea shekhe
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tutaona mengi tu
@musamadegeda-kf2qb Жыл бұрын
Hawa jamaa ivii wazima mpk Leo bado wapo
@voodothurday11 жыл бұрын
kweli kabisa
@rodaadan56233 жыл бұрын
Nice 🙂👍
@mrsdully16137 жыл бұрын
subhannallah
@user-hp7xc2ig2u2 жыл бұрын
ماشاء لله
@simonshedrack60192 жыл бұрын
Nakubari shehe kwamafudisho manzuri
@maswanyakhaji66337 жыл бұрын
natural mystic, bob alikua akionya watu juu ya dajjal, ama anticrist,
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
maswanya khaji umuongo hiyo kitu iko wazi kabisa kwa taarifa yako aloambia watu waponye dunia ni mickol Jackson na kibao chake (hill the world)
@goodlucktemu31492 жыл бұрын
Mungu atukomboe
@bintjuma64087 жыл бұрын
Nyinyi Mnapotosha watu wacheni uhuni wenu.
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
Bint Juma wacha ujinga nawe kuwaunga mkono makafiri ivi mlikuwa mwataka watulie to wasitoboe
@andrewmsafiri43729 жыл бұрын
pole sana,asna,sana.....!!!
@soffiscarlett97022 жыл бұрын
Shukrn sheikh
@chiefmjukuutm66662 жыл бұрын
Ilshallaa Shee mungu mwema
@jamesoseko62452 жыл бұрын
Mkiokoka yesu atawalinda
@abbassmohamed41008 жыл бұрын
mahaALLAH
@ayomaamediaa90112 жыл бұрын
Dah wataanzisha ugonjwa ili udungwe🙏kweli ndo kinachotokea
@iam-penolive3 жыл бұрын
Nairobi?? Kisumu??? Cjamwelewa huyuuuu.....Nairobi na kisumu Ni wapi na wapi Sasa....mmmh hayaaa banah
Пікірлер: 471
Coronavirus and it's 9years ago. Beauty of my religion. May God bestow us all His Blessings.
@innocentulomi3260
2 жыл бұрын
this is really
@lorahjhoo3690
2 жыл бұрын
Very true
@qwizzmena9237
2 жыл бұрын
Am afraid
Mimi ni mkristo ila maneno yako nimeyakubali sana
Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...
Everyone is 4r himself bt God is 4r us all.
Yalisemwa miaka nane iliyopita, hatimaye leo kuhusu suala la chanjo limetimia!! Allah Akbar
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Nilikuwa natafuta hii coment na bado tutaona mengii🙌🙌🙌
@dullywamashairi121
3 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Allah Akbar!! Japo n hiyari, binafsi nakushauri usikubali kuchanjwa, n hatari sana
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
@@dullywamashairi121 mm labda waniue
@dullywamashairi121
3 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Maashaallaah!! Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua
@lorahjhoo3690
2 жыл бұрын
Iwas looking for this comment
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir!
Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine
Mwenyeezi Mungu ndiye anaehukumu tumuachie kazi yake sisi tafuateni yale mema aliyotuamuru na kutoa mawaidha yanayosaidia vizazi vyetu.
@hellenjelimokiplagat5615
2 жыл бұрын
Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa
masha Allah good information my brother thanks
Ooo Ma Sha Allah THABAARAKA pongezi kwenu mungu azidi kuwapa imani ya kuzidi kutuelimisha Inshaallah 🙏
Mashaallah maustdh mungu awape kheri 🙏 kwa kutufafanulia mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah
Ulishaaaongea zaman kumbe...daah mashallah...kila mwenye macho aone
@mohdsalum5428
3 жыл бұрын
Haswaaaa.ni.zaman sn
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Toka nina miaka 13 mpka sasa nina 21 bdo watu haweelew
Hawa jamaa wakweli kabsa japo waislamu siwaelewagi kabisa ila ukweli mtupu duh yesu mungu wangu tuokoe
@FatmaFatmA-qk3zl
2 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa
Jesus is the way the truth and life no one can go to his heavenly except by him
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
chrispin ramadhani wewe nawe huna ujualo mungu wako ni Paulo ndo kawaandikia nyie bible af mwadanganyana eti ni nitabu ya issa peace be upon him
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
chrispin ramadhani utaenda pepo ya nani paulo hana pepo hko
@rahimbanda4954
6 жыл бұрын
sasa quran nani akayandika
@saidadan8018
6 жыл бұрын
kkkkkkkk let chrispin tell us...tuone ataenda wapi Ati pepo...do think Paul ana pepo
@jjody1980
2 жыл бұрын
Jesus de only truth
Ma sha allah.. Namuomba ALLAH akulinde na maadui. Na akupe uzima, afya na umri mrefu in Sha Allah.🤲
@issackdiso2250
Жыл бұрын
Aamin
MashaAllah
Sheikh leo tunapiga chanjo Allah knows the best
Ak uongo yenye mko nayo na Ni jina ya mungu mnachezea ..
Safi sana shehe kwa kutuelimisha kwa ss ambao hatuelewi
May Allah grant us the highest rank in jannah Ameen thuma Ameen
@Haramacad12
2 жыл бұрын
ameeen
Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana
Marsha Allah may Allah help us inshaalah amen may Allah grant us to jannah
Thanks for giving me the word of God Jesus is my chief shepherd.
Sheikh mungu akupeleke mpaka janah
Hapo inapozungumziwa chanjo, sijui kuna mtu katika wakati huu anasikiliza kwa umakini hii video
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tupo mbona tutaona mengi tu
@idamammy6081
Жыл бұрын
Sasa mbna madaktari wanatulazimisha watoto wetu wadungwe sindano
حقا يافضيلة الشيخ.
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir
Mashaallah continue with daawa.
Tell them my brother,Mimi c Islamic but I support maneno yako .
@williammariach3441
7 жыл бұрын
Zipporah biyaki I support
@MrMarcomoravia37
6 жыл бұрын
Zipporah biyaki
@ximaleeumaabowy4767
6 жыл бұрын
Facilitator bowy jazakallah
@mankaboy5143
6 жыл бұрын
Zipporah biyaki what are you waiting?
@ibukaharuna8360
2 жыл бұрын
Zippy ukoje n unaeza kubali kua Muslim please 🙏🙏🙏
Kweli xx watu waliona kuwa nlikua waongo bt hii Corona imesadikisha yote nlikua mkisema kweli
But kuna mahali umeogea uogo,natural mystic ya bob hakuna mahali amesema mungu ako na dhambii...zingne uko right but hio ya bob ziii
ALLAH atulinde na hao mashaitwan
Allah akulipe kila la kheri katika elimu yako
@lianabram4088
3 жыл бұрын
dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)
@winstonhuxley5064
3 жыл бұрын
@Lian Abram Yea, been watching on InstaFlixxer for since december myself :)
Asww sheik mtupe habari za dunita❤❤
mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!
Wallah Nina mashaka na chanjo ya korona huenda ndo tayari wameshapigwa hizo sign
I love your research my brothers, I truly believe.
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Nonsense
Wote wanao wapinqa mashehe wetu wasitoe dawa nasema munqu awarani hao ndo wanawapa nquvu makafiri
@rahmaabid447
3 жыл бұрын
Ni.kweli wanaona dunia ni tamu sana....ukweli wanaukwepa hata waislamu kwwli majanga hii dunia nitambara bovu.jamani
Assalaam waleikum, MashaAllah Mola awazidishie kwa ilmu mnayotupa in shaa Allah
Daah n hatar kwenye swala la kuwekewa cheap ndo mambo ya corona na chanjo
Laahaulaa walaakuwwata illaa billah!!!
Amazing genius...
