HOTUBA YA NYERERE NA MAGUFULI/MSIWAABUDU WAZUNGU NI MAJAMBAZI HAWAWPENDI WANATAKA MALI ZENU TU

Hotuba nzito ya baba wa Taifa mwalimu Nyerere mfalme wa kwa kwanza na mfalme wa tano wa Taifa la takatifu la Tanzania namna walivyowavua nguo Mabeberu kuwa ni wezi majambazi na wauaji wakubwa hawawapendi watu weusi hata kidogo bali wanataka kupora Rasilimali za waafrika'
TUTAWAKUMBUKA DAIMA WAFALME WETU MPO MIOYONI MWETU DAIMA'

Пікірлер: 212

  • @malcomg1004
    @malcomg10043 жыл бұрын

    Kusema ukweli hawa washenzi waliomuua Magufuli wametukomesha haswa.Tz ilkua inakuja juu sana chini ya huyu mwamba,sasa wametuondolea Rais wetu hatuna tena pa kukimbilia,RIP John wetu😭😭😭😭😭😭😭

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka52243 жыл бұрын

    Hawa ndio viongozi wazalendo, wanaokuwa tayari ku sacrifice maisha yao kwa ajili ya Watanzania. Hayati J.K. Nyerere na J.P. Magufuli, mtuombee ili Watanzania wote tuwe kama ninyi. Amina.

  • @charlesmihayo1275
    @charlesmihayo12753 жыл бұрын

    Inaumiza sana hizi hotuba tunakumbuka na kukulilia baba kama umeenda kwa mipango ya mungu roho yako aiweke mahali pema peponi.AMINA.

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji99193 жыл бұрын

    Magufuli ni shujaa na Mzalendo wa kweli.Ana utu na hana ukibaraka hata chembe. Tumuenzini kwa kuzalisha Umagufuli mwingi. Wakipatikana Magufuli wakutosha ndo tutakua tumejikomboa waafrika na wa Tz. Tumuombeni sana Mungu atusaidie na siai tujitahidi kila mmoja kupambana na kulinda Rasilimali zetu.....

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma28703 жыл бұрын

    Alafu mnasema samia ni rais au kibaraka tu huyu mimi rais wangu ni magufuli sio samia huyo samia sijamchagua mimi na sitaki hata kuiona sura yake huyu kibaraka mkubwa

  • @yoakimmsuha9636

    @yoakimmsuha9636

    3 жыл бұрын

    1 barid kwa mangi naja kulipa

  • @makongoronyerere2595

    @makongoronyerere2595

    3 жыл бұрын

    True

  • @eliaslazaro2809

    @eliaslazaro2809

    2 жыл бұрын

    Hata mm mwenyewe bas tu nilivompenda Magu yaan!

  • @adamuselemani6173

    @adamuselemani6173

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu14273 жыл бұрын

    Umeona bb wa taifa maneno. Mazuri huyu ni km maguful hivo hayat maguful alikua sahihi wivu wa maberuberu

  • @ndamarevocatus4918
    @ndamarevocatus49183 жыл бұрын

    ULITUAHIDI KUWA PAMOJA NASI NA UKAWA KWELI, UKATUOMBA TUKUOMBEE NA TULIKUOMBEA KWELI, SEMA MUNGU NDIE ALIAMUA KUTUTENGANISHA KIMWILI LAKINI BADO TUNAISHI KWENYE MAONO YAKO TULIOKUWA TUNAKUELEWA NA KUKUAMINI.

  • @omaryally198
    @omaryally1983 жыл бұрын

    Ukiona huna uchungu tz ujue unachembe chembe za ubeberu tu, R.I.P JPM, R.I.P, mwalimu

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame17413 жыл бұрын

    Mzee wetu kaongea maneno mazito sana

  • @naaanaina2850
    @naaanaina28503 жыл бұрын

    Huyu mfalme kweli alikuwa tunu kwetu, Mungu amsamehe makosa yake na ajalie ndoto zake zidumu na ili Tz yetu isonge mbele, maneno aloongea Jpm ktk hii hutuba ni mazito sana kama ukiielewa

  • @lirastanley390

    @lirastanley390

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kbs

  • @salehestambul5535

    @salehestambul5535

    3 жыл бұрын

    Anachonifurahisha, ni Kama anaongea na familia yake kwa uchungu sana, ona akihutubia kundi kubwa la kimasikini ktk nchi yenye utajili wa kila aina. Safi jpm mungu akulaze pema.

