Ili Usimuogope Mchawi Ni Lazima Uwe Na Hivi Vitu Vitatu Kama Kinga Yako - Sheikh Jafar
#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZread; / @qiblatainonline
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@mutabazihassan6291Ай бұрын
Mashallah wachawi wabaya sana Sheikh wangu
@salimawishenga75884 ай бұрын
Barakallahu fiyk yaa Ustadhi
@muqbulmuqbul75894 ай бұрын
JazakaALLAHu kheiran
@MauaMuhidinАй бұрын
Uchawi upo mimi nimetenganishwa ndoa yangu kwa uchawi
@user-tn5ny2vc7h4 ай бұрын
W salam ww ❤
@buhitexmohamed47854 ай бұрын
Wamenichosha shekh wamenivunjia ndoa ya miaka
@aminahusseinhilaliaminahussein4 ай бұрын
Unaongeza ukweli mtupuu
@aminahusseinhilaliaminahussein4 ай бұрын
Iyo nikweli
@upendongumbi2 ай бұрын
Natak niagize daw mwishon wa mwez sasa mbon namba za cm nyingi?
@Mrbrownnd4 ай бұрын
Sisi tuko Mozambique 🇲🇿, tunaipata aje??
@user-hg7oz8ze4d4 ай бұрын
Sasa kama tofaut kat ya Kinga ya kishirikina na Kinga halali ni nia, sasa si hata mwenye kuwaita majini wamlinde kwa idhini ya Allah si itakuwa ni sawa na hiyo ya huo mti mkuu? Maana hata wenyewe nao lazima uwe na maqadim jamii ya Majin ndomana unaweza kuzuia wachawi...????
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Kwa maana nyingine ili tusitishwe na wachawi na sisi pia tuwe wachawi yaani turudishe ubaya kwa ubaya
@JacksonFrances
3 ай бұрын
😂😅😂😊
@buhitexmohamed47854 ай бұрын
Tutapataje niko kenya watoto mm mwentewe makini wamenichosha
@bobboris48594 ай бұрын
Niko kenya naipataje dawa?
@adamnguvu1020Ай бұрын
*Ushirikina niushirikina tu ukikiweka kitu chechote ktk nyumba huo niushirikina DUA NAKUMTEGEMEA MUNGU tu ndosio ushirikina wqcheni kupotosha nyie ndomnaosemaga RAMLI NISAWA TU NA EX REY*
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Acha kupotosha uchawi upo lakini allah alituambia tusiuamini bali tumtegemee yeye.sasa wewe uanatujengea hofu kwanini dawa ya uchawi siyo kujifunza kuroga na wewe bali kumuamunia allah basi.
@exclusivelyunknown886
4 ай бұрын
❤0❤❤😂❤❤😂😂😂😂
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Uchawi na ushirikina maadui ni akili za kishenzi za mwafrika tu
Пікірлер: 20
Mashallah wachawi wabaya sana Sheikh wangu
Barakallahu fiyk yaa Ustadhi
JazakaALLAHu kheiran
Uchawi upo mimi nimetenganishwa ndoa yangu kwa uchawi
W salam ww ❤
Wamenichosha shekh wamenivunjia ndoa ya miaka
Unaongeza ukweli mtupuu
Iyo nikweli
Natak niagize daw mwishon wa mwez sasa mbon namba za cm nyingi?
Sisi tuko Mozambique 🇲🇿, tunaipata aje??
Sasa kama tofaut kat ya Kinga ya kishirikina na Kinga halali ni nia, sasa si hata mwenye kuwaita majini wamlinde kwa idhini ya Allah si itakuwa ni sawa na hiyo ya huo mti mkuu? Maana hata wenyewe nao lazima uwe na maqadim jamii ya Majin ndomana unaweza kuzuia wachawi...????
Kwa maana nyingine ili tusitishwe na wachawi na sisi pia tuwe wachawi yaani turudishe ubaya kwa ubaya
@JacksonFrances
3 ай бұрын
😂😅😂😊
Tutapataje niko kenya watoto mm mwentewe makini wamenichosha
Niko kenya naipataje dawa?
*Ushirikina niushirikina tu ukikiweka kitu chechote ktk nyumba huo niushirikina DUA NAKUMTEGEMEA MUNGU tu ndosio ushirikina wqcheni kupotosha nyie ndomnaosemaga RAMLI NISAWA TU NA EX REY*
Acha kupotosha uchawi upo lakini allah alituambia tusiuamini bali tumtegemee yeye.sasa wewe uanatujengea hofu kwanini dawa ya uchawi siyo kujifunza kuroga na wewe bali kumuamunia allah basi.
@exclusivelyunknown886
4 ай бұрын
❤0❤❤😂❤❤😂😂😂😂
Uchawi na ushirikina maadui ni akili za kishenzi za mwafrika tu
@user-eu7vf2po8e
3 ай бұрын
Tapeli