JAJI WARIOBA AMCHAMBUA MAREHEMU MARK BOMANI, ASIMULIA ALIVYOMUOMBA KAZI "ALIKUWA NA WAKATI MGUMU"
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba ni miongoni mwa viongozi walioshirika mazishi ya Jaji Mark Bomani aliyezikwa leo jijini Dar es Salaam, ambapo ameelezea historia ya Jaji Bomani na jinsi alivyomuomba kazi katika Ofisi yake akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Пікірлер: 10
Nyerere hakuwabania vijana wasomi!!!!!
Msiba
Wewe ni Muungwana sana
Sauti linakatakata Millard
Hawa Wazee wa zamani hawa.
Magufuli aongea kiukali msiwasikilize wanamaneno magum 👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/l4iKxZuMerfLqrg.html
Basi nawe silimu uwe Muslim before is to late that was religion of Prophets include Jesus Ref.Alquran 42:13 please father.. Dunia tunapita.
JINSI YA KUPATA GB 10 BURE MITANDAO YOTEkzread.info/dash/bejne/oqmesaSxpdSyY6w.html
HATIMAYE BABALEVO AFUKUZWA KAZI WASAFI FM🤣💥🔥🔥 Link 👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n21ll6yLpZe-c9Y.html