Wewe ndo huelewi kwani wakristo mmezoea kuaminishwa na kuacha ukweli
@CharlesSimtaji-pq7ys18 күн бұрын
Safi sana unajua kufundisha ukweli ili watu waelewe ssafi sanaaaa
@user-jl5un4wf3u24 күн бұрын
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
@AbdulMohamed-c8e27 күн бұрын
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
@husha637229 күн бұрын
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
@husha637229 күн бұрын
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
ubalikiwe
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
Ubalikiwe mungu. akusaidie
@karimmveyange2558Ай бұрын
ACHENI UKORA NYIEEE,MUOGOPENI MUNGU. YESU HAKULETA DINI,ALIKUTA DINI IPO ILIYO KUWEPO TANGU AWALI. TUACHE KUCHANGANYA MAZIWA NA CHUMVI
@castrochelela6660Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@abrahambash6687Ай бұрын
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
@FridayMwassa5 күн бұрын
Kwahiyo, miaka yote mnasema hivyo hivyo na Israel anazidi kuwachapa
@abrahambash6687Ай бұрын
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
@abrahambash6687Ай бұрын
Sasa unasingiziya waislamu ndiyo wameandika Biblia
@abrahambash6687Ай бұрын
Sasa unamini Biblia yako ni kama neno la mungu ama huamini. Unaleta Don fleming ndiyo nani? Mbona unapotesha watu. Kanisa ilianzishwa na wa rumi baado ya yesu
@abrahambash6687Ай бұрын
Ukweli hakuenda kanisani!!!!
@abrahambash6687Ай бұрын
Kanisa ama church ya kwanza ilijengea katika nchi ya syria wala si jerusalem myaka zaidi ya mia moja baada ya yesu..
@abrahambash6687Ай бұрын
Kumbe walikuja kutawala na kupoteza wajinga wakawapa biblia mkawapa nchi, hii ni aibu kweli kwa waafrica. Ndio sababu una abudu mungu mwenye pua ndefu mweupe
@abrahambash6687Ай бұрын
Kumbe waislamu wamewasaidia ku eneza ukristo
@abrahambash6687Ай бұрын
Kumbe unathibitisha kwamba uislam ulitangulia ukristo kuja africa
Haya yufanye dini ni njia kama utakavyo. Sasa muislam njiabyake ni uislam na Mkristo njia yake ni ipi? Wacha kuzunguka mbuyu badilisheni bibilia kama mlivyo badilisha maana ya sinagogi
@wazirisaid83262 ай бұрын
Kama yesu ndio njia na njia ndio dini kwahiyo Yesu ni dini?
@wazirisaid83262 ай бұрын
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
@wazirisaid83262 ай бұрын
Wacha uhuni wewe, Sinagogi ni lugha ya kiyahudi kiswahili chake ni msikiti wa Waislam wa kiyahudi na hilo ni neno la kiyahudi na msikiti ni msikiti wa waislam wengine wasio Wayahudi lakini wote ni waislam. Unatimia nguvu kubwa sana kuufanya ukeisto kuwa dini na bado hujaweza😂😂😂
@wazirisaid83262 ай бұрын
Kumbe bibilia ni maneno ya kubuni!! Kila mtu ametia maneno yake!!
@wazirisaid83262 ай бұрын
Kama bibilia ilitafsiriwa kwa lugha kimvita ili watu wa Mombasa waielewe ndio maana watu wa Mombasa ni waislamu maana wameyaelewa maneno ya kitabu hiko.
@wazirisaid83262 ай бұрын
Kwahiyo hijilia hajitoshelezi ndio maana unatafuta msaada kutoka ktk tafsiri za vitabu bilivyoandikwa na wachungaji wenzako juu ya Sinagogi? Vituko vitupu😂😂😂!!!!
