No video

Mambo ya kutegemea ukikaa ukweni

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 121

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri44553 жыл бұрын

    Mizengwe wote mnaweza lakini mimi nikimuona SUMAKU nacheka kabla hajaongea ""eti huyu bwana ananenepa kwa uzoefu"" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi49433 жыл бұрын

    Hawa mizengwe nawapenda sana, kati ya comedy zote TZ hawa number one bila ubishi, tena wasije kuongeza mtu mwingine kwenye group lako.

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono tunafanyia kazi ushauri wako.

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati98333 жыл бұрын

    Mzee matata Mungu akulaze mahali pema peponi Amen

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93033 жыл бұрын

    Dah hizi comedy bado zipo?? Nawakumbuka Sana nkiwa home Arusha via ITV🤣🤣🤣, I love both haswa huyu mama. Watching from USA

  • @muhingiramuhingira9715
    @muhingiramuhingira97153 жыл бұрын

    Nawapongeza wahusika pamoja ITV super brand Africa

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante, asante kwa kutuunga mkono.

  • @stanfordaladinmwakalibule2895
    @stanfordaladinmwakalibule28953 жыл бұрын

    ....ise nimependa sana

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Karibu sana.

  • @heyumi2340
    @heyumi23403 жыл бұрын

    bonge la bwana unanenepea ukwen 😁😁😁😁💃💃💃

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga18193 жыл бұрын

    15:28 ananenepa kwa uzoefu tu😂😂😂😂😂 sumaku bhana

  • @hamismgaya1584
    @hamismgaya15843 жыл бұрын

    Nimekubali wakongwe

  • @khalidtv6200
    @khalidtv62003 жыл бұрын

    "Ningumu sana mkongo kuuza mkaa"😃

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98443 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣Nimecheke sana

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan26773 жыл бұрын

    Ananenepa Kwa Uzoefu😂😂😂😀😀😆😅

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu74493 жыл бұрын

    Dah kiukweli mko vizuri nawakubali japo sasaiv mmepunguza muda wa filam

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono, hatujapunguza, muda ni uleule.

  • @richardchaula1860
    @richardchaula18603 жыл бұрын

    Dah!!!!,hatari sana

  • @mauamawazo1573
    @mauamawazo15733 жыл бұрын

    I love you guys

  • @mwitasamwel409
    @mwitasamwel4093 жыл бұрын

    Hakika mnatufunza mengi sana pongezi kwenu

  • @sajdatomar2264
    @sajdatomar22643 жыл бұрын

    Bora ungejenga kwenu mkwele 😄 🤣 😂

  • @uwezosimoni6975
    @uwezosimoni69753 жыл бұрын

    Duuhh fundisho tosha wanaokaa ukweni nimewapa asilimia 100

  • @baitulquranallyibrahim3185
    @baitulquranallyibrahim31853 жыл бұрын

    Baba Nikakukodie gar?? Haahhaahhaha Bati hizo

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid54593 жыл бұрын

    Mizegwe wapojuu sana wanafuza mambo yamaana naheshima.tunawapenda sn

  • @nancyl6068
    @nancyl60683 жыл бұрын

    Content ya episode zao safi sana ila background music jamani, punguzeni sauti kidogo.

  • @aploscoder4358
    @aploscoder43583 жыл бұрын

    Utu pesa, KAZI ndo heshima, imenitachi. I think They do it for me it's Pain

  • @andrewndotela7407

    @andrewndotela7407

    3 жыл бұрын

    the same here

  • @mamahance9049
    @mamahance90493 жыл бұрын

    huni kuti kwa mkwe 🤗🤗

  • @justinalonda8220
    @justinalonda82203 жыл бұрын

    Napenda sana Kazi Zenu zawapa wanangu furaha sana Mimi naishi Marekani, kama kuna namba yamchango naitaka tusaidiye kundi hili

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante sana kwa kutuunga mkono, na hatutawaangusha burudani kama kawaida. number nicheck mimi producer wa kipindi. +255712219950

  • @simonndune4457
    @simonndune44573 жыл бұрын

    maringo is my all time fav😂🤩

  • @user-eu2zc1nr4f
    @user-eu2zc1nr4f3 жыл бұрын

    Mmh..dada umenenepa

  • @asseytv7269
    @asseytv72693 жыл бұрын

    😂😂😂big up sanaaa

  • @innocentmarunda5853
    @innocentmarunda58533 жыл бұрын

    mnakaa mdaa sana ila mko vizuri sana.soma nzuri

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono, tulisimamisha production kipindi kile cha CORONA Sasa tumerudi, burudani kama kawaida.

