JAFO AKERWA WAWEKEZAJI KUKIMBIA NJE, WAFANYABIASHARA KUCHUKIANA, ATOA AGIZO

Пікірлер: 13

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud14 күн бұрын

    Mh.wsziri Hotuba nzuri sana inatia moyo wafanya biashara na wawekezaji ,kama na vitendo vitakuwa hivyo unavyoaahid.safi Go ahead.

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco996622 күн бұрын

    Huyu jamaa ni hazina ya taifa, siyo akina Mwigulu, Nape, January na akina Tulia.

  • @AwardHakimu

    @AwardHakimu

    22 күн бұрын

    Namkubali sana huyu jamaa hanaga masifa ni mchapa kazi wenye akili timamu ndio TUnamuelewa huyu

  • @Majhidymhessa
    @Majhidymhessa23 күн бұрын

    Tatizo mnalijua sana: Ni utitiri wa Kodi zenu. Mfano bidhaa nyingi za inchi jirani kwa mfano @Rwanda,Burundi,Uganda, Malawi n:k zinapitia hapo Bandari ya Dar kule zinauzwa nusu ya bei tofauti na siye. Angalieni hilo. Na kinacho sumbua hapo kwetu ni Roho Mbaya za watu na maslahi binafsi zaidi.

  • @halidomar9874
    @halidomar987422 күн бұрын

    Madeni tuna bambikiwa tra hatuyaelew

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde942922 күн бұрын

    Nimefurahia sana huyu jamaa huwa ana maono ya nchi iendelee.

  • @user-vb7vw2jr7d
    @user-vb7vw2jr7d22 күн бұрын

    Mimi mwenyewe nimetoka kulipa faini ya milioni moja ya kubambikwa kwasababu hakuna pakusemea na mpango wakuhama kwenda nchi jirani

  • @tisamokebulemasubugu6222
    @tisamokebulemasubugu622215 күн бұрын

    Wakubwa wanakimbia lakini wadogo wanatishiwa Police ukiziangalia lawama zote tatizo ni maamuzi Kwanini wachumi wa hii Nchi hawana michango katika uendeshaji wa uchumi Endelevu ?

  • @victorjames3730
    @victorjames373021 күн бұрын

    TRA na Kodi sio rafiki kwa wafanyabiashara

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    15 күн бұрын

    TRA just want to see the numbers growing😢😢

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf23 күн бұрын

    Hao kina mo dewj wanapaka kuilazimisha ili wapinguziwe Kodi Yani waziri wawachie waende

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv23 күн бұрын

    Nafurahi umerudi ulingoni, jaffo, majaliwa, makonda, haya nimejembe, hayaishi ukaliwake, kule walikokuwa wamekupeleka walikuziba mdomo, nakuombea sana Kwa Mungu akupe hekma kumaliza migogoro ya wafanya biashara,

  • @tisamokebulemasubugu6222
    @tisamokebulemasubugu622223 күн бұрын

    Maamuzi ya viongozi hayaangalii uepushaji wa Athari Kwa wafanya Biashara

Келесі