LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...

LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 90

  • @connan9923
    @connan992321 күн бұрын

    Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi

  • @hassanissah7141

    @hassanissah7141

    9 күн бұрын

    Maneno mazuri sana Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani

  • @emmanuelmakaya7604
    @emmanuelmakaya760429 күн бұрын

    Umefanya vizuri.. Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..

  • @Naahlyan
    @Naahlyan24 күн бұрын

    Siasa imempendeza sana

  • @mshindisanga6530
    @mshindisanga653011 күн бұрын

    Jukwaa la leo halioani na talent

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven20 күн бұрын

    Jamaa anarudia sana

  • @daudphilimon4317
    @daudphilimon431718 күн бұрын

    Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana

  • @musajoseph7896
    @musajoseph789627 күн бұрын

    Watu wana stress Acha wafurahi.

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa701629 күн бұрын

    Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    12 күн бұрын

    Oyeeeeeer🎉❤

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven20 күн бұрын

    Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake

  • @EliasHassani
    @EliasHassaniАй бұрын

    🔥🔥

  • @kenedymwamagemo1066
    @kenedymwamagemo106629 күн бұрын

    He is trying really hard not to say something offensive to the government

  • @officialfadhilomar5249
    @officialfadhilomar5249Ай бұрын

    😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3umАй бұрын

    Nchi ngumu sana hii

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa701629 күн бұрын

    Makonda safi

  • @thetrailerzone2791
    @thetrailerzone2791Ай бұрын

    Makonda hoyee hawa wanazingua

  • @stanleyshoo
    @stanleyshoo11 күн бұрын

    Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji

  • @dostovan5142
    @dostovan5142Ай бұрын

    Hii audience sio ya comedy

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3yАй бұрын

    Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii

  • @chage97
    @chage97Ай бұрын

    Mavi mavi mavi

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawaАй бұрын

    Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm

  • @mozahsalum8882

    @mozahsalum8882

    27 күн бұрын

    Uchichemeee hivyooo

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vmАй бұрын

    Makonda oyeee

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394Ай бұрын

    😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki

  • @muhsiniamiri9310

    @muhsiniamiri9310

    Ай бұрын

    anarudia rudia hamna la Maan namkubal Ila leo hajanifrahisha

  • @contempo_builders

    @contempo_builders

    Ай бұрын

    Una D ngapi kwanza?

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    MAKONDA OYEEE

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5euАй бұрын

    tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8hАй бұрын

    Hii nchi hapana kwa kweli

  • @amosmangura
    @amosmanguraАй бұрын

    Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii

  • @KLYLIANTHOMAX
    @KLYLIANTHOMAXАй бұрын

    Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine

  • @ellytech9757

    @ellytech9757

    29 күн бұрын

    Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂

  • @michaelcharles49
    @michaelcharles49Ай бұрын

    Anarudia rudia sana

  • @sozimelody8333
    @sozimelody8333Ай бұрын

    Fundi

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2iАй бұрын

    Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311Ай бұрын

    Unarudiarudia content mkuu

  • @Juli-ep9dn

    @Juli-ep9dn

    Ай бұрын

    Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote

  • @jeffhard5773

    @jeffhard5773

    Ай бұрын

    Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo

  • @KishoraKishoralimbu

    @KishoraKishoralimbu

    Ай бұрын

    Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla

  • @imamhussein1104

    @imamhussein1104

    Ай бұрын

    Lini hao watu walienda mlimani city.?

  • @MollelMollel-il4rg
    @MollelMollel-il4rgАй бұрын

    Hiyo ndio kero za wananchi

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005Ай бұрын

    hii umezinguaa

  • @user-kd6fn8br2s

    @user-kd6fn8br2s

    18 күн бұрын

    Kwanini

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496Ай бұрын

    Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap

  • @DanielMjengi
    @DanielMjengiАй бұрын

    Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????

  • @AllyBabu-kr6lg

    @AllyBabu-kr6lg

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂🎉🎉😂

  • @djfunk255

    @djfunk255

    Ай бұрын

    😂😂😅

  • @user-nb5fk2qh9c

    @user-nb5fk2qh9c

    Ай бұрын

    Wamekukojolea wewe

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekelaАй бұрын

    tusikilize kero

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmАй бұрын

    Ulikua unapuyanga tu hapo

  • @uhakikatv255.
    @uhakikatv255.Ай бұрын

    utani utani hivi hivi unaweza ukajikuta leonardo unakula teuzi

  • @chengaclassic2430

    @chengaclassic2430

    5 күн бұрын

    Ni kweli Kbsa

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawaАй бұрын

    Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo239518 күн бұрын

    Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe26 күн бұрын

    Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612Ай бұрын

    Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji

  • @barrynzeyimana6270

    @barrynzeyimana6270

    Ай бұрын

    Unataka kila mda walie?

  • @AllyBabu-kr6lg

    @AllyBabu-kr6lg

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fwc5552
    @fwc5552Ай бұрын

    Kwisha kabisa

  • @octavian54
    @octavian54Ай бұрын

    Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi

  • @Mwita171
    @Mwita171Ай бұрын

    Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa

  • @josephminja7953
    @josephminja795329 күн бұрын

    Tatueni kero kwanza komed bdae😢

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9kАй бұрын

    Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil

  • @Juli-ep9dn

    @Juli-ep9dn

    Ай бұрын

    Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    Ай бұрын

    Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9eАй бұрын

    Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.

  • @davisnziku

    @davisnziku

    Ай бұрын

    Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga

  • @iam_sami

    @iam_sami

    Ай бұрын

    Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂

  • @JamesPaulo-oz7tb

    @JamesPaulo-oz7tb

    Ай бұрын

    Comedy ni Sanaa pia😂😂

  • @AllyMauga-hq5vm

    @AllyMauga-hq5vm

    Ай бұрын

    Huna akili wew

  • @greaterjustin2231

    @greaterjustin2231

    Ай бұрын

    Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki

  • @user-gq4bk8ub7o
    @user-gq4bk8ub7oАй бұрын

    Angalieni na umri wa kuchekesha

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165Ай бұрын

    Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.

  • @elsabio11

    @elsabio11

    Ай бұрын

    Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show

  • @sylivestersalatiely8985
    @sylivestersalatiely89852 күн бұрын

    Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211Ай бұрын

    Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help

  • @Mwita171
    @Mwita171Ай бұрын

    Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo