Sura Hii Ukiisoma Nyakati Hizi 2 Unaondosha Shida Zako Zote Hata Kama Una Madeni - Sh Othman Michael

#QiblateinOnline #sheikhothmanmichael #2024
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline

Пікірлер: 99

  • @babamansur422
    @babamansur4223 ай бұрын

    Asalam aleykum sheikh niko Kenya naomba unifanyie Dua pamoja na wanangu Mimi ni ABDULKARIM kioko MUMINA na mke wangu Fatma Binti hamisi.wanakungu wako shuleni ningependa wafanye wizuri madrassa na school Khalid ABDULKARIM ,khamisi ABDULKARIM na hajra ABDULKARIM shukran.

  • @user-is5pk5tq5t
    @user-is5pk5tq5t3 ай бұрын

    Asalam alaykum sheikh kwa djina naitwa lokombo mohammed inchi ya congo nina shida naitaji maombi inshallah

  • @user-cn6qw4yg8h
    @user-cn6qw4yg8h3 ай бұрын

    Asalam aleikum, kwajina naitwa Amina Ali Naomba uniombee na mm

  • @user-oj1yp1tt1t
    @user-oj1yp1tt1t2 ай бұрын

    Mimi mariam from namuomba mungu anijalie nije Tanzania nifanyie tiba inshallah mara nateseka kiukweli

  • @user-mi3wq7st2x
    @user-mi3wq7st2x3 ай бұрын

    Allahuakbar shekh umeongea maneno makubwa na matamu allahakbar yarabby akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera wallah shekh nakupenda sana kwa ajili ya Allah jallajallal

  • @mwajumasadick8688
    @mwajumasadick86882 ай бұрын

    Naitwa mwajuma sadick inshallah naomba Dua ya kufunguliwa ridhiki amina

  • @ZakiaSalum
    @ZakiaSalum3 ай бұрын

    Maa shaa Allah hasbiya Allah shekhe Allah akulipe kwa kila jema ufanyalo na ndo iwe sababu yakuipata pepo yake pamoja na wazazi wako nami nahitaj dua zakia Muhiddin salum

  • @kufulanikufulanibacar-uj4tf
    @kufulanikufulanibacar-uj4tf4 ай бұрын

    SHEIKH OTHMAN MAICHAEL MIMI NIPO MSUMBIJI ASANTE SANA KWAMAWAIZA. YaKO

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed294526 күн бұрын

    Asalaam Alaykum warahmatullah wabarakaatu Sheikh mm naomba dua zako inshaallah

  • @RashidMsangi
    @RashidMsangi3 ай бұрын

    Asalam alehkum shekh Othuman naitwa Rashid mzaliwa wa kilimanjaro naomba uniweke katika Dua hiyo kiukweli nahitaji sana kupiga hatua nimiliki Mali nisaidia ndugu na jamaa lakini njia siiyoni shekh,tafadhali shekh

  • @AhAu2-oi5wn
    @AhAu2-oi5wn2 ай бұрын

    Ahsante Shekhe

  • @camillas.edrees6155
    @camillas.edrees61553 ай бұрын

    Salaam Aleikum warahmatullah wabarakaatuh,,Jazaakallah kher hutuombea Maasha'Allah Tabaarakalla h nahitaji kusomewa Biidhnillah

  • @HADIASHAAMEHAMAD-kj7kx
    @HADIASHAAMEHAMAD-kj7kx3 ай бұрын

    MASHAA Allah Allah akubariki. Na mm Sheikh niombee dua nadaiwa fedha nyingi it niombee dua sana nikipe by HAMAD SHAAME

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf4 ай бұрын

    Mashallah Alhadulilahi mashallah Alhadulilahi Allahu akupe maisha marefu.

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47853 ай бұрын

    Mashallah naomba dua kwa familia yangu kw ndoto za kula nya ma mfulilizo mara harusi mara mjaba kwa sanduku nisaidie shekh langu

  • @user-zy3ol5pd3v
    @user-zy3ol5pd3v4 ай бұрын

    Mashallah tabaraka Rahman shehe mmi nipo oman nina matatizo makubwa naomba unifanyiye duwa muda wote vitu vinanitembeya mwilini jina langu Amina mtumwa

