HOTUBA YA JPM: "Kuna watu wanachomoka maneno, washindwe na walegee"

HOTUBA YA JPM: "Kuna watu wanachomoka maneno, washindwe na walegee"
Rais Dkt John Magufuli na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo Disemba 01, wanazindua rasmi kituo cha kutoa huduma za pamoja (One Stock Border Post) maeneo ya mpakani Namanga mkoani Arusha.
Kituo hicho kitarahisisha huduma za usafirishaji katika maneno ya mpakani.
#HOTUBAYAJPM
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw...

Пікірлер: 60

  • @moshillinde6835
    @moshillinde68355 жыл бұрын

    Hongera JPM, ulibomoa msingi mbovu wakati ukiwa waziri wa ujenzi na leo umejenga msingi ulio imara, mungu akubari sana tupo wote 2020,Tanzania ni moja.

  • @Abalsashaame088
    @Abalsashaame0885 жыл бұрын

    Pole raisi wetu Naona unaumwa

  • @Abalsashaame088
    @Abalsashaame0885 жыл бұрын

    Mungu azidi kuimarisha Aman Kwa Africa yetu

  • @geraldmdee7021

    @geraldmdee7021

    5 жыл бұрын

    kazi nzuri raisi wetu ila wape nafasi na wapinzani nao

  • @zainabujuma4278
    @zainabujuma42785 жыл бұрын

    Vizuri raisi wetu, mungu awe pamoja nawe.

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili48065 жыл бұрын

    Well said president wetu mungu azidi kuwaimalisha katika umoja wenu , nasi tutazidi kuwaombe ukweli itamfurahisha sana mungu Kama nchi zetu zatazidi kuwa na amani. Mungu awape moyo huohuo.

  • @mosesmashishanga285
    @mosesmashishanga2855 жыл бұрын

    rais kweli na kweli kweli na kuogopa mungu na wanyonge

  • @Itarusii
    @Itarusii5 жыл бұрын

    Hili ni jambo is kupongeza.

  • @s.simponda138
    @s.simponda1385 жыл бұрын

    Mungu akubariki rais wetu magufuli.

  • @tzmny4909
    @tzmny49095 жыл бұрын

    rais mkweli na muazi

  • @waryobakitabu5854
    @waryobakitabu58545 жыл бұрын

    kazi njema Rais wangu

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels5555 жыл бұрын

    Hongera Mheshimiwa John Pombe Magufuli pamoja na Mheshimiwa Uhuru Kenyatta.

  • @nurukwawote4716

    @nurukwawote4716

    5 жыл бұрын

    KWA MENENO MMMM NI MAZURI

  • @jumachilu9937
    @jumachilu99375 жыл бұрын

    Rais wangu nina kukubali sana ila punguza kodi banda lini ili sisi wanyonge tufuraie maisha maana hali ni ngumu

  • @Abalsashaame088
    @Abalsashaame0885 жыл бұрын

    Safi Sana raisi

  • @nyakytito4954
    @nyakytito49545 жыл бұрын

    Magu pole sana naona unaumwa

  • @mosesmashishanga285
    @mosesmashishanga2855 жыл бұрын

    rais wangu anaumwa mafua lakini unapiga kazi piga kazi mzeee

  • @benjaminijosephatisombi8699
    @benjaminijosephatisombi86995 жыл бұрын

    hongera mheshimiwa magu kwa kazi nzuri

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi92885 жыл бұрын

    Well done my President JPM. HAPA KAZI TU!

  • @bahatimasolwa2109
    @bahatimasolwa21095 жыл бұрын

    Kazi nzuri mh. Rais Songa mbele ktk kulitumikia Taifa.

  • @mnankagibore6621
    @mnankagibore66215 жыл бұрын

    kama unamuelewa rais like yako hapa ccm oyeeeee

  • @kondelaeliasmtotowasimba6455

    @kondelaeliasmtotowasimba6455

    5 жыл бұрын

    Nyokooooooooo!!! Pumbafu

  • @paulngalagala4009
    @paulngalagala40095 жыл бұрын

    nakuerewa vizuli sana

  • @KASWIZAOnlineTV8933
    @KASWIZAOnlineTV89335 жыл бұрын

    Mungu akupe afya akurinde tunaomba uendelee ivyo tupo pamoja

  • @ruttatibenda9941
    @ruttatibenda99415 жыл бұрын

    Mubashara

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa43715 жыл бұрын

    HONGERA RAIS WETU MAGUFULI kwa kazi nzuri unayoifanya tunakutegemea sisi tuko pamoja nawewe

  • @mwanaidipolesaanaomymbaga9121
    @mwanaidipolesaanaomymbaga91215 жыл бұрын

    tunakupenda sana rais wetu,na nchi za jiran wanatuonea wivu,mungu tutunzie

  • @jimjam4162

    @jimjam4162

    5 жыл бұрын

    Sina lakukujibu bahati yako ww ni dada mwislamu mwenzangu plz jiepushe na thana Potofu

  • @dominickmbuke
    @dominickmbuke5 жыл бұрын

    mhmhmh!!!! mnapendana kumbe?

