MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU TUNGUU ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar leo tarehe 05 Julai, 2024.

Пікірлер: 23

  • @lingsonKasomwa-ho1tf
    @lingsonKasomwa-ho1tf17 күн бұрын

    Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe

  • @KhamisMsellem-jt4hs
    @KhamisMsellem-jt4hs17 күн бұрын

    Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte541517 күн бұрын

    HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.

  • @tanzanite9944
    @tanzanite994417 күн бұрын

    Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.

  • @AmusedLargeTree-md2jv

    @AmusedLargeTree-md2jv

    16 күн бұрын

    Hamna lolote hao wote wizi

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema17 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @kambamazig02024
    @kambamazig0202417 күн бұрын

    Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema17 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824116 күн бұрын

    hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema17 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824116 күн бұрын

    Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema17 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u17 күн бұрын

    Mama uko sawasawa japho niwakazi

  • @jombadulla
    @jombadulla17 күн бұрын

    magufuli alikua anapasisha akiw chato

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam17 күн бұрын

    Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??

  • @karafuu

    @karafuu

    17 күн бұрын

    Mkoa wa Kusini Unguja

  • @tanzanite9944

    @tanzanite9944

    17 күн бұрын

    @@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika

  • @MwigaAdam

    @MwigaAdam

    17 күн бұрын

    @@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok

  • @karafuu

    @karafuu

    17 күн бұрын

    @@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....

  • @bir4450

    @bir4450

    17 күн бұрын

    Unguja kama ilivokuwa Chato

  • @marychami1700
    @marychami170016 күн бұрын

    Proud of my country, my president