DR SULLE | HUU NDIO UCHAWI HATARI WAKUKATISHA TAMAA | UNASEHEMU SEHEMU KUU 3 | NAJINSI YA KUJIKINGA

Пікірлер: 219

  • @user-sp2pp1ht6m
    @user-sp2pp1ht6m14 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu atunusuru, Amina.

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Жыл бұрын

    Shukran Dr sule Mashaallah Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr

  • @liam8127
    @liam81272 жыл бұрын

    Mungu akubar sule binadamu tunapitia menge atujui jinsi yakuepuka..yalabi tunusulu he!

  • @firdausassouman7115
    @firdausassouman71152 жыл бұрын

    Ma shaa Allah barakallahu fikum

  • @user-di3gf9cs2e
    @user-di3gf9cs2e6 ай бұрын

    SHUKRAN Mufti wangu🙏🙏

  • @shamimuathumani8947
    @shamimuathumani89472 жыл бұрын

    Asalam alykum. Kwakweli hivi anavyoongea unaweza hisi Ni ujanja ujanja. Lkn lahasha nilikuwa namatatzo makubwa mno Ila kwa dua zake na maji ya dua. Alhamdullah kwa hapa nilipofkia. M/mung awape afya njema . Na kher nying mno

  • @moussaalimbinally1273

    @moussaalimbinally1273

    2 жыл бұрын

    Oya nitayapataje ayo maji

  • @mariamomari4521

    @mariamomari4521

    2 жыл бұрын

    Asslam alykum Ustadh maji nipata wapi niko mbali mimi naomba jina je huku Saudi Arabia naweza pata

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    Жыл бұрын

    Alhamdulillah... Allah ampe ujuzi zaidi shkh Yarrab azidi kusaidia jamia...

  • @mwamini1545

    @mwamini1545

    Жыл бұрын

    Ulikuwa kalibu yake ama ulikuwa inje ya inchi? Mii niko inje ya inchi na mii niko namatatizo mengi nimezunguka sana sijapata musada yeyote

  • @rajysmjunior

    @rajysmjunior

    Жыл бұрын

    Ww ume yapata sehem gan me nipo na shida nayo

  • @AntiMohamed
    @AntiMohamed2 ай бұрын

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh ALLAH akuzidishie kila la kheri, Sheikh nauliza huku Mombasa Kenya waja lini.

  • @KhairatAbdallah-kv3ql
    @KhairatAbdallah-kv3ql3 ай бұрын

    A.alaykm...kiasi gan hayo maji

  • @user-nh1fd1nl7t
    @user-nh1fd1nl7t4 ай бұрын

    Sheikh Allah akupe maisha mema❤

  • @KiragaSteven-sz9xb
    @KiragaSteven-sz9xb Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @zakiahbakari2017
    @zakiahbakari2017 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @aishawangui6635
    @aishawangui66352 жыл бұрын

    Subhanallah. Hatua kwa hatua mpaka waislam waache kumwamini Allah na waamini wadamu wenzao kama wakristo na mapastor badia audhu billahi minal saitan rajeem..Ya Allah yarabbi wanitosha kunilinda kuniruzuku natubu kwako nisamehe

  • @evodiamahay1613

    @evodiamahay1613

    2 жыл бұрын

    Ivi weye wakristu kutuonaje? Kama unakoment ,koment lakini wacha kuchafua dini za wengine mana wasio muamini mwenyezi mungu ni wengi ata waislam pia wapo wacha kujaji watu mana wakujaji ni mungu peke 😈

  • @aishawangui6635

    @aishawangui6635

    2 жыл бұрын

    @@evodiamahay1613 mimi nilisema pastor badia naelewa kienye nasema na sijudge anybody nimezaliwa na wakristo na familia yangu ni wakristo najua kienye na sema

  • @mandelakizango8769

    @mandelakizango8769

    2 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @mwashamleo9996

    @mwashamleo9996

    Жыл бұрын

    Sasa hapo kuna kosa gan mbona tunaenda hospital na tunaamin madaktar wanaweza kutusaidia?duh akili yako haina akil kweli 😢😊

  • @mwashamleo9996

    @mwashamleo9996

    Жыл бұрын

    @Aisha wangui

  • @MsambyaNdulu-uw4do
    @MsambyaNdulu-uw4do2 ай бұрын

    Allah akhibar,Dr.mimi natatizwa sina mafanikio yoyote,kipato,ndoa zangu kuvurugika bila sababu lakini sijakubalia na hali ya kukataa tamaa,ila uwezo wa kupewa wakifika pale ulipo Dar sina. Nakusihii inisaidie niondokane na janga hili. Nahitwa LOKENDO-BONGA BILÉNGANA NGALÙLA

  • @aminasuphian7685
    @aminasuphian76859 ай бұрын

    Mwnyezi mungu akujalie maisha marefu

  • @emmanueljohn9286
    @emmanueljohn92869 ай бұрын

    Sheikh nimekuelewa sana pia umegusa maisha yangu kabisa.naomba mawasiliano yako tafadhali...

  • @dinatalib2703
    @dinatalib27032 жыл бұрын

    Iyo roho ndo mm kabisa husema hivyo Mugu kanipangia hii hali dah subuhanallah

  • @abdulazeezuae4881

    @abdulazeezuae4881

    2 жыл бұрын

    Ndio mime wangu jamani daah mbaka nashindwa chakufanya wachawi wengi mno duniani kushindwa wema

  • @zeinatmutesiruhora6105

    @zeinatmutesiruhora6105

    8 ай бұрын

    Doctor sule tuleteye maji uku sauz Africa please wacawi kibao

  • @sophiamussa5354
    @sophiamussa5354 Жыл бұрын

    Ee mwenyew MUNGU tujaalie neema 🙏

  • @nasfunasri5611
    @nasfunasri56112 жыл бұрын

    Asalam alykum shekh nipo Nairobi ntayapataje

  • @gabrielnduwayo8277
    @gabrielnduwayo82773 ай бұрын

    Assalamu.alaikum ,naitaji kuwasiliana na Docter Sulle

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz7 ай бұрын

    Asalam alaykum warahamatullahi wabarakatuh......walahi shekh sule mungu akipenda nitakutafuta kwa hayo matatizo ya uchawi

  • @user-nh1fd1nl7t
    @user-nh1fd1nl7t4 ай бұрын

    Mungu akujalie maisha mema

  • @mgeniomukubi1156
    @mgeniomukubi1156 Жыл бұрын

    Masha Allah .niko kenya na nina matstizo niyssaidikaje

  • @user-fy6xb8zp9o
    @user-fy6xb8zp9o7 ай бұрын

    Assalaam alaykum warrahmatullah wabarakatuh mansha,allah na mimi pia niko Congo tafadhali

  • @husseinabbakary2778
    @husseinabbakary2778 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @liam8127
    @liam81272 жыл бұрын

    kabisa mimi ndo inanikuta napata ela ila sifanikiw kabisa napata adi milion ila sifanikiwi mpaka nakata tamaaa ya kuwa namafanikio

  • @hassandinhoosmail6378

    @hassandinhoosmail6378

    11 ай бұрын

    M/mungu aweke baraka na maisha yako Insha'Allah 🙏

  • @sakeenaanzi4431
    @sakeenaanzi4431 Жыл бұрын

    MashaAllah, kama vile unakariria maisha yangu vile

  • @iddalihussein1534
    @iddalihussein15342 жыл бұрын

    Asalaam aleikum sheikh, Naomba kupata number Dr dule ya whatsup, Niko nchini Kenya Meru county Barak-Allah

  • @neemajoseph9192

    @neemajoseph9192

    Жыл бұрын

    Assalam alaykum naomba namba ya doctor sule nami nimesibiwa na hilo jamani ambae hajafikwa anaweza kuhisi shekh anaongea tu lakini yakikufika ndo utajua

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah

  • @bintialirashid3470
    @bintialirashid34702 жыл бұрын

    Mashaallah nikweli kabisa

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i3 ай бұрын

    Allahu akbaru

  • @PaulineNasma-dz2qv
    @PaulineNasma-dz2qv Жыл бұрын

    Assalam alaikum Mimi ni Nasma kutoka Kenya, nikitaka hayo maji nitayapataje . Shukran.