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga65545 жыл бұрын

    safi jpm

  • @agustinechapakaz5101
    @agustinechapakaz51015 жыл бұрын

    chapa kazi mheshimiwa mangu

  • @MwarabuTz
    @MwarabuTz5 жыл бұрын

    Safi

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright19385 жыл бұрын

    Once again, I argue and call upon all loyal Tanzanians to stand behind and support the current administration in power in their efforts to bring positive economic growth changes which stalled for the last three decades, restore lost public trust in their government and officials, providing tuition fees free education for many children across the entire country, fighting against corruption, adding new infrastructure including but not limited to construction of new modern standard gage railways system, restoring of our national airline (ATC), improving of existing roads ways by constructing fly over to reduce traffic congestion or jams in the cities, also providing access to medical and prescription for the poor and imposing fiscal responsibility in public service and officials. I am very glad to announce that we are finally granted an effective government by God with fine leadership of JPM and are heading in the correct direction. May our Lord of creation continue to protect him and his administration and provide him with wisdom and strength to lead the great nation of Tanzanians.

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    MOST WHAT DO WHAT????

  • @mbogomlwilo9386
    @mbogomlwilo93865 жыл бұрын

    Wafanye Nazi Massa 24

  • @robertdaud9894
    @robertdaud98945 жыл бұрын

    Good

  • @issakawanya648

    @issakawanya648

    5 жыл бұрын

    Thanks my love president.mtujali sisi wadogo

  • @manenoalex7453
    @manenoalex74535 жыл бұрын

    ijenge Tanzania mpya mzee

  • @exaudkessy5298
    @exaudkessy52985 жыл бұрын

    Wote wanaomdhihaki rais wetu tutawaombea wabadilike hapa ni kazi tuu

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62985 жыл бұрын

    Niliskiaga kuna kipindi kiongozi anasema Magu hawampendi Kenya anaugomvi na Kenyatta hivi nikweli !!!!!!!!,na mbona Leo wako pamoja wanacheka pamoja,miniko gizani sijui kitu

  • @georgeesamwesongo1802

    @georgeesamwesongo1802

    5 жыл бұрын

    Mpokee yesu ili uwe nuruni....ondoka gizani dada C

  • @adamkasasa6072
    @adamkasasa60725 жыл бұрын

    nlickiliz ho2ba zako kitamb

  • @khalidricco3907
    @khalidricco39075 жыл бұрын

    ww mshwenzi tuu huna lolote.

  • @adamkasasa6072

    @adamkasasa6072

    5 жыл бұрын

    huna akili et

  • @saidyusuph4129
    @saidyusuph41295 жыл бұрын

    Mbeya lini?

  • @esromkanubho4738

    @esromkanubho4738

    5 жыл бұрын

    Said Yusuph kunanini?

  • @alisaid8213
    @alisaid82135 жыл бұрын

    Mm niliona marungi mutaiwacha huru hata hamukuliongeleya hilo swala

  • @josephambrose260
    @josephambrose2605 жыл бұрын

    narudia huyu ni mnafki pamoja nawale wote wanaomwekea mambambio lkn kumbukeni adhabubya kaburi itamhusu yeye peke yake wakati nyie mkiwa kwenye folezi za pilau na vinywaji.

  • @ortolentexemplaire3800
    @ortolentexemplaire38005 жыл бұрын

    sijaona Raisi mwenye ana akili kama uyu duniani, ndo maana kuwaona wa Tanzania wazezeta, sijuwi juwi alifika aje apo .

  • @philemonmgina7327

    @philemonmgina7327

    5 жыл бұрын

    Hana akili mama na babaako kwa kukuzaa we msukule. Kapimwe Malinda wewe

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6595 жыл бұрын

    Rudisha hela za Wafanyabiashara wa mlizozikata ktk mabenki uliyofunga

  • @josephgomalo41

    @josephgomalo41

    5 жыл бұрын

    @Change Mindset Jaribu kutafuta marinda uliyopoteza .. huna adabu

  • @easy-muchwa8175

    @easy-muchwa8175

    5 жыл бұрын

    Vimtu kama ww ni VIRUSI

  • @paulmaginga8629

    @paulmaginga8629

    5 жыл бұрын

    Na wewe ulikuwa unafanya hizo dili

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    5 жыл бұрын

    Saganda Malecha Mpullo mfilisike tu.

  • @walterngowi3164
    @walterngowi31645 жыл бұрын

    Acha politik piga kaz muzee

  • @josephambrose260
    @josephambrose2605 жыл бұрын

    mnafki mkubwa ww.

  • @prosperitymaarifa6278

    @prosperitymaarifa6278

    5 жыл бұрын

    Joseph Ambrose mnafiki mwenyewe

  • @josephgomalo41

    @josephgomalo41

    5 жыл бұрын

    HAPA KAZI TU.. kama hutaki nenda kale ugali wa bure ikulu Kenya..

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    5 жыл бұрын

    Joseph Ambrose utaishia kunawa .

Келесі