  • @mihangwamasingija3754
    @mihangwamasingija37543 жыл бұрын

    Hili ni kundi zuri saana, keep it up guys Kazi zenu za maana saana!

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono.

  • @Falsharji77
    @Falsharji773 жыл бұрын

    Stop the background music, it's too loud 😤

  • @mibokichannel4006
    @mibokichannel40063 жыл бұрын

    Somo zuri sana

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono.

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde16903 жыл бұрын

    Kuna mwana yuko ukweni ngoja nikae karibu nae kama ataangalia hii😂😂

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    😃😃🏃‍♀️

  • @dsgroup6093

    @dsgroup6093

    3 жыл бұрын

    😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @charlesmagere1519

    @charlesmagere1519

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀daaaah umalize unipe matokeo kama ameangaliaa

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    @@charlesmagere1519 😂😂 nitakuambia naona leo atarudi mapema nitakupa matokeo

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Ha haa haaaa!! hata hivyo asituchukie hatukumlenga yeye.

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden66783 жыл бұрын

    Nzuri sana isipokuwa umaliziaji haukukaa vzr

  • @nyumbayaviatu3745

    @nyumbayaviatu3745

    3 жыл бұрын

    Nimelia kwa kweli hya ni mambo ya kweli

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid27183 жыл бұрын

    Hata mie nawapenda sana

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal68903 жыл бұрын

    Gusa picha yangu kuona kaZ yangu🥰🥰🥰🥰

  • @hassanbaraza1165

    @hassanbaraza1165

    3 жыл бұрын

    Sawa nitafute

  • @manko5627
    @manko56273 жыл бұрын

    Mwanaume kazi nasio kupendeza

  • @takimbawala5966
    @takimbawala59663 жыл бұрын

    Nimejifunza jambo ila namimi ninajambo langu ntahitaji ushauri

  • @lizzyshayo209

    @lizzyshayo209

    3 жыл бұрын

    Mshauri yuko hapa....kwaziadaa angaliaa video za Baba mmoja anaitwa Chris Oyakhilome kwa ushauri zaidi

  • @jambo3751
    @jambo37513 жыл бұрын

    Nikakudie gari?😄😄😄 Sasa hizi bati unamwachia nani?😄😄😄

  • @allyidrisa1520
    @allyidrisa15203 жыл бұрын

    Nikakukodia gari mm hahaha

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi84513 жыл бұрын

    Excellent

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed90032 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kaba7911
    @kaba79113 жыл бұрын

    Mimi ni a Big fan of the show lakini please punguza background sound ya filimbi inaovertake the comedi voices and punchlines

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Upo sahihi kabisa asee

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono, tutafanyia kazi ushauri wako.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua88043 жыл бұрын

    Kunenepa kwa uzoefu duu

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын

    😃😃😃😃nawapenda sana

  • @selemanlwiza9283
    @selemanlwiza92833 жыл бұрын

    👍

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Жыл бұрын

    R.I.P mzee Matata

  • @georginajohn8456
    @georginajohn84563 жыл бұрын

    Kweli kabisa Mwanaume anaweza kuishi na Mwanamke asiye na kazi lakini Mwanamke huyohuyo hawezi kuishi na Mwanaume pindi anapokosa kazi kwa sababu yoyote ile wakati huohuo Mama Mzazi wa huyo Mwanamke anaishi na Baba yake hana kazi Wanawake badilikeni haya ni maisha tu

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden66783 жыл бұрын

    Wanawake jifunzeni badirikeni.Mizengwe nyie ni hatari

  • @titojeremia8365
    @titojeremia83653 жыл бұрын

    Nyie kiboko nawakubali sana

  • @ibrahimmwilo1586
    @ibrahimmwilo15863 жыл бұрын

    #Sumaku hio hela utakayo kodishia gar si bora umpe akaanzishie maisha 🤣🤣🤣🤣

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan63403 жыл бұрын

    Jenga kwenu ukweni unapoteza

  • @afizuboy3433
    @afizuboy34333 жыл бұрын

    Wanawake wanarohombayasana

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya58013 жыл бұрын

    Ahahaha uzoefu

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Haha Kama si ufala. Ujenge ukweni badala ya kujiwekeza

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari51783 жыл бұрын

    Sasa alipe kodi ya nyumba ya nini wakati huyo nyumba cyo ya kupanga jamani

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99163 жыл бұрын

    Jamani hivi ni kweli kuoa mtoto mwisho ni nongwa ? 🤔

  • @zulachama1067
    @zulachama10673 жыл бұрын

    Kweli kuhisi ukweni kwataka uzoefu na je umemchunguza mkeo yukoje,hapa nimejifunza kitu.