  • @user-xu1qg4sm6e
    @user-xu1qg4sm6e2 ай бұрын

    allah akulipe kheri 🤲🤲🤲

  • @MajuvaMajuva
    @MajuvaMajuva3 ай бұрын

    Mashaallah Mungu akuzidishie baraka jina langu zahra omari ninamatatizo yangu

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx4 ай бұрын

    Awww habari zenu huko bwana Cheikh mnaomba samahani sana nisomewe duwa ya kuondokewa na ufukara yani umasilini wakupindukia

  • @user-lg6go2df8w
    @user-lg6go2df8w4 ай бұрын

    Asalam alaikum cheikh wetu Allah akuhifadhi sana akuondolee kila zito akujalie uwe miongoni mwa wale watakao jaliwa kuipata pepo yake naitwa amina usisahau kuniweka katika dua zako😢changamoto nilo nazo ziniondokee nipo kenya

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx4 ай бұрын

    Bwana Cheikh ufukara umezidi kuniandama sana kabisa naomba msada wa duwa nisomewe hii Wike kabla ya kuingia Ramadhan Kareem

  • @user-ti1ok8jf6u
    @user-ti1ok8jf6u3 ай бұрын

    Inshaallah tunashkuru kuwa hutudajau kutuombea allah ukuzidishie kilalarheri naafya njema

  • @user-vu9mc8pf9k
    @user-vu9mc8pf9k3 ай бұрын

    Aslm alykum sheikh mungu akujaze kheri natwa Sarah abdi naomba unifanyie Dua Niko mgonjwa na mashida mingi TU ya rizki nitashukuru sana

  • @abdullahiahmed5247
    @abdullahiahmed52474 ай бұрын

    Jazakhaallah!

  • @Kondoa805
    @Kondoa8054 ай бұрын

    Jàzakallah

  • @user-vl4md8rj6i
    @user-vl4md8rj6i4 ай бұрын

    Mashaallah mola akube maisha marefu

  • @NgawejeIdie-cw9lg
    @NgawejeIdie-cw9lg4 ай бұрын

    Kwama jina naitwa Ngaweje iddi Abdullah nimwanafunzi wa kidato Cha nne ninaomba uniombee kufaulu mtihani wangu wa kidato Cha nne mwaka huu 2024 inshallah

  • @Dada-vk5nd
    @Dada-vk5nd4 ай бұрын

    Mimi ni skukuu jumaa nipo Kenya sheikh wngu in Sha Allah mungu akulipe kheir

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan22604 ай бұрын

    Masha allah masha allah❤❤❤

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын

    Shukran

  • @SalumMwinchum
    @SalumMwinchum2 ай бұрын

    Mim naitwa salum natokea tanga muheza naomba fadhira zako shekh

  • @rukiyajama3492
    @rukiyajama34923 ай бұрын

    Mashallwaa Mungu akupe maisha marefu

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto43034 ай бұрын

    Shukrn

  • @user-sc3il2fj4t
    @user-sc3il2fj4t4 ай бұрын

    Ishaal Inshaalah allah akulipe kwa kutupatia erimu

  • @user-cd9my5cp9n
    @user-cd9my5cp9n3 ай бұрын

    Mashallah ustadh mawaidha mazuri yenye manufaa kwetu

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih11643 ай бұрын

    ❤❤❤❤Masha'Allah shukran xan sheikh Othman ❤❤❤❤❤❤❤Masha'Allah Alhamdulillah

  • @user-br1zg8yf3v
    @user-br1zg8yf3v4 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-ds3os5qv4o
    @user-ds3os5qv4o3 ай бұрын

    Inshaaallah

  • @RozaliaEmanuely
    @RozaliaEmanuely3 ай бұрын

    Asalam alaykm. Shekh kina langu ni shabani ramadhani salimu naomba nifanye dua maisha yangu ni magumu

  • @swabrinakichwa1305
    @swabrinakichwa13053 ай бұрын

    Assalam aleykum sheikh.. naitwa Swabrina Salim Kichwa naomba na mimi uniweke katika dua ili mambo yangu yanifungukie Inshaallah… ikiwemo kuweza kupata kazi inifae mimi na wazazi wangu na mengine mengi yaliyomema🙏

  • @user-nm5fx5lm3f
    @user-nm5fx5lm3f4 ай бұрын

    Maashallah sherkh utafunza mengi Mungu akuzidishie umri n afya uzidi kutusaidia nifanyie mi pia

  • @habibaramadhani-xv2ed

    @habibaramadhani-xv2ed

    4 ай бұрын

    Kheri sana.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed4 ай бұрын

    Maishallah!!!!!! ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH YA Allah HOTUBA MUAFAKA.