Baraka Allahu fiiQ
watu wanaitaji elimu sana kutolishwa ujinga hivi wanachulia ujinga wa watu for manufaa yao waliuza cd lakini
Ndo maana Africa ipo nyuma. Upusi tu! Wacha watu wasonge Mbele. Kwani ni kesho.
asante sheikh
Mashallah tabarakallah aliekua na akili amekuelewa
Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa
@majaliwajumamathias2006
2 жыл бұрын
Kaka ucha ubaya
Masha Allah
Kila mtu ashike sana imani yake maana siku zimefika
Wewe ni utumbo kweli
Shekh alitabiri ndo chanjo hiyo sasa watu wanachanjwa
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
Kabisa
Let's tearch our faithfuls the core values of religion instead of sowing fear and adding confusion to them.
Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu
Allah subxana watalla akupatie kheir
Uyu sheikh ni mwongo😂😂😂😂
Muongooo bob hajawai sema mungu ana makosa ...shenz
Wangapi mnaangalia hawa masheihk mpa leo
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
Covid19 imetuleta tena hapa
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
@@yahyashariff5693 acha tu ndugu yangu😭😭
@yahyashariff5693
3 жыл бұрын
@@tumainsawe6960 Tufanye maombi sana na tumumuaini Mungu tu
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tupo
@felosopha445
2 жыл бұрын
Covid 19 Astra Zeneca Vaccine.
nilikuwepo ulipo kua ukiichambua mada hii ni Msiki wa Dar es salaam Buguruni Rozana unaitwa Masjid Haqqa, yaani kweli imepita miaka 10
Thanks to sijui nimuite muubili Kwa uchumbe ila kila mtu anaelewa kifiake
don"t judge ,let God do his job
God bless you
Allah atuepushe n atuongoz n atupe mwisho mwema n Pepo inshallah
These are some enlightened individuals.
Mashalaah
Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana. Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu
Allah bless u
Mashaallah
Mbona kama kweli
Ismail Gitau Ndutaa,Allah akulinde na azidi kukuongoza katka kheri.
@bahashachembea6922
2 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
Kama chanjo ya Corona
@ayotiyosamu698
2 жыл бұрын
Kweri kabisa kwenye chanjo nimemuerewa sana
Allah atunusuru, kama chanjo nimeshachanja😢😢
@priscarkandonga7701
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Hii ni miaka 9 iliyopita na sasa imekuwa kweli
Allah atuhifazi yarabi
Dah pole sana kwa wazazi
Nawatch sai
mashaallah
😂😂😂hapo kwa cartoon amedanganya 😂😂likes za 2021
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
Unaijua historia ya cartoon?
Life is spiritual
Believe in jesus because is the only way of truth no one can see heven without jeasus
Hiyo logo ya Vodafone/Vodacom maana yake ni tone la damu itokayo kwenye moyo ulio chomwa kisu! Maana yake ni huzuni tupu kwa binaadamu duniani.
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
Metal Combat shikilia hpo hpo patakuokoa sawa eeh
alla akubarik kwa kutuelimisha
mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims
Sasa tunajionea shekhe
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Tutaona mengi tu
Hawa jamaa ivii wazima mpk Leo bado wapo
kweli kabisa
Nice 🙂👍
subhannallah
ماشاء لله
Nakubari shehe kwamafudisho manzuri
natural mystic, bob alikua akionya watu juu ya dajjal, ama anticrist,
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
maswanya khaji umuongo hiyo kitu iko wazi kabisa kwa taarifa yako aloambia watu waponye dunia ni mickol Jackson na kibao chake (hill the world)
Mungu atukomboe
Nyinyi Mnapotosha watu wacheni uhuni wenu.
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
Bint Juma wacha ujinga nawe kuwaunga mkono makafiri ivi mlikuwa mwataka watulie to wasitoboe
pole sana,asna,sana.....!!!
Shukrn sheikh
Ilshallaa Shee mungu mwema
Mkiokoka yesu atawalinda
mahaALLAH
Dah wataanzisha ugonjwa ili udungwe🙏kweli ndo kinachotokea
Nairobi?? Kisumu??? Cjamwelewa huyuuuu.....Nairobi na kisumu Ni wapi na wapi Sasa....mmmh hayaaa banah