HOTUBA YA JPM: "Kuna watu wanachomoka maneno, washindwe na walegee"
HOTUBA YA JPM: "Kuna watu wanachomoka maneno, washindwe na walegee"
Rais Dkt John Magufuli na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo Disemba 01, wanazindua rasmi kituo cha kutoa huduma za pamoja (One Stock Border Post) maeneo ya mpakani Namanga mkoani Arusha.
Kituo hicho kitarahisisha huduma za usafirishaji katika maneno ya mpakani.
#HOTUBAYAJPM
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw...
Пікірлер: 60
Hongera JPM, ulibomoa msingi mbovu wakati ukiwa waziri wa ujenzi na leo umejenga msingi ulio imara, mungu akubari sana tupo wote 2020,Tanzania ni moja.
Pole raisi wetu Naona unaumwa
Mungu azidi kuimarisha Aman Kwa Africa yetu
@geraldmdee7021
5 жыл бұрын
kazi nzuri raisi wetu ila wape nafasi na wapinzani nao
Vizuri raisi wetu, mungu awe pamoja nawe.
Well said president wetu mungu azidi kuwaimalisha katika umoja wenu , nasi tutazidi kuwaombe ukweli itamfurahisha sana mungu Kama nchi zetu zatazidi kuwa na amani. Mungu awape moyo huohuo.
rais kweli na kweli kweli na kuogopa mungu na wanyonge
Hili ni jambo is kupongeza.
Mungu akubariki rais wetu magufuli.
rais mkweli na muazi
kazi njema Rais wangu
Hongera Mheshimiwa John Pombe Magufuli pamoja na Mheshimiwa Uhuru Kenyatta.
@nurukwawote4716
5 жыл бұрын
KWA MENENO MMMM NI MAZURI
Rais wangu nina kukubali sana ila punguza kodi banda lini ili sisi wanyonge tufuraie maisha maana hali ni ngumu
Safi Sana raisi
Magu pole sana naona unaumwa
rais wangu anaumwa mafua lakini unapiga kazi piga kazi mzeee
hongera mheshimiwa magu kwa kazi nzuri
Well done my President JPM. HAPA KAZI TU!
Kazi nzuri mh. Rais Songa mbele ktk kulitumikia Taifa.
kama unamuelewa rais like yako hapa ccm oyeeeee
@kondelaeliasmtotowasimba6455
5 жыл бұрын
Nyokooooooooo!!! Pumbafu
nakuerewa vizuli sana
Mungu akupe afya akurinde tunaomba uendelee ivyo tupo pamoja
Mubashara
HONGERA RAIS WETU MAGUFULI kwa kazi nzuri unayoifanya tunakutegemea sisi tuko pamoja nawewe
tunakupenda sana rais wetu,na nchi za jiran wanatuonea wivu,mungu tutunzie
@jimjam4162
5 жыл бұрын
Sina lakukujibu bahati yako ww ni dada mwislamu mwenzangu plz jiepushe na thana Potofu
mhmhmh!!!! mnapendana kumbe?
safi jpm
chapa kazi mheshimiwa mangu
Safi
Once again, I argue and call upon all loyal Tanzanians to stand behind and support the current administration in power in their efforts to bring positive economic growth changes which stalled for the last three decades, restore lost public trust in their government and officials, providing tuition fees free education for many children across the entire country, fighting against corruption, adding new infrastructure including but not limited to construction of new modern standard gage railways system, restoring of our national airline (ATC), improving of existing roads ways by constructing fly over to reduce traffic congestion or jams in the cities, also providing access to medical and prescription for the poor and imposing fiscal responsibility in public service and officials. I am very glad to announce that we are finally granted an effective government by God with fine leadership of JPM and are heading in the correct direction. May our Lord of creation continue to protect him and his administration and provide him with wisdom and strength to lead the great nation of Tanzanians.
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
MOST WHAT DO WHAT????
Wafanye Nazi Massa 24
Good
@issakawanya648
5 жыл бұрын
Thanks my love president.mtujali sisi wadogo
ijenge Tanzania mpya mzee
Wote wanaomdhihaki rais wetu tutawaombea wabadilike hapa ni kazi tuu
Niliskiaga kuna kipindi kiongozi anasema Magu hawampendi Kenya anaugomvi na Kenyatta hivi nikweli !!!!!!!!,na mbona Leo wako pamoja wanacheka pamoja,miniko gizani sijui kitu
@georgeesamwesongo1802
5 жыл бұрын
Mpokee yesu ili uwe nuruni....ondoka gizani dada C
nlickiliz ho2ba zako kitamb
ww mshwenzi tuu huna lolote.
@adamkasasa6072
5 жыл бұрын
huna akili et
Mbeya lini?
@esromkanubho4738
5 жыл бұрын
Said Yusuph kunanini?
Mm niliona marungi mutaiwacha huru hata hamukuliongeleya hilo swala
narudia huyu ni mnafki pamoja nawale wote wanaomwekea mambambio lkn kumbukeni adhabubya kaburi itamhusu yeye peke yake wakati nyie mkiwa kwenye folezi za pilau na vinywaji.
sijaona Raisi mwenye ana akili kama uyu duniani, ndo maana kuwaona wa Tanzania wazezeta, sijuwi juwi alifika aje apo .
@philemonmgina7327
5 жыл бұрын
Hana akili mama na babaako kwa kukuzaa we msukule. Kapimwe Malinda wewe
Rudisha hela za Wafanyabiashara wa mlizozikata ktk mabenki uliyofunga
@josephgomalo41
5 жыл бұрын
@Change Mindset Jaribu kutafuta marinda uliyopoteza .. huna adabu
@easy-muchwa8175
5 жыл бұрын
Vimtu kama ww ni VIRUSI
@paulmaginga8629
5 жыл бұрын
Na wewe ulikuwa unafanya hizo dili
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Saganda Malecha Mpullo mfilisike tu.
Acha politik piga kaz muzee
mnafki mkubwa ww.
@prosperitymaarifa6278
5 жыл бұрын
Joseph Ambrose mnafiki mwenyewe
@josephgomalo41
5 жыл бұрын
HAPA KAZI TU.. kama hutaki nenda kale ugali wa bure ikulu Kenya..
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Joseph Ambrose utaishia kunawa .