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Jazzaka llahu kher

  • @swafniesaid2331
    @swafniesaid23312 жыл бұрын

    Asalamu alekum mola akubarikiye akutiliye taufik amen utakuja lini Kenya hata sisi niwagojwa

  • @mbaroukmohammed913

    @mbaroukmohammed913

    2 жыл бұрын

    Zzzzuuuuuummmmm M Smmmmmmmm 666mmm Mmm.mm Mmm.mm.m

  • @mbaroukmohammed913

    @mbaroukmohammed913

    2 жыл бұрын

    Zzzzuuuuuummmmm M Smmmmmmmm 666mmm Mmm.mm Mmm.mm.m

  • @MelkizedekiMarsely-mm6zy
    @MelkizedekiMarsely-mm6zy7 ай бұрын

    We dt sule nakupenda bure kabisa we mwamba ktk historia

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Kabisa!!

  • @muuu9505
    @muuu95052 жыл бұрын

    Kwamba mungu anaumba undongo wa shari mnaanza kuwaiga wakristo kina mwamposa kupata pesa mmeacha da'awa mmeanza usanii subhanallah

  • @abdulmbaruku9177

    @abdulmbaruku9177

    2 жыл бұрын

    We tulia ngoja Allah akuoneshe ndo utajuwa

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    Жыл бұрын

    Haujapatikana bado omba yasikupate..

  • @jemedarmohamed3644
    @jemedarmohamed3644 Жыл бұрын

    السلام عليكم سيدى

  • @mwajabuabdalah-pl6bc
    @mwajabuabdalah-pl6bc Жыл бұрын

    Nampataje di sulle inapatikana wap

  • @abdirizackkala4593
    @abdirizackkala45932 жыл бұрын

    Sheikh utakuja lini Kenya

  • @user-ni5fi6qk2h
    @user-ni5fi6qk2h5 ай бұрын

  • @nasimnamira2517
    @nasimnamira25172 жыл бұрын

    Salama Alekum she sisi tutapataje Niko Kenya nijibu

  • @nasimnamira2517

    @nasimnamira2517

    2 жыл бұрын

    Nakuuliza hunijibu

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Жыл бұрын

    SAWA mkuu 🙏.

  • @user-mt4sd6cj5y

    @user-mt4sd6cj5y

    11 ай бұрын

    Uchawi. Upo lkny tusiuamini sanaa ..wengi wetu n wavivu wa kutafuta maisha twasingizia uchawi.hijra muhimu kama hufanikiwi Tanga hama nenda ulanga...mbea..msa kule wanga hawakujua Historia yako.

  • @gasigwanassor417
    @gasigwanassor4172 жыл бұрын

    Niko Rwanda majii hayo anaweza patikana ajee

  • @aminasalim929
    @aminasalim9292 жыл бұрын

    Asalamu aleikum vipi nita pataaje haya niko kenya Nairobi

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory57852 жыл бұрын

    Majini ya mashwetwani wapo

  • @user-mv4ih4sd5n
    @user-mv4ih4sd5n3 ай бұрын

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakat mimi nipo kianga Zanzibar nayapataje haya maji nayapataje

  • @user-vg7pp6xp2g
    @user-vg7pp6xp2g7 ай бұрын

    Asalaam alykum...Dr Sule nataka hayo maji nitayapata vipi na niko kenya

  • @UwamahoroShemusa-yl1om
    @UwamahoroShemusa-yl1om Жыл бұрын

    Assalam alaikum Walhamat

  • @fatumamwachupa7810
    @fatumamwachupa78102 жыл бұрын

    Please doctor sule pia mimi na yataka Sasa nitayapataje

  • @mustafarashid2484
    @mustafarashid248410 ай бұрын

    Comment nyingi hapa ni wanawake eti wanataka hayo maji,dawa ni amka usiku swali sunna nafanya dhikr kwa sana kwani Allah ako karibu na wewe

  • @user-th6km5bj9m
    @user-th6km5bj9m4 ай бұрын

    Asalam alaikum waraymatulahy wabarakatu

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho3319 Жыл бұрын

    Asallm alleykhum hayo maji unayapataje na bei gani

  • @subirafatma3234
    @subirafatma3234 Жыл бұрын

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh sheikh ayo maji mtu anaweza kuyapata je kama si watu wa burundi plz sheikh na ni bei gani

  • @AntiMohamed
    @AntiMohamed2 ай бұрын

    Cc huku Kenya tutumieni hiyo email jamani tupate kununua

  • @victorotieno2716
    @victorotieno27162 жыл бұрын

    Asalam alaikum warahmatulah wabarakatu..naomba number ya doctor nipo Kenya 🇰🇪tafathali

  • @RamaKokilo
    @RamaKokilo2 ай бұрын

    Arusha una branch Dr.sule

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory57852 жыл бұрын

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh allah atujarie heli atukinge na maradhi

  • @MbulamayeJuma-xw4lx
    @MbulamayeJuma-xw4lx Жыл бұрын

    Asalamualeikum Dr mm naitwa kutoka Nairobi Niko namatatizo ya nitapata aje kusaidika please

  • @BizoMenya
    @BizoMenya7 ай бұрын

    Assalaam alleykum, naitwa ummu nipo mbagala nimefanyiwa sihiri nimeshindwa kujua ntaponaje matatizo yangu yananitesa naandamwa na nuksi balaa mikosi nashindwa kupata ndoa

  • @mahmudmaganga9407
    @mahmudmaganga9407 Жыл бұрын

    ASALAM alaikum docter sule kama sisi tupo mbali burundi maji hayo ntayapata vipi pili naomba mawasiliyano yako Yamoja kwamoja ili nisitapeliwe

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 Жыл бұрын

    Dahhhh. Ostadh mimi nnamatatizo tangiya mwezi nne Ramadhani mpaka leo ( kuna vitu vinanitembeya mwirini ) unanisaidiyaje shekhe??

  • @nassoroabdul6743
    @nassoroabdul6743 Жыл бұрын

    Uko sehem ipi ndugu yangu

  • @shariphshaibu3941
    @shariphshaibu39419 ай бұрын

    Assalamualaikum Dr sule swali langu 1 inapikana wapi?

  • @hajiabdika1172
    @hajiabdika1172 Жыл бұрын

    Asalamu aleykum Dr naweza pata aje hayo maji

  • @zulekhamnene9462
    @zulekhamnene94622 жыл бұрын

    Dr sulle naomba no yko niko kenya

  • @yasinkulendea2483
    @yasinkulendea24833 ай бұрын

    Mawaidha yananihusu mimi 100%😢😢

  • @fikirinijuma6158
    @fikirinijuma6158 Жыл бұрын

    Naomba namba ya DK sule napoteza mengi kweli Hadi mke wangu

  • @mwashamleo9996

    @mwashamleo9996

    Жыл бұрын

    Si wameonesha hapo juu no zake?

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y11 ай бұрын

    😂😂😂huu ndio mpango mzima kuna walala hoi n walala hai.

  • @afandemsanzu3686
    @afandemsanzu36862 жыл бұрын

    Assalam aleikum Shekhe naomba namba ya Dr Suleiman

  • @UwamahoroShemusa-yl1om
    @UwamahoroShemusa-yl1om Жыл бұрын

    Sule naurizajye mimi niko mbari uganda kwakweri naweza patajye manji hio

  • @user-th6km5bj9m
    @user-th6km5bj9m4 ай бұрын

    Hayo maji nitayapata vipi sheikh😢

  • @mwajumaallyally23
    @mwajumaallyally23 Жыл бұрын

    Walkum msalaam naomba namba ya ustadi sulley

  • @shariffkareem8045
    @shariffkareem8045 Жыл бұрын

    Mimi sija muelewa uyo mwenye kofia nyekundu mbona nae nimiongoni mwa udongo mbaya

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 Жыл бұрын

    Assalam aalaykum wrahma tullahi wabara katuh tuna shkuru sana ila kwa sisi tulioko Burundi tuna taabika sanaaji hayo tuna yapata je? Dr sule

  • @nassoroabdul6743

    @nassoroabdul6743

    Жыл бұрын

    Uko burundi sehem ipi ndugu yangu

  • @user-un8be7ct3e
    @user-un8be7ct3e9 ай бұрын

    assalaamu aleikumu sasa mimi ninashidayakutomiliki kileninachokifanyia hatamifugo kuku akitotoa vifalangavinakufavyote je kunakk

