HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA

HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 33

  • @globaltv_online
    @globaltv_online2 ай бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-nw2ng1ty8v
    @user-nw2ng1ty8v2 ай бұрын

    Yaan taarifa haiwez kukamilika bila kumtaja mwanzilishi ambae n JPM

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 ай бұрын

    JPM tutamkumbuka daima

  • @daviesking1356
    @daviesking13562 ай бұрын

    I can't believe they didn't mention John pombe magufuli in this report 😮.. shame on you!!! Aibu!!!

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono2 ай бұрын

    JPM the greate

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka52242 ай бұрын

    Mwamba wa Afrika, Mzalendo, Mwanamapinduzi wa kweli na mkombozi wa Watanzania, JPM alisema kuwa, mara tu uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Nyerere utakapoanza, bei za umeme zitashuka kwa asilimia kubwa sana. Kwa nini bei hazijashuka mpaka sasa wakati uzalishaji umeanza?

  • @mushtaqmehmood4639
    @mushtaqmehmood46392 ай бұрын

    It was honor for me to being a part of this project 😊

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon10642 ай бұрын

    SAMIA SAFI SANA

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын

    KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mimiraia2531
    @mimiraia25312 ай бұрын

    Watu WABAYA sana, WABAYA sana, WABAYA sana. Kazi za Magufuli, eti ni marufuku kumtaja. Watu WABAYA sana. Magufuli alipingwa dunia nzima, akaamua kujenga bwawa hili. MIOYO yao inatamani hata lisiitwe MWALIMU NYERERE. TUMEKUWA MACHAWA SANA. INAMAANA MWANZILISHI WA HUU MRADI, JOHN POMBE MAGUFULI UNGEMSHINDA???, eti miaka miwili tu, ujenzi umetoka 32% hadi 95%. Toka April 2021 hadi leo ni MIAKA miwili tu?? Si Ni miaka mitatu na zaidi.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25542 ай бұрын

    Safi sana Samia na Magufuli

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna8122 ай бұрын

    Magufuli alikuwa mtu special! Alithubutu katika mambo mengi! Hakuamini katika kushindwa! Yaliyoonekana kushindikana, yeye aliyaona simple. Bwawa na makao makuu Dodoma ni mifano halisi

  • @amanfanuel623
    @amanfanuel6232 ай бұрын

    Kama umeme umezidi mpaka wanzima mashine, nafikiri niwakati sasa umeme ushuke bei

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    2 ай бұрын

    Kweli kabisa Kama Umeme unazalishwa mwingi basi waruhusu matumizi ya Umeme yawe makubwa kwa kupunguza Bei ya Umeme kwa Watumiaji.

  • @davidanselmo4041

    @davidanselmo4041

    2 ай бұрын

    Tuuze na mungine nje ya nchi

  • @biwalindi
    @biwalindi2 ай бұрын

    JPM rest in power the best mnataka hamtaki ❤❤❤❤❤❤❤

  • @andrewsadock4468
    @andrewsadock44682 ай бұрын

    Fresh from school

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s2 ай бұрын

    Mama kazi unafanya hakika

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын

    waswahili wanasema tenda wema uwende zako so mzee magu ametenda wema kwa watanzania

  • @IddRashidi
    @IddRashidi2 ай бұрын

    Mngemaliza mgao wa umeme ndani ya nchi Kisha ndio muuze nje ya nchi

  • @evelina9621
    @evelina96212 ай бұрын

    Ni.kweli

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya10332 ай бұрын

    Umeme wa uhakika upo wapi sasa kila siku mnatuonyesha picha tu watanzania tunataka umeme

  • @Cheffhood
    @Cheffhood2 ай бұрын

    hapo maji yanapo tokea panaitaji reinforcement maji ni kitu hatare sana

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta25742 ай бұрын

    Alama ya aliejitoa sadaka kwa was tanzania

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574Ай бұрын

    Uyumwamba angekaa miaka kumi magufuli tungaeyaona yasio onekana

  • @JIWE-G-UNIT
    @JIWE-G-UNIT2 ай бұрын

    Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p m na saluti kwa bimkubwa ssh

  • @JIWE-G-UNIT

    @JIWE-G-UNIT

    2 ай бұрын

    Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p . Jpm na saluti kwa bimkubwa ssh

  • @frankmahenge5943

    @frankmahenge5943

    2 ай бұрын

    J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda

  • @frankmahenge5943

    @frankmahenge5943

    2 ай бұрын

    J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    2 ай бұрын

    @@frankmahenge5943 mmhh! Muwe munasema yenye ukweli

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    2 ай бұрын

    Kuna wakuu wa mikoa , mawaziri, wakuu wa wilaya , wabunge. Hao wote wanafanya nini?​@@frankmahenge5943

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa91312 ай бұрын

    Wanafiki wakubwa nyie kwahiyo madhara yawatu kuathirika namaji hayo kwakukosa miundombinu Bora mbona hamsemi .nakwann mmekua mkisifia mama bila kusifia jembe letu pendwa

Келесі