Masha Allah masha Allah wallah najickia kulia Allah akuzidishie sheikh wetu umenifanya nimkumbuke marehem mama yangu allahumma ghfirlaha warhamaha waskana fil janna Allah ampe qaul thabit mama angu
@missmoona44973 жыл бұрын
Alhamdulillah niko napambana kumalizia malizia nyumba ya mama yangu 🙏🙏🤲🤲🤲yarabbi nijaalie niimalizie ikamilike kama ninavyotaman iwe🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭
@khadigahkk9815
5 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤝
@RahmaTwa-fr5xo
4 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲
@nuruali96083 жыл бұрын
Mungu akutimizie kheri zote unazozifikiria, nami niombee mungu anijaalie kama unavoyataka ww ndio nnayo yataka mimi, WALLAHI.WALLAHI .WALLAHI THUMMA WALLAHI...HAYO UTAFKIRI MIMI NDIE NILIEKWAMBIA UYAFANYE NA KUYASEMA YOOOOOOOOTEEEEEEEE HAYO...WALLAHI NASKIA KULIA TENA WW NIMPENZI WA MUNGU NA MTUME ...MUHAMMAD REHMA NA MANI IWE JUU YAKE...AHSANTE SANA SHEKH WANGU MWANANGU...MIMI MAMANGU ASHATUNGULIA MBELE YA HAQI...NAMUOMBEA MUNGU AMPE MAMANGU QAULI THABIT..AMSWAMEH MADHAMBI YAKE PAMOJA NA BABANGU..NA WAISLAMU WOOOOOOTEEE WALOTANGULIA...ALLAHUMMA AMIIN AMIIIN YAARABBIL ALAMIIIN...JAZAKA ALLAHU KHERI SHEIKH UTHAMAN MICHEAL
@leylahbillah48763 жыл бұрын
Maashallah story yako imenikumbusha mbali sana sheikh 😭😭😭🇴🇲🇴🇲Yaarabby mjaalie afya njema mama angu 😥
@nuriaahmed99863 жыл бұрын
Umeongea maneno.mazuri na nasahakwa vijana wanaowatelekeza ama zao Allwah atawapa imani kupitia mawaidha yako.Allwahu Barik sheikh mungu atakupa afya na furaha na mafanikio.mema hapa duniani na kesho akhera
@mbwanamohamed19273 жыл бұрын
Ahsanthum sheikh wangu. Nimestafiidh Sana katika darsa zako na ninazikubali.kila ninachokiskiliza lazima kiniwachie athari.
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri sana Sheikhe, Allah Akubariki na Akutimizie malengo yako,..Namuomba Allah Anijaalie kauwezo nimjengee Mama yangu mzazi pia mimi nimjengee Mama yangu mzazi nyumba Mwaka huuhuu 2021, by December iwe iko tayari In Shaa Allah kama nilivyokuwa nimeyapanga na vilevile Allah Amurehemu marehemu baba yangu na Amuepushe na adhabu katika kaburi lake.
@ummya3996
3 жыл бұрын
In shaa ALLAH. ALLAH S.W.T akujalie afya njema na yenye swiha na akurahisishie utimize lengo lako.Amiin🤲
@rashidkalimbo2451
3 жыл бұрын
@@ummya3996 Amin
@zulfahussein6784
3 жыл бұрын
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab Allaah akutangulie kwa Neema zake In sha Allaah
@shamzone388
3 жыл бұрын
@@rashidkalimbo2451 allahuma amin yarab
@bnussrahlimsantah3730
3 жыл бұрын
Amiin Allah akujalie ukamilishe malengo yako jamani
@safiyatheonlything78483 жыл бұрын
Mashallha allha akuzidishie shekhe lnshallha mpaka nimelia nimemkumbuka mama yangu sana maisha tuliyo pitia alipambana sana kwa ajili yetu alhamdullha nashukuru niliweza kumuuguza ndani ya miaka minne akiwa awezi kutembea mpaka allha alivyo mchukua allha ampunguzie azabu ya kabli lnshallha pia kwa ss najitaidi ninacho kipata kidogo na mtumia na baba angu angarau siyo mara kwa mara alhamdullha nashukuru na dua namuombea mama yangu Amen🤲
Mashaalah sheik osman Allah akujalie Janato kwa elmi yako tamu my dia bro alaah akulinde sana shke osman wabilahi taufig.
@naimaally70723 жыл бұрын
Subhanallah 😭😭 Allah awahifadhi mama zetu wallahi sheikh wangu umeniliza hayo maisha ndo aliyo pitia mama yangu Allah ampe afya njema na awajaalie mama zetu mwisho mwema Allahumma amiin
@tumaally9482
3 жыл бұрын
Subhan Allah hakika ya hii dawa imeniliza sna
@naimamuktar90283 жыл бұрын
MashaAllah sheikh kwa hiki umekifanya mungu akuzidishie...kwa kweli imenigusa tuombee pia ss mungu atajalie tuwajengee wazazi wetu..."Mama ni mama hata kama hana maaana"
@abdulhakimhussein60392 ай бұрын
Ila mama yangu hajawa Muislam, lkn ameniahidi kuwa muislam hapa karibuni! WALLAHI Allah Atufunguliye mulango ya barka zake
@shameemrashid52193 жыл бұрын
Dahhh yarabiii wajaaliye wazazi wetu maisha marefu wanapitia changamoto nyingi sana
@maryamanita5999
3 жыл бұрын
Amiin
@madinaomar679
3 жыл бұрын
Nikweli
@latifamkulazi83783 жыл бұрын
Maskin 😭😭wazazi wanapadatabu juuyetu. Allah awalipe wema in sha allah 🙏 Sheikh MUNGU akuongoze uzidi kumkirim mama
@aishaaisha1495
3 жыл бұрын
Amiin
@Sweetfozicakes_
3 жыл бұрын
Amiin ya rabi 🤲🤲
@zulfahussein6784
3 жыл бұрын
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
@arafahassan5257
3 жыл бұрын
Ammin
@annamachaki36443 жыл бұрын
Yaani Sheh Othuman nimeshiba maneno na matendo na maoni yako ee mwenyez Mungu asante nakuomba umfanyie anavyokuomba na sisi utufanyie na kutufikisha mwisho mwema wa baraka na Amani Amen🙏🙏
@masoudidadi73693 жыл бұрын
Sheikh nikiskiliza mawaidha yako Najifunza vitu vingi sana Shukran Allah akukinge na kila baya
@halmahalish10403 жыл бұрын
MashaAllah.... Allah amzidishie umri yenye kheri na baraka inshaAllah 🤲🤲🤲🤲😭😭😭
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
@khadeejahrashid31773 жыл бұрын
Masha Allah, na kwa dua yako ya kufia madina sisi ndugu zako ktk iman twaitikia Aamiin iwe Qun faya Kun. Twajifunza mengi kupitia Channel hii ya othman Michael. Allah akupe mema hapa duniani na kesho Akhera, Allah akulipe Firdaus ya juu. Nakuhusudu kwa Kheir sheikh Othmaan
@fatmam19973 жыл бұрын
Mashaallah shekhe Allah akuzidishie mapenzi jui ya mamaetu . Nawale wazaza wetu wengine Allah aliowahitaji ishaallah awaweke kwe pepo ya firdaus kwa rehma zake ?Ammiin🤲
Mashaaallah 🙏 Allah akuongoz shekh Osman insha'Allah 🙏 Allah akup maish maref
@zitoniebrahem31743 жыл бұрын
mashallh nimefurahi sana kwa unavyomuongoza mama yako ndomana hata mimi nampenda sana mama yangu napambana sana kwajii ya wazizi wangu mungu wape wazazi wangu umri mrefu innshallh
@husseinmahmoud7000
Жыл бұрын
Allahumah Amiin
@mariam73073 ай бұрын
Ma shaa Allah jambo la kheir Allah Azidi kukuhifadhi sheikh Othman
@sadaralmas41852 жыл бұрын
ALLAH karim.atujalie sote.akuzidishie afya naumr uzid kutupa ilm inshaallaah.
@zwinaalhabsi6643 жыл бұрын
Mashaallah shekhe allah akufungulie kila la kheir wewe na familia yako hakuna kitu kikubwa kama wazazi
@lillymwali6867
3 жыл бұрын
Baarkhallah fiq Allah hakujazekillalakheir
@saifasaleh69843 жыл бұрын
In Sha Allah yarrab Allah atakulipa makubwa zaid ya uliyo mfanyia mama yetu sote. Dua yako Allah aipoke yarrab 👏🏻
@user-ke3js4li3n Жыл бұрын
Ma shaa Allah. Allah kujaze kheri Daima. Allah amjalie kheri mzee wako. Na sisi Allah atuongoze tuwatendee wema Wazazi wetu. Kwa pamoja Allah turuzuku PEPO YA DARAJA LA JUU. FIRDAUSI. AMIIN AMIIN AMIIN
@abdulhakimhussein60392 ай бұрын
Wallah hii historia imeniliza sana! 70% inakwenda kukutana na hali nayo ishi na mama yangu sasa!
@tatualmazrui59453 жыл бұрын
Yaa Raby wasemehe madhambi yao wazee wangu,😭😭nasie tupe mwisho mwema
@ShakilaZubeda3 ай бұрын
Wallahi sheikh akuna sheikh ninayempenda Kama wewe mwenyezimungu akulipe n akuhifadhi natamani ata siku moja nikakuona live lakini haiwezekani namuomba Allah anikutanishe nawe peponi in Shaa Allah
@maisarasid86702 жыл бұрын
Nakushukuru sana sheikh kwa kutufunza mwenyeazimungu akujalie umri uweze kutufunza nazaidi
@rayasaid37343 жыл бұрын
MashaAllah, mtoto mwema
@mwanaidimwachitumbo91113 жыл бұрын
Waalkum salaam waarahmatullah wabarakaatuh, maashaallah tabarakallah kw nasaha nzur nami pia namuomba Allah aniajalie nami nmkirimu mmayng zayd na zayd Aamiin thuma aamiin yarabby, shukran sheikh Othman...
