JAJI WARIOBA AMCHAMBUA MAREHEMU MARK BOMANI, ASIMULIA ALIVYOMUOMBA KAZI "ALIKUWA NA WAKATI MGUMU"

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba ni miongoni mwa viongozi walioshirika mazishi ya Jaji Mark Bomani aliyezikwa leo jijini Dar es Salaam, ambapo ameelezea historia ya Jaji Bomani na jinsi alivyomuomba kazi katika Ofisi yake akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Пікірлер: 10

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26403 жыл бұрын

    Nyerere hakuwabania vijana wasomi!!!!!

  • @RamaniTZ
    @RamaniTZ3 жыл бұрын

    Msiba

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61913 жыл бұрын

    Wewe ni Muungwana sana

  • @RamaniTZ
    @RamaniTZ3 жыл бұрын

    Sauti linakatakata Millard

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia86133 жыл бұрын

    Hawa Wazee wa zamani hawa.

  • @hktztv6519
    @hktztv65193 жыл бұрын

    Magufuli aongea kiukali msiwasikilize wanamaneno magum 👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/l4iKxZuMerfLqrg.html

  • @ndwatanchullah4013
    @ndwatanchullah40133 жыл бұрын

    Basi nawe silimu uwe Muslim before is to late that was religion of Prophets include Jesus Ref.Alquran 42:13 please father.. Dunia tunapita.

  • @i.gconnectiontztv8972
    @i.gconnectiontztv89723 жыл бұрын

    JINSI YA KUPATA GB 10 BURE MITANDAO YOTEkzread.info/dash/bejne/oqmesaSxpdSyY6w.html

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi68933 жыл бұрын

    HATIMAYE BABALEVO AFUKUZWA KAZI WASAFI FM🤣💥🔥🔥 Link 👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/n21ll6yLpZe-c9Y.html

Келесі