ALHAJJ: DR. SULLE | HII NDIO SABABU YA MTUME S.A.W | KUSALI MAHALA ALIPOZALIWA NABII ISSA

ALHAJJ: DR. SULLE | HII NDIO SABABU YA MTUME S.A.W | KUSALI MAHALA ALIPOZALIWA NABII ISSA
#Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle

Пікірлер: 191

  • @HabibaSwalehe-bx4wr
    @HabibaSwalehe-bx4wr4 ай бұрын

    Mashaalla ww dokta sulle ni kiboko wallah alla akupe umri mrefu uendelee kutufungua Maana wengi hawakulijua hili

  • @rahmatonystan2691
    @rahmatonystan2691 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Huyu shekhe mm ananichekeshaga wallah namkumbuka shekhe nyundo hawezi kuhutubu mawaidha bila kufurahisha hhhhhh Allah akuhifadhi shekhe ktk dini na dunia na akhera pia Allah akuzidishiye kipaji

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Hahahaha Allah akuhifadhi akuzidishie riziki za halali siha na afya njema

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Imana ya yesu yeye ni nabi na nikiumbe ca mungu ambaye ni mutu na atawakana nanjomana yupo na mamulaka duniyani nambinguni ya kukukana ayo ambayo wamemuzingishia atawakana nakuwahukumiya mumekoseya siyajuwi ayo mambo ya ucristo mimi muislam Allahuma sali wasali MUHAMADI S.A.W

  • @naimatmussa8746
    @naimatmussa87463 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76823 жыл бұрын

    Good job. Masha Allah. watching from Boston USA

  • @husnahemedy8376
    @husnahemedy8376 Жыл бұрын

    Manshallah unatufundisha mengi Allah akulinde na atujaalie tukutane kesho akhera

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Wambiye wacristo wajuwe uisilam ndiyo dini ya yesu ambao wawo wamepotoshwa nakuwekewa ati ndiye mungu wawo wacristo wamepoteya na ukipoteya hutofika mpaka uelekezwe na coroani inasema nakumaliza mucristo wakweli huamini coroani nakuifata takbir docter sule nawapenda sana ma sheikh Allah awahifazi

  • @kulthumsaid2919
    @kulthumsaid29193 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @amirially750
    @amirially7509 ай бұрын

    Maashallah

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Shikran ya sheykh nimekupata vyema allah akuhifadhi yaarabbi

  • @naissabard2519
    @naissabard2519 Жыл бұрын

    Good

  • @TheM1953
    @TheM19533 жыл бұрын

    Mashaa Allah Tabarakallah!

  • @twalaataib9297
    @twalaataib92973 жыл бұрын

    Mashallah Sheikh

  • @brothermuslims4130
    @brothermuslims41303 жыл бұрын

    Nimepata elimu n Allah azidi kukupa elimu zaidi ili tujue uislamu wetu

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Amiin amiin amiin Shukran ya heykh

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba35492 жыл бұрын

    We kichwa, mashaa Allah

  • @ukhtyruqyah7860
    @ukhtyruqyah78603 жыл бұрын

    Allah akulinde babaangu kesho inshaAllah naenda kuslim nliokoka

  • @masala8099

    @masala8099

    3 жыл бұрын

    Mashaaallah dada karibu sana ktk uislam kwa sapoti yangu naomba unicheki 0686 142368

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79763 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah

  • @ashaomina1136
    @ashaomina11363 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh jazakallah kheir

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko3 жыл бұрын

    Maashaa Allah

  • @kakandaali1522
    @kakandaali1522 Жыл бұрын

    Aksante Sana sheikh

  • @zahramurangara2508
    @zahramurangara25083 жыл бұрын

    Mashallah tabaraka Allah

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo67803 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Ameen 🤲🏽

  • @jumahamad4419
    @jumahamad44193 жыл бұрын

    Mashallah Dr. Sule...

  • @missrukia9661
    @missrukia96613 жыл бұрын

    Mashallhaaa

  • @mohamediramadhani6120
    @mohamediramadhani61203 жыл бұрын

    Mashaallah!

  • @musitemusite4316
    @musitemusite43163 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @umctv3800
    @umctv38003 жыл бұрын

    allah akbar

  • @salmanassir7886
    @salmanassir78863 жыл бұрын

    Mashallah Sheikh Sulle

  • @wakujajuma8952

    @wakujajuma8952

    3 жыл бұрын

    Assalaam aleikum

  • @zamzamzam3920
    @zamzamzam39203 жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @sultankinqhussein7136

    @sultankinqhussein7136

    3 жыл бұрын

    Naaam shekh wt

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40003 жыл бұрын

    Twayyib.

  • @starboytz3450
    @starboytz34503 жыл бұрын

    Allah azid kukuzidia shekhe watupatia darsa

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56403 жыл бұрын

    Mashaall Mtoto mzuri huanza na Jina jamani Mashaall

  • @imeldakibuga4779
    @imeldakibuga47793 жыл бұрын

    Inshaallah ramadhani kariiim

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @huaweiphone1681
    @huaweiphone16813 жыл бұрын

    Mashaallha

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Mashaallah sheykh mungu akuhifadhi

  • @majorsaidi7951
    @majorsaidi79513 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @jumaomari2808
    @jumaomari28083 жыл бұрын

    nakupenda kwajili ya allah

  • @hasaditukinge7876
    @hasaditukinge78763 жыл бұрын

    Mashaallh Alla bariki uishi kwenye twaa mpaka mwisho wa maisha yako

  • @hashirishabani2805

    @hashirishabani2805

    3 жыл бұрын

    Alla akupe mwisho mwema

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Hiyo mech jamani mashallah

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @hajimganda6085

    @hajimganda6085

    3 жыл бұрын

    ...

  • @samirybinaliy2564
    @samirybinaliy25643 жыл бұрын

    umetsha sheh

  • @saay4273
    @saay42733 жыл бұрын

    Shekhe Shukuran sana

  • @rakshanbilally-1341
    @rakshanbilally-13412 жыл бұрын

    Good work 😍👏👏

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Wacristo hawana adabu ku anziya kwa yesu mpaka namanabi wamekana MITUME wote ukimufata muongo nawewe unaitwa muongo akheira InshaAllah Allah anifishe nikiwa muisilamu kamili analinde ayo mandugu washetwani

  • @aminatatu5692

    @aminatatu5692

    2 жыл бұрын

    Amin sote piya insha allah

  • @msangibakari1521
    @msangibakari15212 жыл бұрын

    Allah mkubwa

  • @goodluckzmtae
    @goodluckzmtae3 жыл бұрын

    tuvumiliane kwenye mambo ya iman

  • @s.a.bchannel6014
    @s.a.bchannel60143 жыл бұрын

    Masha allah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын

    Sheikh sijuinikupe nini dr. Wangu Allah Akujaalie kilalakheri nduguyangu kipenzi bi idhnillah

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu77093 жыл бұрын

    Ah yani hutuba ina dakika 24 lakini naona kama ni secunde 2 jinsi maneno yalivyo matamu

  • @mlevimweusi5593
    @mlevimweusi55933 жыл бұрын

    haaaaaah'

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Ukiona filamu zawarumi ndio utaona warumu hawamupendi yesu mwenyewe ata kumusikia wanakwepa mafundisho yake aliyopewa na Allah nakutengeneza masilahi yao namafanyikio yawo hawana hoja KWELI

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    Jeremiah 52:31

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar45352 жыл бұрын

    allahu akbaarr

  • @HatibuBakari-cp8rt
    @HatibuBakari-cp8rt Жыл бұрын

    Allah abkar

  • @user-cz7kz7cj9v
    @user-cz7kz7cj9v9 ай бұрын

    Mwenye Mungu akujaliye,n akuzidishie mara.

  • @humphreymurithi6851
    @humphreymurithi68513 жыл бұрын

    Sarara tunajivanya tunajua

  • @themagnet4236
    @themagnet42363 жыл бұрын

    Doctor Tapeli !!!!!

  • @khalfanalrawahi3082
    @khalfanalrawahi30823 жыл бұрын

    Hii inaitwa baitul maqdis NA sio baitul maqdas.

  • @emmakifimbo3855
    @emmakifimbo38553 жыл бұрын

    Wewe mpumbavu Kama mungu ameweza kumpatia mimba bila mume je atashindwaje kumleta duniani hata kwa mwezi mmoja

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    3 жыл бұрын

    Ufahamu vizuri kwa mujibu wa maandiko tunaelezwa Kama mimba ilitimia miezi Tisa

  • @halimakihame1744
    @halimakihame17443 жыл бұрын

    Dr sure we mwisho Allah akulinde

  • @wakujajuma8952

    @wakujajuma8952

    3 жыл бұрын

    Assalaam aleikum warhamatullah wabarakatuh

  • @halimakihame1744

    @halimakihame1744

    3 жыл бұрын

    @@wakujajuma8952 walayka ssalam walhmatu llahi wabarakatu

  • @alwatank8963

    @alwatank8963

    3 жыл бұрын

    Kibaka

  • @adamgwasa2397

    @adamgwasa2397

    3 жыл бұрын

    Wayahudi kama maji usipoyaoga utayanywa huku unasema kizazi cha wayahudi ni cha ibrahimu huku unasema Ibrahim hakuwa myahudi

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Hahaha

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt3 жыл бұрын

    wakina baba na wakina mama tujitahid kuwapa watot we2 majina mazuri

  • @khalidtv6200

    @khalidtv6200

    3 жыл бұрын

    Hakika ndio maana hata mtume Muhammad S.A.W hakuwapa watoto wake jina la Mama yake "Amina"

  • @simaimcha7237
    @simaimcha72373 жыл бұрын

    .

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79823 жыл бұрын

    Swali sheikh wetu

  • @user-jp1do3yh8s
    @user-jp1do3yh8s10 ай бұрын

    Mtoto hazaliwi miezi sita,sawa lakinj jibu unalo,Maria alifanya ngono na mwanadamu????

  • @cetriclugonyi4452
    @cetriclugonyi44523 жыл бұрын

    Mimba ya isa niya miezi mingapi kwa ushahidi wa quran leta aya achana na bibilia maana muda wa kuzaa nimzi tisa

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma81683 жыл бұрын

    😂🤣😂 umetsha kuhusu ugali!!!

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru53683 жыл бұрын

    Hv! Wenzetu Elim hz wanazpata kweli?

  • @uwimanauwimana7692

    @uwimanauwimana7692

    3 жыл бұрын

    soma sana dni utalewa kila kitu 🙏🏾

  • @khalfanalrawahi3082
    @khalfanalrawahi30823 жыл бұрын

    Tunaomba aya iliyosema vinatoka peponi, Qur, an imesema من عند الله. Kwa hio qur, an Haikutaja pepo.

  • @1nesoch

    @1nesoch

    3 жыл бұрын

    Vimetoka kwako sasa, ao Kariako ? Wewe ulipo andika من عندلله hapo umeisha jijibu we mwenyewe. Zaidi ya hapo itakuwa ni iblis inakuchezea akili.

  • @khalfanalrawahi3082

    @khalfanalrawahi3082

    3 жыл бұрын

    @@1nesoch Hata mtume muhammad ni من عند الله. Je ina maana mtume kwa kuwa anatoka kwa Allah Ndio maana itakuwa ametoka peponi ?

  • @1nesoch

    @1nesoch

    3 жыл бұрын

    @@khalfanalrawahi3082 Haya basi, wewe niambie chakula cha Mariyam kilikuwa kinatoka wapi ? Nasubiri jibu .

  • @khalfanalrawahi3082

    @khalfanalrawahi3082

    3 жыл бұрын

    @@1nesoch هو من عند الله Kinataoka kwa Allah

  • @1nesoch

    @1nesoch

    3 жыл бұрын

    @@khalfanalrawahi3082 Hiyo unayosema ni tafsiri inayo julikana kama " kalimat bil kalimat " ao kwa jina lingine ni " Tarjamat fauriyat ". Sio " Tafsirul Ma'ani ". Allah yuko kila fasi, lakini bil umuum, inafahamika kwamba Allah yuko pahala panapoitwa Peponi ambapo sisi watu hatujuwi. Ndugu, wewe uko unataabishwa na kitu kinachoitwa: waswasatu nafsi, na hio waswasatu nafsi inatoka kwa iblis ao shaitwan. Allah akukinge na tash'wish za iblis. Allahuma Amin.

  • @aswibuchacha7313
    @aswibuchacha73133 жыл бұрын

    Ahahahahahaha mpira wa Simba na yanga nyiye watoto mnaujua ?__ndio__ ! Yes huo huo😀😀 Allah awe nawe

  • @ismailhassan5662
    @ismailhassan56623 жыл бұрын

    Huyu nimwongo sana tapeli anatoa visa vyauwongo visokua namashiko waislam mashekh hawa msiwasikilize.

  • @ashuraattanas3704

    @ashuraattanas3704

    3 жыл бұрын

    Muongo mama ako

  • @ismailhassan5662

    @ismailhassan5662

    3 жыл бұрын

    @@ashuraattanas3704 msenge ww ndomana unanuka kuma malaya ww.

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    3 жыл бұрын

    @@ismailhassan5662 kwa maneno yako tu unaonesha huna hekma tusimskilize yy anaewaidh watu.tukusikilize ww unaetowa matusi mtandaoni

  • @ramyramsmkereti8793

    @ramyramsmkereti8793

    10 ай бұрын

    Bro nenda soma sura y 3 tafsir y quran utaelewa ukoo mzma wa yesu

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Sasa wanatwambiya wacristo yesu ni MUNGU muku imrani anakuwa nani sasa wamepoteya waje tuwaonyeshe njia nisawasawa nakutembeya na feza fake unakuwa haupo huru

  • @iam-penolive

    @iam-penolive

    3 жыл бұрын

    Thank your God I don't understand this broken Swahili. Mfitinishaji wa dini mkubwa ww!! Asokuwa na haya Ni ww,unajifanya umekamilika Wala ukamilifu huo sioni 🧐🧐nyooo

  • @cetriclugonyi4452
    @cetriclugonyi44523 жыл бұрын

    Muongo mkubwa musa na Aaron na marriam wanaitanaje

  • @kuruthumulikomboleka1735

    @kuruthumulikomboleka1735

    3 жыл бұрын

    Mbona umepanic vp?

  • @hassanseleman1965

    @hassanseleman1965

    3 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @AceB4real
    @AceB4real3 жыл бұрын

    rudi kasome vizuri bible we jamaa acha kudanganya wenzako, eti hakuna kitabu kilichoelezea vizuri historia ya yesu kama Quran....Afu kwanza Yesu na Yohana mbatizaji wanawahusu nini.....Si mzungumzie wa kwenu huko au hamna?

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf82833 жыл бұрын

    Sheikh ugali yaitwa PORSHO MEAL...CHUKUA HIYO usiseme hakuna...

  • @issamohd9955

    @issamohd9955

    3 жыл бұрын

    Tena mwenyeo ndo unajiona bingwa kwakumkosoa sheikh wetu ukweli utabaki palepale kama alivosema sheikh kua jina halisi katika english hakuna kuna vijina vyakuchomeka chomeka tu kama icho kijina chako

  • @saleemmuhammed292
    @saleemmuhammed2923 жыл бұрын

    Mashallah

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @Julaybib238
    @Julaybib2383 жыл бұрын

    Masha'allah

  • @khalfanalrawahi3082
    @khalfanalrawahi30823 жыл бұрын

    Hii inaitwa baitul maqdis NA sio baitul maqdas.

  • @mussamussa952

    @mussamussa952

    3 жыл бұрын

    Umeandika nini?

  • @ruqayyaharun26

    @ruqayyaharun26

    3 жыл бұрын

    Cjakuelewa

  • @khalfanalrawahi3082

    @khalfanalrawahi3082

    3 жыл бұрын

    @@ruqayyaharun26 Ndugu sule ameiita Baitul Magdas, NA sahihi inaitwa Baitul Magdis.

  • @ruqayyaharun26

    @ruqayyaharun26

    3 жыл бұрын

    @@khalfanalrawahi3082 umechapia na ww

  • @khalfanalrawahi3082

    @khalfanalrawahi3082

    3 жыл бұрын

    @@ruqayyaharun26 Kwa nn?

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @mamakerayanmurisho2097
    @mamakerayanmurisho20973 жыл бұрын

    Mashallah

  • @khalifasheughaa2410
    @khalifasheughaa24103 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary12453 жыл бұрын

    Mashallah

Келесі