@fatumaaly74443 жыл бұрын
Nimependa kisa chako saan mungu akuzidishie n akupe kila ulichotia Nia inshasllah
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
W/ msalam shkhe mungu awafanyie wepesi mama zetu waliotutangulia mbele za haki Amiin
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
Ameen
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
ameen
@safiyatheonlything7848
3 жыл бұрын
Amen
@manatengulangwa57013 жыл бұрын
Mungu akuzidishie kwa kumsamini mama yako amina
@mkmwayama4534 Жыл бұрын
MashAllah...Allah akupe umri mrefu sheik.. mafunzo yako yamenijenga sana ki iman..I am a changed woman
@user-jz2su4co4d7 ай бұрын
Mama yeyote anatamani mtoto mwema basi nakuomba Allah unifanye mja mwema ktk dunia nawatoto wengine kwa uwezo wako
@hamidahamis45373 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah. Sheikh Othman
@maidamoyo62823 жыл бұрын
Allahu Akbar , hakika nilikuwa na mengi ya kusema lkn mpk ilivyoishia hii video nmekosa cha kusema ila mm nakuomba dua tu shekh uwe na mwisho mwema ukafie Makkah au Madinah lkn Mungu akupe maisha marefu kw7bu bado tunakuhitaji utukumbushe kuhusu masuala ya dini , tukomboke kupitia ww.
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Salama 32806902 jina kama kawa
@joharijames11473 жыл бұрын
Mashalla shehe umenifundisha meng sana yaani hata kwetu wapo jamani acha tuu she he
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Nimesikia raha sana mimi pia nakuombea dua kila ulicho nuiya ukipate ishallah😘
@user-vl4md8rj6i6 ай бұрын
Mashaallah mashaallah mola akuzidishiwe iman akupe maisha marefu na akuhifathi
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah allah azidi kukuongoza katika kheri nausivunjike moyo kwa maneno yawatu tufurahia tunapata mengi mazuri
@user-nj8jv2yi2r10 ай бұрын
Ukweli namkubari shehe Othuman michael.Mungu amzidishie umri mrefu tuzidi Kupata elimu yikes.
@mariamunika62392 жыл бұрын
Allahu Akubar nampenda sana mama yangu na mm inshallah nitamjengea mama yangu nyumba inzuri
@maamuu79773 жыл бұрын
Maasha'Allah Tabarak'Allah sheikh Othman Allah akujalie kila lenye kheri Dua ya mama itimie ufie makkah na Madna Amiin ya Rabb 🤲🤲
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh masha Allah shekh Othman Michael
@zubedatatu78523 жыл бұрын
Masha Allah.... Allah bless you more Amiin yrby Amiin 🙏🙏🙏
@nadhirasalum16333 жыл бұрын
Allahuma Amin Yarab Allah akubarik na akukubalie duwa zako pamoja na mzee wako Amin 🤲🤲🤲
@samirasaid92043 жыл бұрын
Masha Allah mwnyenzi mungu akupe moy huohuo
@ashooraashoora11803 жыл бұрын
Amiin yarabily liallamina Dua ya mama yetu ❤️
@fatmaameer53333 жыл бұрын
Mashallah ALLAHakujaliekheri tunajifunza mengi na tunapata sanamoja
ALHAMDULILAH kwa radhi za wazee ALLAH akutimizie nia yako vile unavyopenda AMIN
@Ashu-ed2tb3 жыл бұрын
Allah atujaze mapenzi mema kwa wazee wetu
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen
@bnussrahlimsantah37303 жыл бұрын
Wallah nmejifunza sana na nmejituta nazidi kuwapenda wazazi wangu shukuran sana
@aminathabagome4827 Жыл бұрын
Manshaallah Allah atujalie nasi kuyatenda yenye kheri kwa wazazi wetu yarrabbiii
@kizamaulidi60043 жыл бұрын
Mashaallah twakupenda sana shekh wetu na mama pia allah awahifadhi daima
@user-hm6hy6rr1h5 ай бұрын
MashallH sheh aallah azid kukuongoz ila jitaid na ss uzid kutuombea tufik ulip fik ww kimaisha tupat rizk zet zahalal tusaidie wazee wet na watt wet na kil narizki yak tumsaidie
@lkshmykomar54723 жыл бұрын
Mashallahu mungu atakulipa Kwa uliyo mtendeya mama na Mungu akuwezeshe kutmiza malengo yako na ishalla Mungu akufshe Maka au MADINA ishalla
@saidahmed968810 ай бұрын
jazakallhu lkheir sheikh othman
@swabahasaidi85902 жыл бұрын
😂😂Alhamdulah Alhamdulah Jazaka Allah kher
@khadijaangore44083 жыл бұрын
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah.Ameen yaraabalamiin sote jamii Islam .💕💕❤
@dottocharles16363 жыл бұрын
