Ili Usimuogope Mchawi Ni Lazima Uwe Na Hivi Vitu Vitatu Kama Kinga Yako - Sheikh Jafar

#QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline

Пікірлер: 20

  • @mutabazihassan6291
    @mutabazihassan6291Ай бұрын

    Mashallah wachawi wabaya sana Sheikh wangu

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga75884 ай бұрын

    Barakallahu fiyk yaa Ustadhi

  • @muqbulmuqbul7589
    @muqbulmuqbul75894 ай бұрын

    JazakaALLAHu kheiran

  • @MauaMuhidin
    @MauaMuhidinАй бұрын

    Uchawi upo mimi nimetenganishwa ndoa yangu kwa uchawi

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h4 ай бұрын

    W salam ww ❤

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47854 ай бұрын

    Wamenichosha shekh wamenivunjia ndoa ya miaka

  • @aminahusseinhilaliaminahussein
    @aminahusseinhilaliaminahussein4 ай бұрын

    Unaongeza ukweli mtupuu

  • @aminahusseinhilaliaminahussein
    @aminahusseinhilaliaminahussein4 ай бұрын

    Iyo nikweli

  • @upendongumbi
    @upendongumbi2 ай бұрын

    Natak niagize daw mwishon wa mwez sasa mbon namba za cm nyingi?

  • @Mrbrownnd
    @Mrbrownnd4 ай бұрын

    Sisi tuko Mozambique 🇲🇿, tunaipata aje??

  • @user-hg7oz8ze4d
    @user-hg7oz8ze4d4 ай бұрын

    Sasa kama tofaut kat ya Kinga ya kishirikina na Kinga halali ni nia, sasa si hata mwenye kuwaita majini wamlinde kwa idhini ya Allah si itakuwa ni sawa na hiyo ya huo mti mkuu? Maana hata wenyewe nao lazima uwe na maqadim jamii ya Majin ndomana unaweza kuzuia wachawi...????

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15894 ай бұрын

    Kwa maana nyingine ili tusitishwe na wachawi na sisi pia tuwe wachawi yaani turudishe ubaya kwa ubaya

  • @JacksonFrances

    @JacksonFrances

    3 ай бұрын

    😂😅😂😊

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47854 ай бұрын

    Tutapataje niko kenya watoto mm mwentewe makini wamenichosha

  • @bobboris4859
    @bobboris48594 ай бұрын

    Niko kenya naipataje dawa?

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020Ай бұрын

    *Ushirikina niushirikina tu ukikiweka kitu chechote ktk nyumba huo niushirikina DUA NAKUMTEGEMEA MUNGU tu ndosio ushirikina wqcheni kupotosha nyie ndomnaosemaga RAMLI NISAWA TU NA EX REY*

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15894 ай бұрын

    Acha kupotosha uchawi upo lakini allah alituambia tusiuamini bali tumtegemee yeye.sasa wewe uanatujengea hofu kwanini dawa ya uchawi siyo kujifunza kuroga na wewe bali kumuamunia allah basi.

  • @exclusivelyunknown886

    @exclusivelyunknown886

    4 ай бұрын

    ❤0❤❤😂❤❤😂😂😂😂

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15894 ай бұрын

    Uchawi na ushirikina maadui ni akili za kishenzi za mwafrika tu

  • @user-eu7vf2po8e

    @user-eu7vf2po8e

    3 ай бұрын

    Tapeli

Келесі