Dr. SULLE:EPISODE 2 || CHANZO CHA MGOGORO WA PARESTINE NA ISRAEL || NANI MWENYE HAKI ZAIDI KATI YAO.
#DrSulle #Zvponlinetv #Tabora
Жүктеу.....
Пікірлер: 596
@eddymatrix87043 жыл бұрын
Katika vijana wanaojitolea kuhubiri dini hapa E.Africa tena kwa taqwa kubwa sana ni dokta sule..ila tatioz walio na choyo na hasad ninwka sababu dokta sule anajipenda sana ktk maisha yake na anatfta riski halali, kuuza dawa za kisunna katika uislam sio dhambi ata Mtume s.a.w alifanya biashara, uyo mwaipopo badala ya kuwalingania na kuwaponda wanaofanya mapenzi ya jinsia moja(mashoga) eti anathubutu kumponda huhu shekh..Allah atakihifadhi na hasad za walimwengu dokta
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Huyo ni taperi na siyo kila mhubiri ni mkweli ,sule ni tapeli mkubwa na ni mhuni
@eddymatrix8704
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 hakuna mkimilifu ktk hii dunia ila si busara kutoleana aibu mana mwenye haki ya kutoa aibu za mtu ni Mola pekee sasa wewe unajivisha cheo cha Mungu
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
We ni mshabiki ,mwaipopo yupo sahih ,sule ni mhubir mzur sana ila tatizo ni tapeli sana ,
@fareedufahamu8893
Жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 una uhakika ? Haya twambie katapeli wapi na nani alietapeliwa ? Tupe faida tafadhali 👏
@zanmedia52253 жыл бұрын
Wazanzibari tunakupenda sana kwa ajili ya Alla shekh wetu, na tunakuomba POPO usimjibu muache Alla afanye kazi yake, ww endelea kutupa daawa tu Dr. Yule tutamzika kwa choyo mwaka huu.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@mindedtipstv9472
3 жыл бұрын
mmmh
@presenterkabuma1646
3 жыл бұрын
Nyie hebu acheni upumbavu,mtu anataja mpaka mashahidi wakubwa kama sheikh kishki,mazinge nk bado mnamwona ni mwongo sio!? Mnamtetea kwakuwa hamjawahi kutapeliwa,nyie wala urojo tuulizeni sisi huku wabara tunaeishi nae, tutawaambia tabia zake,ila huko zanzbr huko zamu yenu inakuja ya kutapeliwa,na mlivyokuwa hamjui kuongea mbona mtalia.
@issamuhsin4308
3 жыл бұрын
@@presenterkabuma1646 ww kichogo nn
@allymukhsin2962
9 ай бұрын
@@presenterkabuma1646dk sure tapeli?
@hanafimkondela93639 ай бұрын
Alhamdulillah...nimepata Elimu kwa uchache..nakuombea kwa Allah malipo mema Dr.Sule...
@user-jg8yq8pm2y4 ай бұрын
Allah akulinde yani nikimsikiliza uyu shekhe nakubwa na uoga namuomba Allah anijalie kizazi chenye din na iman amina❤❤❤
@AliOmar-dw4ml2 жыл бұрын
Wacheni Mola aitwe Mola na Muslim ni Muslim,Alhamdulillahi kwa kunijaalia kuwa Muislam,Ameen
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Kwa porojo kama hizo za Sheikh Sule...hahahahahhahhahh
@uwimana6533
9 ай бұрын
@@user-yv7ij4zh4k porojo zipo kanisani mshenzi sana
@frontdeejay25453 жыл бұрын
Mashallah a lot of people you don't know the history about what you're talking about may God give you wisdom long age and health thank you so much for the knowledge and thank you so much for the station for hair this
@jumaamsuya510 ай бұрын
Upo sahihi maalimu allaah akulinde Isha allaah
@radhiaomary55913 жыл бұрын
Maa shaa Allah, jazzakallah khayran
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@radhiaomary5591
3 жыл бұрын
Ahsante, Allah ataibariki channel hii
@stephenakech78173 жыл бұрын
Mkristo mimi lakini historia haijalishi dini. Ahlhamdulahi!
@flova7022
9 ай бұрын
Ila kutuambia Ibrahim ni muislam anatuibiaa viingilio. Na mkizidi kuamn hivyo mtajiaminisha kuwa hekalu la Yerusalem ni la waislam..kitu ambacho sio kweli...mali ya waislam ni maca Kwa hajiri...na Mali ya Yerusalem ni mali ya Sara Kwan ndipo alipozikwa...asiye elewa hili daily atakuaa anaona WA Palestinians wanapigika maaana wanataka Mali isiyokuwa Yao .
@RBSMABATI
9 ай бұрын
Sisi ni ndugu 😊
@habibashabani5689
9 ай бұрын
Silimu ndugu yangu allah akupe neema duniani na kesho akhera inshaalah
@derickdennis1199
9 ай бұрын
Dini haimpeleki mtu mbinguni HABIBA
@allykwaya
9 ай бұрын
Sote ni Ndugu.
@heyumi23403 жыл бұрын
Alhamdullillah nimesikiliza part 2nasaha nzuri sana 😘😘
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@swaumumohammed57103 жыл бұрын
Shukran shekhe wetu ila mioyo ya waislam imeingia vidonda 😢tumeambiwa umekua tapeli tunaomba tuweke Sawa shekhe 😭
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Kusema kila Mtu anasema shida kuthibitisha maneno Yake kueni na subra jambo lipo kisheria
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv hata Mimi ameniudhi Sana kumchafua Dr sule Lakini nadhani hili swala atalilekebisha
@rahmaayoub7519
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv Allah ndie hakim
@mukrimkidume44
3 жыл бұрын
@@jumasalum2677 kuna mapenzi ya watu na kuna mapenzi ya dini ukipenda dini na Allah ukweli unaposemwa huwezi chukia lakini ukimpenda mtu lazima uchukie
@issahhbmt67093 жыл бұрын
Maashallah kiongozi wetu mungu akuweke tuzidi kujua historia ya kiisilam
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@adamkapolo88179 ай бұрын
Nilikuwa sijui hizi dini zinafanana sana ila ukweli kabisa waislamu wana elimu kubwa sana na wanasoma sana ni wakati sasa na sisi wakristo tubadilishe mifumo yetu hasa ndoa turuhusiwe mke zaidi ya mmoja
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Waislamu wanasoma nini zaidi ya uongo wa Madrasa? Wewe bila shaka utakuwa ni mwislamu unajifanya kujivika kilemba cha Ukristo. Wakristo sio wajinga wengi wanaijua historia vizuri. Uislamu umeanza miaka 600 baada ya Ukristo
@Maua-pg5gl
7 ай бұрын
@@user-yv7ij4zh4kAllah hakuongoze upate kuitambua haki na huifuate uislam ulianza toka kale kabla ya kuumbwa mwanadamu maana ya uislam ni walio jisalimisha kwa Allah(mwenyezi mungu)
@hassanmpwepwe38263 жыл бұрын
Allah akupe umri mlefu sheikh dr Suleiman kwa ku2gea elmu bila malipo
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@gastormichael76773 жыл бұрын
Allah akubariki... Akupe maisha marefu.
@abuukilanga22493 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH. ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Walillahil-hamdu shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@alexlingwendu67809 ай бұрын
Mimi ni Mkristo Lakini Hakika historia ya hawa mataifa Umeielezea vizuri SAANA.Mungu akupe umri mrefu na maarifa makubwa zaidi
@user-us6ze8bz3u
9 ай бұрын
Shukran Kwa kutufwatilia.
@rosekimario49763 жыл бұрын
Ishi maisha marefu mnenaji maana nimekusiza sana uko vizuri umenijenga sana
@rosekimario4976
3 жыл бұрын
Natamani kijiunge nawe maana unayosema ni kweli hawa wazungu wanatuaribia ngepewa mamnaka ningeua wakiristo wote wapuuzi sana hawajui Mungu, kiukweli sitaacha kufanya niwe muhisalamu niynganishe nashekhe hapa nijiunge namanisha
@ramadhanmahongole9293
9 ай бұрын
Umemuelewa au nawe ni muislamu?? kama wewe ni muislamu lazima utamuelewa ila sisi wakiristo hatumuelewi kabisa tunaona anapuyanga tu hapo
@aishajuma18
9 ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293Kwani nani kakauita huku au shobo
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293 huyo sheikh ni muongo anawadanganya wasiojua historia. Anataka kuwaaminisha watu kwamba Dini ya Makureish inahusiana na Wayahudi. Mtu kaanzisha Dini yake Makkah miaka 600 baada ya Kristo eti ndio aje awadanganye watu kwamba ibrahim alikuwa ni mwislamu. Njia ya mwongo ni fupi
@husseinibrahim54383 жыл бұрын
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH DR SULE KWA KAZI (DA’AWA)UNAYO YAFANYA NAKUOMBEA ALLAH AKUHIFADHI KWA UWEZO WAKE ALLAHUMMA AMIIN TUNA SUBIRI SEHEMU YA TATU IN SHA ALLAH.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@wemapaschal23259 ай бұрын
Bila kumkiri Yesu Kristu kuwa ni bwana na mwokozi wa Dunia huwezi kuiona pepo! Hizo zinging ni storyp
@assfzainab9123 жыл бұрын
MashaALLAH mungu akuzdishie umri utufunze mengi inshaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zayanaduduna14053 жыл бұрын
SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA 🇧🇮🇧🇮❤️❤️🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@tresorkinyeshe69652 жыл бұрын
Mashallah cheikh wangu nakukubali sana nakuombeya kwa mwenyezi mungu akulinde n'a akuzidishiye zaidi elimu Yako cheikh
@AshaMashaka-uf6nl
9 ай бұрын
Frtvvvvvvvgvvv
@johnb1842
9 ай бұрын
Mimi nauliza ni vipi Ibrahimu awe muislam ilihali uislam ulianza na Mohamad mwaka 610 baada ya kristu na Ibrahimu aliishi miaka mingi kabla ya kristu? By the way, ni kweli kabisa kuwa Iblahim hakuwa Mkristu maana ukristu umekuja baada ya Kristu
@christaoman8890 Жыл бұрын
Mashaallah nimejifunza somo zuri
@erickochara33619 ай бұрын
Huyu mtu yuko vzuri kichwani aisee! Mungu ambariki sana
@abdulkandenyakandenya9915 Жыл бұрын
MASHA ALLAH Dr sule Allah akupe umri ndefu saaan
@shaibunachuli42593 жыл бұрын
Allah akuzidishie dr suleiman.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@amonbwanakunu9109 ай бұрын
Katika maneno yote Aliyosema Dr Sulle, Nakubaliana naye Katika yote aliyoyanukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu, Kuanzia baadhi ya Mitume na manabii aliowataja, Hata pia Hivyo vitabu vitano alivyovinukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu vipo, Lakini kuhusu Aliyoyanukuu Kutoka Katika Quran Tukufu sina cha kusema kwa sababu sijawahi kuisoma,, Lakini naamini Quran Tukufu nacho Ni kitabu Cha Mwenyezi Mungu kama ilivyo Biblia Takatifu,,Lakini kuhusu mgogoro wa Israel na Palestine ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa na zinazojulikana Duniani, Mimi ndo nazifahamu hizo hizo Kama wengine wanazozifahamu" Na sidhani Kama kuna sababu Nyingine za Chanzo cha mgogoro huo ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa"
@mussammanga7791
8 ай бұрын
Weka sawa kidogo maelezo yako. Hakuna kitabu katika vitabu vinne vya MwenyeziMungu kinacho itwa Biblia.
