No video

Vurugu zatokea Muleba baada ya wazazi kukataa maiti iliyonyofolewa viungo.

Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.

Пікірлер: 33

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын

    Inamaana Asikari mmeambiwa mwili unamajeraha, Ninyi mnawalazimisha wazazi kuzika. Mhhh kwahiyo aliyeleta mwili wenye mashaka hatakiwi kuhojiwa?

  • @safinabakari9140
    @safinabakari91405 жыл бұрын

    Arusha napo Oman, maana mnawashambulia sana muscat wakati bongo ndio hatari mfanyakazi sio anateswa tu Bali anauawa. Sijui serikali itasitisha zoezi La kumiliki wafanyakazi au wataweka mikataba. Ngoja niagize milinda baridi, yajayo yanafurahisha

  • @nusurakajubu8785

    @nusurakajubu8785

    5 жыл бұрын

    uko sehem gan nikupe soda yani umeongea uokweli

  • @rehemaradhid5716

    @rehemaradhid5716

    4 жыл бұрын

    @@nusurakajubu8785 chukua peps hapo kwa mangi

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu87855 жыл бұрын

    muleba ni nyumban kwetu na sasa Niko Oman ila mbona watu wengi wanasema Oman sijui nn mambo kibao kumbe tz wao wanaongoza kwa unyama

  • @rehemaradhid5716

    @rehemaradhid5716

    4 жыл бұрын

    Wabaya na wazuri wapo kila mahali sii omani tuu

  • @Abalsashaame088
    @Abalsashaame0885 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @ernestsinje9532
    @ernestsinje95325 жыл бұрын

    Rushwa za polisi wa kibongo yaani ni sawa na Ugonjwa wa kansa ni shida

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic27045 жыл бұрын

    jaman mungu atamlipia uyo alie mfanyia ivyo

  • @augstinodeogratius3758

    @augstinodeogratius3758

    4 жыл бұрын

    TUNDA CLASSIC kabisa

  • @azezaalkh8536
    @azezaalkh85365 жыл бұрын

    cha ajabu hapa sikuona hatua zilizochukuliwa kwa mtuhumiwa Bali wamewalazimisha kuchukuwa mwili basi hao police wamekula rushwa

  • @michaelmponeja2102
    @michaelmponeja21023 жыл бұрын

    Uandishi wa habar ni wito au karama

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed66875 жыл бұрын

    Jamani mbona watu wanaroho mbaya hivi

  • @nice5671
    @nice56715 жыл бұрын

    jamani mung anamuona huyo aliye mwajiri

  • @allenrupiatz1596

    @allenrupiatz1596

    5 жыл бұрын

    Aiseeeeee

  • @saduninassoro849
    @saduninassoro84910 жыл бұрын

    Inalillah wahinalilaah rajiunah, shiriki haina hili wale lile chamsingi rudini kwa mwenyezimungu ALLAH (S.W)

  • @skadi.sulebarite3510

    @skadi.sulebarite3510

    5 жыл бұрын

    mungu ailazepemapeponi rohoya marehemu amina

  • @japhetpeter6030

    @japhetpeter6030

    5 жыл бұрын

    sasa mnafunga barabara ili iweje asa"

  • @angelinapetro9715

    @angelinapetro9715

    5 жыл бұрын

    Mungu anawaona mliyofanya ivyo.

  • @omaryomary9468

    @omaryomary9468

    5 жыл бұрын

    TV

  • @amoslucaslucasmatongoro7125
    @amoslucaslucasmatongoro71255 жыл бұрын

    wamfate yule aliyemwajili aje atoe umashahidi

  • @azezaalkh8536
    @azezaalkh85365 жыл бұрын

    komamayo we mama unaeongea mngekataa kuuchukuwa

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic19645 жыл бұрын

    Mama ye km kwetu dodoma hatok mtu

  • @annyrutty657
    @annyrutty6575 жыл бұрын

    Ndo mjifunze kuzaa idad ya watoto mnaoweza kulea, sa mambo gan hayo jmn. Nimemuona mama Kishina 😁😁

  • @harunaabdallah309

    @harunaabdallah309

    5 жыл бұрын

    Bilakuzaa tusingekuwepo

  • @augustinusrwebangira6424
    @augustinusrwebangira64245 жыл бұрын

    Wazazi tulee watoto wetu.

  • @tootumsifu6926
    @tootumsifu69265 жыл бұрын

    kumrudisha mpenzi siku3:peteyabahati,:0658535229

  • @isaackandrew2682

    @isaackandrew2682

    2 жыл бұрын

    Acha uwongo huo wewe