Sura Hii Ukiisoma Nyakati Hizi 2 Unaondosha Shida Zako Zote Hata Kama Una Madeni - Sh Othman Michael
#QiblateinOnline #sheikhothmanmichael #2024
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline
#QiblateinOnline #sheikhothmanmichael #2024
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline
Пікірлер: 99
Asalam aleykum sheikh niko Kenya naomba unifanyie Dua pamoja na wanangu Mimi ni ABDULKARIM kioko MUMINA na mke wangu Fatma Binti hamisi.wanakungu wako shuleni ningependa wafanye wizuri madrassa na school Khalid ABDULKARIM ,khamisi ABDULKARIM na hajra ABDULKARIM shukran.
Asalam alaykum sheikh kwa djina naitwa lokombo mohammed inchi ya congo nina shida naitaji maombi inshallah
Asalam aleikum, kwajina naitwa Amina Ali Naomba uniombee na mm
Mimi mariam from namuomba mungu anijalie nije Tanzania nifanyie tiba inshallah mara nateseka kiukweli
Allahuakbar shekh umeongea maneno makubwa na matamu allahakbar yarabby akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera wallah shekh nakupenda sana kwa ajili ya Allah jallajallal
Naitwa mwajuma sadick inshallah naomba Dua ya kufunguliwa ridhiki amina
Maa shaa Allah hasbiya Allah shekhe Allah akulipe kwa kila jema ufanyalo na ndo iwe sababu yakuipata pepo yake pamoja na wazazi wako nami nahitaj dua zakia Muhiddin salum
SHEIKH OTHMAN MAICHAEL MIMI NIPO MSUMBIJI ASANTE SANA KWAMAWAIZA. YaKO
Asalaam Alaykum warahmatullah wabarakaatu Sheikh mm naomba dua zako inshaallah
Asalam alehkum shekh Othuman naitwa Rashid mzaliwa wa kilimanjaro naomba uniweke katika Dua hiyo kiukweli nahitaji sana kupiga hatua nimiliki Mali nisaidia ndugu na jamaa lakini njia siiyoni shekh,tafadhali shekh
Ahsante Shekhe
Salaam Aleikum warahmatullah wabarakaatuh,,Jazaakallah kher hutuombea Maasha'Allah Tabaarakalla h nahitaji kusomewa Biidhnillah
MASHAA Allah Allah akubariki. Na mm Sheikh niombee dua nadaiwa fedha nyingi it niombee dua sana nikipe by HAMAD SHAAME
Mashallah Alhadulilahi mashallah Alhadulilahi Allahu akupe maisha marefu.
Mashallah naomba dua kwa familia yangu kw ndoto za kula nya ma mfulilizo mara harusi mara mjaba kwa sanduku nisaidie shekh langu
Mashallah tabaraka Rahman shehe mmi nipo oman nina matatizo makubwa naomba unifanyiye duwa muda wote vitu vinanitembeya mwilini jina langu Amina mtumwa
allah akulipe kheri 🤲🤲🤲
Mashaallah Mungu akuzidishie baraka jina langu zahra omari ninamatatizo yangu
Awww habari zenu huko bwana Cheikh mnaomba samahani sana nisomewe duwa ya kuondokewa na ufukara yani umasilini wakupindukia
Asalam alaikum cheikh wetu Allah akuhifadhi sana akuondolee kila zito akujalie uwe miongoni mwa wale watakao jaliwa kuipata pepo yake naitwa amina usisahau kuniweka katika dua zako😢changamoto nilo nazo ziniondokee nipo kenya
Bwana Cheikh ufukara umezidi kuniandama sana kabisa naomba msada wa duwa nisomewe hii Wike kabla ya kuingia Ramadhan Kareem
Inshaallah tunashkuru kuwa hutudajau kutuombea allah ukuzidishie kilalarheri naafya njema
Aslm alykum sheikh mungu akujaze kheri natwa Sarah abdi naomba unifanyie Dua Niko mgonjwa na mashida mingi TU ya rizki nitashukuru sana
Jazakhaallah!
Jàzakallah
Mashaallah mola akube maisha marefu
Kwama jina naitwa Ngaweje iddi Abdullah nimwanafunzi wa kidato Cha nne ninaomba uniombee kufaulu mtihani wangu wa kidato Cha nne mwaka huu 2024 inshallah
Mimi ni skukuu jumaa nipo Kenya sheikh wngu in Sha Allah mungu akulipe kheir
Masha allah masha allah❤❤❤
Shukran
Mim naitwa salum natokea tanga muheza naomba fadhira zako shekh
Mashallwaa Mungu akupe maisha marefu
Shukrn
Ishaal Inshaalah allah akulipe kwa kutupatia erimu
Mashallah ustadh mawaidha mazuri yenye manufaa kwetu
❤❤❤❤Masha'Allah shukran xan sheikh Othman ❤❤❤❤❤❤❤Masha'Allah Alhamdulillah
Mashaallah
Inshaaallah
Asalam alaykm. Shekh kina langu ni shabani ramadhani salimu naomba nifanye dua maisha yangu ni magumu
Assalam aleykum sheikh.. naitwa Swabrina Salim Kichwa naomba na mimi uniweke katika dua ili mambo yangu yanifungukie Inshaallah… ikiwemo kuweza kupata kazi inifae mimi na wazazi wangu na mengine mengi yaliyomema🙏
Maashallah sherkh utafunza mengi Mungu akuzidishie umri n afya uzidi kutusaidia nifanyie mi pia
@habibaramadhani-xv2ed
4 ай бұрын
Kheri sana.
Maishallah!!!!!! ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH YA Allah HOTUBA MUAFAKA.
@SaudaMfaume
4 ай бұрын
Aslm alykm maalim niombee na mm duwaa insha allah
Allah 🙏 Akbar allahuma amin YA Salam ya Salam ya muhibu liazizi ya Cheikh Allah allahuma amin YA Rabi Lialamina Allah apokee maombi yetu wa hadha awww
@SaudaMfaume
4 ай бұрын
Aslm alukm maalim nafatilia san mawaidha yak dua zak insha allah atufanyie wps
shkran
Assalam alkum warahmatullah wabarakat .Sheiher nakuomba Nami uniombeye naita snella
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu sheikh uthman Michael mimi naitwa Riziki Hassan niko Kenya
Aslm Alkm shekh mm nataka dua ila nipo znbar
Awww Hi 👋 bwana Cheikh
Al-hamdulilay kwa mafunzo
Sheikh twaitaji mali wengine tuna dreams za kufanya ila zina kheri ndani yake na mapato madogo kabisa 😢😢😢😢😢 hadi wadhania ni laana
SHU
Mimi mariamu Jeremia
Baada ya waqiya ukirudi kwenye yasin unaendelea tuu au unapiga Bismillah
Naitwa khalid saleh Abdullah naomba dua
Asalam aleykumu,,naomba kuandikiwa sura hii tafadhali
Kwamajina naitwa rahma hothuman
Mi Niko. Kenya ni someye pesa
As salaam alaikum shekh! Mi naitwa nazzir sued Niko kwenye uchimbaji mwaka wa 7 lakini naogelea kwenye madeni mtaji uliisha karaska namba niombee DUA Inshaa Allah ili nipate!
Asalam aleikum Sheikh
Naitwa binty Niko kenya
Mimi khamis Mohamed said
Assalaam aleykum maalim. Shukran sana kwa mawaidha yako yenye manufaa kwetu na ntajitahidi sana na hicho kisomo cha surat yasin na surat Al waqiah biidhnillah. Mimi jina langu Nuru Bint Jumaa nakuomba uniombee dua pamoja na wanangu na pia dada yangu ni mgonjwa yupo kitandani kapata stroke miaka 2 na miezi jina lake Zena bint Jumaa. Mungu akuzidishie afya njema na elmu zaidi na zaidi ili tufaidike. Wa salaam aleykum warahmatullah wabarakatu
@hamzaabdallah1969
4 ай бұрын
Mungu awajaalie shufaa
@noornasir4378
4 ай бұрын
@@hamzaabdallah1969 Allahumma amiin yarabbil Alamein
@allykakozi1555
4 ай бұрын
Allaah atamuafu dada zena kwa uwezo wake INSHAA ALLAAH
Naoomba uniombee dua naitwa mwajuma saidi
Kwamajina yangu nayitwa Ibrahim Karume Rajab Abed Kigali Rwanda na Jina Wana niita Master Kenyatta Mwamba naeshi inci ya Rwanda na Mimi Natoka kati ka Kabila ya Wa Nyamwezi nazaliwa Tambora Cemcemu mtaa wa utusi
Samahani ninaswali langu je naweza kusoma hizo sura kwa mda mwingine tofauti na huo mda magharibi na isha ..
@FayeezAlbahassaney
4 ай бұрын
Kaka yangu hadith ya mtume muhammad( saw) inasema kwakmb ukisoma suratu Waqia wakt wa usk bas umaskin utakingwa nao na kipind kigumu cha maisha, sasa inaman unaweza kusoma wakt wowot wa usk yan kuanziya maghrib mpk 10 usik wakt wowote kuanzy muda huo
@FayeezAlbahassaney
4 ай бұрын
Na pia mtume muhammad saw anasema ukisoma suratu Dukhan yan sura ya 44 ukisoma usiku Allah atateuwa malaika 70000 wakuombee msamaha kwa mola wet asbh
@SaidFupi
5 күн бұрын
Samahan akhy hii yaasin na waaqiya kweny mubin kuna dalili?@@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney
5 күн бұрын
@@SaidFupi quran ni miujiz ya kil kit
Kuwa jina Ibrahim Hasan ni ombaye pesa na WAnawake wema na watoto na piya janaa
Naitwa zawad Paul naomba unisome Kuna vitu vinanitembea mwilin
@maimunalinga3517
4 ай бұрын
Mtafute sheikh jaffer yuwapatikana mtoro atakusaidia sana kisha urudi kwa sheikh akufanyie ruqya
Hakuna sura inayoondosha shida acha uongo mshirikina wewe.shida haziwezi kuisha make ndo mitihani aliyoleta allah kututahini alafu unataka kuwadanganya.waswahili wanasoma sura yasin mbona hawashibipaka wanapigania pilau we vipi.na dawa ya deni ni kulipa siyo kusoma yasin wakati unakopa ulisoma yasin we fala kweli
@user-xx6ls7wy5s
4 ай бұрын
Duh najina lako lote Hilo Mohamed bado unapinga anayosema mtume kweli kikubwa Imani tu ndg pungumza mihemko na jazba katika mambo ya dini fanya km unavyo elezwa ukishindwa pita hiviii
@hamzaabdallah1969
4 ай бұрын
Alafu anatukana jaman sas yeye anaetukana na anaesema muongo nan fala duh allah amsamehe
@nasirmohamed1589
4 ай бұрын
@@hamzaabdallah1969 endeleeni kubebewa akili na hao mashehena mm hawanibebei akili kama nyinyi narudia hakuna sura inayoondosha shida.shida kwa binadam haziishi ni mitihani kutoka kwa allah kalieni ufala tu.
@nasirmohamed1589
4 ай бұрын
@@hamzaabdallah1969 wewe na akili zako kama shida zinaweza kutoweka kwa kusoma aya tu mwislam gani angebaki na shida dunia hii tumieni akili kuna vitu vingine ni vya kutumia akili ya kuzaliwa tu.duniani tumeumbiwq shida shida ni sehem ya maisha yetu ni mitihani toka kwa allah mali ni mtihani umaskini ni mtihani afya ni mtihani watoto ni mtihani fungueni macho.
@nasirmohamed1589
4 ай бұрын
@@user-xx6ls7wy5s jina langu halikuhusu kifupi hakuna aya inayotoa shida rafki yangu shida ni sehem ya maisha ya kila siku ya mwanadam ni mitihani toka kwa allah sasa wewe msikilize huyo shehena alaf kimbilia kukosoa jina langu kama itakusaidia
Hivo sheikh AmirAli Bhaloo wa Dsm