  • @lucrezianjenga8993
    @lucrezianjenga89932 жыл бұрын

    Hata mimi ni po Kenya maji hayo nita ya pata vipi

  • @AntiMohamed
    @AntiMohamed2 ай бұрын

    Tafadhalini namba ya Sheikh tutaipataje

  • @heritier5119
    @heritier51192 жыл бұрын

    Huo mti unaitwaje na eneo gani hapo jordan

  • @twaibujuma5023
    @twaibujuma502310 ай бұрын

    Mbona shekh arusha hatukuon

  • @BON357
    @BON357 Жыл бұрын

    Izi dawa za doctor sure napata wapi

  • @HerriMossi-fu3lw
    @HerriMossi-fu3lw10 ай бұрын

    Namu asalamwalakumu w t b ostazh mimi ni mukazi wa burundi n'a tulikuwa tunaomba namba za simu ili tuweze kijuwa mengi ila samahani

  • @fatufatuma6306
    @fatufatuma6306 Жыл бұрын

    Dokta sule Niko Burundi naomba namba Yako kupitiya yutb

  • @nassoroabdul6743

    @nassoroabdul6743

    Жыл бұрын

    Uko sehem ipi

  • @saidkalume3554
    @saidkalume35542 жыл бұрын

    Assalaam Alaykum said kutoka Kenya maeneo ya kilifi thafadhali naomba kuyapata majihayo ntayapataje?

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Жыл бұрын

    Mimi nayataka hayo maji nitayapata vipi huku niliko na nikiasi gani ?

  • @amosdavies1781
    @amosdavies17812 жыл бұрын

    Hivi Dr. Unapo uza ramani ya vita... si unawapa adui tahadhari ya kujipanga Maana hao wachawi pia wanakusikiliza unavyowagonga nyundo

  • @felixmutuma6866
    @felixmutuma68668 ай бұрын

    Nitajapata wapi hayo Maji? Mimi niko Kenya.

  • @suleimankoja.8182
    @suleimankoja.81822 жыл бұрын

    Tulioko kenya maji hayo shekhe tutayapataje??

  • @zahra-lm6lv

    @zahra-lm6lv

    2 жыл бұрын

    Haswa hata mimi pia ningependa kujua

  • @awadhijumasaraiawadhijumas7956

    @awadhijumasaraiawadhijumas7956

    2 жыл бұрын

    Kuna hizo namba hapo chini za smu

  • @suleimankoja.8182

    @suleimankoja.8182

    2 жыл бұрын

    @@awadhijumasaraiawadhijumas7956 ukipiga ni mteja hapatikani

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo84272 жыл бұрын

    Nayapataje haya maji jamani?

  • @mohamedmwanyasi678
    @mohamedmwanyasi678 Жыл бұрын

    Mm nko mombasa naitaji maji ya mti mjarab

  • @hdkuligt1621
    @hdkuligt16212 жыл бұрын

    Hili mm namnini kwa asalimia 50

  • @California9451
    @California94513 ай бұрын

    Sule Mganga

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Жыл бұрын

    Mbona hii inanihusu mimi natokaje ktk hali hii?

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Husda mbaya jamani

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo84272 жыл бұрын

    Dr nina matengano kwenye famillia yangu mimi nipo mbali nayo naomba msaada wa kuombewa

  • @zehrahaji1566

    @zehrahaji1566

    Жыл бұрын

    Ingia KZread Alafu tafuta dua ziko kila Aina unayotaka

  • @user-uw8cp9yi6h
    @user-uw8cp9yi6h11 ай бұрын

    Tufafanulie hayo maji ni yapi.

  • @mimitijara4806
    @mimitijara48062 жыл бұрын

    Afwan maalimu naomba no yako niko nairobi naweza tumiwa hayo maji nn naumwa

  • @YasiniMahomba-mx6ux
    @YasiniMahomba-mx6ux8 ай бұрын

    Muslim din alhak

  • @chantalmanariyo8850
    @chantalmanariyo88509 ай бұрын

    Wenye tuko Kenya tutayapata wapi?

  • @mwandazifatma8210
    @mwandazifatma8210 Жыл бұрын

    Sasa mm nipo zanzabar nitayapata vip hayo maji

  • @marthachukanzuangichuka
    @marthachukanzuangichuka Жыл бұрын

    Okokeni

  • @abdallahsalum9316

    @abdallahsalum9316

    Жыл бұрын

    Haukuna wokovu Dunian zaid ya kwa mungu.

Келесі