  • @aminakm2009
    @aminakm20093 жыл бұрын

    Kwa uchonganishi wawo nima exoert njo chenye walisomeyaga long live hayati tutatembeleya nyao zako daima ❤

  • @hallin9561
    @hallin95613 жыл бұрын

    Africa kila anapotokea raisi mwenye misimamo na mzarendo na nchi yake uwa anachukiwa na wazungu adi waafrica wenyewe.. Tunawapenda kama wakina mobutu wanaouza nchi kwa mabeberu

  • @juliusmnkondo5574
    @juliusmnkondo55742 жыл бұрын

    Mungu pumzisha roho za wapendwa wetu Hawa tunawakumbuka sana

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho23563 жыл бұрын

    Jamani, nalia kila siku, wapi tena tutapata mtu kama Nyerere na Magufuli?

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya28013 жыл бұрын

    Magufuri nikipata frusa yakulinda kaburi yako angalau nisirpwe nikae nasikiliz a hotuba zako na Picha yako

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    Mm mungu angenijalia kipato kila mwaka nindetoa ALUBAM INAYO HUSU MANENO YAKE MAANA NAJIULIZA NITATOA NINI KWA MUNGU KWAAJILI YA MWANA MWEMA HUYU MUNGU ALIVYO RUHUSU AWE M TZ SIONI

  • @yoakimmsuha9636

    @yoakimmsuha9636

    3 жыл бұрын

    Namm pia

  • @jayfourtv115
    @jayfourtv1153 жыл бұрын

    Yaani kama yupo hai maana hizi hutuba nazihisi kwa hisia kama namuona akiwa jukwaani namuangalia na kumsikiliza mr jpm

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    Umeona EE yani zipo kali zamoto

  • @mwashibenard2280
    @mwashibenard22803 жыл бұрын

    Huyu mwamba wamemuondosha ila falsafa zake tutabaki nazo daima. Wamekuondoa kimwili ila fikra na umwamba wako upo hai.

  • @georgedimale3872

    @georgedimale3872

    3 жыл бұрын

    Mimi najiuliza sijaona samia aki muzunguzia wazungu wala uchumi wanchi yetu sijui ndio tayari wame mshika mana nasikia Wapigaji wanasema nchii ni msikini kitu ambacho hakiwezekan

  • @ernestmasanja2589
    @ernestmasanja25893 жыл бұрын

    Hawa viongozi kweli ni wazalendo walikua hawawaogopi Mabeberu viongozi wa sasa waige msimamo thabiti na kufuata nyayo zao.

  • @husseinmkanga7794

    @husseinmkanga7794

    3 жыл бұрын

    Ndugu yangu weshaanza kumgeuka hata mwezi bado.

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba12043 жыл бұрын

    dume la mbeugu,ipo siku Mungu awaaibisha mafisadi atamleta magu mwingine

  • @balkeesfatah8898

    @balkeesfatah8898

    3 жыл бұрын

    Ata mim naiman iyo tuombe mungu

  • @lirastanley390
    @lirastanley3903 жыл бұрын

    😀😀😀😀😂😂😂😂R.I.P mtoto mtiifu wa Nyerere uliyeendeleza sera za baba yako mkombozi wa nchi JKN...daima tutawakumbuka

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46713 жыл бұрын

    Tuendelee kuwaenzi hawa waasisi wetu na tufuate hekima yao.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe77743 жыл бұрын

    Kaja mwakilishi wa wazungu sasa JPM WEWE ulidhani msaidizi WAKO lakini kumbe alikuwa msaliti wako mkuu. Tunaumia sana wanyonge YEYE kucha kupanda ndege tu.

  • @zakariampompo953
    @zakariampompo9533 жыл бұрын

    Mzee Uliona Mbali Sana,R.I.P

  • @bennalfamahundi6621
    @bennalfamahundi66213 жыл бұрын

    Nakubal san ila kun watu nilikua napend waangalie hii link km risu mang kimambi na roma naikubali san tz ila nakerek san na baaz ya watu wachach

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile84423 жыл бұрын

    Mzee hayo maneno mazito uliyoongea hatuwezi amini kuwa umekufa kwa ahadi ya mungu. Ila kama ni mungu amekuita basi mungu ashukuriwe. Nenda salama shujaa wa afrika.

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97293 жыл бұрын

    Huyo mwamba kweli mwanaume sio nyerere yeno hakufanya cho chote wala lolote ni kibaraka wazungu wangereza akafa huko london makufuli mwanaume bwana

  • @martinmsonga2290
    @martinmsonga22903 жыл бұрын

    Asante Baba

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan60753 жыл бұрын

    Mungu Ailaze Roho yako maali pema pempeni Baba wetu Mimi Bando sijaamini kama umetutoka Najua siku moja utarudi tu mungu Ni wsmajabu maisha yangu yote sitawai kukuzau Rais wangu

  • @jonimarwa597
    @jonimarwa5972 жыл бұрын

    Marais waliokuwa tofauti na wengine ni Hawa tu! Wawili Mungu awalaze mahali pema peponi Amina!

  • @kennirochok5067
    @kennirochok50673 жыл бұрын

    Mzee walikuwai lakini tupo wengi tunakufuata

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius78323 жыл бұрын

    Hawa walikuwa ni viongozi wazalendo sana. Pumzikeni kwa amani wazee wetu

  • @jumakilewa7265
    @jumakilewa72653 жыл бұрын

    Viongozi wa Afrika wanafiki tuwatambue na tuwasute vibaraka wa wazungu hawafai.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 жыл бұрын

    Asante mzee wetu Musa no moja tuombee watzd giza limetufunika watesi wetu wameanza kututafuna

  • @davidomach6082
    @davidomach60823 жыл бұрын

    This was a leader and shall forever remains so.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius17963 жыл бұрын

    Mzee, vibaraka bado wapo. Tumempata mwingine anaitwa Samia.

  • @farijalakhalid5558

    @farijalakhalid5558

    3 жыл бұрын

    Hamna kitu

  • @balkeesfatah8898

    @balkeesfatah8898

    3 жыл бұрын

    😜😜😜😜

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing18233 жыл бұрын

    Mwambaaaaaaa magufuli rest in peace our president of Tanzania and Afrikaans

  • @nyambabesikimai2776
    @nyambabesikimai27762 жыл бұрын

    Kwa kauli hizo mzee asingeachwa salama ni lazima maadui wawe wengi; RIP baba

  • @moricemorice75
    @moricemorice753 жыл бұрын

    Dr nyie watu wawili nyie najua mko pepon mungu awe nanyi.

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    3 жыл бұрын

    Nyerere hawezi kuwa peponi, alikuwa mshirikina sana ila mwamba magufuli moja kwa moja amepokelewa

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    3 жыл бұрын

    @@elishakayagwa9371 🙏🙏

  • @martinmsonga2290
    @martinmsonga22903 жыл бұрын

    PUZIKA KWA AMANIBABA

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim78363 ай бұрын

    Mungu hawalinde ma legend

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko25463 жыл бұрын

    True African leader JK,JPM rest in peace.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын

    Waliokua wamezoea vya bure

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43813 жыл бұрын

    Safi sana kiongozi hakika africa tutabakia watumwa daima kwa maana wanaotuangusha ni viongozi wetu tuliowapa dhamana ya madaraka

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut20473 жыл бұрын

    Watakatifu Nyerere , Mkapa na JPM mtuombee huko mlipo. Najua warokole waliokubali vitabu vya mzungu kak bible watachukiavkuwaita hawa wazee watakatifu. Ila wako radhi wawaite wazungu watakatifu. Mnisamehe tu

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer6612 жыл бұрын

    Hawa ndo walikuwa viongozi wa kweli katika taifa letu la Tanzania tutawakumbuka na kuwaenzi daima

  • @mathiasmb4967
    @mathiasmb49673 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄😄 ulikuwa mwaume shupavu,💪💪💪💪 mambo yakakataha😄😄😄, " mambo ya kulima😄😄😄♥♥♥♥.

  • @jamesselemani5530
    @jamesselemani55303 жыл бұрын

    Hii video ya Nyerere Tundulissu huwa anaiangalia alivyo kibaraka wa wazungu mjinga yule?

  • @aishanassoro8326
    @aishanassoro83262 жыл бұрын

    Unatuliza sana magu wetu tunakukumbuka sana😭😭😭

  • @michaelmwambona3017
    @michaelmwambona30173 жыл бұрын

    Daima tunawakumbuka kwamambo mema na ushujaa mlio tuonyeshea najua kwasasa mlisha kutana hukomliko kwenda nakama ingewezekana ningemuomba mungu awarudishe mmalizie kazi pare mlipo paacha

  • @prosperulungi2998
    @prosperulungi29983 жыл бұрын

    Kweli magufuli alikuwa akifata nyayo za nyerere

  • @shukranipaul5463
    @shukranipaul54633 жыл бұрын

    Nitakukumbuuka daima my sawa bwana kazi ya Mungu haina makosa

  • @pembeelangombe187
    @pembeelangombe1872 жыл бұрын

    Viongoz hawa ndo tunaomba mungu tuwapate tena kama hawa pumnziken kwa amani mungu atawalipa kwa wema wenu kwa watanzania masikini

