Huyu mungu Wa mafuta mimi sijawahi mhona maombi tu hayatoshi mpaka mafuta hiyo sio mungu Wa mbinguni
@estakanyasonjikho25944 жыл бұрын
Mungu atabaki kua mungu
@paulinacherement25344 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaih rajiuuuna
@madamloveness72744 жыл бұрын
Mwl mwakasege anajaza Sana watu na Wala hatumii mafuta na hajawahi kuwa sababu ya kifo Cha mtu .Mungu awape macho ya rohoni muone neno Ni Bora kuliko mafuta
@kamukamasylvia96404 жыл бұрын
Pole Moshi, pole Tanzania ila sasa tujifunze
@boniphacemengoru14974 жыл бұрын
Polenii
@DeviusSmtala-uq2cj11 ай бұрын
Pole Yao
@saidmwamba85594 жыл бұрын
Tanzania majinga mengi sana ata mtu akijiita Mungu atapata wafuasi wengi tu.
@aloycedaniel5251
4 жыл бұрын
😀
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
Tujue akuna nabii wala mtume ni waongo tu MTU akisema mm mtume au nabii mchukue jera
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
poleni ndugu zangu wa nyumbani moshi
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Daah huyu maza kaenda na shida zake akaishia kupata shida zinginee
@saddyclassicfashion95774 жыл бұрын
Alikua anatoa kafar ya mwanzo Wa mwaka uyoo tibagan ya kukanyaga wabongo atutumii akili mafuta ya kupaka we ukanyage duuuuhhhh kaz ipo
@saidasaidjuma3505
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙈
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Watanzania tujifunze kuomba wenyewee bila kuombewaa tuwe na iman
@ImpressiveFacts
4 жыл бұрын
Fact
@mihayoyabhupangachannel99094 жыл бұрын
SIKIENI SANA ANACHOKIPIGIA KELELE MCHUNGAJI MBARIKIWA MWAKIPESILE MAJANGA KAMA HAYA YANAKWEPEKA.
@nashally64854 жыл бұрын
Wachaga Na imani yenu yote mmekufa kisa kukanyaga mafuta ya korie jmnnn
@jemawiston3521
4 жыл бұрын
Umenifurahishaaaa kwa kweli hizi ni cku za mwisho
@daimavlog4 жыл бұрын
Huku waumini, huku mvua, huku wanajeshi, tuombe sana hali ni mbaya
@digahg78904 жыл бұрын
wanawake imani yao ni ndgo sana kwenye kila kitu cha kuhusu imani wanakimbilia huko
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
Alafu wamama wengi ndio wamepotez maisha (15) Halafu mwanaume Ni mmoja duu tujifunzeni jamen
@saddyclassicfashion95774 жыл бұрын
Sio mtume uyoo mnakufuru kumuita mtume
@bunyinyigajustine60834 жыл бұрын
Dah
@jofreymbuba81214 жыл бұрын
Mazombi yatakufa sana ngederesi wanamfuata yule yesu mcheza filamu matokeo yake ndio hayo
@hajilundenga9333
4 жыл бұрын
Haaaa haaa eti mtu anafanya kazi ya Mungu duh mungu kweli nnaemjua mimi aya nawe umba mbu
@mustaphagairo1936
4 жыл бұрын
Tatzo la wengi wanataka miujiza kabla kumjua YESU
@princesamir1724
4 жыл бұрын
Halafu wanaamiin yule alie act ile movie ndo yesu mwenyew... na ndio maan wakachonga vinyago vyake (msalaba) Makafiri laana tullah
@irenenghoba284 жыл бұрын
Dunia imefika ukingoni
@gideonwalker71694 жыл бұрын
"Watu wangu wanapotea kwa sababu ya kukosa maarifa". Acheni kudanganywa hizi ni nyakati za mwisho.
@pascalinamushi608
4 жыл бұрын
Poleni
@allymsisi10964 жыл бұрын
Mtume anakimbiaaaa
@vanyahmed89374 жыл бұрын
Awo ni freemason
@roidisichula85924 ай бұрын
Jambazi akikamatwa inatakiwa naye apigwe risas
@graceglory16132 жыл бұрын
Mh alikuwa anakimbia Nini Kama yeye nimtumushi tapeli mkubwa
@annamasebo20614 жыл бұрын
Kweli siku za mwisho manabii wa uongo watatokea haya sasa
@shedrackboniphace77554 жыл бұрын
Ajali haina kinga full stop
@Jumaajumajumaajuma4 жыл бұрын
Selikali inatakiwa iwe kama ya SAMOLA MASHEL
@jumasalum57694 жыл бұрын
Hivi n kwann Serikal isinge futilia mbali huo usenge wa kukubaliana na hao Manabii feki walio jaa ktk nchi yetu??? hao ndo wanao tuzidishia laana kutoka kwa MUNGU kias kwamba mpaka maisha yanazid kuwa magum mamae zao
@dianaleole64604 жыл бұрын
Hatari sana hii Mungu utusaidie
@senimabulamabuga1232
4 жыл бұрын
Dunia iko mwisho mafuta ya mungu yauwe watu tunusulu yaraab
@dianarichardkiri13182 жыл бұрын
Mafuta huwa yanateleza sio Cha ajabu watu kuteleza Kama wagombania kukanyaga kwa fujo ni ajali tu Kama ajali zingine
@millicentatieno96314 жыл бұрын
Watu wenyewe pia ni vichwa ha Ana utatatibu
@lovenesscollman82324 жыл бұрын
Mhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumasalum5769
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bora hata na wew umejichekea maana me mwenyew sijaona huruma yyte zaid ya kuona n upumbavu tu kwa hao wafuasi wa Manabii feki Mamae zao
@zaujahamisi14614 жыл бұрын
huwo ndo mwisho wa ulimwengu unavyosogea taratibu tu wala hauna wasiwasi
@beatricebeatrice64514 жыл бұрын
sasion sabrina
@mdungimdungikhamis77794 жыл бұрын
Nyinyi mtakufa wengi mnaombewa kila siku mafuta lakini bado mpo ivo ivo na kwanini akimbie sasa na ni bahati mbaya rudini kwa mungu wenu tu
@stephenameeenlowoko323
4 жыл бұрын
Hata Maka wanakufaga!
@rkplatnumzrkplatnumz45424 жыл бұрын
mmmh siku za mwisho izo na hiyo ni. Kafara kueni makini jamani
@mksmedicallaboratory7320
4 жыл бұрын
Ulikua pamoja akitoa kafala usinene kitu ambacho hunauhakika nacho
@rkplatnumzrkplatnumz4542
4 жыл бұрын
Malselino Silasi iv unaweza kuniambia kua mafuta yana husiana na nini katika maadiko au ayo mafuta yana toka wap
@maulidkalengela98084 жыл бұрын
Siku za mwisho watakuja manabii wa uongo nao watawadanganya wengi ni maandiko matakatifu.mimi smuhukumu ila jamani isiwe kila kitu tunakikimbilia
@elphasibahari5073
4 жыл бұрын
Kila unabii lazima upimwe kwenye chujio
@elphasibahari5073
4 жыл бұрын
Wakati wa laodikia
@jofreymbuba8121
4 жыл бұрын
@@elphasibahari5073 hilo chujio atashika nani
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Wasingekufa Ungetamka Hayo?! Kama Mungu yupo na anahukumu kwa haki, ipo siku utatafuta msaada na kuangukia kwa hao hao unawatukana leo. Ipo siku
@kelvinmchau88154 жыл бұрын
Isaya 5:13 “Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana"
@salimahemed7101
4 жыл бұрын
Nimejifunza
@jeniwilliam9904 жыл бұрын
Sikweli akimbie aende daa
@saidylikangasimba50914 жыл бұрын
Tatizo kubwa LA walokole na wakristo hamsomi dini yenu mkaitambua mtakufa kizembe kila siku na yesu alishawaambia watu Wangu mtaangamia kwa kukosa maarifa
@EK-kp2np
4 жыл бұрын
Saidy Likangasimba Wale maelfu wanaokufa kila mwaka wakizunguka Al Kaaba pale Macca nao wamekosa maarifa, siyo?🤔
@charleshezekiah40424 жыл бұрын
Maandiko tumepewa. Tatizo tunasoma biblia kama tunasoma gazeti la michezo. Kwa hili kweli kondoo as Mungu ni wengi lkn wanaangamia kwa kushindwa kujua ukweli wa maandiko
@mustaphagairo1936
4 жыл бұрын
Watu tunajisahau sana, tunataka fasta fasta ndio madhara yke hayo
@selestininchimbi52614 жыл бұрын
Mjitafakali vyombo vya usalama
@ilynpayne74914 жыл бұрын
Muache mambo yenu ya kuamini kijinga jinga ona sasa 🤔
Vyombo vya usalama viko tu fasta kuwahi na kuzuia mikutano ya siasa vya upinzani.kuweni makini kuwahi na mikusanyiko ya aina yoyote.