@maryammamuu42063 жыл бұрын
Jazallahkheri 📿
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@user-py9ht4oe3d7 ай бұрын
Asante sana mungu akupe maisha malefu
@allymukhsin29629 ай бұрын
The fact that hi clip imepostiwa toka miaka miwili ilopita na bado mpka mwaka hu waisrael na wapalestina wako kwenye vita vizito it prove everything may allah grant them all jannah who died for the battle field in Palestine 🇵🇸 Ameen
@khalidndayizeye36393 жыл бұрын
Tunakupnda sana Cheikh wetu unatupa elimu tosha
@shabanibussara8454
9 ай бұрын
Tunampenda kwa ajili ya Allaah
@otwonamakosh83413 жыл бұрын
Umeubiri Na kuutetea ukristo "mungu wa isaaka"
@busta_malik5971
3 жыл бұрын
Kenge ww otwona makosh
@flova7022
9 ай бұрын
@@busta_malik5971 matusi yanatoka wapi...Kwan ni uwongo isaka sio chimbuko la ukristu..?
@NunuKupela
9 ай бұрын
Vyote vimeelezwa kwenye Quran tukufu Tofauti yetu ni km Palestine na Israel , waislam tunazingatia Quran kwasabab mtume Mohammad ni nabii wa mwisho hivyo tourat injil na zabur tunasoma tu lakin watu ni waislam
@subiraabdallah56977 ай бұрын
Mashaalah allah akupe umri mrefu zaidi Dk Sule ili utupe elimu zaidi
@omarysaidy55243 жыл бұрын
Duh nilitaka nikuone ukiongea nawapnd wote masheikh napnd darasa zenu sana Allah akuongozeni akujalieni kilala kheiri
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zubedamustapha72562 жыл бұрын
MashaAllah MWENYEZI MUNGU akupe umri mrefu na makazi mema JANNAH. kweli umejaaliwa kutoka kwa ALLAH. YARABBI mjaalie kila la kheri Dokta SULLE
@saidimnyani3330
9 ай бұрын
Kipaji Cha Hali ya juu Sana, wenzetu wangekuwà na waalimu Kama hawa wangetamba sana
@johnmangal56708 ай бұрын
Asante sana Dr. Sulle
@ashahemed98433 жыл бұрын
Maashallah nilikuwa naisubiri kwa hamu hii darsa Allah akutanguliye
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sulimanmasoud9337
3 жыл бұрын
Mgu akubarik
@ramanolmwilax25203 жыл бұрын
Mashallah allah akujaalie mwsho mwem na pia utufundsh dini yet#dr sulle
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@mwanaidimbwanamwakuro58849 ай бұрын
Mashallah shekhe Mungu akupe umri mrefu na afya njema na mwisho
@paulbayser51823 жыл бұрын
Mm mkristu lakin nimekwelewa Sana Dr sulle ,uko fiti Sana mzee umezungumza ukweli
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@BlandinaMassawe11 ай бұрын
Asante historia nzuri mungu azidi kukuweka
@mohdmahmoud28793 жыл бұрын
Mashallah nakukubali sn sulee ao wanaokuchafuwa wanapoteza mda sisi tunakuwamini unapeleka uislamu mbele
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khatibukhalid15638 ай бұрын
Allah akulipe shekh nimekuelewa et
@allyrashid3732 Жыл бұрын
MaShaAllah!!
@mariamodeka-pc1nd8 ай бұрын
Allah akuzidishie elm
@hawrajehan23989 ай бұрын
Nimejifunza pakubw kuhusu maada hii,Allah akupe maisha marefu
@mamiewana72243 жыл бұрын
Jazaka llah ukhaira
@sharifumussaalaadabiy90013 жыл бұрын
Masha Allah kk yetu ktk dawa
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mwamba anaendelea na kazi Ya kumtangaza Allah
@famitoissa57063 жыл бұрын
Nipo hapa Maputo nilikua naisubiri atimae imekuja asante sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khalidharuna74529 ай бұрын
Allaha awape shifaa walio umiya palestina wajaliye ushindi sifa zote nizako Allah
@CaptainFaudhiTz5383 Жыл бұрын
Al Hajj Doctor Sule unaipambania din ha Allah S.W, malipo mema yaja Kwa waja wema waipambanio dini yake
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Hata kwa kutumia uongo sio? Ila taqiya inaruhusiwa kwenye uislamu. Hapo ni sawa
@safiunamugen25233 жыл бұрын
Masha Allah..Allah akuzidishie umri uendelee kutufunza na kutupatia elim
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@jumasalum26773 жыл бұрын
Pamoja Sana sheikh wangu dr.sule Tanzania one katika historia Mungu akulipe linalo stahili juu yako Na kazi yako ya kuisomesha dini ya Allah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@hadijanangali8895
9 ай бұрын
Alhamdulillah nimeelewa pakubwa
@yasinsaidi44063 жыл бұрын
Masha Allah
@user-gi4ls3bh3l3 жыл бұрын
Shukran sekh wangu babangu Allah akupe umri
@iddrisanyange81759 ай бұрын
mashallaah ❤
@zareebaibe90203 жыл бұрын
Mashaa Allah h,
@hashakatv86183 жыл бұрын
MashaAllah
@mename60203 жыл бұрын
Shukran Sana kwa kutupa mawaiza
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Mashallah Allah
@user-dq9yd7hx3y9 ай бұрын
Ushauri wangu zungumza kiswahili kitupu usisome hizo aya kwavile hujasoma unakosea sana alaf inakua rahisi kwa watu kukujua kua hujasoma.
@jamalshabani12933 жыл бұрын
Mashaallah
@mohammedikimweri65332 жыл бұрын
Allahuma barik
@djramsoyusuph96613 жыл бұрын
Raha sana yaan Mungu akubariki
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@amedealigora67643 жыл бұрын
Allah e melhor,Dr:sulle Allah ti facilidar a sua vida modana e vida futuro.
@amedealigora6764
3 жыл бұрын
💛💛💛💛💛💛💛allah akibar meu sheike você tem muito palavra limpa e melhor
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah
@thomasschone41343 жыл бұрын
Mazinge unaruka aya acha kupotosha watu unaruka aya kumbuka I rayon alivyofiia kaanani mungu akamtokea ktk njoz na mungu akamwambia nchi hii nitakupa mungu alikua akimuahid kumpa nchi hiyo yeye na hata uzao wake.acha upotoshaji unarukaruka aya
@FeisalDoctor
9 ай бұрын
Mbon kam akil hun
@SsAa-by2ty3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi amir wetu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@bish_daddiyao2 жыл бұрын
ALLAH AKBAR ❤️🙏🏾
@masindelubengo41299 ай бұрын
Uko vizuri sheikh Dr Sulle! Ila naomba kuuliza, je Uislamu na Waislamu walikuwepo kabla Mtume Muhammad SAW HAJAZALIWA?
@awadhrajabu14039 ай бұрын
Kwenye Ardhi Apo Nimekuelewa Sana Sana Ukitaka Amani Ya Nyumbani Kwako Ipotee Kata Ardhi Uza Na Anaenunua Aje Kujiona Kama Yeye Ndio Aliekuuzia Wewe Amani Ya Nyumbani Itayumba2 Watanzania Tujifunze Kutoka Israel Na Palestina Usiuze Ardhi Kwa Wageni Kuuza Ardhi Kwa Mgeni Nisawa Na Kuwa Na Taifa Moja Lakini Ndani Yake Utakuta Mataifa Ni Hatari Sana
@farusaimon34903 жыл бұрын
Tafadhali Sheikh, binafsi ningekuomba utoe ufafanuzi juu ya tofauti kati ya Wayahudi na Waisrael, kama ipo. Chondechonde!
@msangiramadhan1911
9 ай бұрын
Israel ni taifa ila wayaudi ni Moja ya kabila za Israel pia Kuna uyaudi wa Imani yakidin.. hope Kwa uchache umenielewa
@athumaniomary12452 жыл бұрын
Mashallah historia mzuri yenye mafunzo ndani yake
@flova70229 ай бұрын
Yerusalem .. wakristu tunaamn Yesu alisulibiwa na kuzikwa na kufufuka na kufufuka na hapohapo ( Golgotha) ndipo pia waislam wanaamini ndipo msikiti wao wa Kwanza na chimbuko la uislam ulipo yaan...pale ndipo mambo matakatifu..yalipo. easily sisi ni ndugu yaan tunagombania Mali ya Baba yetu Ibrahim.. Tupendane...huu mzozo hautaisha...Kwa akili zetu tumwachie Mungu sisi tupendane Tu.. Mkristu mromani nawaambia haya
@Muhammad1Suleiman
4 ай бұрын
I'la ndg yangu, sio, wakristo wanaogombana kwani hata wayahud, hawataki hata kuwaona wakristu, wayahud wanagombna na waislam
@kwangahudispensary7238
4 ай бұрын
@@Muhammad1Suleiman yaani ni shida kaka , cha msingi ndugu yangu Mihammad tupendane,,dini ya kweli ni kumpenda mwenzio na kumheshimu kwa imani yake,na kumwombea pia katika sala zako bila kujali tofauti za udini wenu,ndio roman twafunzwa hivyo. Easly,,nawapenda waislam wote,,Hata Jews nawapenda .ingawaje Jews hadi leo hawaamn kama Yesu alikuja. Tupendane wana wa Ibrahim babu na baba wa imani kwa dini zote
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
Dr shida yako huo utapeli tu, lkn historia ya ulimwengu imelala kichwani, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
@hansondaniel-nb2jn
Жыл бұрын
Dr sule tapeli🤣🤣🤣🤣🤣kweli
@sarahkarim9723
9 ай бұрын
Alikutapeli nini jaman
@HassanJaphari-rx7jy9 ай бұрын
MashaAllah AllahuAkbar
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Nshaingia mm Ni mkristo ila nakuja kujifunza tu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv Asante Sana
@arthurnuhu8570
3 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 karibu sana kujifunza ALLAH akuongoze katika njio iliyonyooka In shaa ALLAH ukipenda kujuwa mengi account ya Facebook yangu ni Issa Moussa Arthur utaonana picha ya mtoto mdogo weupe iko na kafimbo kumdomo ,tutawez kujadiliana na kuulizana maswali ,in shaa ALLAH kwa ruksa la ALLAH tutawez kuyajibu
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@arthurnuhu8570 amen
@arthurnuhu8570
3 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 ama wewe unipe account yk ya Facebook nikutafit
@adamkapolo88179 ай бұрын
Na sisi wakristo turuhusiwe tuoe wake wa3 au wa4 mmoja hatoshi kwenye hilo nimekuelewa vizuri sheikh
@AbdirashidKioko-rg8nx Жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin insha ALLAH
@MouryannMachasio8 ай бұрын
n vizuri qwa helimu bali imani ya mtu itavaki kuwa imani yake
@sadathboutique62533 жыл бұрын
Doctor Sule we fanya kazi ya Alah achana na watu wenye hasadi,pia maneno ayaui,me nakukubali vibaya mno mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Sule dini anaijua ila ni taper na. Ni mhuni sana ,siyo muaminifu
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 kwahio tukusaidie nini
@sadathboutique6253
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 Alikutapeli nini acha hasadi wewe,iyo yote wivu tu
Vitu Vyenye Kuusu Imani Mue Mnaeka Alaka Kwenye KZread Za Kudailodi Mana Izi Ni Imani Sio Mziki Wa Mtu Mmoja Ambae Mumchukie
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah
@saumusaid78259 ай бұрын
Mashaaallh mashaaallh allh akujaze kheri ❤
@muharramhamisi51409 ай бұрын
Mashaallah sheikh mungu akupe elimu zaid ili tufaidike na elimu yko ...nakufuatilia tokea mwanzo mwalim hasa hiki kipnd cha vita vya Palestina na israel
@nowelaraymond5986 Жыл бұрын
Asante sana🙏🏻🙏🏻
@apostlesammymutachicfc.37449 ай бұрын
Hii nakubaliana nawe Sana ndugu yangu, kwakweli umeshiba ilimu na dini, kunawakatinnilitaka kusunumgumza nawa, but sikupata bahati.
@mudytandiko46989 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu uzid kutujuza inshallah
@flova70229 ай бұрын
Hekalu la Yerusalem ndipo kaburi la Yesu lilipo... Golgotha ndipo ilipo...na waislam wanaamin hekalu ni msikiti wao wa Kwanza..duu.. Mm nnachojuaa Yerusalem alizaliwa na kuzikwa Yesu Kristu.
@maryamm37389 ай бұрын
Shekhe uko vizur mashaallah❤
@NaomiJohn-jr1dm9 ай бұрын
Manshallah
@allymahinda0889 ай бұрын
Mungu akulipe Zaidi kwa elimu unayoitoa kwa faida ya wote ukweli tuujue
@imanimussa62569 ай бұрын
Huyu mtu huyu dr. Sule anajua historia mpk anakera namuelewa vzur sana sasa
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Kumwambia ukweli kama ni tapeli ,subiri akutaperi ili uamini,maneno yake ni mazuli ila ni taper
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 aliwai kkutapeli au ushabwanda tu kutoa dawa Kuna itakufaa au isikufae ndo utapeli acheni izo kumyooshea Kidole mtu wakat vingine vipo vinakugeukia mwenyewe na hata km tapeli Kaya fanya mengapi mema mimi na ww tumefanya nn katika hii Dunia chefuuuuu
@asiliyakechuma4319
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 mkundu unakuwaxha
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
@@asiliyakechuma4319 Shukran Allah akurehemu
@ibrahimbarisa95103 жыл бұрын
Shukran ndugu yetu tunaomba nasi ututembelee huku Kenya tunatamani dawa zako za kisssuna kama vile V24
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Пікірлер: 596
Katika vijana wanaojitolea kuhubiri dini hapa E.Africa tena kwa taqwa kubwa sana ni dokta sule..ila tatioz walio na choyo na hasad ninwka sababu dokta sule anajipenda sana ktk maisha yake na anatfta riski halali, kuuza dawa za kisunna katika uislam sio dhambi ata Mtume s.a.w alifanya biashara, uyo mwaipopo badala ya kuwalingania na kuwaponda wanaofanya mapenzi ya jinsia moja(mashoga) eti anathubutu kumponda huhu shekh..Allah atakihifadhi na hasad za walimwengu dokta
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Huyo ni taperi na siyo kila mhubiri ni mkweli ,sule ni tapeli mkubwa na ni mhuni
@eddymatrix8704
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 hakuna mkimilifu ktk hii dunia ila si busara kutoleana aibu mana mwenye haki ya kutoa aibu za mtu ni Mola pekee sasa wewe unajivisha cheo cha Mungu
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
We ni mshabiki ,mwaipopo yupo sahih ,sule ni mhubir mzur sana ila tatizo ni tapeli sana ,
@fareedufahamu8893
Жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 una uhakika ? Haya twambie katapeli wapi na nani alietapeliwa ? Tupe faida tafadhali 👏
Wazanzibari tunakupenda sana kwa ajili ya Alla shekh wetu, na tunakuomba POPO usimjibu muache Alla afanye kazi yake, ww endelea kutupa daawa tu Dr. Yule tutamzika kwa choyo mwaka huu.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@mindedtipstv9472
3 жыл бұрын
mmmh
@presenterkabuma1646
3 жыл бұрын
Nyie hebu acheni upumbavu,mtu anataja mpaka mashahidi wakubwa kama sheikh kishki,mazinge nk bado mnamwona ni mwongo sio!? Mnamtetea kwakuwa hamjawahi kutapeliwa,nyie wala urojo tuulizeni sisi huku wabara tunaeishi nae, tutawaambia tabia zake,ila huko zanzbr huko zamu yenu inakuja ya kutapeliwa,na mlivyokuwa hamjui kuongea mbona mtalia.
@issamuhsin4308
3 жыл бұрын
@@presenterkabuma1646 ww kichogo nn
@allymukhsin2962
9 ай бұрын
@@presenterkabuma1646dk sure tapeli?
Alhamdulillah...nimepata Elimu kwa uchache..nakuombea kwa Allah malipo mema Dr.Sule...
Allah akulinde yani nikimsikiliza uyu shekhe nakubwa na uoga namuomba Allah anijalie kizazi chenye din na iman amina❤❤❤
Wacheni Mola aitwe Mola na Muslim ni Muslim,Alhamdulillahi kwa kunijaalia kuwa Muislam,Ameen
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Kwa porojo kama hizo za Sheikh Sule...hahahahahhahhahh
@uwimana6533
9 ай бұрын
@@user-yv7ij4zh4k porojo zipo kanisani mshenzi sana
Mashallah a lot of people you don't know the history about what you're talking about may God give you wisdom long age and health thank you so much for the knowledge and thank you so much for the station for hair this
Upo sahihi maalimu allaah akulinde Isha allaah
Maa shaa Allah, jazzakallah khayran
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@radhiaomary5591
3 жыл бұрын
Ahsante, Allah ataibariki channel hii
Mkristo mimi lakini historia haijalishi dini. Ahlhamdulahi!
@flova7022
9 ай бұрын
Ila kutuambia Ibrahim ni muislam anatuibiaa viingilio. Na mkizidi kuamn hivyo mtajiaminisha kuwa hekalu la Yerusalem ni la waislam..kitu ambacho sio kweli...mali ya waislam ni maca Kwa hajiri...na Mali ya Yerusalem ni mali ya Sara Kwan ndipo alipozikwa...asiye elewa hili daily atakuaa anaona WA Palestinians wanapigika maaana wanataka Mali isiyokuwa Yao .
@RBSMABATI
9 ай бұрын
Sisi ni ndugu 😊
@habibashabani5689
9 ай бұрын
Silimu ndugu yangu allah akupe neema duniani na kesho akhera inshaalah
@derickdennis1199
9 ай бұрын
Dini haimpeleki mtu mbinguni HABIBA
@allykwaya
9 ай бұрын
Sote ni Ndugu.
Alhamdullillah nimesikiliza part 2nasaha nzuri sana 😘😘
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Shukran shekhe wetu ila mioyo ya waislam imeingia vidonda 😢tumeambiwa umekua tapeli tunaomba tuweke Sawa shekhe 😭
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Kusema kila Mtu anasema shida kuthibitisha maneno Yake kueni na subra jambo lipo kisheria
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv hata Mimi ameniudhi Sana kumchafua Dr sule Lakini nadhani hili swala atalilekebisha
@rahmaayoub7519
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv Allah ndie hakim
@mukrimkidume44
3 жыл бұрын
@@jumasalum2677 kuna mapenzi ya watu na kuna mapenzi ya dini ukipenda dini na Allah ukweli unaposemwa huwezi chukia lakini ukimpenda mtu lazima uchukie
Maashallah kiongozi wetu mungu akuweke tuzidi kujua historia ya kiisilam
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Nilikuwa sijui hizi dini zinafanana sana ila ukweli kabisa waislamu wana elimu kubwa sana na wanasoma sana ni wakati sasa na sisi wakristo tubadilishe mifumo yetu hasa ndoa turuhusiwe mke zaidi ya mmoja
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Waislamu wanasoma nini zaidi ya uongo wa Madrasa? Wewe bila shaka utakuwa ni mwislamu unajifanya kujivika kilemba cha Ukristo. Wakristo sio wajinga wengi wanaijua historia vizuri. Uislamu umeanza miaka 600 baada ya Ukristo
@Maua-pg5gl
7 ай бұрын
@@user-yv7ij4zh4kAllah hakuongoze upate kuitambua haki na huifuate uislam ulianza toka kale kabla ya kuumbwa mwanadamu maana ya uislam ni walio jisalimisha kwa Allah(mwenyezi mungu)
Allah akupe umri mlefu sheikh dr Suleiman kwa ku2gea elmu bila malipo
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah akubariki... Akupe maisha marefu.
ALHAMDULILLAH. ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Walillahil-hamdu shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mimi ni Mkristo Lakini Hakika historia ya hawa mataifa Umeielezea vizuri SAANA.Mungu akupe umri mrefu na maarifa makubwa zaidi
@user-us6ze8bz3u
9 ай бұрын
Shukran Kwa kutufwatilia.
Ishi maisha marefu mnenaji maana nimekusiza sana uko vizuri umenijenga sana
@rosekimario4976
3 жыл бұрын
Natamani kijiunge nawe maana unayosema ni kweli hawa wazungu wanatuaribia ngepewa mamnaka ningeua wakiristo wote wapuuzi sana hawajui Mungu, kiukweli sitaacha kufanya niwe muhisalamu niynganishe nashekhe hapa nijiunge namanisha
@ramadhanmahongole9293
9 ай бұрын
Umemuelewa au nawe ni muislamu?? kama wewe ni muislamu lazima utamuelewa ila sisi wakiristo hatumuelewi kabisa tunaona anapuyanga tu hapo
@aishajuma18
9 ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293Kwani nani kakauita huku au shobo
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293 huyo sheikh ni muongo anawadanganya wasiojua historia. Anataka kuwaaminisha watu kwamba Dini ya Makureish inahusiana na Wayahudi. Mtu kaanzisha Dini yake Makkah miaka 600 baada ya Kristo eti ndio aje awadanganye watu kwamba ibrahim alikuwa ni mwislamu. Njia ya mwongo ni fupi
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH DR SULE KWA KAZI (DA’AWA)UNAYO YAFANYA NAKUOMBEA ALLAH AKUHIFADHI KWA UWEZO WAKE ALLAHUMMA AMIIN TUNA SUBIRI SEHEMU YA TATU IN SHA ALLAH.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Bila kumkiri Yesu Kristu kuwa ni bwana na mwokozi wa Dunia huwezi kuiona pepo! Hizo zinging ni storyp
MashaALLAH mungu akuzdishie umri utufunze mengi inshaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA 🇧🇮🇧🇮❤️❤️🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallah cheikh wangu nakukubali sana nakuombeya kwa mwenyezi mungu akulinde n'a akuzidishiye zaidi elimu Yako cheikh
@AshaMashaka-uf6nl
9 ай бұрын
Frtvvvvvvvgvvv
@johnb1842
9 ай бұрын
Mimi nauliza ni vipi Ibrahimu awe muislam ilihali uislam ulianza na Mohamad mwaka 610 baada ya kristu na Ibrahimu aliishi miaka mingi kabla ya kristu? By the way, ni kweli kabisa kuwa Iblahim hakuwa Mkristu maana ukristu umekuja baada ya Kristu
Mashaallah nimejifunza somo zuri
Huyu mtu yuko vzuri kichwani aisee! Mungu ambariki sana
MASHA ALLAH Dr sule Allah akupe umri ndefu saaan
Allah akuzidishie dr suleiman.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Katika maneno yote Aliyosema Dr Sulle, Nakubaliana naye Katika yote aliyoyanukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu, Kuanzia baadhi ya Mitume na manabii aliowataja, Hata pia Hivyo vitabu vitano alivyovinukuu Kutoka Katika Biblia Takatifu vipo, Lakini kuhusu Aliyoyanukuu Kutoka Katika Quran Tukufu sina cha kusema kwa sababu sijawahi kuisoma,, Lakini naamini Quran Tukufu nacho Ni kitabu Cha Mwenyezi Mungu kama ilivyo Biblia Takatifu,,Lakini kuhusu mgogoro wa Israel na Palestine ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa na zinazojulikana Duniani, Mimi ndo nazifahamu hizo hizo Kama wengine wanazozifahamu" Na sidhani Kama kuna sababu Nyingine za Chanzo cha mgogoro huo ukiachana na Sababu zilizopo kwa Sasa"
@mussammanga7791
8 ай бұрын
Weka sawa kidogo maelezo yako. Hakuna kitabu katika vitabu vinne vya MwenyeziMungu kinacho itwa Biblia.
Jazallahkheri 📿
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Asante sana mungu akupe maisha malefu
The fact that hi clip imepostiwa toka miaka miwili ilopita na bado mpka mwaka hu waisrael na wapalestina wako kwenye vita vizito it prove everything may allah grant them all jannah who died for the battle field in Palestine 🇵🇸 Ameen
Tunakupnda sana Cheikh wetu unatupa elimu tosha
@shabanibussara8454
9 ай бұрын
Tunampenda kwa ajili ya Allaah
Umeubiri Na kuutetea ukristo "mungu wa isaaka"
@busta_malik5971
3 жыл бұрын
Kenge ww otwona makosh
@flova7022
9 ай бұрын
@@busta_malik5971 matusi yanatoka wapi...Kwan ni uwongo isaka sio chimbuko la ukristu..?
@NunuKupela
9 ай бұрын
Vyote vimeelezwa kwenye Quran tukufu Tofauti yetu ni km Palestine na Israel , waislam tunazingatia Quran kwasabab mtume Mohammad ni nabii wa mwisho hivyo tourat injil na zabur tunasoma tu lakin watu ni waislam
Mashaalah allah akupe umri mrefu zaidi Dk Sule ili utupe elimu zaidi
Duh nilitaka nikuone ukiongea nawapnd wote masheikh napnd darasa zenu sana Allah akuongozeni akujalieni kilala kheiri
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
MashaAllah MWENYEZI MUNGU akupe umri mrefu na makazi mema JANNAH. kweli umejaaliwa kutoka kwa ALLAH. YARABBI mjaalie kila la kheri Dokta SULLE
@saidimnyani3330
9 ай бұрын
Kipaji Cha Hali ya juu Sana, wenzetu wangekuwà na waalimu Kama hawa wangetamba sana
Asante sana Dr. Sulle
Maashallah nilikuwa naisubiri kwa hamu hii darsa Allah akutanguliye
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sulimanmasoud9337
3 жыл бұрын
Mgu akubarik
Mashallah allah akujaalie mwsho mwem na pia utufundsh dini yet#dr sulle
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallah shekhe Mungu akupe umri mrefu na afya njema na mwisho
Mm mkristu lakin nimekwelewa Sana Dr sulle ,uko fiti Sana mzee umezungumza ukweli
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Asante historia nzuri mungu azidi kukuweka
Mashallah nakukubali sn sulee ao wanaokuchafuwa wanapoteza mda sisi tunakuwamini unapeleka uislamu mbele
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah akulipe shekh nimekuelewa et
MaShaAllah!!
Allah akuzidishie elm
Nimejifunza pakubw kuhusu maada hii,Allah akupe maisha marefu
Jazaka llah ukhaira
Masha Allah kk yetu ktk dawa
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mwamba anaendelea na kazi Ya kumtangaza Allah
Nipo hapa Maputo nilikua naisubiri atimae imekuja asante sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allaha awape shifaa walio umiya palestina wajaliye ushindi sifa zote nizako Allah
Al Hajj Doctor Sule unaipambania din ha Allah S.W, malipo mema yaja Kwa waja wema waipambanio dini yake
@user-yv7ij4zh4k
9 ай бұрын
Hata kwa kutumia uongo sio? Ila taqiya inaruhusiwa kwenye uislamu. Hapo ni sawa
Masha Allah..Allah akuzidishie umri uendelee kutufunza na kutupatia elim
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Pamoja Sana sheikh wangu dr.sule Tanzania one katika historia Mungu akulipe linalo stahili juu yako Na kazi yako ya kuisomesha dini ya Allah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@hadijanangali8895
9 ай бұрын
Alhamdulillah nimeelewa pakubwa
Masha Allah
Shukran sekh wangu babangu Allah akupe umri
mashallaah ❤
Mashaa Allah h,
MashaAllah
Shukran Sana kwa kutupa mawaiza
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashallah Allah
Ushauri wangu zungumza kiswahili kitupu usisome hizo aya kwavile hujasoma unakosea sana alaf inakua rahisi kwa watu kukujua kua hujasoma.
Mashaallah
Allahuma barik
Raha sana yaan Mungu akubariki
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah e melhor,Dr:sulle Allah ti facilidar a sua vida modana e vida futuro.
@amedealigora6764
3 жыл бұрын
💛💛💛💛💛💛💛allah akibar meu sheike você tem muito palavra limpa e melhor
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah
Mazinge unaruka aya acha kupotosha watu unaruka aya kumbuka I rayon alivyofiia kaanani mungu akamtokea ktk njoz na mungu akamwambia nchi hii nitakupa mungu alikua akimuahid kumpa nchi hiyo yeye na hata uzao wake.acha upotoshaji unarukaruka aya
@FeisalDoctor
9 ай бұрын
Mbon kam akil hun
Allah akuhifadhi amir wetu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
ALLAH AKBAR ❤️🙏🏾
Uko vizuri sheikh Dr Sulle! Ila naomba kuuliza, je Uislamu na Waislamu walikuwepo kabla Mtume Muhammad SAW HAJAZALIWA?
Kwenye Ardhi Apo Nimekuelewa Sana Sana Ukitaka Amani Ya Nyumbani Kwako Ipotee Kata Ardhi Uza Na Anaenunua Aje Kujiona Kama Yeye Ndio Aliekuuzia Wewe Amani Ya Nyumbani Itayumba2 Watanzania Tujifunze Kutoka Israel Na Palestina Usiuze Ardhi Kwa Wageni Kuuza Ardhi Kwa Mgeni Nisawa Na Kuwa Na Taifa Moja Lakini Ndani Yake Utakuta Mataifa Ni Hatari Sana
Tafadhali Sheikh, binafsi ningekuomba utoe ufafanuzi juu ya tofauti kati ya Wayahudi na Waisrael, kama ipo. Chondechonde!
@msangiramadhan1911
9 ай бұрын
Israel ni taifa ila wayaudi ni Moja ya kabila za Israel pia Kuna uyaudi wa Imani yakidin.. hope Kwa uchache umenielewa
Mashallah historia mzuri yenye mafunzo ndani yake
Yerusalem .. wakristu tunaamn Yesu alisulibiwa na kuzikwa na kufufuka na kufufuka na hapohapo ( Golgotha) ndipo pia waislam wanaamini ndipo msikiti wao wa Kwanza na chimbuko la uislam ulipo yaan...pale ndipo mambo matakatifu..yalipo. easily sisi ni ndugu yaan tunagombania Mali ya Baba yetu Ibrahim.. Tupendane...huu mzozo hautaisha...Kwa akili zetu tumwachie Mungu sisi tupendane Tu.. Mkristu mromani nawaambia haya
@Muhammad1Suleiman
4 ай бұрын
I'la ndg yangu, sio, wakristo wanaogombana kwani hata wayahud, hawataki hata kuwaona wakristu, wayahud wanagombna na waislam
@kwangahudispensary7238
4 ай бұрын
@@Muhammad1Suleiman yaani ni shida kaka , cha msingi ndugu yangu Mihammad tupendane,,dini ya kweli ni kumpenda mwenzio na kumheshimu kwa imani yake,na kumwombea pia katika sala zako bila kujali tofauti za udini wenu,ndio roman twafunzwa hivyo. Easly,,nawapenda waislam wote,,Hata Jews nawapenda .ingawaje Jews hadi leo hawaamn kama Yesu alikuja. Tupendane wana wa Ibrahim babu na baba wa imani kwa dini zote
Dr shida yako huo utapeli tu, lkn historia ya ulimwengu imelala kichwani, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
@hansondaniel-nb2jn
Жыл бұрын
Dr sule tapeli🤣🤣🤣🤣🤣kweli
@sarahkarim9723
9 ай бұрын
Alikutapeli nini jaman
MashaAllah AllahuAkbar
Nshaingia mm Ni mkristo ila nakuja kujifunza tu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv Asante Sana
@arthurnuhu8570
3 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 karibu sana kujifunza ALLAH akuongoze katika njio iliyonyooka In shaa ALLAH ukipenda kujuwa mengi account ya Facebook yangu ni Issa Moussa Arthur utaonana picha ya mtoto mdogo weupe iko na kafimbo kumdomo ,tutawez kujadiliana na kuulizana maswali ,in shaa ALLAH kwa ruksa la ALLAH tutawez kuyajibu
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@arthurnuhu8570 amen
@arthurnuhu8570
3 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 ama wewe unipe account yk ya Facebook nikutafit
Na sisi wakristo turuhusiwe tuoe wake wa3 au wa4 mmoja hatoshi kwenye hilo nimekuelewa vizuri sheikh
Amiin Amiin Amiin insha ALLAH
n vizuri qwa helimu bali imani ya mtu itavaki kuwa imani yake
Doctor Sule we fanya kazi ya Alah achana na watu wenye hasadi,pia maneno ayaui,me nakukubali vibaya mno mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Sule dini anaijua ila ni taper na. Ni mhuni sana ,siyo muaminifu
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 kwahio tukusaidie nini
@sadathboutique6253
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 Alikutapeli nini acha hasadi wewe,iyo yote wivu tu
@masala8099
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 ww mbona ulifilwa ccm kilumba 2015 hatukusemi
Vitu Vyenye Kuusu Imani Mue Mnaeka Alaka Kwenye KZread Za Kudailodi Mana Izi Ni Imani Sio Mziki Wa Mtu Mmoja Ambae Mumchukie
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Inshaallah
Mashaaallh mashaaallh allh akujaze kheri ❤
Mashaallah sheikh mungu akupe elimu zaid ili tufaidike na elimu yko ...nakufuatilia tokea mwanzo mwalim hasa hiki kipnd cha vita vya Palestina na israel
Asante sana🙏🏻🙏🏻
Hii nakubaliana nawe Sana ndugu yangu, kwakweli umeshiba ilimu na dini, kunawakatinnilitaka kusunumgumza nawa, but sikupata bahati.
Allah akupe umri mrefu uzid kutujuza inshallah
Hekalu la Yerusalem ndipo kaburi la Yesu lilipo... Golgotha ndipo ilipo...na waislam wanaamin hekalu ni msikiti wao wa Kwanza..duu.. Mm nnachojuaa Yerusalem alizaliwa na kuzikwa Yesu Kristu.
Shekhe uko vizur mashaallah❤
Manshallah
Mungu akulipe Zaidi kwa elimu unayoitoa kwa faida ya wote ukweli tuujue
Huyu mtu huyu dr. Sule anajua historia mpk anakera namuelewa vzur sana sasa
mashaalwa
Allah akupe kheli uzidi kituelimisha
Shukran 🙏🙏🙏🙏
Alhamndulilah kwa neema ya uislam
Mashallah ❤️naumia navoona wtu wacheche wanaokuchafua doct sulle😭
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
Kumwambia ukweli kama ni tapeli ,subiri akutaperi ili uamini,maneno yake ni mazuli ila ni taper
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 aliwai kkutapeli au ushabwanda tu kutoa dawa Kuna itakufaa au isikufae ndo utapeli acheni izo kumyooshea Kidole mtu wakat vingine vipo vinakugeukia mwenyewe na hata km tapeli Kaya fanya mengapi mema mimi na ww tumefanya nn katika hii Dunia chefuuuuu
@asiliyakechuma4319
3 жыл бұрын
@@zaitunichelaje1029 mkundu unakuwaxha
@zaitunichelaje1029
3 жыл бұрын
@@asiliyakechuma4319 Shukran Allah akurehemu
Shukran ndugu yetu tunaomba nasi ututembelee huku Kenya tunatamani dawa zako za kisssuna kama vile V24
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Tutakufikieni Inshaallah
وَاِذْ قَالَ مُوْسٰى لِقَوْمِهٖٓ اِنَّ اللّٰهَ يَأْمُرُكُمْ اَنْ تَذْبَحُوْا بَقَرَةً ۗ قَالُوْٓا اَتَتَّخِذُنَا هُزُوًا ۗ قَالَ اَعُوْذُ بِاللّٰهِ اَنْ اَكُوْنَ مِنَ الْجٰهِلِيْنَ
Nakukubal sheh wang 🤝🤝🤝