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa2372 жыл бұрын

    Tumesha dolora Baba, tumerudi awamu ya 4

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame17413 жыл бұрын

    Dah

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Hotuba zako Mwl huwa hazichuji. Hata usikilize asubuhi mpaka jioni ukilala ukiamka bado zinavutia. Kisa uzalendo wa damu. Ukichanjwa ulikuwa unatoka uzalendo sio damu. RIP Baba w 60mil uchumi kati sasa. Hiyo ndio kweli ya Wakoloni. Mungu atuepushe. RIP Mungu akuoneshe uso wake wa huruma.

  • @mowabumussa7938
    @mowabumussa79383 жыл бұрын

    Magufuli kwanini amewahi kuondoka jamani angeback Kwanza

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga58663 жыл бұрын

    Magufuli ni jeshi kubwa na ataendelea kuishi mioyoni mwetu.

  • @nestor384
    @nestor3843 жыл бұрын

    He come to remind us if we want the true development path it is that JPM took.

  • @umojawawatanzania3813
    @umojawawatanzania38133 жыл бұрын

    Tumerudi tulikotoka

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete90153 жыл бұрын

    Hii ni channel sahihi kabisa

  • @charlesngalya2681
    @charlesngalya26812 жыл бұрын

    Ee mungu walehemu viongozi wetu waliotangulia mbele zako baba JK,Jpm Sasa hivi huku wanatubuluza wanavyotaka wenyewe matajili ndo swali kabisa walalahoi mmmm! Mungu we unaona

  • @vijanadigital3935
    @vijanadigital39353 жыл бұрын

    "Mabeberu wanamezeya mate"

  • @jumakilewa7265
    @jumakilewa72653 жыл бұрын

    Mimi nashangaa hapa Tz na Afrika b bado viongozi wa Afrika

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Жыл бұрын

    Hakuna kiongozi mzalendo kati ya awa wote hapa tatizo tuliwahi sana kudai uhuru tulitakiwa kudai huru mwaka 2020 hili hii nchi kwa rasmali zilizopo hii nchi ingekuwa mbali sana maana wazungu wangeijenga nchi vizuri kuweka miundo mbinu yote mfano nchi ya south africa wamechelewa kudai uhuru nchi imejegwa vizuri uwezi kusikia leo hii south africa kiongozi akiingia madarakani anaenda kupambna na nishati ya umeme au maji vipo sawa.

  • @nbaben10
    @nbaben103 жыл бұрын

    Zamani umasikini ulikuwa umetawala tanzania rais hatahana tangazo

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Yaan hii nchi ukiwa mkweli tu bac ujue kuna watu watakuua tu. Wamekuua cyo??? Hawatabaki.

  • @edulewis1964
    @edulewis19643 жыл бұрын

    Huyu MWAMBA walimpasua kwa uwezo alokuwa nao ki MAONO (R. I. P MWAMBA jPM)

  • @arineitwemoses297
    @arineitwemoses2973 жыл бұрын

    Ahsante baba.. Tutakukumbuka

  • @thomasmdasi1999
    @thomasmdasi19992 жыл бұрын

    Kwli kunavibaraka wanatutesa

  • @kawiche4911
    @kawiche49113 жыл бұрын

    Watanzania tuwe MACHO na mabeberu

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Жыл бұрын

    Hawa ndio viongozi waliowapenda wananchi wa Tanzania.

  • @yovithaobed5574
    @yovithaobed55743 жыл бұрын

    Amina

  • @amanisima9357
    @amanisima93573 жыл бұрын

    Daa mzee Magu ulikuwa ukishusha nondo unaeleweka, tunaimisi sauti yako kusema ukweli sauti ya mama nmeshindwa kuizoea najitaidi lakini bado.

