OTHMAN MAZINGE...DEABATE YA BAMBURI MWISHO DAY 3

AKASHA DAAWAH CHANNEL

Пікірлер: 152

  • @mjitahidiomary8733
    @mjitahidiomary87333 жыл бұрын

    shekh mazinge piapia nakupenda sana

  • @peterchuchu5395
    @peterchuchu53957 жыл бұрын

    Asemacho mazinge ndo ukweli nimeamin kwanzia sasa nami nimekua mwislaam

  • @zainabzanzibar1518

    @zainabzanzibar1518

    7 жыл бұрын

    PETTER CHUCHU.Takibiri

  • @thechairmanbarrybenson6312

    @thechairmanbarrybenson6312

    7 жыл бұрын

    may Allah give u guidance and give u janatul firdosa

  • @thechairmanbarrybenson6312

    @thechairmanbarrybenson6312

    7 жыл бұрын

    pokea kwa Ethiopia

  • @shortcut3816

    @shortcut3816

    7 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akuongoze akuingize peponi ..... amin

  • @othmanabdallah1948

    @othmanabdallah1948

    7 жыл бұрын

    PETER CHUCHU m.mungu akuongoze Insha Allah

  • @bimenyimanaamissi5949
    @bimenyimanaamissi59494 жыл бұрын

    King mwenyewe mazinge wewe unanifurahisha sana Allah akupe mwisho mwema kwakazi unayo yifanya

  • @mgeniali1768
    @mgeniali17685 жыл бұрын

    Mungu awape umri na afya mashekh wetu yarrab

  • @najmaheart952
    @najmaheart9525 жыл бұрын

    Kazi ngumu kweli Allah awajalie afya njema wazidi kuitangaza dini

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese77245 жыл бұрын

    Mazinge Anatamba Kenya Yote. Yesu Hakufa, Yesu Hakuzaliwa Tarehe 25 December, Yesu Hakubatizwa. Kama Kidume Anasema Yesu Kafa Msalabani, Kabatizwa, Kazaliwa December 25 Meza Ile Pale. Wakristo Wote Kimyaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    Wasema wote kimya chezea mazinge ww watasilimu Tu😁😁😁😁😁😁

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi42185 жыл бұрын

    AslmAlkm salama Ndgu? Sheikh Mazinge InshaAllah Mngu hakupe umri uzidi kuhtetea Uislam,hunaphaa tena sana!!!......

  • @halimamwachilimwachili5099
    @halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah, Allah awabarik Masheikh kwa kazi nzuri.

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Ameen ya Rabby

  • @talalsaid6322
    @talalsaid63223 жыл бұрын

    Ustazi mazinge Allah akujaalie umri mrefu sana

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo24514 жыл бұрын

    MashaAllah... Shekh Mazinge wewe kibogo yao haki tunakuombea kwa Allah...

  • @benjaminsigei5737
    @benjaminsigei57373 жыл бұрын

    Mazinge kiboko yao🥰🥰 Allah akulipe kheir mazinge

  • @selemaninamtinga1756
    @selemaninamtinga17567 жыл бұрын

    mungu akudhidishie kila la hero sheikh mazinge

  • @doublesofficial5585
    @doublesofficial55857 жыл бұрын

    Allah akzdishie inshaallah uzid kuwaongoza ndg zetu wakristo waache ukafir...

  • @dzamecbc2859
    @dzamecbc28597 жыл бұрын

    Alhamdulillah I'm Muslim

  • @omarbakran8337
    @omarbakran83377 жыл бұрын

    Masha Allah wahadhiri wetu mungu awahifadhi awape firdaus

  • @thethreekingstheawadh7979
    @thethreekingstheawadh79796 жыл бұрын

    Alhamdilillah we are Muslims

  • @asmaabdallah4055

    @asmaabdallah4055

    5 жыл бұрын

    Nyinyi makafiri kama si rehema ya mtume mung alikuwa musha angamia kama walivyo angamia watu wa firaun mungu hawakuwaangamisa kwa sababu ya mtume kuwa nirhma kwenu mshukuruni tena sana

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 Жыл бұрын

    Allah Akbar ♥️🤲🏽

  • @kimoyochemokos6908
    @kimoyochemokos69084 жыл бұрын

    Hakika mumetutoa taka lililobakia na kutujenga kiimani, kuwa dini ilyosalia pekee duniani ni uisilamu tu, na wale hawakuweza kubadili nia ni khasara kwao

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    Ibrahim mashallah unajua tena unajua Allah akuzidishie hekma na maneno yako yawe yanaingia katika moyo ya wapotevu

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese77245 жыл бұрын

    Mi Naitwa DD Mi Ni Doctor Wa Makafiri Wote. Mazinge Ubarikiwe Sana Doctor.

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan86537 жыл бұрын

    ma shaa ALLAH jazakumullahul kheyr

  • @malymboshaban7465

    @malymboshaban7465

    5 жыл бұрын

    maashallah

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa34307 жыл бұрын

    MashaaAlla Allah awahifadhi kila lenye ubaya

  • @hamza89945
    @hamza899456 жыл бұрын

    Mungu awazidishie kher na kudumu katika hii kazi

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah76602 ай бұрын

    Usthadhi mazinge Allah akupe umri mrefu wenye manufaa uzidi kuitangaza neema ya Allah

  • @abdulkareemally8371
    @abdulkareemally83716 жыл бұрын

    naam mwalim Allah akufishe kweny kaz hii

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын

    Wallah uislam uislam rahaa asikundanye mtu, Allah akulipeni khery nyingi hapa dunian na kesho akhera nasi atujaze imaani tutoe kle ameturuzuku kwa ajili ya dini. Aamiyn.

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823

    @kibibimwanamvuamohammadmoh9823

    7 жыл бұрын

    Tunawaona wengi wanasilimu na wengine tunaambia basi yatupasa tufikirie wanahitaji kuisoma dini ili wazidi kuielewa, so umoja wetu tusaidiane kwa kazi hii kabla ya kufika cku ya majuto, kwani Akasha anajitahid kutufishia yaliomema nasi tusaidiane kwa wema. Nawapenda sana Akasha grp , Allah azidi kuwafanyia wepesi palipo mazito na kuwafungulia palipo fungika kwa uwezo wake Rahman. Aamiyn

  • @alimaalima6016

    @alimaalima6016

    6 жыл бұрын

    Aamin ya Rabb

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Hapana chezea mazinge 💞💞💞💞

  • @freyzamsaidi5515

    @freyzamsaidi5515

    3 жыл бұрын

    😘😘😘

  • @mwanamisipofu3212
    @mwanamisipofu32127 жыл бұрын

    Hongera usitadhi Mazinge

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын

    Sichoki kumskliza SHEIKH MAZINGE haata ikiwa saa7 za usiku mana najihis sijawa muislamu SAHIHI bila kujifunza nahichi kichwa nikinginge kabbisa Allah akulinde akuhifadhi naakustir daima inshallah.

  • @thechairmanbarrybenson6312
    @thechairmanbarrybenson63127 жыл бұрын

    MashaAllah may Allah give u janatul ferdosa

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    Amin yarab

  • @munirayusra91
    @munirayusra917 жыл бұрын

    Masha Allah Watanyooka tu kwa Sheikh Mazinge Allah Awabariki waadhiri wote..Ameen

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg6 ай бұрын

    My brothers your heroes of Muslims

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын

    Ewe Allah (SW).wape amani faraja na rehma zako hawa waja zako wanaoitangaza dini YAKO yahaki.AAMIN.

  • @alsaarh239
    @alsaarh2396 жыл бұрын

    Box kubwa sana mazinge mungu akubariki

  • @hadijambaruku5061

    @hadijambaruku5061

    6 жыл бұрын

    Mwenyezi Akuzidishie yalio mema sheikh mazinge ubalikiwe saaaaaaana,in shaa Allah

  • @hadijambaruku5061

    @hadijambaruku5061

    6 жыл бұрын

    Hawana mapya hooooooo,watabakia kubabaika tu bila kuujua ukweli,

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын

    NAWAPENDA BUREE NYIE MASHEIKH KIUKWELI MUNAPATA TABU KMA HAMUKO KATIKA ZAMA ZA MTUME SAW ILA MUSIKHOFU ALLAH YUKO NANYI NA HATOWAACHA MKONO DAIMA INSHALLAH.

  • @mohamedlijaa1271
    @mohamedlijaa12714 жыл бұрын

    Allaahu Akbar

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53123 жыл бұрын

    Mazinge na wenzako m/mungu awape mwisho mwama

  • @hassanhassan-ey9xb
    @hassanhassan-ey9xb7 жыл бұрын

    hao wote ninushindani wabure tu bora wa slimu

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын

    Nikweli sheikh mazinge watu wanawaona kama munafanya shoo vile Ila ALLAH ANAJUA kazi nzito munayoifanya MUSIKHOFU ALLAH YUKO NANYI NA HATOWAACHA MKONO DAIMA INSHALLAH. NAWAPENDA SANAAAA TENA MNOO.

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume8677 жыл бұрын

    Masha'Allah sheikh Mazinge

  • @fatmayahya6100
    @fatmayahya61007 жыл бұрын

    Masha Allah. nakupenda mazinge Kwa ajiil ya Allah

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    4 жыл бұрын

    My wajina Fatma Yahya hunishindi mie wallah

  • @mariamhamisi598

    @mariamhamisi598

    2 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh wetu mazinge allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya mungu uko vzur

  • @ahmedinho_005
    @ahmedinho_0053 жыл бұрын

    Mungu Awaongoze wasiokuwa waislamu

  • @halimamajid5252
    @halimamajid52525 жыл бұрын

    Ni nikuulize suali unijibu kirahisi rahisi mm babu yako.... Duh mashaallah d d.

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed6945 жыл бұрын

    Akasha aya maandishi yanayopita humu yanakera

  • @nordenconrad
    @nordenconrad2 жыл бұрын

    Bakozi nakukubali brother... Allah awalinde

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo24514 жыл бұрын

    Takbiiiir....

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Waislam Takbiiiiir Allah Akbar Allah Akbar

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo3897 жыл бұрын

    mwenyezi mungu awabari inshallah

  • @aishamuhidin415

    @aishamuhidin415

    6 жыл бұрын

    Omary Masoudy Kisondo nice

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    Subhana Allah

  • @adalabri2791
    @adalabri27917 жыл бұрын

    wanafahamu ila hawataki waona uislmu mgumu

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar87934 жыл бұрын

    Yarab...mpe umri habby mazinge ... awaongoze walio potea...Yani anaelimisha adi raa

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah78255 жыл бұрын

    ماشاء الله تبارك الله

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    Allahu Akbr

  • @bnassorokiyamile885
    @bnassorokiyamile8857 жыл бұрын

    ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH MMMMM DOKTAAAA MAZINGE GAWA DOZIII KWAMAKAFIRI MPAKA WAKOME KIZIWI KIWAISHIE HAAA HAA HAA HA H AA HA HAAAAAAAAA MBONA BADO YAO HAAAA HAA U A

  • @yusrakhamis449

    @yusrakhamis449

    5 жыл бұрын

    b nassoro kiyamile

  • @chichiabdallah8911
    @chichiabdallah89116 жыл бұрын

    Wallah kiboko cha makafiri

  • @hamadkhamiv6766

    @hamadkhamiv6766

    4 жыл бұрын

    Chichi Abdallah ustadh mazinge ni kiboko ya makafiri

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg5 жыл бұрын

    Mashallah

  • @khuwailatnassor8521
    @khuwailatnassor85217 жыл бұрын

    wakristo wakimuona tu al habiib mazinge basi wana te te tetemeka

  • @salehaboud6318

    @salehaboud6318

    7 жыл бұрын

    kweli kabica mazinge ndio mbabe wao

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    Sana tu...wanamjua ana majibu ya kijinga .watasilimu tu

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi42185 жыл бұрын

    AslmAlkm salama Ndgu? (S.A.W.) Most welcome our Brother, InshaAllah Mungu Hakubark uendelehe kuhukbali Uislam!!!....