Jaman nimelia sana .tarehe moja mwezi wakwanza .nilimfanyia .kitu mama yangu .cha kumshutukiza kidogo tu lakin alifurahi sana mpka Leo tabasamu lake huwa naliona ingawa nipo mbali nae .Mimi nipo dar yeye yupo kahama shinyanga .niliangalia changamoto kubwa hapo home .nilinunua vitanda viwili na magodoro nikapeleka . home .namuomba mungu siku zote awatunze
@ahmadsaid5845
3 жыл бұрын
Vtanda vwili unatangaza
@jafarfarhan7749
2 жыл бұрын
Khaaa
@Ruqayyah-ft1gu
2 ай бұрын
Kutangaza kheri huenda ikawashawishi wengine kufanya,naye akapata thawabu
@Ruqayyah-ft1gu
2 ай бұрын
Inayokatazwa ni riyaa
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Mashallah natamani nivae ivyo habaya na nikab bt nashindwa am asmatic tena za joto hua najaribu nikab lakini sometimes Pia nainua bt i really wish people nt 2 see my face Kabisa, mashallah nimependa hii family
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Jitahidi kuivaa mwanzo ni mgumu ila mwisho utaizowea
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
@@mamussi6872 sawa sawa sitachoka
@khadijaabbas1581
3 жыл бұрын
Mumy joto LA jahanam ni zaid ya hapa jitahid
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
@@khadijaabbas1581 subhanallah ntajaribu
@rashidwakukalinga-xv9fi Жыл бұрын
Mashallah..Allah akuongoze ww na familia yako kwa ujumla
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Nimelia sana pale unapo busu mama roho yangu imetamani na mm ningefanya hivyo.ila kicho dua tu kwengu😭
@amriyalibent8441
3 жыл бұрын
Pole Allah akupe subra dua muhimu ndo MTT mwema
@binthassancollection.6308
3 жыл бұрын
Allah azilaze roho za wote walotangulia pahali pema peponi
@afric013 жыл бұрын
Aslm alkm wtw......ma sha Allah!!!!!! Umezidi kupendeza Sheikh Othman. Alla akutimizie unayo yataka. Allah akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Akupe pepo firdaus Sheikh wetu. Mmmmwaaaaaaa Sheikh Othman. Wallahi kwa uwezo wake Allah, wewe ni mtu wa peponi. Ma sha Allah!!!!!! Kila la kheir sheikh wetu.
@swaumupaji36233 жыл бұрын
Maa shaa Allaah TabarakaAllaah
@prisikachande7 ай бұрын
kaka nilivoanza kuangalia video zako week ilopita adi leo nazisachi atakama sijaziona na nakupenda kwajili ya allah pia najifunza mengi mno kutoka kwako allah akufanyie wepes insha alla
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael masha Allah
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi Warahmatullahi
@furahamossi31993 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh Allah awazidishie upendo nyie ote katika familia yenu😙😗
@samsungj7pro64gb53 жыл бұрын
MashaAllah love u mmy❤❤
@hawihawi85353 жыл бұрын
Mashaalah umenikumbusha mbali shekhe mpaka machoz
@zipporahmoranga13392 жыл бұрын
Be blessed elder my brother
@KassimShora4 ай бұрын
Jazakallah sheikh
@faizanassor63363 жыл бұрын
Mashallah allah azidi kutuzidishie mapezi juu ya wazazi wetu kwa jumla pepo ya dunia ni wazazi wetu
@aishaaisha1495
3 жыл бұрын
Amiin
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Amiin
@rahmaomar91372 ай бұрын
Mashaallah Allah azidi kukufunguliya
@ummiissaabdulissaabdul81173 жыл бұрын
Manshaallah manshaallah mungu nami anifungulie milango ya rizki yarab niweze kumtimizia mama kila analo liitaji yarab amjalie umri na uzima na kila la kher ameen ameen
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
Amiinaaa🙏🙏🙏
@saidahmed968810 ай бұрын
Asante sheikh othman
@hassamaimun91033 жыл бұрын
MASHAALLA. MASHAALLA NIMEFRAHI SANA KUSKIA HAYO NIMEJIFUNZA MENGI
@piliramadan875 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakusaidia utawajengea wote
@mariamally68803 жыл бұрын
Allahuma barik laha, maa shaa Allah JazaakAllah kheiran nimejifunza mengi. Allah awahifadhi na kuwapa umri wazazi wetu. Amiin
@arally23 Жыл бұрын
Allah akuifadhi uzidi kuelimisha ummah
@rehemamdemu4593 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah Kareem kwa kila jambo
@ahmedaljabri12063 жыл бұрын
Aslam alkm masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah mama nimama mwenyezimngu akupenafasi yakumuifazi mzazi shehe hosumani mwenyezimngu akupe maisha mema uwalinde wazazi wako vizuli insha allha
