Hiki kitabu Hakijibiki | Radd No 1 | Sheikh Salim Barahiyan
Migongano baina ya Majadida wenyewe kwa wenyewe kuhusu kujibiwa kwa kitabu hiki. Jadida Mafuta anadai kuwa ameshakijibu lakini Jadida Mbwana Abdi anahisi badio hakijajibiwa ipasavyo na kwamba kinahitaji mwezi mzima kujibiwa
Пікірлер: 16
Kassim mafuta Allah amuhifadh tulimuelewa sana ewe barahiyaan
Semina ya wiki moja ni Muhimu sana Shekhe Abuu Haulah fanya utuekee tupate Faida zaidi maana AlhamduliAllah tumefahamu kama yaliyomo kwenye kitabu ni tofauti nawanayoyasema wanchuoni.
Maashaallah shekh barahiyan umetupa mwangaza
MashaAllah
KINAITWA KIJARIDA CHA UDAKU...!!
KIMEJAA MATUSI ZIDI YA WANACHUONI WA AHLUL SUNNAH
We umepotea
kzread.info/dash/bejne/hG2Fr9elacW1oqw.htmlsi=e5ddXJ2a4zCbSNen
Ndendebwe za majadidah izo
Watu Kama Hao Ni Wapuuz Tu Allah Atawalipa Yanayostahiki
Tatzo la Qassim na wenzake n JAZBA Na PANIC Ninyi n wasomi umma unawtegemea Kaeni chin mueeke usawa lkn njıa hııı mnaonekana 000
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Pole sana kwa huo Umma unaowategemea hao kina Mafuta na Barahiyan kwamba ni wanawachuoni eti mtu muislam awategemee kuwafata bimaana atafika salama mbele za Allah. Acha mchezo wewe bhana hao MaSheikh wameshajitoa katika Dini muda mrefu. Hapana shaka kwamba njia yao ya Daawa sio njia ya mtume wala maswahaba. A
Hivi nyie mlisoma dini ili mje kutukanana mitandaoni kila siku . Acheni kutukanana fundisheni dini Allah anawaona muogope siku mtayokutana nae
Zee liongo hili duu kamahulijui bc utaamini maneno yk ni barahiya ni Dajar wa kibinadamu kutoka tanga
Unazunguruka sana! Sheikh Qassim katoa ak-waal za wanachuon juu y kukanusha na kukataa neno Jadida! Kakuelezea ww namn ulivyo na muamala wako! Kakuuliz masuala Jee Yale yalosemwa khs million mia 2 unayakanush kwa hoja zop? Jee masuala utatupatia majib yk ln
@harithhemed9920
Жыл бұрын
lete hoja za kielimu kuhusu swala la milion mia mbili shekh kassim amesema yule mzee yupo tayar mkutane mlishane viapo