DR. SULLE | HUWEZI KUINGIA PEPONI KWA SHORTCUT | LAZIMA UFATE UTARATIBU HUU

DR. SULLE | HUWEZI KUINGIA PEPONI KWA SHORTCUT | LAZIMA UFATE UTARATIBU HUU
#Masjid_Mtoro_Online_Tv

Пікірлер: 218

  • @abdulsaidi7007
    @abdulsaidi70073 жыл бұрын

    Mash Allah dr sule , ALLAH akujaalie kheri zaidi leo na kesho, nyinyi mnatakiwa kutunzwa kwasababu nyinyi ni watu muhimu sana katika dunia

  • @omyguy3066
    @omyguy30663 жыл бұрын

    Allah akujengee nyumba dkt Sule, jirani ya mtume Muhammad (s.a.w) peponi. Ameen rabbal alameen.

  • @mename6020

    @mename6020

    3 жыл бұрын

    Ameen Allahuma Ameen

  • @mangeraalbert7982

    @mangeraalbert7982

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @masoudidadi7369

    @masoudidadi7369

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @maryammamuu4206

    @maryammamuu4206

    3 жыл бұрын

    Aamin thuma Aamin

  • @binkhalifa6956
    @binkhalifa69563 жыл бұрын

    Allah akuhifadh doctor nakupenda sana sheikh wangu

  • @mename6020
    @mename60203 жыл бұрын

    Allah akulipe kheri kipenz cha Nabiina Muhamad....

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Huyo ndo dk sule bhana.. Mashaa Allah 😘😘😘💯💯💯

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n3 жыл бұрын

    Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah sheikh @sule shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu fik

  • @alisonso4194
    @alisonso41943 жыл бұрын

    Maashaallh 💕💯 ujumbe umefka huo Allah azidi kukupa nguvu yakuelimisha jamii hvyo hvyo aamin💯💖🙏🙏🙏🙏

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah74733 жыл бұрын

    Mashallah doctor sule Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akujaalie kila la kheri duniani na akhera atujaalie pepo tukufu sote Ammeen

  • @edwardalfred2844
    @edwardalfred28443 жыл бұрын

    Shukran sana sheikh wangu Allah akulepe mema

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb53 жыл бұрын

    MashaAllah yaani mpaka apa doct nakupata mno❤😗

  • @abdulkareemmchomvu8534
    @abdulkareemmchomvu85343 жыл бұрын

    Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49123 жыл бұрын

    مشاء للهswadakta jazzakum llahu kheri

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar45352 жыл бұрын

    dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.

  • @khdigahk4246
    @khdigahk42463 жыл бұрын

    Na kuelewa mno dokt sulle ❤️👈

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lm2HqJNme9HPeco.html

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    Njoo uone ukubwa namiujiza ya malakul maut

  • @azizauledi4108
    @azizauledi41083 жыл бұрын

    Shukrani sheikh sule message delivered yaani 👌👌 mashaa Allah.

  • @rehemamdemu459
    @rehemamdemu4593 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Allah akuzidishie in shaa Allah n

  • @omanbarka2053
    @omanbarka20533 жыл бұрын

    Shukran sana nilikuwa cjawahi kusikiya hicho kisa cha nabii ibrahim kwanini tuna mtaja kila swala mashaallah

  • @omanbarka2053
    @omanbarka20533 жыл бұрын

    Shukran sana dc sulle nakupenda kwaajili ya Allah

  • @mohdsilima8828
    @mohdsilima8828 Жыл бұрын

    Mashallah Allah akulip kila la kher shekh wet Allah akuhifadh inshallah

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi26873 жыл бұрын

    Mashallah Allah akurinde sheikh

  • @edwardalfred2844
    @edwardalfred28443 жыл бұрын

    Allahu Akbar Allah Akbar Allahu Akbar kweli sheikh wangu

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo47603 жыл бұрын

    Mzee wa kujilipua a.k.a DK Sulle 🔥 🔥 🔥

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison2893 жыл бұрын

    Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.

  • @khalefhamad7243

    @khalefhamad7243

    3 жыл бұрын

    Yesu sio Mungu wala mtoto wa Mungu tuwache upotoshaji

  • @shabbymakapane1910

    @shabbymakapane1910

    3 жыл бұрын

    Toa Andiko ili tuamini unayo sema.

  • @khalefhamad7243

    @khalefhamad7243

    3 жыл бұрын

    @@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.

  • @khalefhamad7243

    @khalefhamad7243

    3 жыл бұрын

    @@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.

  • @hassanbukukwe8345

    @hassanbukukwe8345

    3 жыл бұрын

    Ukristo Siyo Dini, Ukristo Ni Ukafiri

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Shukraan Sana sheikh jazakallah kher

  • @mohamediramadhani6120
    @mohamediramadhani61203 жыл бұрын

    Mashaallah! Mungu akuongoze kiongoz we2 napenda San kukuckia

  • @gospelforeverchannel4224
    @gospelforeverchannel42243 жыл бұрын

    Jaman dini hazitupeleki mbingun ni Yesu ndiye njia sahihi

  • @ustadhsalimonlinetv.1807

    @ustadhsalimonlinetv.1807

    3 жыл бұрын

    Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.

  • @silasmichael602

    @silasmichael602

    3 жыл бұрын

    punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani

  • @hamzayesu2017

    @hamzayesu2017

    3 жыл бұрын

    Kama si hizo dini ulijuaje yesu ndio njia...??

  • @anitacizaa413
    @anitacizaa4133 жыл бұрын

    ManshaAllah shukurani Shekhe DC Sule Allah akulipe kheri nasisi Allah atuongoze 🙏🙏🙏

  • @sharifamkwavila3819

    @sharifamkwavila3819

    3 жыл бұрын

    Mashallah

  • @zamzamnoor4282
    @zamzamnoor42823 жыл бұрын

    MashaAllah may Allah bless you 😄😄😄😄😄😄😄🕋🕋🕋🕋🕋🕋

  • @abdisiratibrahim8870
    @abdisiratibrahim88703 жыл бұрын

    Sheikh yangu mashaallh

  • @ziadaomeri6058
    @ziadaomeri60583 жыл бұрын

    Maashaallah🙏🙏

  • @jasminmylovejasmin2879
    @jasminmylovejasmin28793 жыл бұрын

    Mashallaah ❤

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi60703 жыл бұрын

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️

  • @adellsefu2485
    @adellsefu24853 жыл бұрын

    Insha Allah shikh sulle

  • @salimumbwali2607
    @salimumbwali2607 Жыл бұрын

    Masha allah allah akulinde

  • @bilalzuberi9875
    @bilalzuberi98753 жыл бұрын

    Sheikh nakuelewa sana Ila punguza kujimwambafai.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru53683 жыл бұрын

    Waislam Neema hz kutoka kwa Allah tuwaombee yalio mama kwa Allah

  • @mwanahija968
    @mwanahija968 Жыл бұрын

    Mashaallah dr sule

  • @shabaniadam7015
    @shabaniadam70153 жыл бұрын

    Mashallah shekh wetu

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa55703 жыл бұрын

    Shukran

  • @rajabumbinga1816
    @rajabumbinga18163 жыл бұрын

    Congratulation brother

  • @buteswadiq787
    @buteswadiq7873 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu kwa kuendeleza daawah

  • @athumanijumakwedy6182
    @athumanijumakwedy61823 жыл бұрын

    Shekhe allwa akupe umri mrefu

  • @alafasyprintingservices660
    @alafasyprintingservices6603 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @aminamustapha1724
    @aminamustapha17243 жыл бұрын

    Hapo kwa mama anayenyonyesha nimekuelewa vzr sana Dr Unakuta mama anaamkia uji anaenda sokoni anapigwa jua weee mpaka maziwa yanaganda na ananyonyesa

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Allah اکبر

  • @MohamedAli-mj3mg
    @MohamedAli-mj3mg3 жыл бұрын

    Mansha Allha. Doctor

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lm2HqJNme9HPeco.html Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut

  • @hasanimsantu3694
    @hasanimsantu36943 жыл бұрын

    Masha Allah do uno vzr

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79823 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Jamani Allah anikutanishe siku na huyu shekhe uso kwa uso hhhhhhhhh Allah akuhifadhi jamani yani nakupe sana kwa ajiri ya Allah

  • @ramadhaniissa5370
    @ramadhaniissa53703 жыл бұрын

    manshalah

  • @hclever7731
    @hclever77313 жыл бұрын

    Doctor Sulle for life

  • @omarimichel1079
    @omarimichel10793 жыл бұрын

    Mash Allah

  • @saleemmuhammed292
    @saleemmuhammed2923 жыл бұрын

    Mashallah..mawaidha mazur

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert25763 жыл бұрын

    Heshimu Uheshimiwe Elimu yako kuwa kubwa sio kuwadharau wasio na Elimu

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi1973 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah 😅😅😅😅😅😅

  • @barakanandi8925

    @barakanandi8925

    3 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @mohdmatar6076
    @mohdmatar60763 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @othumansaid3334
    @othumansaid33343 жыл бұрын

    Somo nzur sheh nashukur

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan3733 жыл бұрын

    Huo sio mfumo mzuri wa Da'awa

  • @astaqueen3979

    @astaqueen3979

    3 жыл бұрын

    Kwanin??

  • @muhammadhussein2347

    @muhammadhussein2347

    3 жыл бұрын

    Kwa nn sio mfmo mzur ?????

  • @makameali626

    @makameali626

    3 жыл бұрын

    Njoo na wako ulio sahihi, yy amejitahid na dunia inashuhudia

  • @hudhaimaissa3151
    @hudhaimaissa31512 жыл бұрын

    Maashallah nakupenda kweli 🌹

  • @mename6020
    @mename60203 жыл бұрын

    MashaAllah 🤣🤣🤣 doctor....

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79823 жыл бұрын

    Allah swali Ibrahim walahil Muhammed.

  • @AbdulRahman-fv9bg
    @AbdulRahman-fv9bg3 жыл бұрын

    Mashaallah 🙏🙏

  • @riadrahaman9570
    @riadrahaman9570 Жыл бұрын

    Mashalla

  • @samiasadiki2928
    @samiasadiki29283 жыл бұрын

    Shukrani,umetukumbusha kitu,alhamdullillah.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Allah wakabar

  • @nasrauwimana2559
    @nasrauwimana25593 жыл бұрын

    Shukuran

  • @zainabissa7986

    @zainabissa7986

    3 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @saidkarissa3492
    @saidkarissa34923 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @sarafutv933
    @sarafutv9333 жыл бұрын

    Masha'allah

  • @asedtembo4742
    @asedtembo47423 жыл бұрын

    Masha Allah tabarakallah

  • @maryamtemba1760
    @maryamtemba17603 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @milkahndunge4500
    @milkahndunge45002 жыл бұрын

    MA Sha Allah

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu12143 жыл бұрын

    Mashallah Dr,sule inshaallah Allah tuongeze ktk njia za kheriiiii

  • @hhlkll9160
    @hhlkll9160 Жыл бұрын

    Masha Allah ❤️

  • @walesjulius5493
    @walesjulius54933 жыл бұрын

    Ukiwa naakili utaelewa ujumbe wa Leo ni matusi ya Musa kwa Adam . Maneno mengi uwongo mwingi

  • @abdulmpakanjia6322
    @abdulmpakanjia63223 жыл бұрын

    Nice

  • @zainabujahshi6587
    @zainabujahshi65873 жыл бұрын

    Jazaakallahu khayraa

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51593 жыл бұрын

    ALLAH AKBAR DR SULE UKO VIZURI.ALLAH AKUPE UMRI MREFU

  • @mename6020
    @mename60203 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣.... Unatiaha mkubwa... Kuna Mzee mmoja kafa kangwata na mbwa wake mwenyewe umkumbuki Jina... Hatar...

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb53 жыл бұрын

    Jamni ata km ukiona doge yy zaidii2uuu love u doct❤😀

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @chikunangwanda6105
    @chikunangwanda61053 жыл бұрын

    Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?

  • @jafarimajidy2365
    @jafarimajidy23653 жыл бұрын

    Jazakallah kherii Allah akulipe

  • @starboy4933
    @starboy49333 жыл бұрын

    Ishaalla mungu akupe maiaha malefu

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu77093 жыл бұрын

    Mashalah

  • @mudimkongo4632
    @mudimkongo46323 жыл бұрын

    Dr sule napenda sana kukusikiliza

  • @fatialamri2258
    @fatialamri22583 жыл бұрын

    Mashallah 😍

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lm2HqJNme9HPeco.html

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    Njoo uone miujiza naukubwa wa malakulmaut

  • @nchelewejenassoro4081
    @nchelewejenassoro40812 жыл бұрын

    Maanshaalaa

  • @abdulymgobajarrilly8261
    @abdulymgobajarrilly82613 жыл бұрын

    Takibilieeeeeeeeee

  • @crisslinembawala2701
    @crisslinembawala27013 жыл бұрын

    Sule nakukubari Sana

  • @jamalraja417
    @jamalraja4173 жыл бұрын

    Msingi wa all 🕋 uli anzishwa na nani?

  • @sharifumussaalaadabiy9001

    @sharifumussaalaadabiy9001

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lm2HqJNme9HPeco.html Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut

  • @twalaakijumbe8462
    @twalaakijumbe84622 жыл бұрын

    waambie hao shehe

  • @fatmazena8886
    @fatmazena88863 жыл бұрын

    Ndio maana mwanangu nampa uji mwepes

  • @kassimmapondela5274
    @kassimmapondela52743 жыл бұрын

    Yeah

  • @muhammadhussein2347
    @muhammadhussein23473 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh

  • @beckabakari2984
    @beckabakari29843 жыл бұрын

    qu'Allah soit avec vous mon cheikh

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @shaficabdalaziiz218
    @shaficabdalaziiz2183 жыл бұрын

    Sema dini haipelekwi kwa mipasho, dini ni wepesi ktk maneno. Then, Allah alishasema kbl Adam kuumbwa kuwa anataka kumteremsha ktk ardhi (duniani) khalifa. Kwhy hata Adam asingekula tunda sisi tungekuja tu huku acheni visa vya alfu lela wa lela.

  • @issashigela2574

    @issashigela2574

    3 жыл бұрын

    Na hicho kisa alichohadithia sio sahihi hakipo

  • @ShSh-my8cw

    @ShSh-my8cw

    3 жыл бұрын

    @@issashigela2574 kabsa

  • @asmamaarifa2649

    @asmamaarifa2649

    3 жыл бұрын

    Haupo sawa

  • @shaficabdalaziiz218

    @shaficabdalaziiz218

    3 жыл бұрын

    @@asmamaarifa2649 usawa ni upi

  • @issashigela2574

    @issashigela2574

    3 жыл бұрын

    @@asmamaarifa2649 hicho Qisa hakipo katika visa sahihi kama unabisha mtafute Dr. Sule umuulize kakitolea wapi

  • @faridkirohosafi1674
    @faridkirohosafi16743 жыл бұрын

    Firaun

Келесі