Sheikh Salim Barahiyan

Sheikh Salim Barahiyan

Darsa, Mihadhara na Kalima mbali mbali za Sheikh Salim Barahiyan

Пікірлер

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9eКүн бұрын

    Ww.baluani.unavuta.shisha

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9eКүн бұрын

    Ww.namadevu.kama.mbuzi..na.mjinga.mwezio.mtoto.wa.bachw.hajasomahata

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9eКүн бұрын

    Ww.pepo.huna.mwehu.mkubwa.ww

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9eКүн бұрын

    Uyu.shehena.nae.hanaelimu.hatakidogo.

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 күн бұрын

    ,twakushtakia kwa Allah kuwadhulum yatima WA said janjira insha'Allah, insha'Allah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 күн бұрын

    ,hasb

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 күн бұрын

    ,taasisi ya vijana mbona yaongozwa na wazee Allah karim taasisi ya kudhulumu yatima

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i5 күн бұрын

    Hehehe kumbe ala ndiohivyo hehe

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33155 күн бұрын

    ,sema inafa kudhulumu Kula haki za mayatima na wajane na haki za waislam

  • @SheikhSalimBarahiyan
    @SheikhSalimBarahiyan5 күн бұрын

    @@aminaosman3315 LAANA ya Allah iwashukie WAONGO waliokula Mali za Waislam kwa Madai kwamba wao ni Wajane na Wana Mayatima .

  • @ahmadbawazir8639
    @ahmadbawazir86396 күн бұрын

    Allah ibarik fiyk

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33157 күн бұрын

    ,mbona huzungumzi madam ya dhulma hats siku moja

  • @aminaosman3315
    @aminaosman331511 күн бұрын

    ,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman331514 күн бұрын

    ,Hina elimu elimu unayofundisha lambda uwafundishe elimu yako ya zulma ndio fani yako wewe Kula haki za yatima na wajane

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498Ай бұрын

    Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498Ай бұрын

    Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa42692 ай бұрын

    shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k2 ай бұрын

    Shukran sana sheikh wetu

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely25582 ай бұрын

    Kumbe usenge uliuanza kitambo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 ай бұрын

    kassim kabla ya kuanzisha taasisi yake ya kusaka tonge,alikuwa atafuta fatawa kutoka kwa SHEIKH YAHYA BIN ALLY ALHAJUURY,lakini baada ya kuazisha taasisi yake alaanza kumtukana sheikh YAHYA na KUMZULIA kila aina ya UWONGO!!

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Wakuombe samahani kabla hujafa vinginevyo jambo la kukuzululia uwongo kwa chuki zao allah atoridhia toba ya mtu mwenye kumdhulumu mwenzie pasi na kumuomba samahani kwani mwenyewe lakini vvinginevyo wakaletaa kkibri hkiwasaidia na nivazi la allah, na allah ataulipa shekhe wetu, umefanya jihadi ya kueneza sunna tz miongoni mwa walokuwa mwa walokupinga mafuta mwenyew hapo tamta,ukimuongoza akaja kwenye sunna kupitia ww leo anakulushia mawe kwwa maslah zake binafsi, mstahimili allah ndo mitihani ya dawa hata mtume yalimkuta hayo akizuliwa uwongo lengo kumchafua ww muombe duwa allah muachie yey kazi anaona juhudi zako ulizofanya kueneza sunna misuko suko mingi umepata allah atakulipa na akuingize katika pepo ya firdaus na mtume ndugu zetu hawa majadida shetwani amewaghuli sana wakatupa mipaka so ww tuu, mashekhe wengi na wakubwa katika sunna hawjasalimika na hawa watu.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Allah atakulipa shekhe wetu, umepambana xana tz kueneza sunna na hawa madhalimu mafuta na wenziwe allah anawaona na wasipo tubia allah ndo shahidi na dhulma na kejeli wanazokufanyia allah atawajibu, wanacheza na allah hawa kila nukta mtu ataulizwa na wakuombe razi kabla hujafa arafu warudi kwa allah lakini kwakuwa wana kibri allah atawanyosha, mafuta alikuwa mpiga maulid tamta hajui sunna shekhe leo umemtoa tongo anakupiga mawe kwa maslahi za kidunia tuu, mstahimili allah yalimkuta hata mtume aya

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Jadida ndo shida zao hapo waongo xana nahuyo mafuta alipinga taasis na yey leo kaanzisha taasis

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Twahiby shekhe vipi kuskiliza mawaiza ya hao majadida shkhe inafaa mana mimi naona mambo mengi tunaingiliana nao vip jadida akiwa anamtandika sufi ahlu bidaa inafaa nisikilize raddi zake kwa makhurafi?? Naomba nijibu

  • @salmafaraj6544
    @salmafaraj65442 ай бұрын

    Nikweli wallahi sheikh kipozeo kabadilika alkua anamawaidha mazuri sana lkn kwasasa mmmhh sijui kapatwa na nn Allah atuongoze sote yaarab

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын

    Maulidi yeshakufa na bidaa yake, imebaki watu wachaache sana Insha Allah yafe kabisa

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33152 ай бұрын

    ,utawalipa akhera zulma uliyowanyia marhum said na ukaapa na kushika mwezi Ramadhan I kuwa hawana hiyo husamehewi mpaka siku giyama insha'Allah familia mbona huwalipi na ukaapa na kushika msaha

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын

    Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,mche mola wako wape haki yao familia marhum said janjira ni mayatima na mjane na bibi yao akhera mna kazi kubwa wewe wote ulishirikiana nao allah atawahukumu hapa duniani na kesho akhera nshaallah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,je hukumpeleka mjane WA said janjira mahakamani ukamshtaki zulma kabisa na Allah NI Shahid ukashika msahafu kuapa mwezi WA Ramadhan ukawadhulumu yatima na mama yao Bibi yao insha'Allah haki itasimama

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k3 ай бұрын

    Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa

  • @abeidmbano3941
    @abeidmbano39413 ай бұрын

    Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,

  • @HashimBilemile
    @HashimBilemile3 ай бұрын

    Answer huyo hakuna kitu

  • @HashimBilemile
    @HashimBilemile3 ай бұрын

    Mzee huyu anawapoteza watu kwanza aya anaziharibu nahw hajui kabisa

  • @wankyosmarwa3574
    @wankyosmarwa35743 ай бұрын

    Nimeifatilia majadala huu na kisha nikaangalia video yote ya SHEIK Hillal ya Tarehe 15 oct 2022 Hedaru Kilimanjaro,sijaona hizo shituma ulizozitoa kwa Sheikh Shaweji,kama watu kucheka wanxheka wenyewe kwa mahaba ya kumpenda Sheik wao maana watu walicheka hata waliposikia jina lako tuu bimaana wanakufaham ndio maana wakacheka kama kweli wewe ulikuwa unamdharau SHEIKH AYUBU ni shida zako,pili je wewe na wati wako mnaomba dua ya pamoja?na je mnanyayua mikono kuombadua ya pamoja,kama mnavisa vyenu ni nyinyi na mtafutane mumalize tofauti zenu kwa ajili ya Allah sio hivi,ila mimi nilitaka kusikia kwako kuhusu shutuma zako za wizi wa kuchinjwa kichinjo kimoja na ukabadili nguo mara tatu ni kweli?hayo mengine hayana umuhimu Elimu zenu mlizopewa na Allah wafundisheni Umma sio kugombanisha Umman,acha hayo mambo maana unafujo sana ww kila Sheikh anakasoro je ww Sheikh umekamilika hadi Muft Zuber unapingana naye sasa hiyo elimu uliipata kwa mtume au kwa masheikh,tuweni na adabu kwa Masheikh jamani

  • @user-nr5vn8ou8d
    @user-nr5vn8ou8d4 ай бұрын

    Mashekhe wacheni kudhalilishana mtandaoni hii sio mafundusho ya bwana mtume Muhammad!

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93884 ай бұрын

    Haijuzu kuswali tarawej ktk jamaa

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93884 ай бұрын

    Hiyo swala ilizushwa na omar

  • @SheikhSalimBarahiyan
    @SheikhSalimBarahiyan4 ай бұрын

    Kauli za Mashia hazizingatiwi .

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi93884 ай бұрын

    Sisi shia hatuswali taraweh

  • @KassimKassim-wv8db
    @KassimKassim-wv8db4 ай бұрын

    Napata huzuni sana nikiona masheikh tunaowaamini kutumia media kujibu vitu ambavyo si kuendesha dini yetu mbele.

  • @MasaiIbrahim
    @MasaiIbrahim4 ай бұрын

    acha kutukana mche allah wew

  • @mkude
    @mkude4 ай бұрын

    Maashallah

  • @111dudi
    @111dudi4 ай бұрын

    Ibadhi tunasali rakaa 11. Salat ya sunna si ya kurefushwa ila kama unaisali peke yako. Aslan taraweh ya jamaa misikitini si katika sunna za mtume s.a.w.

  • @Official_ulipo_tupo
    @Official_ulipo_tupo4 ай бұрын

    Haya baba

  • @user-zz7ox6iq9m
    @user-zz7ox6iq9m4 ай бұрын

    Katika siku nimekuelewa ni leo umepata kuelezea vizuri mno siku ingine unakuwaga sijuhi unawazaga nini😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf4 ай бұрын

    Hio maana ya khurafi ni nini? Mpaka waislamu waitane majina kama hayo

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu77714 ай бұрын

    Naam, Sheikh Salim barayihan kamjibu vizuri sana Wala si kwa ubaya, allah awaongoze masheikh wetu.amiiyn

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi82064 ай бұрын

    Ndevu utafikiri umepaka mavi ya ngamia. Mwarabu gani wewe mchonganishi na mwizi, huogopi moto wa Jahanamu. Rudi kwenu Yemen badala kung'ang'ania nchi ya watu.

  • @AbdullahiIbrahim-fn8ol
    @AbdullahiIbrahim-fn8ol5 ай бұрын

    HAKUNA KUSEMA WEMA WALIOPITA NI JADIDA

  • @AbdullahiIbrahim-fn8ol
    @AbdullahiIbrahim-fn8ol5 ай бұрын

    HAKUNA SALAFIYA JADIDA