@wazirisaid83262 ай бұрын
Wacha longolongo wewe Sinagogi ni msikiti wa Wayahudi na msikiti ni msikiti tu na waumini wake ni Waislamu usituoeleke kwenye Porojo mzee Yesu alikua Muislamu uislamu ulikuwepo tangu ktk Zaburi na Torati. Eti mtafsiri nyinyi si mnabadilisha bibilia kila siku. Eti Sinagogi ni kukutanika unataka uunganishe maneno ili useme Sinagogi ni kanisa😂😂 silimuni mumfuate Yesu
@masudihabonimana48872 ай бұрын
Samahan, wewe umecheza na maneno tu, hujaonesha kam Yesu kafundisha imani ya kikristo. Kisha acha kumtumia Petro maana petro hajakutana na Yesu. Kulingana na mafundisho yako ni kusema hata soko ni Sinagogi🤷🏽♀️. Acheni kua mnapoteza nafsi za watu wa Allah, kesho zitakushikeni kooni wakati wa hesabu.
@mossesmichaelnzowa33782 ай бұрын
Mwalimu yupo vizuri sana na Mimi nimemuelewa.
@user-jj6sd8me9k2 ай бұрын
Kwa hiyo unakataa ukwwli wa aya na ukatafuta tafsili?haya sasa si ndo yaleyale tu?
@user-jj6sd8me9k2 ай бұрын
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Yesu aliingia ktk senagogi tafsiri ya bibilia unaipindiaha unawaona waliotafsiri bibilia hawajui wewe ndie unaejua wacha uogo
@husseinmtende65752 ай бұрын
Kitu ya kwanza babeli hako kanaan alafu Kitu ya pili sinagogi kwa kiyahudi kwa kizungu mosque kwa kiswahili muskiti biblia ya kwanza ya king James ama standard version hizi ndizo vitabu zilizo tangulia Sasa hata ukisoma kitabu chat jana ama leo hakitavizidi hivyo vitabu
Sinagogi siokanisa ni msikiti kwasababuhii aina ya sala inayo saliwa ndani yasinagogi nisawa na inavyo saliwa ktk msikiti wasasa 1)sinagogi msikiti hakuna benchi 2) wanasujudu 3) anaombewa duwa ibrahim kitu ambacho kanisani hayo ayafanyiki ndomaana yesu aliingia hekaluni nakupinduwa meza zote nakutawa nje
@zuberkasim71502 ай бұрын
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
@user-jl5un4wf3u2 ай бұрын
Masinagogi nimajengoyaliyoliyoabudiwa nawayahudi au waisraeli wa nyakazilekablayakiristo hatakiristo alizaliwaktk imani yadini zamayahudi maanawazaziwakepia waliabudu hizo dini naye akiwamdogo yesu alisalihumo akiwamudogo lakinibaadae yesu alifukuzwa nawauminiwadinihiyo nahakurudihumotena hadiwanamuua badalayake alihubiri ufalme wambinguni akiwanamitumewake nawafuasiwake kwenyemihadhara aumikusanyiko yeyemwenyewe nikiristo ktk kuwa yiko hilo alihubiri ukiristo makanisa yalijengwa namitumebaadaya Yesukuwa aliishapaa kumwamwaja etisijui Abrahamu aunabiiMusa nimuislamu huoni upofuwa historia aupupa auhataelimu auhistoria uislamu nidini mupya ilikujamiaka700baadayaYesukiristo Kupaa iwejhe hatamanabiiwakale waliokwenye torati musemeniwaislamu ili hali uislamunidini mpyahapaduniani? .
@moseskatega84412 ай бұрын
Issa sio Yesu
@moseskatega84412 ай бұрын
Sisi sote na viumbe wote asili yetu ni ya ki'Mungu.Hata miti,wanyama,wadudu vilikuweko kabla ya Ibrahim.
@moseskatega84412 ай бұрын
Aliyeandika hayo maandiko yanayoitwa ya Yohana ni yuleyule Mrumi.Hakuna jina Yesu katika hiyo Johana.
@moseskatega84412 ай бұрын
Maandiko yameandikwa na nani? Sisi wote tuko na asili ya ki' Mungu maana sote tumeumbwa na Mungu.I wish niipate contact ya huyu Mwalimu.