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani68323 жыл бұрын

    😭😭😭😭😘😎❤️💞💞🤝🤲🙏🙏🙏🙏🤝🤲mungu akupee faraja daima peponiii

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42303 жыл бұрын

    KIUKWELI JPM DAMU YAKO AITAWAACHA SALAMA KAMA WAMELIFANYA ILO.😭

  • @fatumaomar778

    @fatumaomar778

    2 жыл бұрын

    Dah!inauma sana ,laana itawafuna wanaowaona mabeberu Munguwatu nakuwasujudia kila siku kiguu na njia na wanaokusaliti ,RIP baba yetu JPM

  • @fatumaomar778

    @fatumaomar778

    2 жыл бұрын

    R I P baba wa Taifa Mwl .Nyerere tutawakumbuka daima

  • @johnmashauri514
    @johnmashauri5143 жыл бұрын

    Aiseee Kam tunaelewa watanzania wenzangu huu usia wa baba yetu kakika tutajuta tuwakumbuke sana haw wazee wetu

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga65572 жыл бұрын

    Ipo,,cku!!,, Ukweli itajulikana tuu 🪴🪴✍️🙏💞

  • @eunicelango608
    @eunicelango6083 жыл бұрын

    Tofauti iliyopo ni sauti tu, huakika tumepoteza jembe,r,i,p

  • @nyambabesikimai2776
    @nyambabesikimai27762 жыл бұрын

    Hawa mabeberu interest yao ni viongozi watakao wasaidia masilahi yao, wafrika tusipokuwa makini kwa hawa wezi wa rasilimali zetu tutasbili sana na kibaya zaidi tunatumiwa ss kwa ss kuuwana kwa kuhongwa pesa na kuahidiwa madaraka pasipo kuhoji faida na hasara

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe56713 жыл бұрын

    Huo ndo ukweli wa kuwa viongozi wa kweli.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Siasa zilizopitwa na wakati "siasa za maji ya chooni" mwenye kukimbia sio sawa na mwenye kusota tutachukua mda wajukuu na vilembwe katu hatutofika kwa wakati wa Afrika bado tumezubaa ujinga ndio utajiri wetu.

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile84423 жыл бұрын

    Babu nakukumbuka sana.

  • @drfred7707
    @drfred770711 ай бұрын

    Now we understand that we lost a real Leader

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga58663 жыл бұрын

    Nilikuelewa na nitaendelea kikuelewa

  • @meekman1805
    @meekman18052 жыл бұрын

    Tuseme hata huyu Marehemu Nyerere wakati yupo huko UK inawezekana walimfanyia figisu figisu kumuuwa! Au hakuna anaejuwa!

  • @abuukachale1126
    @abuukachale11262 жыл бұрын

    Africa pasopa , atakaye kuwa na msimamo hawezi kudumu

  • @michaelmwambona3017
    @michaelmwambona30173 жыл бұрын

    Poreni sana kumbe hamkujua yotehayo mama samia nikibaraka wamalekani kutoka mwanzo nainawezekana nakifo cha rais wetu anahusika nakama hausiki vigogo wamarekani wanataka nini hapakwetu nandege yao yamarekani inataka nini hapa jiurizeni na mtapata majibu

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso57492 жыл бұрын

    Mungu atatulipizia kisasi Kwa yote haya

  • @MairaMtaki
    @MairaMtaki3 ай бұрын

    Mabeberu watuache kwa ni watu wasio wema na hawana shukurani washanyonya vingapi

  • @mihambokayj5854
    @mihambokayj58543 жыл бұрын

    Viongozi makin pekee

  • @joyceenos4397
    @joyceenos43973 жыл бұрын

    Sichoki kumsikilza Rais wangu ndo alikuwa mkweli

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896Ай бұрын

    Our president is hearing this

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Жыл бұрын

    Majembe haya, MUNGU tupe replacement

  • @muzdalfaaladina519
    @muzdalfaaladina5192 жыл бұрын

    Dah so sad pumzika kwa amani shujaa never hutatoka katika mioyo ya watanzania wanyonge😭😭😭😭😭😭🙏🏻

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Жыл бұрын

    Jamani huyu ni rais kabisa, ,,, MUNGU tupe replacement,, viogoz vibaraka, MUNGU watupilie mbali

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    MUNGU yuponasi tutajipigania kufakupona mpaka kieleweke, kilakitu kitakuwa shwari 💪🏽🇹🇿

  • @yovithaobed5574
    @yovithaobed55743 жыл бұрын

    Hujawahi kukosea mzee wetu ila ipo siku tutafika

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47343 жыл бұрын

    Maneno ya baba wa taifa na video tofaut

  • @alexkabendela6699

    @alexkabendela6699

    3 жыл бұрын

    kweli wazalendo vita mlivipigana na mwendo mmemaliza pumzikeni kw amani.🙏🙏🙏

  • @aminakm2009
    @aminakm20093 жыл бұрын

    Tena wazibitiwe babu kubwa, Africa imekuwa ndanguro kwa nn ?????

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja70873 жыл бұрын

    Magu yupo wamefiki maisha

Келесі