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi warahmatullahi
@binkhalifa69563 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuhifadh pamoja nasisi
@aidrisahmad89323 жыл бұрын
Masha Allah shekh Othman Insha Allah niwewetu ilmu yako yanasaha
@latahilehsein37493 жыл бұрын
Mashallah wallahi nimetokwa na machozi Sana nimewamumbuka wazazi wangu wote 2 wamesha tangulia mbele ya haki, kweli kabisa ukisha kuondokewa na wazazi ni Sawa sawa na taa imezima hakuna mwangaza kwa upande wetu Allah atustiri kama tulivyo wastiri wazazi wetu ameen yaraby
@aminathabagome4827 Жыл бұрын
Allah akujaliye inshaallah kila la kheri
@nasradada70503 жыл бұрын
Ma sha Allah Allah akuifadhi uzidi kutuelimisha
@alshabje71853 жыл бұрын
Mungu akujalie kila LA kheri Kati yamaisha yako inshaallah Mungu akujalie duwa ya mama ikufaidikie inshaallah 🤲🙏🙏🌹❤️umi thuma umi 3yarab tujaalie sote Imani yarab 🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Пікірлер: 451
Masha Allah masha Allah wallah najickia kulia Allah akuzidishie sheikh wetu umenifanya nimkumbuke marehem mama yangu allahumma ghfirlaha warhamaha waskana fil janna Allah ampe qaul thabit mama angu
Alhamdulillah niko napambana kumalizia malizia nyumba ya mama yangu 🙏🙏🤲🤲🤲yarabbi nijaalie niimalizie ikamilike kama ninavyotaman iwe🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭
@khadigahkk9815
5 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤝
@RahmaTwa-fr5xo
4 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲
Mungu akutimizie kheri zote unazozifikiria, nami niombee mungu anijaalie kama unavoyataka ww ndio nnayo yataka mimi, WALLAHI.WALLAHI .WALLAHI THUMMA WALLAHI...HAYO UTAFKIRI MIMI NDIE NILIEKWAMBIA UYAFANYE NA KUYASEMA YOOOOOOOOTEEEEEEEE HAYO...WALLAHI NASKIA KULIA TENA WW NIMPENZI WA MUNGU NA MTUME ...MUHAMMAD REHMA NA MANI IWE JUU YAKE...AHSANTE SANA SHEKH WANGU MWANANGU...MIMI MAMANGU ASHATUNGULIA MBELE YA HAQI...NAMUOMBEA MUNGU AMPE MAMANGU QAULI THABIT..AMSWAMEH MADHAMBI YAKE PAMOJA NA BABANGU..NA WAISLAMU WOOOOOOTEEE WALOTANGULIA...ALLAHUMMA AMIIN AMIIIN YAARABBIL ALAMIIIN...JAZAKA ALLAHU KHERI SHEIKH UTHAMAN MICHEAL
Maashallah story yako imenikumbusha mbali sana sheikh 😭😭😭🇴🇲🇴🇲Yaarabby mjaalie afya njema mama angu 😥
Umeongea maneno.mazuri na nasahakwa vijana wanaowatelekeza ama zao Allwah atawapa imani kupitia mawaidha yako.Allwahu Barik sheikh mungu atakupa afya na furaha na mafanikio.mema hapa duniani na kesho akhera
Ahsanthum sheikh wangu. Nimestafiidh Sana katika darsa zako na ninazikubali.kila ninachokiskiliza lazima kiniwachie athari.
Nimekuelewa vizuri sana Sheikhe, Allah Akubariki na Akutimizie malengo yako,..Namuomba Allah Anijaalie kauwezo nimjengee Mama yangu mzazi pia mimi nimjengee Mama yangu mzazi nyumba Mwaka huuhuu 2021, by December iwe iko tayari In Shaa Allah kama nilivyokuwa nimeyapanga na vilevile Allah Amurehemu marehemu baba yangu na Amuepushe na adhabu katika kaburi lake.
@ummya3996
3 жыл бұрын
In shaa ALLAH. ALLAH S.W.T akujalie afya njema na yenye swiha na akurahisishie utimize lengo lako.Amiin🤲
@rashidkalimbo2451
3 жыл бұрын
@@ummya3996 Amin
@zulfahussein6784
3 жыл бұрын
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab Allaah akutangulie kwa Neema zake In sha Allaah
@shamzone388
3 жыл бұрын
@@rashidkalimbo2451 allahuma amin yarab
@bnussrahlimsantah3730
3 жыл бұрын
Amiin Allah akujalie ukamilishe malengo yako jamani
Mashallha allha akuzidishie shekhe lnshallha mpaka nimelia nimemkumbuka mama yangu sana maisha tuliyo pitia alipambana sana kwa ajili yetu alhamdullha nashukuru niliweza kumuuguza ndani ya miaka minne akiwa awezi kutembea mpaka allha alivyo mchukua allha ampunguzie azabu ya kabli lnshallha pia kwa ss najitaidi ninacho kipata kidogo na mtumia na baba angu angarau siyo mara kwa mara alhamdullha nashukuru na dua namuombea mama yangu Amen🤲
MashaAllah Jazakhallahu kheiri Sheikh’umetufunza kitu kikubwa’Allah awalaze wazazi wetu Maharli Pema peponi Ameen InshaAllah.
