HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA
HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 33
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Yaan taarifa haiwez kukamilika bila kumtaja mwanzilishi ambae n JPM
JPM tutamkumbuka daima
I can't believe they didn't mention John pombe magufuli in this report 😮.. shame on you!!! Aibu!!!
JPM the greate
Mwamba wa Afrika, Mzalendo, Mwanamapinduzi wa kweli na mkombozi wa Watanzania, JPM alisema kuwa, mara tu uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Nyerere utakapoanza, bei za umeme zitashuka kwa asilimia kubwa sana. Kwa nini bei hazijashuka mpaka sasa wakati uzalishaji umeanza?
It was honor for me to being a part of this project 😊
SAMIA SAFI SANA
KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Watu WABAYA sana, WABAYA sana, WABAYA sana. Kazi za Magufuli, eti ni marufuku kumtaja. Watu WABAYA sana. Magufuli alipingwa dunia nzima, akaamua kujenga bwawa hili. MIOYO yao inatamani hata lisiitwe MWALIMU NYERERE. TUMEKUWA MACHAWA SANA. INAMAANA MWANZILISHI WA HUU MRADI, JOHN POMBE MAGUFULI UNGEMSHINDA???, eti miaka miwili tu, ujenzi umetoka 32% hadi 95%. Toka April 2021 hadi leo ni MIAKA miwili tu?? Si Ni miaka mitatu na zaidi.
Safi sana Samia na Magufuli
Magufuli alikuwa mtu special! Alithubutu katika mambo mengi! Hakuamini katika kushindwa! Yaliyoonekana kushindikana, yeye aliyaona simple. Bwawa na makao makuu Dodoma ni mifano halisi
Kama umeme umezidi mpaka wanzima mashine, nafikiri niwakati sasa umeme ushuke bei
@modestwenceslaus9
2 ай бұрын
Kweli kabisa Kama Umeme unazalishwa mwingi basi waruhusu matumizi ya Umeme yawe makubwa kwa kupunguza Bei ya Umeme kwa Watumiaji.
@davidanselmo4041
2 ай бұрын
Tuuze na mungine nje ya nchi
JPM rest in power the best mnataka hamtaki ❤❤❤❤❤❤❤
Fresh from school
Mama kazi unafanya hakika
waswahili wanasema tenda wema uwende zako so mzee magu ametenda wema kwa watanzania
Mngemaliza mgao wa umeme ndani ya nchi Kisha ndio muuze nje ya nchi
Ni.kweli
Umeme wa uhakika upo wapi sasa kila siku mnatuonyesha picha tu watanzania tunataka umeme
hapo maji yanapo tokea panaitaji reinforcement maji ni kitu hatare sana
Alama ya aliejitoa sadaka kwa was tanzania
Uyumwamba angekaa miaka kumi magufuli tungaeyaona yasio onekana
Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p m na saluti kwa bimkubwa ssh
@JIWE-G-UNIT
2 ай бұрын
Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p . Jpm na saluti kwa bimkubwa ssh
@frankmahenge5943
2 ай бұрын
J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda
@frankmahenge5943
2 ай бұрын
J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
@@frankmahenge5943 mmhh! Muwe munasema yenye ukweli
@jasonwatz7457
2 ай бұрын
Kuna wakuu wa mikoa , mawaziri, wakuu wa wilaya , wabunge. Hao wote wanafanya nini?@@frankmahenge5943
Wanafiki wakubwa nyie kwahiyo madhara yawatu kuathirika namaji hayo kwakukosa miundombinu Bora mbona hamsemi .nakwann mmekua mkisifia mama bila kusifia jembe letu pendwa