Hiki kitabu Hakijibiki | Radd No 1 | Sheikh Salim Barahiyan

Migongano baina ya Majadida wenyewe kwa wenyewe kuhusu kujibiwa kwa kitabu hiki. Jadida Mafuta anadai kuwa ameshakijibu lakini Jadida Mbwana Abdi anahisi badio hakijajibiwa ipasavyo na kwamba kinahitaji mwezi mzima kujibiwa

Пікірлер: 16

  • @subulus_salaam2023
    @subulus_salaam2023 Жыл бұрын

    Kassim mafuta Allah amuhifadh tulimuelewa sana ewe barahiyaan

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Жыл бұрын

    Semina ya wiki moja ni Muhimu sana Shekhe Abuu Haulah fanya utuekee tupate Faida zaidi maana AlhamduliAllah tumefahamu kama yaliyomo kwenye kitabu ni tofauti nawanayoyasema wanchuoni.

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 Жыл бұрын

    Maashaallah shekh barahiyan umetupa mwangaza

  • @shebbygangster9241
    @shebbygangster9241 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Жыл бұрын

    KINAITWA KIJARIDA CHA UDAKU...!!

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Жыл бұрын

    KIMEJAA MATUSI ZIDI YA WANACHUONI WA AHLUL SUNNAH

  • @ahmedrageahmedrage9134
    @ahmedrageahmedrage9134 Жыл бұрын

    We umepotea

  • @SheikhSalimBarahiyan
    @SheikhSalimBarahiyan7 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hG2Fr9elacW1oqw.htmlsi=e5ddXJ2a4zCbSNen

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Жыл бұрын

    Ndendebwe za majadidah izo

  • @shebbygangster9241
    @shebbygangster9241 Жыл бұрын

    Watu Kama Hao Ni Wapuuz Tu Allah Atawalipa Yanayostahiki

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Жыл бұрын

    Tatzo la Qassim na wenzake n JAZBA Na PANIC Ninyi n wasomi umma unawtegemea Kaeni chin mueeke usawa lkn njıa hııı mnaonekana 000

  • @LumolaSteven

    @LumolaSteven

    Жыл бұрын

    Pole sana kwa huo Umma unaowategemea hao kina Mafuta na Barahiyan kwamba ni wanawachuoni eti mtu muislam awategemee kuwafata bimaana atafika salama mbele za Allah. Acha mchezo wewe bhana hao MaSheikh wameshajitoa katika Dini muda mrefu. Hapana shaka kwamba njia yao ya Daawa sio njia ya mtume wala maswahaba. A

  • @akbarmaulid9624
    @akbarmaulid9624 Жыл бұрын

    Hivi nyie mlisoma dini ili mje kutukanana mitandaoni kila siku . Acheni kutukanana fundisheni dini Allah anawaona muogope siku mtayokutana nae

  • @jumanneissa7118
    @jumanneissa7118 Жыл бұрын

    Zee liongo hili duu kamahulijui bc utaamini maneno yk ni barahiya ni Dajar wa kibinadamu kutoka tanga

  • @salafnungwi5723
    @salafnungwi5723 Жыл бұрын

    Unazunguruka sana! Sheikh Qassim katoa ak-waal za wanachuon juu y kukanusha na kukataa neno Jadida! Kakuelezea ww namn ulivyo na muamala wako! Kakuuliz masuala Jee Yale yalosemwa khs million mia 2 unayakanush kwa hoja zop? Jee masuala utatupatia majib yk ln

  • @harithhemed9920

    @harithhemed9920

    Жыл бұрын

    lete hoja za kielimu kuhusu swala la milion mia mbili shekh kassim amesema yule mzee yupo tayar mkutane mlishane viapo