Mashaalah sheik osman Allah akujalie Janato kwa elmi yako tamu my dia bro alaah akulinde sana shke osman wabilahi taufig.
Subhanallah 😭😭 Allah awahifadhi mama zetu wallahi sheikh wangu umeniliza hayo maisha ndo aliyo pitia mama yangu Allah ampe afya njema na awajaalie mama zetu mwisho mwema Allahumma amiin
@tumaally9482
3 жыл бұрын
Subhan Allah hakika ya hii dawa imeniliza sna
MashaAllah sheikh kwa hiki umekifanya mungu akuzidishie...kwa kweli imenigusa tuombee pia ss mungu atajalie tuwajengee wazazi wetu..."Mama ni mama hata kama hana maaana"
Ila mama yangu hajawa Muislam, lkn ameniahidi kuwa muislam hapa karibuni! WALLAHI Allah Atufunguliye mulango ya barka zake
Dahhh yarabiii wajaaliye wazazi wetu maisha marefu wanapitia changamoto nyingi sana
@maryamanita5999
3 жыл бұрын
Amiin
@madinaomar679
3 жыл бұрын
Nikweli
Maskin 😭😭wazazi wanapadatabu juuyetu. Allah awalipe wema in sha allah 🙏 Sheikh MUNGU akuongoze uzidi kumkirim mama
@aishaaisha1495
3 жыл бұрын
Amiin
@Sweetfozicakes_
3 жыл бұрын
Amiin ya rabi 🤲🤲
@zulfahussein6784
3 жыл бұрын
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
@arafahassan5257
3 жыл бұрын
Ammin
Yaani Sheh Othuman nimeshiba maneno na matendo na maoni yako ee mwenyez Mungu asante nakuomba umfanyie anavyokuomba na sisi utufanyie na kutufikisha mwisho mwema wa baraka na Amani Amen🙏🙏
Sheikh nikiskiliza mawaidha yako Najifunza vitu vingi sana Shukran Allah akukinge na kila baya
MashaAllah.... Allah amzidishie umri yenye kheri na baraka inshaAllah 🤲🤲🤲🤲😭😭😭
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
Masha Allah, na kwa dua yako ya kufia madina sisi ndugu zako ktk iman twaitikia Aamiin iwe Qun faya Kun. Twajifunza mengi kupitia Channel hii ya othman Michael. Allah akupe mema hapa duniani na kesho Akhera, Allah akulipe Firdaus ya juu. Nakuhusudu kwa Kheir sheikh Othmaan
Mashaallah shekhe Allah akuzidishie mapenzi jui ya mamaetu . Nawale wazaza wetu wengine Allah aliowahitaji ishaallah awaweke kwe pepo ya firdaus kwa rehma zake ?Ammiin🤲
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
Amiinaa aminaa amiinaa yaarabili alamiina rabb taqbal duwa
@binthassancollection.6308
3 жыл бұрын
Aamiin thumma Aamiin ya Rabb
Mashaaallah 🙏 Allah akuongoz shekh Osman insha'Allah 🙏 Allah akup maish maref
mashallh nimefurahi sana kwa unavyomuongoza mama yako ndomana hata mimi nampenda sana mama yangu napambana sana kwajii ya wazizi wangu mungu wape wazazi wangu umri mrefu innshallh
@husseinmahmoud7000
Жыл бұрын
Allahumah Amiin
Ma shaa Allah jambo la kheir Allah Azidi kukuhifadhi sheikh Othman
ALLAH karim.atujalie sote.akuzidishie afya naumr uzid kutupa ilm inshaallaah.
Mashaallah shekhe allah akufungulie kila la kheir wewe na familia yako hakuna kitu kikubwa kama wazazi
@lillymwali6867
3 жыл бұрын
Baarkhallah fiq Allah hakujazekillalakheir
In Sha Allah yarrab Allah atakulipa makubwa zaid ya uliyo mfanyia mama yetu sote. Dua yako Allah aipoke yarrab 👏🏻
Ma shaa Allah. Allah kujaze kheri Daima. Allah amjalie kheri mzee wako. Na sisi Allah atuongoze tuwatendee wema Wazazi wetu. Kwa pamoja Allah turuzuku PEPO YA DARAJA LA JUU. FIRDAUSI. AMIIN AMIIN AMIIN
Wallah hii historia imeniliza sana! 70% inakwenda kukutana na hali nayo ishi na mama yangu sasa!