@moseskatega84412 ай бұрын
Biblia ni maandishi ya.haohao waliolitunga jina Yesu
@moseskatega84412 ай бұрын
Hiyo yangu ukitak iite Kategaosis
@moseskatega84412 ай бұрын
Mimi Dr.Prince Katega II nimetafiti na ninao uhakika kuwa, Yesu sio kiumbe na wala hakuwahi kuishi duniani katika mwili.Ni jina la kisa asili. Yesu ni jina la Kigiriki " IESUS CHRISTOS".Issa bin Mariam na Yesu ni vitu viwili tofauti.
@JamesJastin-bg1rx2 ай бұрын
Huyu jamaa ni muongo sana litizame domo lake
@user-wy4yn2xi3n2 ай бұрын
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
@adamally4042 ай бұрын
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
@noahwamalwa43852 ай бұрын
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
@japharytwaha85522 ай бұрын
Sinagogi ni mahari panapokutanika tena ilikuwa ni kawaida yao tena wakifanya ibada baada kuwa nyumba zao kubomolewa, hii inaonyesha kwamba nikweli walikuwa wakifanya ibada hapo Kingine tafsiri hii imetolewa na mkusanyiko wa wakristo wote ambao ni viongozi
@adamally4042 ай бұрын
sinagogi ni sehmu ambayo kama wayahudi wasingeenda kinyume na maamrisho ya Allah basi ingekuwa ndio sehemu sahihi ya kuabudia hadi leo lakini kwavile wayahudi walikengeuka amri ya mola wao ndipo Allah akmleta Yesu aje kuwaonya juu ya adhabu ya Allah ktk kukengeuka kwao iwapo hawata tubu na kurudisha sheria ya Allah, kwaiyo yesu ndopo alilazimika kuwafata wayahudi ktk masingogi sehmu ya ibada walio igeuza soko la kufanyia biashara zao. jitihada za Yesu ziligonga mwamba wayahudi walimkataa Yesu na kutaka kumuua ndipo Allah akampaisha juu, pia Allah akawaacha wapotee wayahudi wasiotaka kuongoka na akamleta Muhammad salawahu alyhi waslssam. kuirejesha sheria yake itawale dunia ndio mana ikaletwa misikit sehemu takatifu toharifu kwaajili ya kutekeleza sheria hiza ndiomana waislam hatuingii katika masina gogi kwasababu Yesu kashindwa kuwarekebisha kuirejesha sheria ya Allah
@adamally4042 ай бұрын
brow kama unaongea ukiwa hujui upambanuzi hujapambanukiwa kimawazo basi mungu akupambanulie nuru ila kama unafanya kama wanavofanya wapotoshaji walio andaliwa kuiposha jamii pasi mungu akudamirishe
Пікірлер
Wewe ndo huelewi kwani wakristo mmezoea kuaminishwa na kuacha ukweli
Safi sana unajua kufundisha ukweli ili watu waelewe ssafi sanaaaa
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
ubalikiwe
Ubalikiwe mungu. akusaidie
ACHENI UKORA NYIEEE,MUOGOPENI MUNGU. YESU HAKULETA DINI,ALIKUTA DINI IPO ILIYO KUWEPO TANGU AWALI. TUACHE KUCHANGANYA MAZIWA NA CHUMVI
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
Kwahiyo, miaka yote mnasema hivyo hivyo na Israel anazidi kuwachapa
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
Sasa unasingiziya waislamu ndiyo wameandika Biblia
Sasa unamini Biblia yako ni kama neno la mungu ama huamini. Unaleta Don fleming ndiyo nani? Mbona unapotesha watu. Kanisa ilianzishwa na wa rumi baado ya yesu
Ukweli hakuenda kanisani!!!!
Kanisa ama church ya kwanza ilijengea katika nchi ya syria wala si jerusalem myaka zaidi ya mia moja baada ya yesu..