  • @SaudaMfaume

    @SaudaMfaume

    4 ай бұрын

    Aslm alykm maalim niombee na mm duwaa insha allah

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx4 ай бұрын

    Allah 🙏 Akbar allahuma amin YA Salam ya Salam ya muhibu liazizi ya Cheikh Allah allahuma amin YA Rabi Lialamina Allah apokee maombi yetu wa hadha awww

  • @SaudaMfaume

    @SaudaMfaume

    4 ай бұрын

    Aslm alukm maalim nafatilia san mawaidha yak dua zak insha allah atufanyie wps

  • @nyanzirahamza9613
    @nyanzirahamza96134 ай бұрын

    shkran

  • @snellaniyonkuru9989
    @snellaniyonkuru99894 ай бұрын

    Assalam alkum warahmatullah wabarakat .Sheiher nakuomba Nami uniombeye naita snella

  • @rizikikuphenya1253
    @rizikikuphenya12534 ай бұрын

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu sheikh uthman Michael mimi naitwa Riziki Hassan niko Kenya

  • @ashaally4914
    @ashaally49143 ай бұрын

    Aslm Alkm shekh mm nataka dua ila nipo znbar

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx3 ай бұрын

    Awww Hi 👋 bwana Cheikh

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane46804 ай бұрын

    Al-hamdulilay kwa mafunzo

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul96524 ай бұрын

    Sheikh twaitaji mali wengine tuna dreams za kufanya ila zina kheri ndani yake na mapato madogo kabisa 😢😢😢😢😢 hadi wadhania ni laana

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto43034 ай бұрын

    SHU

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon18404 ай бұрын

    Mimi mariamu Jeremia

  • @salummnguruta4518
    @salummnguruta45183 ай бұрын

    Baada ya waqiya ukirudi kwenye yasin unaendelea tuu au unapiga Bismillah

  • @adilarashid5145
    @adilarashid51454 ай бұрын

    Naitwa khalid saleh Abdullah naomba dua

  • @user-ru6jt4vd6q
    @user-ru6jt4vd6q3 ай бұрын

    Asalam aleykumu,,naomba kuandikiwa sura hii tafadhali

  • @user-ip7yj4sr6g
    @user-ip7yj4sr6g4 ай бұрын

    Kwamajina naitwa rahma hothuman

  • @user-ug6rq2vg4w
    @user-ug6rq2vg4w3 ай бұрын

    Mi Niko. Kenya ni someye pesa

  • @user-im9cg1gl6z
    @user-im9cg1gl6z3 ай бұрын

    As salaam alaikum shekh! Mi naitwa nazzir sued Niko kwenye uchimbaji mwaka wa 7 lakini naogelea kwenye madeni mtaji uliisha karaska namba niombee DUA Inshaa Allah ili nipate!

  • @user-nb5py9lk7o
    @user-nb5py9lk7o4 ай бұрын

    Asalam aleikum Sheikh

  • @user-nm5fx5lm3f
    @user-nm5fx5lm3f4 ай бұрын

    Naitwa binty Niko kenya

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed35414 ай бұрын

    Mimi khamis Mohamed said

  • @noornasir4378
    @noornasir43784 ай бұрын

    Assalaam aleykum maalim. Shukran sana kwa mawaidha yako yenye manufaa kwetu na ntajitahidi sana na hicho kisomo cha surat yasin na surat Al waqiah biidhnillah. Mimi jina langu Nuru Bint Jumaa nakuomba uniombee dua pamoja na wanangu na pia dada yangu ni mgonjwa yupo kitandani kapata stroke miaka 2 na miezi jina lake Zena bint Jumaa. Mungu akuzidishie afya njema na elmu zaidi na zaidi ili tufaidike. Wa salaam aleykum warahmatullah wabarakatu

  • @hamzaabdallah1969

    @hamzaabdallah1969

    4 ай бұрын

    Mungu awajaalie shufaa

  • @noornasir4378

    @noornasir4378

    4 ай бұрын

    @@hamzaabdallah1969 Allahumma amiin yarabbil Alamein

  • @allykakozi1555

    @allykakozi1555

    4 ай бұрын

    Allaah atamuafu dada zena kwa uwezo wake INSHAA ALLAAH

  • @user-ey5pc8dc5h
    @user-ey5pc8dc5h4 ай бұрын

    Naoomba uniombee dua naitwa mwajuma saidi

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx4 ай бұрын

    Kwamajina yangu nayitwa Ibrahim Karume Rajab Abed Kigali Rwanda na Jina Wana niita Master Kenyatta Mwamba naeshi inci ya Rwanda na Mimi Natoka kati ka Kabila ya Wa Nyamwezi nazaliwa Tambora Cemcemu mtaa wa utusi

  • @Kondoa805
    @Kondoa8054 ай бұрын

    Samahani ninaswali langu je naweza kusoma hizo sura kwa mda mwingine tofauti na huo mda magharibi na isha ..

  • @FayeezAlbahassaney

    @FayeezAlbahassaney

    4 ай бұрын

    Kaka yangu hadith ya mtume muhammad( saw) inasema kwakmb ukisoma suratu Waqia wakt wa usk bas umaskin utakingwa nao na kipind kigumu cha maisha, sasa inaman unaweza kusoma wakt wowot wa usk yan kuanziya maghrib mpk 10 usik wakt wowote kuanzy muda huo

  • @FayeezAlbahassaney

    @FayeezAlbahassaney

    4 ай бұрын

    Na pia mtume muhammad saw anasema ukisoma suratu Dukhan yan sura ya 44 ukisoma usiku Allah atateuwa malaika 70000 wakuombee msamaha kwa mola wet asbh

  • @SaidFupi

    @SaidFupi

    5 күн бұрын

    Samahan akhy hii yaasin na waaqiya kweny mubin kuna dalili?​@@FayeezAlbahassaney

  • @FayeezAlbahassaney

    @FayeezAlbahassaney

    5 күн бұрын

    @@SaidFupi quran ni miujiz ya kil kit

  • @user-ug6rq2vg4w
    @user-ug6rq2vg4w3 ай бұрын

    Kuwa jina Ibrahim Hasan ni ombaye pesa na WAnawake wema na watoto na piya janaa

  • @user-yx6lc6om9b
    @user-yx6lc6om9b4 ай бұрын

    Naitwa zawad Paul naomba unisome Kuna vitu vinanitembea mwilin

  • @maimunalinga3517

    @maimunalinga3517

    4 ай бұрын

    Mtafute sheikh jaffer yuwapatikana mtoro atakusaidia sana kisha urudi kwa sheikh akufanyie ruqya

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed15894 ай бұрын

    Hakuna sura inayoondosha shida acha uongo mshirikina wewe.shida haziwezi kuisha make ndo mitihani aliyoleta allah kututahini alafu unataka kuwadanganya.waswahili wanasoma sura yasin mbona hawashibipaka wanapigania pilau we vipi.na dawa ya deni ni kulipa siyo kusoma yasin wakati unakopa ulisoma yasin we fala kweli

  • @user-xx6ls7wy5s

    @user-xx6ls7wy5s

    4 ай бұрын

    Duh najina lako lote Hilo Mohamed bado unapinga anayosema mtume kweli kikubwa Imani tu ndg pungumza mihemko na jazba katika mambo ya dini fanya km unavyo elezwa ukishindwa pita hiviii

  • @hamzaabdallah1969

    @hamzaabdallah1969

    4 ай бұрын

    Alafu anatukana jaman sas yeye anaetukana na anaesema muongo nan fala duh allah amsamehe

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    4 ай бұрын

    @@hamzaabdallah1969 endeleeni kubebewa akili na hao mashehena mm hawanibebei akili kama nyinyi narudia hakuna sura inayoondosha shida.shida kwa binadam haziishi ni mitihani kutoka kwa allah kalieni ufala tu.

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    4 ай бұрын

    @@hamzaabdallah1969 wewe na akili zako kama shida zinaweza kutoweka kwa kusoma aya tu mwislam gani angebaki na shida dunia hii tumieni akili kuna vitu vingine ni vya kutumia akili ya kuzaliwa tu.duniani tumeumbiwq shida shida ni sehem ya maisha yetu ni mitihani toka kwa allah mali ni mtihani umaskini ni mtihani afya ni mtihani watoto ni mtihani fungueni macho.

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    4 ай бұрын

    @@user-xx6ls7wy5s jina langu halikuhusu kifupi hakuna aya inayotoa shida rafki yangu shida ni sehem ya maisha ya kila siku ya mwanadam ni mitihani toka kwa allah sasa wewe msikilize huyo shehena alaf kimbilia kukosoa jina langu kama itakusaidia

  • @Haremkingarito
    @Haremkingarito4 ай бұрын

    Hivo sheikh AmirAli Bhaloo wa Dsm

Келесі