Yaa Raby wasemehe madhambi yao wazee wangu,😭😭nasie tupe mwisho mwema
Wallahi sheikh akuna sheikh ninayempenda Kama wewe mwenyezimungu akulipe n akuhifadhi natamani ata siku moja nikakuona live lakini haiwezekani namuomba Allah anikutanishe nawe peponi in Shaa Allah
Nakushukuru sana sheikh kwa kutufunza mwenyeazimungu akujalie umri uweze kutufunza nazaidi
MashaAllah, mtoto mwema
Waalkum salaam waarahmatullah wabarakaatuh, maashaallah tabarakallah kw nasaha nzur nami pia namuomba Allah aniajalie nami nmkirimu mmayng zayd na zayd Aamiin thuma aamiin yarabby, shukran sheikh Othman...
Nimependa kisa chako saan mungu akuzidishie n akupe kila ulichotia Nia inshasllah
W/ msalam shkhe mungu awafanyie wepesi mama zetu waliotutangulia mbele za haki Amiin
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
Ameen
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
ameen
@safiyatheonlything7848
3 жыл бұрын
Amen
Mungu akuzidishie kwa kumsamini mama yako amina
MashAllah...Allah akupe umri mrefu sheik.. mafunzo yako yamenijenga sana ki iman..I am a changed woman
Mama yeyote anatamani mtoto mwema basi nakuomba Allah unifanye mja mwema ktk dunia nawatoto wengine kwa uwezo wako
Mashaallah Mashaallah Mashaallah. Sheikh Othman
Allahu Akbar , hakika nilikuwa na mengi ya kusema lkn mpk ilivyoishia hii video nmekosa cha kusema ila mm nakuomba dua tu shekh uwe na mwisho mwema ukafie Makkah au Madinah lkn Mungu akupe maisha marefu kw7bu bado tunakuhitaji utukumbushe kuhusu masuala ya dini , tukomboke kupitia ww.
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Salama 32806902 jina kama kawa
Mashalla shehe umenifundisha meng sana yaani hata kwetu wapo jamani acha tuu she he
Nimesikia raha sana mimi pia nakuombea dua kila ulicho nuiya ukipate ishallah😘
Mashaallah mashaallah mola akuzidishiwe iman akupe maisha marefu na akuhifathi
Mashaallah Mashaallah Mashaallah allah azidi kukuongoza katika kheri nausivunjike moyo kwa maneno yawatu tufurahia tunapata mengi mazuri
Ukweli namkubari shehe Othuman michael.Mungu amzidishie umri mrefu tuzidi Kupata elimu yikes.
Allahu Akubar nampenda sana mama yangu na mm inshallah nitamjengea mama yangu nyumba inzuri
Maasha'Allah Tabarak'Allah sheikh Othman Allah akujalie kila lenye kheri Dua ya mama itimie ufie makkah na Madna Amiin ya Rabb 🤲🤲
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh masha Allah shekh Othman Michael
Masha Allah.... Allah bless you more Amiin yrby Amiin 🙏🙏🙏
Allahuma Amin Yarab Allah akubarik na akukubalie duwa zako pamoja na mzee wako Amin 🤲🤲🤲
Masha Allah mwnyenzi mungu akupe moy huohuo
Amiin yarabily liallamina Dua ya mama yetu ❤️
Mashallah ALLAHakujaliekheri tunajifunza mengi na tunapata sanamoja
Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah Jazzakumllah Khery
ALHAMDULILAH kwa radhi za wazee ALLAH akutimizie nia yako vile unavyopenda AMIN
Allah atujaze mapenzi mema kwa wazee wetu
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen
Wallah nmejifunza sana na nmejituta nazidi kuwapenda wazazi wangu shukuran sana
Manshaallah Allah atujalie nasi kuyatenda yenye kheri kwa wazazi wetu yarrabbiii
Mashaallah twakupenda sana shekh wetu na mama pia allah awahifadhi daima
MashallH sheh aallah azid kukuongoz ila jitaid na ss uzid kutuombea tufik ulip fik ww kimaisha tupat rizk zet zahalal tusaidie wazee wet na watt wet na kil narizki yak tumsaidie
Mashallahu mungu atakulipa Kwa uliyo mtendeya mama na Mungu akuwezeshe kutmiza malengo yako na ishalla Mungu akufshe Maka au MADINA ishalla
jazakallhu lkheir sheikh othman
😂😂Alhamdulah Alhamdulah Jazaka Allah kher
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah.Ameen yaraabalamiin sote jamii Islam .💕💕❤
Jaman nimelia sana .tarehe moja mwezi wakwanza .nilimfanyia .kitu mama yangu .cha kumshutukiza kidogo tu lakin alifurahi sana mpka Leo tabasamu lake huwa naliona ingawa nipo mbali nae .Mimi nipo dar yeye yupo kahama shinyanga .niliangalia changamoto kubwa hapo home .nilinunua vitanda viwili na magodoro nikapeleka . home .namuomba mungu siku zote awatunze
