LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 90
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi
@hassanissah7141
9 күн бұрын
Maneno mazuri sana Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani
Umefanya vizuri.. Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..
Siasa imempendeza sana
Jukwaa la leo halioani na talent
Jamaa anarudia sana
Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana
Watu wana stress Acha wafurahi.
Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤
@shanimbaruku2071
12 күн бұрын
Oyeeeeeer🎉❤
Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake
🔥🔥
He is trying really hard not to say something offensive to the government
😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu
Nchi ngumu sana hii
Makonda safi
Makonda hoyee hawa wanazingua
Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji
Hii audience sio ya comedy
Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii
Mavi mavi mavi
Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm
@mozahsalum8882
27 күн бұрын
Uchichemeee hivyooo
Makonda oyeee
😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki
@muhsiniamiri9310
Ай бұрын
anarudia rudia hamna la Maan namkubal Ila leo hajanifrahisha
@contempo_builders
Ай бұрын
Una D ngapi kwanza?
MAKONDA OYEEE
MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA
tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay
Hii nchi hapana kwa kweli
Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii
Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine
@ellytech9757
29 күн бұрын
Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂
Anarudia rudia sana
Fundi
Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi
Unarudiarudia content mkuu
@Juli-ep9dn
Ай бұрын
Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote
@jeffhard5773
Ай бұрын
Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo
@KishoraKishoralimbu
Ай бұрын
Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla
@imamhussein1104
Ай бұрын
Lini hao watu walienda mlimani city.?
Hiyo ndio kero za wananchi
hii umezinguaa
@user-kd6fn8br2s
18 күн бұрын
Kwanini
Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap
Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????
@AllyBabu-kr6lg
Ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉🎉😂
@djfunk255
Ай бұрын
😂😂😅
@user-nb5fk2qh9c
Ай бұрын
Wamekukojolea wewe
tusikilize kero
Ulikua unapuyanga tu hapo
utani utani hivi hivi unaweza ukajikuta leonardo unakula teuzi
@chengaclassic2430
5 күн бұрын
Ni kweli Kbsa
Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa
Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya
Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work
Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji
@barrynzeyimana6270
Ай бұрын
Unataka kila mda walie?
@AllyBabu-kr6lg
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwisha kabisa
Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi
Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa
Tatueni kero kwanza komed bdae😢
Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil
@Juli-ep9dn
Ай бұрын
Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
Ай бұрын
Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil
Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.
@davisnziku
Ай бұрын
Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga
@iam_sami
Ай бұрын
Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂
@JamesPaulo-oz7tb
Ай бұрын
Comedy ni Sanaa pia😂😂
@AllyMauga-hq5vm
Ай бұрын
Huna akili wew
@greaterjustin2231
Ай бұрын
Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki
Angalieni na umri wa kuchekesha
Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.
@elsabio11
Ай бұрын
Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show
Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented
Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help
Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo