Huyu Dr. Sule ni hatari, Atoa Aya za Biblia zawatoa Jasho wainjilisti.
Omar Bakari Almasi online tv
Жүктеу.....
Пікірлер: 750
@alhadjmugisha52162 жыл бұрын
MashaAllah yan mwenyekiti iko makin san ,dr sule anauliza maswal kwa akil zaid na maznge nd profs mwenye woooot nawapnda kwaajil. Ya Allah ,Allah awap afy njma na umri mrefu ,kila ninap waon roh yangu hujawa na furah
@eshasalim54962 жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Baraka Allahu Fiikum
@fatumabakari14802 жыл бұрын
Af Kuna kipenzi Cha watu docta sule💕🙌
@mohamediramadhani61202 жыл бұрын
Mashaallah mungu azid kuwaweka wahadhir we2
@starboy49332 жыл бұрын
MashaaAllah lslam Dini
@khusurihassan72182 жыл бұрын
Dr sule maashaallah mungu akupe mri mrefu
@user-qv3xp1fd4u6 ай бұрын
Natamani umri wangu wa uhai uliobaki nimpe dr sule ili aongezee katika umri wake aishi miaka mingi zaidi amtangaze ALLAH, mungu nipe mwisho mwema aaamin
@wakuminyakaja44702 жыл бұрын
Allah Akbar. Yaa rabi mjalie umri mrefu mja wako ili azidi kutupa darasa mara dufu
@mohamedmahadhi89572 жыл бұрын
Mungu arahemu sheikh yahya and rico
@salmakhamisi1144
Жыл бұрын
Uyo msomaji Amefarik kwani
@alikobrand2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Dr sule
@farajiissa5602 жыл бұрын
Imam Petro mungu akupe pumziko la milele
@musasaanane27582 жыл бұрын
Kwakweli Allah awajalie mnanipendeza kwa jili ya allah
@LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын
Taakbir Allah Akbar... ❤❤❤
@musasaanane27582 жыл бұрын
Dr Allah akujalie akupe maisha marefu uendelee kuaelimisha wakrisu mana niwabishi
@shabandamas1759
2 жыл бұрын
Huyo ndio professor sulle
@omarhassan61862 жыл бұрын
Allah atuhifadhie wahadhiri wetu ikiwemo Kiboko yao Dr Sule
@user-nw9ds9qe5i6 ай бұрын
Mtumishi festo hallelujah ukristo ni Raha Sana nimefurahi Sana kwa majibu mazuri Sana na furahi kuwa mkristo ooohoooo na furahi sana.
@user-nw9ds9qe5i
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@ukweliwauislamu95902 жыл бұрын
Masha Allah Dr sulle..
@didahadam95302 жыл бұрын
Allah kareem kaka wafanya kazi nzuri Allah atakulipa
@hasanikajembe93322 жыл бұрын
ALLAH ampe stareh za kabur Shekh Yayaha,amuepushe na adhabu za kabur
@zubeirmuhammad3024
2 жыл бұрын
Allahumma aamin
@abunabil7775
2 жыл бұрын
Ameen
@mckobatz58612 жыл бұрын
Wenye viti wana busara sana God bless you guys
@tibayawaafrica2 жыл бұрын
Shukran ma Sheikh wetu
@abdillahmbarak74182 жыл бұрын
Mashaallah sheikh sule mungu akulinde inshaallah na akupe mwisho mwema
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
@mosesliboston54372 жыл бұрын
Mashaallah Allah atupe mwisho mwema
@mwajumashaban3192
2 жыл бұрын
Allah awalipe kher wahadhir wote mnaoitetea dini ya haqi ...
@ramak.95872 жыл бұрын
Debate akiwepo Ustadh Mazinge na Dr. Sule yaani lazima watanyooka wapende wasipende
@hamisiisaka3684
2 жыл бұрын
Na km ingekua Ustadh Amani petro yupo hai ingekuwa moto zaidi.. Allah awaondoshee adabu ya kabri na awajalie jannah inshaAllah
@abdulrahmanmpendakaya4684
2 жыл бұрын
Imani Petro yupo hapoo amekaa upande wa kushoto
@MiriamMtende7 күн бұрын
Allah akupe maisha marefu dr
@omarinnaliliahwainnailahra63082 жыл бұрын
Mungu akupe maisha maref shekhe wetu
@aishaarusha8942 жыл бұрын
Iman petro allah amrehemu amin
@heyumi2340
2 жыл бұрын
Amiiiiiiina
@oyeeoyee730
2 жыл бұрын
Hahaja
@omarbyz8695
2 жыл бұрын
Allah awaraham waumini walio tangulia kina imani petro na yahaya nawenzao wengine
@hamisiisaka3684
2 жыл бұрын
Amiin
@barakashaban9698
2 жыл бұрын
Aamiiiin
@ZBM_TV_ENJOY_AND_WELCOME7777 Жыл бұрын
Ama kweli mm binafsi shekhe sule namuelewa sana mungu ampe umri aamin
@muslimbwattan28832 жыл бұрын
Hakika ALLAH (s,w) ndie mungu pekee na Wala Hana mtoto
@hirammbugua7593
7 ай бұрын
Aii kwanini Alla Hana mtoto,tasa Kaa Muhammad au???
@Maalim_Samatta2 жыл бұрын
Maashaa ALLAH watapata tabu sana!
@salehhassankhamis68342 жыл бұрын
Allah awalinde na awafanyie wepesi
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Wahadhiri tz mpo vizuri Tu Allah awalinde
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Masha'Allah Dr Sule Allah akubarik popote ulipo amiin insha'Allah
@achanifumos10932 жыл бұрын
Muinjilisti ashaelewa...shida ni kuwa wanatafuta mkate wao bila ya kujali kuwa wanapoteza wacristo...Allah awaongoze...amiin
@samiaharimenshi1757
9 ай бұрын
Hawawezi ongoka kwa sababu wapo kimaslahi
@mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын
Mwenyekiti wetu yuko makini sana Allah akubaariki nakukubali sana Allahumma Amiin 🙏
@mohameeddoaan22962 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah Jazzaka Allah kheiry
@rhiophiri68572 жыл бұрын
Am watching from Lusaka, Dr Sule is fantastically advanced,the question is within the topic but the Christian counterpart is trying to use innuendos to dodge, Islam is cool, very right
@teammayuro7267
2 жыл бұрын
Are you Muslim
@oyay2821
2 жыл бұрын
@@teammayuro7267 does it matter if he's muslim or not? Will it change the fact if he was pagan
Wakristo hawawezi kushindana n waislamu kw hoja ktk qur an hata bibilia maana wao ukweli hawawambia wanaowaongoza.
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Imeshaandikwa Nuru na Giza havikai pamoja
@abubakarmpole40002 жыл бұрын
Raha mpkaa baaaasi jameni, Sule nakupenda wallah kwa sbbu ya hii kazi.
@saadiashariff53772 жыл бұрын
Mwenyeketi wetu ako ngagari kweli. Very brave and intelligent👍
@nasribaraka998
Жыл бұрын
Kbs Allah amlipe
@msellemseif3102 Жыл бұрын
Takbiiir....... ALLAHU AKBAR...
@faizaahamd2052 Жыл бұрын
Doctor sule💞❤❤❤❤💞💞 mungu akujalie afya njema
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Hakuna Cha hatari,Biblia ni jibu. Yesu Yu hai,Kwa namna hiyo Ukristu nki Imani hai.
@rinompemba59262 жыл бұрын
Masha Allah waislam
@akeem12212 жыл бұрын
Wallahi Dr Sule kawa changanya wainjilisti kweli kkkweli.
@mudathirsaidi25577 ай бұрын
Allah akujalie mwisho mwema doctor sulle we ni kiboko ya wabishi
@mshengeli24492 жыл бұрын
Maashallah
@adilkher61702 жыл бұрын
Dr sule mung akulipe kila la kher wanaelewa hao wakaidi 2
@user-ch8tj8kl1n5 ай бұрын
Mashallah❤❤❤
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Jazaka llahu lkhaira
@josephlutala845 Жыл бұрын
Mungu akujalie mwisho mwema doctor sule
@abdullahibaris7182 Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@festomalugu8 ай бұрын
Dr Sule kumbe ni mchungaji mzuri tu"'
@haydarhamad65322 жыл бұрын
Dr Sule wamuache tu 😂
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓💓 long life sheikh
@khairatmohammed72422 жыл бұрын
Dk sule utauwa wallahi duu suali mzigo hilo
@benjaminlijongwa37152 жыл бұрын
Kondoo waumini, zizi Taifa la Israeli,sauti ni ujumbe wa Yesu, Kondoo wasio wa zizi hili ni waumini wasio waistael. Kundi ni kanisa au jumuia ya waumini. Hiyo ndio Tafsiri ya Yohana 10:16
@akeem1221
2 жыл бұрын
Kondoo ni ni waumini zizi Taifa la Israeli bali sio dunia nzima. Yesu ni mtume wa wa israeli sio dunia nzima.
@samwelkirimi5939
2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie elimu
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Hata umtwange kwenye kinu na ngano huyo anabakia vilevile alivyo mbumbumbu
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Dr,sule hatari Sana Masha Allah
@fatumaseleman76802 жыл бұрын
Allah ambarik
@nasribaraka998 Жыл бұрын
Daah mwenyenzi mungu awalipe kila lakheri nawajaliye umri mrefu ili mzidi kutangaza din yeetu yawislam
@shafiiramadhani44332 жыл бұрын
Masha Allah
@victormutai966
7 ай бұрын
Nimeitazama Leo hii hio clip Dec 2023,kufanya mijadala na dr sulle kwa mkristo yuataji makinifu zaidi,mwalimu ndacha kibarua unayo Mungu akupe neema zake kwa hoja ilioko mbele yako,mimi ni victor mutai kutoka elburgon,molo,nakuru,Kenya
@saidsuleiman17532 жыл бұрын
Sule ni mtu hatari, watu wenye vipaji kama hivi Mungu huwaleta kwa misimu.
@salumunampambilile-eb7pe
Жыл бұрын
8oiì99⁹ftty😢😢😢😢y😢ýbb😢😢jn😢NMp❤ n55 is 😢 😢n😢
@user-rs8qg4ch8l4 ай бұрын
Mbona watakaa tuuuu mungu awaweke hayi miaka yotee mashee wetu
@jumakhamiss56502 жыл бұрын
Mtume (s. a. w) anasema al ihsan jazau ihsan
@ramadhanmangare18892 жыл бұрын
Takbiiir
@user-bd1le4rn7g2 ай бұрын
mashaallah
@jacobamani9292 жыл бұрын
Hakika mm nimkristo lakini huyu jamaa kazingua Bora angesema Hana majibu
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Wakristo hawawez kushindan na Waislam kw hoja si kwnye Biblia wala si kwenye Qur'an watapotean tu
@aminaadhiambo Жыл бұрын
masha allah 🥰🥰🥰
@Mbumbuko2 жыл бұрын
Jazakallahu khair
@abedymtore27072 жыл бұрын
Allah Akbar
@donedaddy45612 жыл бұрын
Doctor sule maswali yake mpaka uwe na akili nyingi saaana huwez amini bado sijamuelewa mpaka sasa ila swali nmeliona zur
@donardkisoda9572
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 hata mimi
@abdullahibaris7182 Жыл бұрын
ALLAH HAFID INSHALLAH
@zuberihamisi460 Жыл бұрын
Allah awafungulie milango ya peponi wahaadhiri wetu wa kiislam
@hussenwazir52002 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@puritywangari5572 жыл бұрын
Please 🙏 Dr Sule Kam unislimishe kisha unifunze dini...n then unitaftie mume sheikh anioe
@abdallahmsengi2632
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akufanyie wepesi
@puritywangari557
2 жыл бұрын
Amin
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Machallah machallah. Nakutaftiaa namba
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Au acha namba yakoo hapa
@puritywangari557
2 жыл бұрын
Have listened to so many midahalo before nfikie hiyo hatua ya kuslim though cjui kusali labda nfunzwe kila kitu na atakaye jitolea na MOLA Atambariki na kujibu lolote lile atakalo muomba.
Пікірлер: 750
MashaAllah yan mwenyekiti iko makin san ,dr sule anauliza maswal kwa akil zaid na maznge nd profs mwenye woooot nawapnda kwaajil. Ya Allah ,Allah awap afy njma na umri mrefu ,kila ninap waon roh yangu hujawa na furah
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Baraka Allahu Fiikum
Af Kuna kipenzi Cha watu docta sule💕🙌
Mashaallah mungu azid kuwaweka wahadhir we2
MashaaAllah lslam Dini
Dr sule maashaallah mungu akupe mri mrefu
Natamani umri wangu wa uhai uliobaki nimpe dr sule ili aongezee katika umri wake aishi miaka mingi zaidi amtangaze ALLAH, mungu nipe mwisho mwema aaamin
Allah Akbar. Yaa rabi mjalie umri mrefu mja wako ili azidi kutupa darasa mara dufu
Mungu arahemu sheikh yahya and rico
@salmakhamisi1144
Жыл бұрын
Uyo msomaji Amefarik kwani
Mungu akupe maisha marefu Dr sule
Imam Petro mungu akupe pumziko la milele
Kwakweli Allah awajalie mnanipendeza kwa jili ya allah
Taakbir Allah Akbar... ❤❤❤
Dr Allah akujalie akupe maisha marefu uendelee kuaelimisha wakrisu mana niwabishi
@shabandamas1759
2 жыл бұрын
Huyo ndio professor sulle
Allah atuhifadhie wahadhiri wetu ikiwemo Kiboko yao Dr Sule
Mtumishi festo hallelujah ukristo ni Raha Sana nimefurahi Sana kwa majibu mazuri Sana na furahi kuwa mkristo ooohoooo na furahi sana.
@user-nw9ds9qe5i
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana
Masha Allah Dr sulle..
Allah kareem kaka wafanya kazi nzuri Allah atakulipa
ALLAH ampe stareh za kabur Shekh Yayaha,amuepushe na adhabu za kabur
@zubeirmuhammad3024
2 жыл бұрын
Allahumma aamin
@abunabil7775
2 жыл бұрын
Ameen
Wenye viti wana busara sana God bless you guys
Shukran ma Sheikh wetu
Mashaallah sheikh sule mungu akulinde inshaallah na akupe mwisho mwema
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
Mashaallah Allah atupe mwisho mwema
@mwajumashaban3192
2 жыл бұрын
Allah awalipe kher wahadhir wote mnaoitetea dini ya haqi ...
Debate akiwepo Ustadh Mazinge na Dr. Sule yaani lazima watanyooka wapende wasipende
@hamisiisaka3684
2 жыл бұрын
Na km ingekua Ustadh Amani petro yupo hai ingekuwa moto zaidi.. Allah awaondoshee adabu ya kabri na awajalie jannah inshaAllah
@abdulrahmanmpendakaya4684
2 жыл бұрын
Imani Petro yupo hapoo amekaa upande wa kushoto
Allah akupe maisha marefu dr
Mungu akupe maisha maref shekhe wetu
Iman petro allah amrehemu amin
@heyumi2340
2 жыл бұрын
Amiiiiiiina
@oyeeoyee730
2 жыл бұрын
Hahaja
@omarbyz8695
2 жыл бұрын
Allah awaraham waumini walio tangulia kina imani petro na yahaya nawenzao wengine
@hamisiisaka3684
2 жыл бұрын
Amiin
@barakashaban9698
2 жыл бұрын
Aamiiiin
Ama kweli mm binafsi shekhe sule namuelewa sana mungu ampe umri aamin
Hakika ALLAH (s,w) ndie mungu pekee na Wala Hana mtoto
@hirammbugua7593
7 ай бұрын
Aii kwanini Alla Hana mtoto,tasa Kaa Muhammad au???
Maashaa ALLAH watapata tabu sana!
Allah awalinde na awafanyie wepesi
Wahadhiri tz mpo vizuri Tu Allah awalinde
Masha'Allah Dr Sule Allah akubarik popote ulipo amiin insha'Allah
Muinjilisti ashaelewa...shida ni kuwa wanatafuta mkate wao bila ya kujali kuwa wanapoteza wacristo...Allah awaongoze...amiin
@samiaharimenshi1757
9 ай бұрын
Hawawezi ongoka kwa sababu wapo kimaslahi
Mwenyekiti wetu yuko makini sana Allah akubaariki nakukubali sana Allahumma Amiin 🙏
MashaaAllah MashaaAllah Jazzaka Allah kheiry
Am watching from Lusaka, Dr Sule is fantastically advanced,the question is within the topic but the Christian counterpart is trying to use innuendos to dodge, Islam is cool, very right
@teammayuro7267
2 жыл бұрын
Are you Muslim
@oyay2821
2 жыл бұрын
@@teammayuro7267 does it matter if he's muslim or not? Will it change the fact if he was pagan
@istambuliahmedi8203
2 жыл бұрын
Good
MashaAllah waislamu.wanahekima na.elimu.Mola awalipe.pepo
Maswali ya Waislamu magumu kweli 😂😂✔️💯
@ramak.9587
2 жыл бұрын
🤣😂😂kama maisha ya kale
@latifachepa4435
2 жыл бұрын
Uislam raha sana najivunia kuwa muislam
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/k4V1ko-ggtSxo6Q.html
@saumusanjiama6991
2 жыл бұрын
😁😃
@ramak.9587
2 жыл бұрын
@@latifachepa4435 kapsa raha bila karaha alhamdhulilah
Elieza shonza hallelujah ubarikiwe sana umejibu vyema Sana kweli ukristo Raha sana Asante Mungu kwakuni fanya niwe mkristo.
@johnsonbernald11
2 ай бұрын
Kajibu nini? Shida biblia inajikana yenyewe, Marko inasema hivi mathayo inasema hivi katika jambo moja hilohilo
Ishalla mungu akupe mwisho mwema
Maashallah 😍😍😍😍
Doctor Allah akufanyie wepes katika majambo yako mema inshaallah
@hamisiisaka3684
2 жыл бұрын
Amiin
Mashallah sheikh Sule yuko Sawa
Allah akuhifafhi dr sule!!
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
Mashaalah mungu akujaalie afya njema tunakupenda kwa ajili ya Allah👏👏👏👏👏
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Shule kaseme hio sio Quran usanganye madiko ka kitheri
Mashaallah mjadala mzur
Mwenyekiti wetu Masha Allah anajielewa
Jazakkah Allah hail Dr Sulle, Dr mazinge Allah awajaalie muendelee kuitangaza dini ya kiislam ili wa2 wote tuingie kwenye din ya haki ambayo Ni uislam
Allah mpe kauli thabiti Shekhe Imani Petro🙏
@chausikunyihwa5611
Жыл бұрын
Kazi ipo
Namkumbuka sana Imani petro Allah ampe kauli thabiit
Allahu Akbar, alhamdulillahi kwa Allah katupatiya Dr sule kuwa miongoni mwa watu wenye elimu na hekima ya dini
Jazaakallahu khairuh
Yaa.Allah.mfungulie.kiumbe.chako.almaruhum yahya pepo.isiyohesabika
Mashallhaaa
Wakristo hawawezi kushindana n waislamu kw hoja ktk qur an hata bibilia maana wao ukweli hawawambia wanaowaongoza.
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Imeshaandikwa Nuru na Giza havikai pamoja
Raha mpkaa baaaasi jameni, Sule nakupenda wallah kwa sbbu ya hii kazi.
Mwenyeketi wetu ako ngagari kweli. Very brave and intelligent👍
@nasribaraka998
Жыл бұрын
Kbs Allah amlipe
Takbiiir....... ALLAHU AKBAR...
Doctor sule💞❤❤❤❤💞💞 mungu akujalie afya njema
Hakuna Cha hatari,Biblia ni jibu. Yesu Yu hai,Kwa namna hiyo Ukristu nki Imani hai.
Masha Allah waislam
Wallahi Dr Sule kawa changanya wainjilisti kweli kkkweli.
Allah akujalie mwisho mwema doctor sulle we ni kiboko ya wabishi
Maashallah
Dr sule mung akulipe kila la kher wanaelewa hao wakaidi 2
Mashallah❤❤❤
Jazaka llahu lkhaira
Mungu akujalie mwisho mwema doctor sule
ALLAHU AKBAR
Dr Sule kumbe ni mchungaji mzuri tu"'
Dr Sule wamuache tu 😂
Mashaallah 💓💓 long life sheikh
Dk sule utauwa wallahi duu suali mzigo hilo
Kondoo waumini, zizi Taifa la Israeli,sauti ni ujumbe wa Yesu, Kondoo wasio wa zizi hili ni waumini wasio waistael. Kundi ni kanisa au jumuia ya waumini. Hiyo ndio Tafsiri ya Yohana 10:16
@akeem1221
2 жыл бұрын
Kondoo ni ni waumini zizi Taifa la Israeli bali sio dunia nzima. Yesu ni mtume wa wa israeli sio dunia nzima.
@samwelkirimi5939
2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie elimu
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Hata umtwange kwenye kinu na ngano huyo anabakia vilevile alivyo mbumbumbu
Dr,sule hatari Sana Masha Allah
Allah ambarik
Daah mwenyenzi mungu awalipe kila lakheri nawajaliye umri mrefu ili mzidi kutangaza din yeetu yawislam
Masha Allah
@victormutai966
7 ай бұрын
Nimeitazama Leo hii hio clip Dec 2023,kufanya mijadala na dr sulle kwa mkristo yuataji makinifu zaidi,mwalimu ndacha kibarua unayo Mungu akupe neema zake kwa hoja ilioko mbele yako,mimi ni victor mutai kutoka elburgon,molo,nakuru,Kenya
Sule ni mtu hatari, watu wenye vipaji kama hivi Mungu huwaleta kwa misimu.
@salumunampambilile-eb7pe
Жыл бұрын
8oiì99⁹ftty😢😢😢😢y😢ýbb😢😢jn😢NMp❤ n55 is 😢 😢n😢
Mbona watakaa tuuuu mungu awaweke hayi miaka yotee mashee wetu
Mtume (s. a. w) anasema al ihsan jazau ihsan
Takbiiir
mashaallah
Hakika mm nimkristo lakini huyu jamaa kazingua Bora angesema Hana majibu
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Wakristo hawawez kushindan na Waislam kw hoja si kwnye Biblia wala si kwenye Qur'an watapotean tu
masha allah 🥰🥰🥰
Jazakallahu khair
Allah Akbar
Doctor sule maswali yake mpaka uwe na akili nyingi saaana huwez amini bado sijamuelewa mpaka sasa ila swali nmeliona zur
@donardkisoda9572
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 hata mimi
ALLAH HAFID INSHALLAH
Allah awafungulie milango ya peponi wahaadhiri wetu wa kiislam
ALLAH AKBAR
Please 🙏 Dr Sule Kam unislimishe kisha unifunze dini...n then unitaftie mume sheikh anioe
@abdallahmsengi2632
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akufanyie wepesi
@puritywangari557
2 жыл бұрын
Amin
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Machallah machallah. Nakutaftiaa namba
@fatumabakari1480
2 жыл бұрын
Au acha namba yakoo hapa
@puritywangari557
2 жыл бұрын
Have listened to so many midahalo before nfikie hiyo hatua ya kuslim though cjui kusali labda nfunzwe kila kitu na atakaye jitolea na MOLA Atambariki na kujibu lolote lile atakalo muomba.
Cjutii kuslim ahsant Mungu
Mwalimu festo Mungu akutie nguvu
Perfect
Mashallah😂😂👏👏👏👏
ALLAH AKBAR MUNGU NI MKUBWA
Wakristo Noma Sana, sule bure
mashaallah Dr sule