@lilianraymond34964 жыл бұрын
Weseeeeee hlooooooo.....
@rosesamwelitenga46484 жыл бұрын
Du wamefariki wamama 15....afu mwanaume 1..duu
@mjakhidally49264 жыл бұрын
R i p
@jacksonkazimoto1474 жыл бұрын
Je mtarudi tena kufata upako
@aminaally38174 жыл бұрын
Pengine utaratibu ulipangwa vizuri ila watu wenyewe ndio walikuwa na fujo za kutaka kuwahi ila wafiwa na majeruhi poleni sana
@siwemamitingimahenge52704 жыл бұрын
Watu wameangamia kwa kukosa maarifa
@paulndaki30094 жыл бұрын
Imani za kijinga zitawaponza
@athanaskipeto5724 жыл бұрын
Shida siyo mchungaji shida iko kwa waimini ambao hawataki kusoma wenyewe bibulia wanataka wasomewe namchungaji hali inayo pelekea kuambiwa mambo yasiyo maagizo ya mungu mandiko yanasema watuwangu wanaangamia kwa kukosa maarifa kwa kusikiliza maagizo ya manabii Wa uongo
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Alikuwa anaenda sawa na biblia wala hakupotosha mtu mbona watu wamepona wengi kwenye madhabau yake hamkusema leo ndo mmeuona ubaya wake
@eliamkonda5162
4 жыл бұрын
Inasikitisha sana sijawahi kuona maandiko kwenye biblia yanayo sema mafuta yenye baraka yakanyagwe tuondoe uvivu wa kusoma neno la Mungu
@japhetisimoni53974 жыл бұрын
Hiyo nibahatimbaya tu
@msafirimstaarabu8134
4 жыл бұрын
Mesenja
@ilynpayne7491
4 жыл бұрын
Eti bahati mbaya wakati ame fanya kusudi aozee jela huyo shenz nabii wa uongo
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
We mbona hukwenda kuyakanyaga??
@onesmoonesmo9584 жыл бұрын
Mbona jera yamhusu anajifanya nabii au ndo waliotabiliwa! Manabii wa Uongo serikali iliangalie sana hulo
@onesmoonesmo958
4 жыл бұрын
Mungu yupo, poleni ndg na jamaa.
@chunaamina87194 жыл бұрын
Subhanahllah,hakuna maandish yoyote ktka Quraan,kama mafuta ya upako hakuna dini zaidi ya uislam dini ya haki yenye huruma geukeni ndugzangu tumfuate Mungu kwa njia ya haki lau svyo tutazdi kuangamia
@siwemamitingimahenge5270
4 жыл бұрын
Huko nako ndo hakufai kabisa mana ndo kilipo kizazi cha magaidi wooote duniani
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Mtume wetu kipenzi chetu Muhammad Rasulullah ndio nabii wa mwsho wala hakujakua baada yke nabii,hvyo bas twaamin kwa kuwa n Din ya haki na ilonyooka
@rukianassor89704 жыл бұрын
Mtume jina lake liko kwa kitabu gani Mbona mwajidanganya
@mgedzirpm15414 жыл бұрын
Huyu ikibidi afungwe milele amina, ameuwa,
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Usimuhukumu mwenzio
@happymboya8045
4 жыл бұрын
Amelaaniwa MTU yule anaemtegemea mwanadamu,na kumfanya kinga yake na kumsahau mwenyezi mungu.poleni sana wote mliopatwa na matatizo.tubadilike haswa sisi kina mama.tujifunze kuomba wenyewe na kuombea familia zetu
@ahahassan7627
4 жыл бұрын
Da mtangazaj kachanganya mada mafuliko ,upako jaman
@magdalenaayubu2044
4 жыл бұрын
Asee alitaka kumjaribu mungu mungu hajaribiwi mponyaji ni mungu pekee omba kwa imani utaponywa
@magdalenaayubu2044
4 жыл бұрын
Asee alitaka kumjaribu mungu mungu hajaribiwi mponyaji ni mungu pekee omba kwa imani utaponywa
@balotelingalundangalunda13384 жыл бұрын
Polen xn wahanga ila ujinga wakati wakwenda xx 2jifunze
@rafiikapanda26654 жыл бұрын
Mambo mengine aya atakama imani inatakiwa tuangalie ayo mafuta mbona awap nduguzake wakawa wana ela
@latifagogola1863
4 жыл бұрын
Ndio nashangaa jamani
@sayunijastini64274 жыл бұрын
Hiyo ni kafara
@brother_majesty4 жыл бұрын
MLISHINDWA NINI KUMPA UWANJA MKUBWA ZAIDI
@alihemed77214 жыл бұрын
Sio mtume huyo hakuna tena mtume huyo ni tapeli tu na hatua Kali zinamsitahiki kufanyiwa
@vailethmwenda74414 жыл бұрын
Hakika tunaangamia kwakukosa maarifa
@rukianassor89704 жыл бұрын
Huyo afungwe mpaka afe jela
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Afungwe kwani kaua mbona tuna miaka kibao tunakanyaga halikuwahi kutokea hili mungu akipanga kapanga sio kulaumu ni kuwaombea marehemu na mwamposa pia
@rukianassor8970
4 жыл бұрын
@@dainesmsakwa2674 amesababisha wenzake wafe.kuna manabii gani na mitume gani saa hii.huoni hiyo nikichapo mumepata kwa kumshirikisha MUNGU na maneno ya URONGO.wa tz kuweni wajanja kudanganywa tu
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Wewe Unatafuta Mauti Wewe..Kama Hujui Unalosema Is better kuwa kimya aisee...Unachuma laana
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wachawi mlioathirika sana na uwepo wa manabii na mitume. Mnatamani wafutwe, lakini kwa taarifa yako MTAISOMA NAMBA. NDIO KWANZA KAZI INAANZA
@rukianassor8970
4 жыл бұрын
@@brother_majesty .manabii mitume wameshakufa .alobaki ni Issa munamuita yesu.na haonekani .huyo nabii wako umemtowa kwa kitabu kipi.ndio namaanisha.mchawi ni babako na mamako pamoja na ww.wajuwa ukisifu mvuwa huwa imekunyeshea .waonekana ndio ulikula hongo ya kupeleka wenzako hapo.ama hakuna jamaa yako alokufa hapo usikii uchungu shenzi type na manabii wako wa urongo.pesa ndio mumeweka mbele mbona alikuwa anatoroka hata hakwenda Kuwapa pole wenzake atakoma na urongo wake huyu ni ale kifo ndio iwe Funzo kwa wenzake ndio uwangalie km kutatoka mwengine afanye upuzi kama huo from kenya
@davidmoshi88204 жыл бұрын
R.i.p mumy..
@omaryally4760
4 жыл бұрын
David Moshi pole
@mbuganyedna34544 жыл бұрын
Ibada ya kukanyaga mafuta ipo kitabu gani jamani? Tangu mwanzo mpaka ufunuo? Tunapenda kutafuniwa tumeze tu. Hayo ndo nayayotukuta.
@AbduRahman-os2vx4 жыл бұрын
Huyo kibwetere wa bongo afungwe tuu wakimuachia watatokea wengine wengi..tuna ndugu zetu hawajaua watu wa uamsho zanzibar mpaka leo bado uchunguzi unaendelea...
@allykhatibu2359
4 жыл бұрын
sasa yeye ana mafuta ya upako ya mungu siaka waponyeshe majeluhi aache kusumbua wauguzi wetu.
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Usilopoke kwa kua haujui
@AbduRahman-os2vx
4 жыл бұрын
Mbona babu wa loliondo alifungiwa nyie mteteeni kibwetere wenu wa bongo...
@AbduRahman-os2vx
4 жыл бұрын
@@dainesmsakwa2674 halafu ww pumbavu dini yako imetokea wapi israel au italy nimeamua nikujibu kifalsafa kama italy au israel ushawahi kuwaona mapastor wa nchi hizo nilizokutajia wana huo upumbavu (upako )MAFUTA kama sio ukoloni mamboleo,karibu na hoja zenye mashiko...tembeeni muione dunia.......endeleeni kuwatajirisha kwa imani zenu mbovu...mnatuaabisha kiulaya hata waliowaletea hiyo dini tunaishi nao hawana upako hawana mafuta serikali dini si tumeletewa njooni muone huku kwa baba zenu kama kuna huo ujinga wa upako....katolik roma empire italy....endeeleni kuabudu picha ya yesu kupitia nyerere .na mpaka leo kuna masanamu tuwekeeni masanamu ya kina chifu mkwawa............
@Jumaajumajumaajuma4 жыл бұрын
Selikali inatakiwa iwe kama ya SAMOLA MASHEL
@tonsah24404 жыл бұрын
Ingekua ni waislam hapo mida huu wengikua wanasota bahabusi wapo mashehe wetu hadi leo wako jela sio haki
@aminajuma5664
4 жыл бұрын
Kwel
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Huyo mwamposa sizaidi ya gaidi mbona mnamlea hatawasaidiziwake
Пікірлер: 126
Huyu mungu Wa mafuta mimi sijawahi mhona maombi tu hayatoshi mpaka mafuta hiyo sio mungu Wa mbinguni
Mungu atabaki kua mungu
Inna lillah wainna ilaih rajiuuuna
Mwl mwakasege anajaza Sana watu na Wala hatumii mafuta na hajawahi kuwa sababu ya kifo Cha mtu .Mungu awape macho ya rohoni muone neno Ni Bora kuliko mafuta
Pole Moshi, pole Tanzania ila sasa tujifunze
Polenii
Pole Yao
Tanzania majinga mengi sana ata mtu akijiita Mungu atapata wafuasi wengi tu.
@aloycedaniel5251
4 жыл бұрын
😀
Tujue akuna nabii wala mtume ni waongo tu MTU akisema mm mtume au nabii mchukue jera
poleni ndugu zangu wa nyumbani moshi
Daah huyu maza kaenda na shida zake akaishia kupata shida zinginee
Alikua anatoa kafar ya mwanzo Wa mwaka uyoo tibagan ya kukanyaga wabongo atutumii akili mafuta ya kupaka we ukanyage duuuuhhhh kaz ipo
@saidasaidjuma3505
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙈
Watanzania tujifunze kuomba wenyewee bila kuombewaa tuwe na iman
@ImpressiveFacts
4 жыл бұрын
Fact
SIKIENI SANA ANACHOKIPIGIA KELELE MCHUNGAJI MBARIKIWA MWAKIPESILE MAJANGA KAMA HAYA YANAKWEPEKA.
Wachaga Na imani yenu yote mmekufa kisa kukanyaga mafuta ya korie jmnnn
@jemawiston3521
4 жыл бұрын
Umenifurahishaaaa kwa kweli hizi ni cku za mwisho
Huku waumini, huku mvua, huku wanajeshi, tuombe sana hali ni mbaya
wanawake imani yao ni ndgo sana kwenye kila kitu cha kuhusu imani wanakimbilia huko
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
Alafu wamama wengi ndio wamepotez maisha (15) Halafu mwanaume Ni mmoja duu tujifunzeni jamen
Sio mtume uyoo mnakufuru kumuita mtume
Dah
Mazombi yatakufa sana ngederesi wanamfuata yule yesu mcheza filamu matokeo yake ndio hayo
@hajilundenga9333
4 жыл бұрын
Haaaa haaa eti mtu anafanya kazi ya Mungu duh mungu kweli nnaemjua mimi aya nawe umba mbu
@mustaphagairo1936
4 жыл бұрын
Tatzo la wengi wanataka miujiza kabla kumjua YESU
@princesamir1724
4 жыл бұрын
Halafu wanaamiin yule alie act ile movie ndo yesu mwenyew... na ndio maan wakachonga vinyago vyake (msalaba) Makafiri laana tullah
Dunia imefika ukingoni
"Watu wangu wanapotea kwa sababu ya kukosa maarifa". Acheni kudanganywa hizi ni nyakati za mwisho.
@pascalinamushi608
4 жыл бұрын
Poleni
Mtume anakimbiaaaa
Awo ni freemason
Jambazi akikamatwa inatakiwa naye apigwe risas
Mh alikuwa anakimbia Nini Kama yeye nimtumushi tapeli mkubwa
Kweli siku za mwisho manabii wa uongo watatokea haya sasa
Ajali haina kinga full stop
Selikali inatakiwa iwe kama ya SAMOLA MASHEL
Hivi n kwann Serikal isinge futilia mbali huo usenge wa kukubaliana na hao Manabii feki walio jaa ktk nchi yetu??? hao ndo wanao tuzidishia laana kutoka kwa MUNGU kias kwamba mpaka maisha yanazid kuwa magum mamae zao
Hatari sana hii Mungu utusaidie
@senimabulamabuga1232
4 жыл бұрын
Dunia iko mwisho mafuta ya mungu yauwe watu tunusulu yaraab
Mafuta huwa yanateleza sio Cha ajabu watu kuteleza Kama wagombania kukanyaga kwa fujo ni ajali tu Kama ajali zingine
Watu wenyewe pia ni vichwa ha Ana utatatibu
Mhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumasalum5769
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bora hata na wew umejichekea maana me mwenyew sijaona huruma yyte zaid ya kuona n upumbavu tu kwa hao wafuasi wa Manabii feki Mamae zao
huwo ndo mwisho wa ulimwengu unavyosogea taratibu tu wala hauna wasiwasi
sasion sabrina
Nyinyi mtakufa wengi mnaombewa kila siku mafuta lakini bado mpo ivo ivo na kwanini akimbie sasa na ni bahati mbaya rudini kwa mungu wenu tu
@stephenameeenlowoko323
4 жыл бұрын
Hata Maka wanakufaga!
mmmh siku za mwisho izo na hiyo ni. Kafara kueni makini jamani
@mksmedicallaboratory7320
4 жыл бұрын
Ulikua pamoja akitoa kafala usinene kitu ambacho hunauhakika nacho
@rkplatnumzrkplatnumz4542
4 жыл бұрын
Malselino Silasi iv unaweza kuniambia kua mafuta yana husiana na nini katika maadiko au ayo mafuta yana toka wap
Siku za mwisho watakuja manabii wa uongo nao watawadanganya wengi ni maandiko matakatifu.mimi smuhukumu ila jamani isiwe kila kitu tunakikimbilia
@elphasibahari5073
4 жыл бұрын
Kila unabii lazima upimwe kwenye chujio
@elphasibahari5073
4 жыл бұрын
Wakati wa laodikia
@jofreymbuba8121
4 жыл бұрын
@@elphasibahari5073 hilo chujio atashika nani
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Wasingekufa Ungetamka Hayo?! Kama Mungu yupo na anahukumu kwa haki, ipo siku utatafuta msaada na kuangukia kwa hao hao unawatukana leo. Ipo siku
Isaya 5:13 “Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana"
@salimahemed7101
4 жыл бұрын
Nimejifunza
Sikweli akimbie aende daa
Tatizo kubwa LA walokole na wakristo hamsomi dini yenu mkaitambua mtakufa kizembe kila siku na yesu alishawaambia watu Wangu mtaangamia kwa kukosa maarifa
@EK-kp2np
4 жыл бұрын
Saidy Likangasimba Wale maelfu wanaokufa kila mwaka wakizunguka Al Kaaba pale Macca nao wamekosa maarifa, siyo?🤔
Maandiko tumepewa. Tatizo tunasoma biblia kama tunasoma gazeti la michezo. Kwa hili kweli kondoo as Mungu ni wengi lkn wanaangamia kwa kushindwa kujua ukweli wa maandiko
@mustaphagairo1936
4 жыл бұрын
Watu tunajisahau sana, tunataka fasta fasta ndio madhara yke hayo
Mjitafakali vyombo vya usalama
Muache mambo yenu ya kuamini kijinga jinga ona sasa 🤔
Mungu alitupa utashi tutambue nyakati jamani
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Mafutayakolie.ujinhawenu.mkome.na.imani.za.kijinga.
Vyombo vya usalama viko tu fasta kuwahi na kuzuia mikutano ya siasa vya upinzani.kuweni makini kuwahi na mikusanyiko ya aina yoyote.
Weseeeeee hlooooooo.....
Du wamefariki wamama 15....afu mwanaume 1..duu
R i p
Je mtarudi tena kufata upako
Pengine utaratibu ulipangwa vizuri ila watu wenyewe ndio walikuwa na fujo za kutaka kuwahi ila wafiwa na majeruhi poleni sana
Watu wameangamia kwa kukosa maarifa
Imani za kijinga zitawaponza
Shida siyo mchungaji shida iko kwa waimini ambao hawataki kusoma wenyewe bibulia wanataka wasomewe namchungaji hali inayo pelekea kuambiwa mambo yasiyo maagizo ya mungu mandiko yanasema watuwangu wanaangamia kwa kukosa maarifa kwa kusikiliza maagizo ya manabii Wa uongo
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Alikuwa anaenda sawa na biblia wala hakupotosha mtu mbona watu wamepona wengi kwenye madhabau yake hamkusema leo ndo mmeuona ubaya wake
@eliamkonda5162
4 жыл бұрын
Inasikitisha sana sijawahi kuona maandiko kwenye biblia yanayo sema mafuta yenye baraka yakanyagwe tuondoe uvivu wa kusoma neno la Mungu
Hiyo nibahatimbaya tu
@msafirimstaarabu8134
4 жыл бұрын
Mesenja
@ilynpayne7491
4 жыл бұрын
Eti bahati mbaya wakati ame fanya kusudi aozee jela huyo shenz nabii wa uongo
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
We mbona hukwenda kuyakanyaga??
Mbona jera yamhusu anajifanya nabii au ndo waliotabiliwa! Manabii wa Uongo serikali iliangalie sana hulo
@onesmoonesmo958
4 жыл бұрын
Mungu yupo, poleni ndg na jamaa.
Subhanahllah,hakuna maandish yoyote ktka Quraan,kama mafuta ya upako hakuna dini zaidi ya uislam dini ya haki yenye huruma geukeni ndugzangu tumfuate Mungu kwa njia ya haki lau svyo tutazdi kuangamia
@siwemamitingimahenge5270
4 жыл бұрын
Huko nako ndo hakufai kabisa mana ndo kilipo kizazi cha magaidi wooote duniani
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Mtume wetu kipenzi chetu Muhammad Rasulullah ndio nabii wa mwsho wala hakujakua baada yke nabii,hvyo bas twaamin kwa kuwa n Din ya haki na ilonyooka
Mtume jina lake liko kwa kitabu gani Mbona mwajidanganya
Huyu ikibidi afungwe milele amina, ameuwa,
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Usimuhukumu mwenzio
@happymboya8045
4 жыл бұрын
Amelaaniwa MTU yule anaemtegemea mwanadamu,na kumfanya kinga yake na kumsahau mwenyezi mungu.poleni sana wote mliopatwa na matatizo.tubadilike haswa sisi kina mama.tujifunze kuomba wenyewe na kuombea familia zetu
@ahahassan7627
4 жыл бұрын
Da mtangazaj kachanganya mada mafuliko ,upako jaman
@magdalenaayubu2044
4 жыл бұрын
Asee alitaka kumjaribu mungu mungu hajaribiwi mponyaji ni mungu pekee omba kwa imani utaponywa
@magdalenaayubu2044
4 жыл бұрын
Asee alitaka kumjaribu mungu mungu hajaribiwi mponyaji ni mungu pekee omba kwa imani utaponywa
Polen xn wahanga ila ujinga wakati wakwenda xx 2jifunze
Mambo mengine aya atakama imani inatakiwa tuangalie ayo mafuta mbona awap nduguzake wakawa wana ela
@latifagogola1863
4 жыл бұрын
Ndio nashangaa jamani
Hiyo ni kafara
MLISHINDWA NINI KUMPA UWANJA MKUBWA ZAIDI
Sio mtume huyo hakuna tena mtume huyo ni tapeli tu na hatua Kali zinamsitahiki kufanyiwa
Hakika tunaangamia kwakukosa maarifa
Huyo afungwe mpaka afe jela
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Afungwe kwani kaua mbona tuna miaka kibao tunakanyaga halikuwahi kutokea hili mungu akipanga kapanga sio kulaumu ni kuwaombea marehemu na mwamposa pia
@rukianassor8970
4 жыл бұрын
@@dainesmsakwa2674 amesababisha wenzake wafe.kuna manabii gani na mitume gani saa hii.huoni hiyo nikichapo mumepata kwa kumshirikisha MUNGU na maneno ya URONGO.wa tz kuweni wajanja kudanganywa tu
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Wewe Unatafuta Mauti Wewe..Kama Hujui Unalosema Is better kuwa kimya aisee...Unachuma laana
@brother_majesty
4 жыл бұрын
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wachawi mlioathirika sana na uwepo wa manabii na mitume. Mnatamani wafutwe, lakini kwa taarifa yako MTAISOMA NAMBA. NDIO KWANZA KAZI INAANZA
@rukianassor8970
4 жыл бұрын
@@brother_majesty .manabii mitume wameshakufa .alobaki ni Issa munamuita yesu.na haonekani .huyo nabii wako umemtowa kwa kitabu kipi.ndio namaanisha.mchawi ni babako na mamako pamoja na ww.wajuwa ukisifu mvuwa huwa imekunyeshea .waonekana ndio ulikula hongo ya kupeleka wenzako hapo.ama hakuna jamaa yako alokufa hapo usikii uchungu shenzi type na manabii wako wa urongo.pesa ndio mumeweka mbele mbona alikuwa anatoroka hata hakwenda Kuwapa pole wenzake atakoma na urongo wake huyu ni ale kifo ndio iwe Funzo kwa wenzake ndio uwangalie km kutatoka mwengine afanye upuzi kama huo from kenya
R.i.p mumy..
@omaryally4760
4 жыл бұрын
David Moshi pole
Ibada ya kukanyaga mafuta ipo kitabu gani jamani? Tangu mwanzo mpaka ufunuo? Tunapenda kutafuniwa tumeze tu. Hayo ndo nayayotukuta.
Huyo kibwetere wa bongo afungwe tuu wakimuachia watatokea wengine wengi..tuna ndugu zetu hawajaua watu wa uamsho zanzibar mpaka leo bado uchunguzi unaendelea...
@allykhatibu2359
4 жыл бұрын
sasa yeye ana mafuta ya upako ya mungu siaka waponyeshe majeluhi aache kusumbua wauguzi wetu.
@dainesmsakwa2674
4 жыл бұрын
Usilopoke kwa kua haujui
@AbduRahman-os2vx
4 жыл бұрын
Mbona babu wa loliondo alifungiwa nyie mteteeni kibwetere wenu wa bongo...
@AbduRahman-os2vx
4 жыл бұрын
@@dainesmsakwa2674 halafu ww pumbavu dini yako imetokea wapi israel au italy nimeamua nikujibu kifalsafa kama italy au israel ushawahi kuwaona mapastor wa nchi hizo nilizokutajia wana huo upumbavu (upako )MAFUTA kama sio ukoloni mamboleo,karibu na hoja zenye mashiko...tembeeni muione dunia.......endeleeni kuwatajirisha kwa imani zenu mbovu...mnatuaabisha kiulaya hata waliowaletea hiyo dini tunaishi nao hawana upako hawana mafuta serikali dini si tumeletewa njooni muone huku kwa baba zenu kama kuna huo ujinga wa upako....katolik roma empire italy....endeeleni kuabudu picha ya yesu kupitia nyerere .na mpaka leo kuna masanamu tuwekeeni masanamu ya kina chifu mkwawa............
Selikali inatakiwa iwe kama ya SAMOLA MASHEL
Ingekua ni waislam hapo mida huu wengikua wanasota bahabusi wapo mashehe wetu hadi leo wako jela sio haki
@aminajuma5664
4 жыл бұрын
Kwel
Huyo mwamposa sizaidi ya gaidi mbona mnamlea hatawasaidiziwake