@ahmadsaid5845
3 жыл бұрын
Vtanda vwili unatangaza
@jafarfarhan7749
2 жыл бұрын
Khaaa
@Ruqayyah-ft1gu
2 ай бұрын
Kutangaza kheri huenda ikawashawishi wengine kufanya,naye akapata thawabu
@Ruqayyah-ft1gu
2 ай бұрын
Inayokatazwa ni riyaa
Mashallah natamani nivae ivyo habaya na nikab bt nashindwa am asmatic tena za joto hua najaribu nikab lakini sometimes Pia nainua bt i really wish people nt 2 see my face Kabisa, mashallah nimependa hii family
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Jitahidi kuivaa mwanzo ni mgumu ila mwisho utaizowea
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
@@mamussi6872 sawa sawa sitachoka
@khadijaabbas1581
3 жыл бұрын
Mumy joto LA jahanam ni zaid ya hapa jitahid
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
@@khadijaabbas1581 subhanallah ntajaribu
Mashallah..Allah akuongoze ww na familia yako kwa ujumla
Nimelia sana pale unapo busu mama roho yangu imetamani na mm ningefanya hivyo.ila kicho dua tu kwengu😭
@amriyalibent8441
3 жыл бұрын
Pole Allah akupe subra dua muhimu ndo MTT mwema
@binthassancollection.6308
3 жыл бұрын
Allah azilaze roho za wote walotangulia pahali pema peponi
Aslm alkm wtw......ma sha Allah!!!!!! Umezidi kupendeza Sheikh Othman. Alla akutimizie unayo yataka. Allah akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Akupe pepo firdaus Sheikh wetu. Mmmmwaaaaaaa Sheikh Othman. Wallahi kwa uwezo wake Allah, wewe ni mtu wa peponi. Ma sha Allah!!!!!! Kila la kheir sheikh wetu.
Maa shaa Allaah TabarakaAllaah
kaka nilivoanza kuangalia video zako week ilopita adi leo nazisachi atakama sijaziona na nakupenda kwajili ya allah pia najifunza mengi mno kutoka kwako allah akufanyie wepes insha alla
Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael masha Allah
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi Warahmatullahi
Mansha Allah sheikh Allah awazidishie upendo nyie ote katika familia yenu😙😗
MashaAllah love u mmy❤❤
Mashaalah umenikumbusha mbali shekhe mpaka machoz
Be blessed elder my brother
Jazakallah sheikh
Mashallah allah azidi kutuzidishie mapezi juu ya wazazi wetu kwa jumla pepo ya dunia ni wazazi wetu
@aishaaisha1495
3 жыл бұрын
Amiin
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Amiin
Mashaallah Allah azidi kukufunguliya
Manshaallah manshaallah mungu nami anifungulie milango ya rizki yarab niweze kumtimizia mama kila analo liitaji yarab amjalie umri na uzima na kila la kher ameen ameen
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
Amiinaaa🙏🙏🙏
Asante sheikh othman
MASHAALLA. MASHAALLA NIMEFRAHI SANA KUSKIA HAYO NIMEJIFUNZA MENGI
Mwenyezi mungu atakusaidia utawajengea wote
Allahuma barik laha, maa shaa Allah JazaakAllah kheiran nimejifunza mengi. Allah awahifadhi na kuwapa umri wazazi wetu. Amiin
Allah akuifadhi uzidi kuelimisha ummah
Maa shaa Allah Allah Kareem kwa kila jambo
Aslam alkm masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah mama nimama mwenyezimngu akupenafasi yakumuifazi mzazi shehe hosumani mwenyezimngu akupe maisha mema uwalinde wazazi wako vizuli insha allha
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
Assalamaleyhi warahmatullahi
MashaAllah Allah akuhifadh pamoja nasisi
Masha Allah shekh Othman Insha Allah niwewetu ilmu yako yanasaha
Mashallah wallahi nimetokwa na machozi Sana nimewamumbuka wazazi wangu wote 2 wamesha tangulia mbele ya haki, kweli kabisa ukisha kuondokewa na wazazi ni Sawa sawa na taa imezima hakuna mwangaza kwa upande wetu Allah atustiri kama tulivyo wastiri wazazi wetu ameen yaraby
Allah akujaliye inshaallah kila la kheri
Ma sha Allah Allah akuifadhi uzidi kutuelimisha
Mungu akujalie kila LA kheri Kati yamaisha yako inshaallah Mungu akujalie duwa ya mama ikufaidikie inshaallah 🤲🙏🙏🌹❤️umi thuma umi 3yarab tujaalie sote Imani yarab 🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mansha Allah Allah
Hongera sana sheikh Hakuna kama mama
Masha Allah💚💚💚💚
MashaAllah TabarakahAllah
Mashaa Allah
Masha Allah