Je unaweza kufuga njiwa kama mapambo nyumbani kwako?

'Njiwa mmoja naweza kuuza hata shilingi 200,000 '
Kwa wengi njiwa ni kitoweo na hufugwa kwa mapenzi si biashara. Lakini Deogratius Temba, kijana kutoka Dodoma,Tanzania amebadilisha dhana hiyo.
Anafuga njiwa wa kipekee. Njiwa wa mapambo ambao hutumika kupendezesha makazi ambapo Kati zaidi ya aina 10 ya njiwa wa mapambo alionao, mmoja anauzwa kati ya dola $85 mpaka $180 au shilingi laki 4 za Tanzania.
Mwandishi wetu Yusuph Mazimu alimtembelea huko Dodoma na kuandaa taarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #dodoma

Пікірлер: 6

  • @peternkumulwa8069
    @peternkumulwa80694 ай бұрын

    Naomba namba kaka

  • @MatBoy-mj5um
    @MatBoy-mj5um Жыл бұрын

    kaka nikitaka njiwa simba ni bei au wote ni beii moja mkuu

  • @alfredbeny
    @alfredbeny Жыл бұрын

    Aise nipataie Namba Yako namimi niweze kuwa pata hao njiwa Niko morogoro Tanzania

  • @user-nw2rh9ic1x
    @user-nw2rh9ic1x11 ай бұрын

    Nawezaje kuipata iyo mbegu nipo songea

  • @JacobRushatsi-gi6wj
    @JacobRushatsi-gi6wj Жыл бұрын

    me nahitaji kupata namba yako

  • @MatBoy-mj5um
    @MatBoy-mj5um Жыл бұрын

    kaka namba yako ya simu napata vipii

Келесі