#MIZENGWE
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Пікірлер: 82
Nikiwaona nakumbuka mzee wetu mungu ampunguzie azabu ya kaburi mlipendeza sana mlivo kuwa watano nawapenda sana
@aishaomarry6996
2 жыл бұрын
@@zuwenaodaizuwenaodai1999 Mzee matata yule aikua mwembamba
@user-yo3jv1ry3t
Жыл бұрын
Amiin
Mume muungwana sana,anambekeza mke wake,anamuelewesha maisha yalivyo.Hongera sana Mr Mkwere
Nawapenda nyie hatari kila jumapili saa 3 lazima niwaangalie yaani.❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍👍😁😁🙏🙏🙏
@lusese1
2 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
asante auseee😊😊😊😊nimejifunza kitu
Huyo mwana dada kanenepa ❤️Safina kamepenfeza
MIZENGWE long time sanaaaaa enzi hzo za TV za kishogooooooooooooo.
@lusese1
Жыл бұрын
Tupooooo bado mzee babaaaaa!! vipi umetuchoka? tuvumilie bado tuna vichekesho 32,000 hatujavicheza.
Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu. Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.
@lusese1
2 жыл бұрын
Ahsante kwa ktunguunga mkono.
Shukrani saner 🙏
❤
Tunafuatilia toka Zambia
Mko vizur hongereni❤️❤️❤️
Mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu mazuri kupitia sanaa ya maigizo. Namkumbuka sana hayati Matata jamani 🤔.
Kiukweri mnatufundisha asanteni
Dah!! Ipo sahihi kabisa ktk hiloo
Tunammiss mzee matata mu mungu ablaze roho yake mahala pema peponi
Safina endelea na moyo wako mzuri mkwere unatbia mbaya
Yanatukuta sana sana Tena sana
Hapana kwa kweli angetoa kidogo
Umetisha sana mkwere
@Swahili14
2 жыл бұрын
English translation for me 🤣🚮
I like it for sure nawatch nikiwa huku Qatar I feel at home waaaaaaah.......
@theclasinu9642
2 жыл бұрын
Hiyo nchi ya Qatar kutoka dar mpk huko nauli bei gani na kunapatikana nini zaidi
@maphitamaphita3091
2 жыл бұрын
Tuko wote goha ndug
Safinna una miguu mizuri mhhh
Ushaur wangu angemwambia mume wake kwanza
aisee uyu mdada mstaarabu sana
Waaaaaoooooo niliwamiss
Tatizo mzee umekosea kuuliza mchele wa wapi huu ungevunga tu wala usingeulizwa umetoka wapi wala umebeba nini 🤣😃
Yanatukuta wengi tulio kwenye ndoa
@lusese1
2 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono
Safi sana
Safina muonee huruma mmeo maisha magum
Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi
Et mbona unanifagia mimi😂😂
Fundisho tosha kabisa kwa akinamama wenyetabia kama hizo.
AisEEEEE munajua sana dah na Munatoa sababu watu amuwawek nyia panda
sio sahihi bora angempa kidogo tu
Shukran
Kaz ya kulala na viatu😂😂
mzee MATATA 😭😭 🇹🇿
Nmekumbuka mzee Matata jaman😭
Huyo nmemsahau jina anaeomba msaada wa Kodi, mbona amekonda sana jaman🙆
@nyamogafamily4262
2 жыл бұрын
Maringo😂😂😂
Mume Wa safina noma😂😂😂😂😄😄😁😁😁😁
😃
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Sio sahihi kugawa vitu namna hiyo.
Mke boyaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Xo sahh...Ilipaswa akushirikishe ww ndo utoe rukxa
Mzee matata😭😭😭😭
🤣
Saingine mtu unaweza ukawa unauwezo, wa kujikimu kimaisha angalau kidogo usihangaike. Ila ukiendekeza ndugu umakwama 😀
@josephmanyama9012
2 жыл бұрын
Yani wacha tuuuuu mrembo ukiwa na huruma kupitiliza ni tatizo sana
😂😂😂
Mkongo anashida gan anakonda kila siku
uyo dada kanenepa
😂
Fundisho
Hahaha
Duuuh
Amakweli kumbe Safina alikua bado mtoto? Kwa sasa ndo kwakua.
Haya kimenuka
Hapana kwakweli
Sio sahihi
Baadhi ya Wanawake sifa zinawaponza nia aonekane hana shida kumbe mumeo anaumia
@mauricemaungu8390
2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana! Namkumbuka sana hayati Matata jamani🤔
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
@@mauricemaungu8390 kwakweli alale pema peponi Mzee Matata
Safina mtani wangu umenenepa sana kupendeza sana ongera sana.
@aishamsimbazmsimbazi8492
2 жыл бұрын
Poleni wana kashikashi mungu amuweke mahala pema peppni
Michele mwenziwe maharage 😳🤪
Hayo ndy maisha ya wanawake hata uwapende vp huwa Hawana uruma na pesa ya mume
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