  • @alexaiddan979

    @alexaiddan979

    3 жыл бұрын

    Mwenyew nawakubal sana

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame2103 жыл бұрын

    Kweli ukweni sio powa

  • @victormushi6641
    @victormushi66413 жыл бұрын

    UNANYENYEPAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH

  • @issamsumi538
    @issamsumi5383 жыл бұрын

    Njooni jamani muone Mpya mpya bado ya moto

  • @maicojoseph7386
    @maicojoseph73863 жыл бұрын

    Nice

  • @issamsumi538
    @issamsumi5383 жыл бұрын

    Wale Wa kulelewa tuwajua msijifiche

  • @masazivinallo3883

    @masazivinallo3883

    3 жыл бұрын

    Haaahaaahaaa

  • @issamsumi538

    @issamsumi538

    3 жыл бұрын

    Mbona wacheka ndugu

  • @issamsumi538

    @issamsumi538

    3 жыл бұрын

    @@masazivinallo3883 mbona wacheka ndugu

  • @alqaasim_a_tz2412

    @alqaasim_a_tz2412

    3 жыл бұрын

    Mimi nataka sana ila sijapata wa kunilea

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY3 жыл бұрын

    Nyinyi bwana munatuchosha Sana yan ni bora MUGAILI na hizi Comedy zenu na hiki kipindi chenu Maana mpaka munavyo jisikia Ndiyo munapandisha mtandaon Tatizo sijui uwongoz wenu ndiyo Kuna matatizo ya mikatabaa yan Sijui kwann na ndiyo maana Amuli vyuwazi za kutosha watu Tuna wasaau ksbisa Nyinyi ni wazembe sana sana

  • @ahdal5288

    @ahdal5288

    3 жыл бұрын

    Mbona huweleweki? Tumia lugha ya Kiswahili maanake sijui ni lugha gani uliyotumia

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa aisee

  • @kupasteven7128

    @kupasteven7128

    3 жыл бұрын

    Mbona kama umechukia Na wewe imekugusa nn? Upo kwenye list

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    3 жыл бұрын

    Kabisa kaka

  • @pieremchome5202

    @pieremchome5202

    3 жыл бұрын

    Ni kujifunza kisoma ukubwani au kiswahili haukijui?

  • @afizuboy3433
    @afizuboy34333 жыл бұрын

    Wanaume mnaokaa ukweni amkeni fanyenimtoke ukweni.sio pazuli wanawake mnadhalilikasana.

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki27163 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana29373 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @user-eu2zc1nr4f
    @user-eu2zc1nr4f3 жыл бұрын

    Itv ya kaole

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo72013 жыл бұрын

    huyu rasta mbona anakonda sana??!!, au ngoma??!!.

  • @devidkingu2439

    @devidkingu2439

    3 жыл бұрын

    Kufuga Nywere nyingi zinakondesha sna kwa mwanamme kama hali vizuri hasa chakula cha protein

  • @elizabethstephen7814
    @elizabethstephen78143 жыл бұрын

    Bati hizi😝

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын

    Matata bahna

  • @bebebebe5677
    @bebebebe56773 жыл бұрын

    Fundisho tosha ilo eti nikakukodie gali

  • @allymohando6209
    @allymohando62093 жыл бұрын

    Funzo kubwa

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha16613 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @mwendokaudanzi4688
    @mwendokaudanzi46883 жыл бұрын

    Du muko vzur sn

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono.

  • @masumbukosendwa3216
    @masumbukosendwa32163 жыл бұрын

    Pendeza sana

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын

    Uzoefu unanenepesha

  • @saidyori7044
    @saidyori70443 жыл бұрын

    muna chelewa kutupa uondo

  • @lusese1

    @lusese1

    3 жыл бұрын

    Poleni sana, tulikuwa mapumziko kupisha balaa la Corona, sasa tumerudi kazi kazi tu.

  • @francissamson7594
    @francissamson75943 жыл бұрын

    Ni funzo

  • @allyidrisa1520

    @allyidrisa1520

    3 жыл бұрын

    Eti nikakukodie gari mm ndio msuruhishi wa kesi huyo hahaha

  • @salehemapande36

    @salehemapande36

    3 жыл бұрын

    mzee matataaaa.sina swaliiiii umefiti mzee wangu