Kumbe walikuja kutawala na kupoteza wajinga wakawapa biblia mkawapa nchi, hii ni aibu kweli kwa waafrica. Ndio sababu una abudu mungu mwenye pua ndefu mweupe
Kumbe waislamu wamewasaidia ku eneza ukristo
Kumbe unathibitisha kwamba uislam ulitangulia ukristo kuja africa
MUNGU azidi KUKUPELEKA VIWANGO vinginee pastor
Mdahalo wa ukonga ulishindwa kuutetea ukristo sahii umeona ujifungie chumbani ujidanganye mwenyewe
Mbona unawapotosha watu
Haya yufanye dini ni njia kama utakavyo. Sasa muislam njiabyake ni uislam na Mkristo njia yake ni ipi? Wacha kuzunguka mbuyu badilisheni bibilia kama mlivyo badilisha maana ya sinagogi
Kama yesu ndio njia na njia ndio dini kwahiyo Yesu ni dini?
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
Wacha uhuni wewe, Sinagogi ni lugha ya kiyahudi kiswahili chake ni msikiti wa Waislam wa kiyahudi na hilo ni neno la kiyahudi na msikiti ni msikiti wa waislam wengine wasio Wayahudi lakini wote ni waislam. Unatimia nguvu kubwa sana kuufanya ukeisto kuwa dini na bado hujaweza😂😂😂
Kumbe bibilia ni maneno ya kubuni!! Kila mtu ametia maneno yake!!
Kama bibilia ilitafsiriwa kwa lugha kimvita ili watu wa Mombasa waielewe ndio maana watu wa Mombasa ni waislamu maana wameyaelewa maneno ya kitabu hiko.
Kwahiyo hijilia hajitoshelezi ndio maana unatafuta msaada kutoka ktk tafsiri za vitabu bilivyoandikwa na wachungaji wenzako juu ya Sinagogi? Vituko vitupu😂😂😂!!!!
Wacha longolongo wewe Sinagogi ni msikiti wa Wayahudi na msikiti ni msikiti tu na waumini wake ni Waislamu usituoeleke kwenye Porojo mzee Yesu alikua Muislamu uislamu ulikuwepo tangu ktk Zaburi na Torati. Eti mtafsiri nyinyi si mnabadilisha bibilia kila siku. Eti Sinagogi ni kukutanika unataka uunganishe maneno ili useme Sinagogi ni kanisa😂😂 silimuni mumfuate Yesu
Samahan, wewe umecheza na maneno tu, hujaonesha kam Yesu kafundisha imani ya kikristo. Kisha acha kumtumia Petro maana petro hajakutana na Yesu. Kulingana na mafundisho yako ni kusema hata soko ni Sinagogi🤷🏽♀️. Acheni kua mnapoteza nafsi za watu wa Allah, kesho zitakushikeni kooni wakati wa hesabu.
Mwalimu yupo vizuri sana na Mimi nimemuelewa.
Kwa hiyo unakataa ukwwli wa aya na ukatafuta tafsili?haya sasa si ndo yaleyale tu?
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
Yesu aliingia ktk senagogi tafsiri ya bibilia unaipindiaha unawaona waliotafsiri bibilia hawajui wewe ndie unaejua wacha uogo
Kitu ya kwanza babeli hako kanaan alafu Kitu ya pili sinagogi kwa kiyahudi kwa kizungu mosque kwa kiswahili muskiti biblia ya kwanza ya king James ama standard version hizi ndizo vitabu zilizo tangulia Sasa hata ukisoma kitabu chat jana ama leo hakitavizidi hivyo vitabu
Wambie wenzio sinagogi nikanisa kumbewewe mwalim unashida
Sinagogi siokanisa ni msikiti kwasababuhii aina ya sala inayo saliwa ndani yasinagogi nisawa na inavyo saliwa ktk msikiti wasasa 1)sinagogi msikiti hakuna benchi 2) wanasujudu 3) anaombewa duwa ibrahim kitu ambacho kanisani hayo ayafanyiki ndomaana yesu aliingia hekaluni nakupinduwa meza zote nakutawa nje
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
Masinagogi nimajengoyaliyoliyoabudiwa nawayahudi au waisraeli wa nyakazilekablayakiristo hatakiristo alizaliwaktk imani yadini zamayahudi maanawazaziwakepia waliabudu hizo dini naye akiwamdogo yesu alisalihumo akiwamudogo lakinibaadae yesu alifukuzwa nawauminiwadinihiyo nahakurudihumotena hadiwanamuua badalayake alihubiri ufalme wambinguni akiwanamitumewake nawafuasiwake kwenyemihadhara aumikusanyiko yeyemwenyewe nikiristo ktk kuwa yiko hilo alihubiri ukiristo makanisa yalijengwa namitumebaadaya Yesukuwa aliishapaa kumwamwaja etisijui Abrahamu aunabiiMusa nimuislamu huoni upofuwa historia aupupa auhataelimu auhistoria uislamu nidini mupya ilikujamiaka700baadayaYesukiristo Kupaa iwejhe hatamanabiiwakale waliokwenye torati musemeniwaislamu ili hali uislamunidini mpyahapaduniani? .
Issa sio Yesu
Sisi sote na viumbe wote asili yetu ni ya ki'Mungu.Hata miti,wanyama,wadudu vilikuweko kabla ya Ibrahim.
Aliyeandika hayo maandiko yanayoitwa ya Yohana ni yuleyule Mrumi.Hakuna jina Yesu katika hiyo Johana.
Maandiko yameandikwa na nani? Sisi wote tuko na asili ya ki' Mungu maana sote tumeumbwa na Mungu.I wish niipate contact ya huyu Mwalimu.
Biblia ni maandishi ya.haohao waliolitunga jina Yesu
Hiyo yangu ukitak iite Kategaosis
Mimi Dr.Prince Katega II nimetafiti na ninao uhakika kuwa, Yesu sio kiumbe na wala hakuwahi kuishi duniani katika mwili.Ni jina la kisa asili. Yesu ni jina la Kigiriki " IESUS CHRISTOS".Issa bin Mariam na Yesu ni vitu viwili tofauti.
Huyu jamaa ni muongo sana litizame domo lake
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
Sinagogi ni mahari panapokutanika tena ilikuwa ni kawaida yao tena wakifanya ibada baada kuwa nyumba zao kubomolewa, hii inaonyesha kwamba nikweli walikuwa wakifanya ibada hapo Kingine tafsiri hii imetolewa na mkusanyiko wa wakristo wote ambao ni viongozi
sinagogi ni sehmu ambayo kama wayahudi wasingeenda kinyume na maamrisho ya Allah basi ingekuwa ndio sehemu sahihi ya kuabudia hadi leo lakini kwavile wayahudi walikengeuka amri ya mola wao ndipo Allah akmleta Yesu aje kuwaonya juu ya adhabu ya Allah ktk kukengeuka kwao iwapo hawata tubu na kurudisha sheria ya Allah, kwaiyo yesu ndopo alilazimika kuwafata wayahudi ktk masingogi sehmu ya ibada walio igeuza soko la kufanyia biashara zao. jitihada za Yesu ziligonga mwamba wayahudi walimkataa Yesu na kutaka kumuua ndipo Allah akampaisha juu, pia Allah akawaacha wapotee wayahudi wasiotaka kuongoka na akamleta Muhammad salawahu alyhi waslssam. kuirejesha sheria yake itawale dunia ndio mana ikaletwa misikit sehemu takatifu toharifu kwaajili ya kutekeleza sheria hiza ndiomana waislam hatuingii katika masina gogi kwasababu Yesu kashindwa kuwarekebisha kuirejesha sheria ya Allah
brow kama unaongea ukiwa hujui upambanuzi hujapambanukiwa kimawazo basi mungu akupambanulie nuru ila kama unafanya kama wanavofanya wapotoshaji walio andaliwa kuiposha jamii pasi mungu akudamirishe
Yesu ni mmoja kati ya Kristo wengi
asante sana mtumishi ubarikiwe sana