  • @hassanhassan-ey9xb
    @hassanhassan-ey9xb7 жыл бұрын

    Ustadhi Mazinge hao hawakuezi hata robo

  • @abu_AZOZ

    @abu_AZOZ

    7 жыл бұрын

    mwenyezimungu akulinde na kula baya duniani

  • @samiamtanga1311

    @samiamtanga1311

    7 жыл бұрын

    hassan hassan

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @abokrarshamsan7963
    @abokrarshamsan79633 жыл бұрын

    Karibu mwenzangu

  • @yesusimungu9084
    @yesusimungu90847 жыл бұрын

    Tupe vitu Sheikh Othman Mazinge

  • @omarchedi

    @omarchedi

    7 жыл бұрын

    wakristo wabishi sana hivi hawaelewi kinachosemwa hapa

  • @bashitemakondagwajima5482
    @bashitemakondagwajima54827 жыл бұрын

    Wataelewa2

  • @adiltamim2276
    @adiltamim22764 жыл бұрын

    Akasha, hebu punguza haya matangazo yako. Unaharibu video. Angalau uweke tangazo baada ya dakika 10. SS ww kila muda matangazo. Nimeangalia video zako nyingi sana karibu zote unaharibu

  • @chimpatamshike1239
    @chimpatamshike12393 жыл бұрын

    Amekosa Swali anasingiziya Miraa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidahmed9688
    @saidahmed968811 ай бұрын

    muhadhara mzuri

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale68774 жыл бұрын

    Allah akueke semu njema peponi.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese77245 жыл бұрын

    Wakristo WA Kenya Wanakiri Hadharani Yakuwa Qur'an Ni Kitabu Cha Bwana. We Fanya Mchezo!!!!!!!

  • @adalabri2791
    @adalabri27917 жыл бұрын

    washazowea kwenda uchu waona watakosa

  • @hamza89945
    @hamza899456 жыл бұрын

    Mijikafiri haielewi. Wanasaidiwa waokolewe na moto lakini hawataki. Masikini sana

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese77245 жыл бұрын

    Mazinge Anawaambia Wakristo Mi Nikuulize Swali We Ujibu Thubutu!!!!! Mi Nakuuliza Swali Unaenda Kujibu Akhera.

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын

    Unashindwa na hoja unasingizia miraa

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын

    Yani mazinge mkali kweli unaulizwa swali unajibu na maandiko hawa wanajibu kiujanja ujanja...

  • @user-lr1oi6xp8o
    @user-lr1oi6xp8o4 жыл бұрын

    makafiri/wakristo wamenunaaa na bado🏃🏃🏃🏃🏃😎

  • @abdulimamo6591
    @abdulimamo65915 жыл бұрын

    Grande mazinge

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar87934 жыл бұрын

    Chezea mazinge ww 😁😁😁😁😁😁😁😁takbri.... Allah akbar

  • @user-wv5fq1bm5x

    @user-wv5fq1bm5x

    4 жыл бұрын

    Mbavu zangu mie😁😁😁😁😁😁

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Жыл бұрын

    Ustadhi huyo ujini na mwenzake hawa maswali Bali wanapoteza muda Tu !kwa hivyo waondoke kwani hao ni viziwi hawasiki

  • @tawhidislam4418
    @tawhidislam44183 жыл бұрын

    asalam aleikum warahmatulahi wabarakatu haya mafuta ntaya pata aje? mimi niko oman nataka ma chupa kama 10 hivi

  • @farajiissa560
    @farajiissa5602 жыл бұрын

    QURAN NI ZAID YA GOOGLE ULIZA CHOCHOTE DUNIAN IMEFUNDISHA HAD MAISHA YA WADUDU MUNGU TUJALIE TUFE TUKIWA WAISLAMU

  • @nasmamponde198
    @nasmamponde1984 жыл бұрын

    Sinagogi ni kanisa jamani

  • @hemedisaid3839

    @hemedisaid3839

    4 жыл бұрын

    Kakwmbia nani

  • @muhammadmuhaznun380

    @muhammadmuhaznun380

    2 жыл бұрын

    Ni msikiti

  • @israelmjema1167
    @israelmjema11674 жыл бұрын

    Mimi nashangaa xana nyie mnao jiita wakiristo. Laiti nanjie mngeujua wokovu msingeshindana nawaislamu.. Ndomana mnasilimishwa. Islamiki nidini za majini sasa weunaejiita mkirsto ukifika hapo nikusilimiswatu kwakua hamjui lolole kuhusu ukiristo. Lakini hao mashehe wote iko siku watatangazia waislamu ukiristo ulio kamili

  • @mxy7699

    @mxy7699

    4 жыл бұрын

    Wee nawe nahisi umesha zidiwa na najisi ya kula nguruwe na maji yenu hayo ya pombe. Unaongea pumba upuuzi

  • @mxy7699

    @mxy7699

    4 жыл бұрын

    Unasema kama yule mzee aliye kuja kujadili mambo yadini akiwa tayari amelewa. Acheni kufuata wazingu kwa ya kipumbavu watawapelekeni motoni tumia akili wewe.

  • @mxy7699

    @mxy7699

    4 жыл бұрын

    Majini ni viumbe na sisi binadamu ni viumbe. Kama tulivyoamrishwa sisi kumuabudu Mole wetu na wao pia wameamrishwa kumuabudu mola wa walimwengu woooote ukiwemo wewe kafiri unayemuasi. Ukisikia jini ujue ni kiumbe wapo ambao ni waumini na ambao ni mashetwani kama tulivyo sisi wanadamu.

  • @muhammadmuhaznun380

    @muhammadmuhaznun380

    2 жыл бұрын

    Endelea kuota...

  • @bultuabasalam5997
    @bultuabasalam59977 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @kalumapapaakalumapapaa8989

    @kalumapapaakalumapapaa8989

    5 жыл бұрын

    Mungu akubariki ostadh mazinge or d d

  • @ramdhanirashidi5484
    @ramdhanirashidi54846 жыл бұрын

    mazinge unatisha Kama njaa maana kuna maswali mazito kafiri hawezi kujibu

  • @samuelmuiruri4405
    @samuelmuiruri44056 жыл бұрын

    Akaoa kasichana ka miaka sita..siwezi mufuata huyo

  • @rajabukassim5138

    @rajabukassim5138

    4 жыл бұрын

    Achawivu Kwan Yule nidaako wakezake mtume wote yule ndo.alikua. Anaongoza kwa.wivu asa.mdogouyo kwanini usimshanga Adam alopewa mke ambae kaumbwa sikumoja

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    We kafiri Tu ..si ishapotea... subiri moto Tu...kama ukubali uisilam ni dini ya mungu

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    4 жыл бұрын

    Alikua Dada yako ndugu

  • @salmaomary6792

    @salmaomary6792

    4 жыл бұрын

    😂😂kumbe mmaona donge mtume kuoa.....

  • @MWALIMUMBUNIFU89

    @MWALIMUMBUNIFU89

    4 жыл бұрын

    Mungu hana haja na wewe, wewe ndiye unaye mhitaji Mungu

  • @majidammanga8659
    @majidammanga86596 жыл бұрын

    M/Mungu akulipeni kwa kheri na akupeni subra

  • @halimamwachilimwachili5099
    @halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah, Allah awabarik Masheikh kwa kazi nzuri.

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani31946 жыл бұрын

    uislam raha alhamduliLLAH ukristo niukafir tu ALLAH hanamsirika yyt na na hkuna wakuabudiw zaid yake ALLAHUAKBAR

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Hapana chezea mazinge 💞💞💞💞

  • @bockaselemani563
    @bockaselemani5634 жыл бұрын

    Mazinge pamoja sana insha allah

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын

    Silimisheni huyo Mtu...hajui hata anakoelekea

  • @abdullahedin8995
    @abdullahedin89955 жыл бұрын

    Mashallah