shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
@user-ug8hc4yh5k2 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@salumrashidabdullashmely25582 ай бұрын
Kumbe usenge uliuanza kitambo
@hamzakimaro37642 ай бұрын
kassim kabla ya kuanzisha taasisi yake ya kusaka tonge,alikuwa atafuta fatawa kutoka kwa SHEIKH YAHYA BIN ALLY ALHAJUURY,lakini baada ya kuazisha taasisi yake alaanza kumtukana sheikh YAHYA na KUMZULIA kila aina ya UWONGO!!
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Wakuombe samahani kabla hujafa vinginevyo jambo la kukuzululia uwongo kwa chuki zao allah atoridhia toba ya mtu mwenye kumdhulumu mwenzie pasi na kumuomba samahani kwani mwenyewe lakini vvinginevyo wakaletaa kkibri hkiwasaidia na nivazi la allah, na allah ataulipa shekhe wetu, umefanya jihadi ya kueneza sunna tz miongoni mwa walokuwa mwa walokupinga mafuta mwenyew hapo tamta,ukimuongoza akaja kwenye sunna kupitia ww leo anakulushia mawe kwwa maslah zake binafsi, mstahimili allah ndo mitihani ya dawa hata mtume yalimkuta hayo akizuliwa uwongo lengo kumchafua ww muombe duwa allah muachie yey kazi anaona juhudi zako ulizofanya kueneza sunna misuko suko mingi umepata allah atakulipa na akuingize katika pepo ya firdaus na mtume ndugu zetu hawa majadida shetwani amewaghuli sana wakatupa mipaka so ww tuu, mashekhe wengi na wakubwa katika sunna hawjasalimika na hawa watu.
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Allah atakulipa shekhe wetu, umepambana xana tz kueneza sunna na hawa madhalimu mafuta na wenziwe allah anawaona na wasipo tubia allah ndo shahidi na dhulma na kejeli wanazokufanyia allah atawajibu, wanacheza na allah hawa kila nukta mtu ataulizwa na wakuombe razi kabla hujafa arafu warudi kwa allah lakini kwakuwa wana kibri allah atawanyosha, mafuta alikuwa mpiga maulid tamta hajui sunna shekhe leo umemtoa tongo anakupiga mawe kwa maslahi za kidunia tuu, mstahimili allah yalimkuta hata mtume aya
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Jadida ndo shida zao hapo waongo xana nahuyo mafuta alipinga taasis na yey leo kaanzisha taasis
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Twahiby shekhe vipi kuskiliza mawaiza ya hao majadida shkhe inafaa mana mimi naona mambo mengi tunaingiliana nao vip jadida akiwa anamtandika sufi ahlu bidaa inafaa nisikilize raddi zake kwa makhurafi?? Naomba nijibu
@salmafaraj65442 ай бұрын
Nikweli wallahi sheikh kipozeo kabadilika alkua anamawaidha mazuri sana lkn kwasasa mmmhh sijui kapatwa na nn Allah atuongoze sote yaarab
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Maulidi yeshakufa na bidaa yake, imebaki watu wachaache sana Insha Allah yafe kabisa
@aminaosman33152 ай бұрын
,utawalipa akhera zulma uliyowanyia marhum said na ukaapa na kushika mwezi Ramadhan I kuwa hawana hiyo husamehewi mpaka siku giyama insha'Allah familia mbona huwalipi na ukaapa na kushika msaha
@JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
@aminaosman33153 ай бұрын
,mche mola wako wape haki yao familia marhum said janjira ni mayatima na mjane na bibi yao akhera mna kazi kubwa wewe wote ulishirikiana nao allah atawahukumu hapa duniani na kesho akhera nshaallah
@aminaosman33153 ай бұрын
,je hukumpeleka mjane WA said janjira mahakamani ukamshtaki zulma kabisa na Allah NI Shahid ukashika msahafu kuapa mwezi WA Ramadhan ukawadhulumu yatima na mama yao Bibi yao insha'Allah haki itasimama
@user-ug8hc4yh5k3 ай бұрын
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
@abeidmbano39413 ай бұрын
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
@aminaosman33153 ай бұрын
,
@HashimBilemile3 ай бұрын
Answer huyo hakuna kitu
@HashimBilemile3 ай бұрын
Mzee huyu anawapoteza watu kwanza aya anaziharibu nahw hajui kabisa
@wankyosmarwa35743 ай бұрын
Nimeifatilia majadala huu na kisha nikaangalia video yote ya SHEIK Hillal ya Tarehe 15 oct 2022 Hedaru Kilimanjaro,sijaona hizo shituma ulizozitoa kwa Sheikh Shaweji,kama watu kucheka wanxheka wenyewe kwa mahaba ya kumpenda Sheik wao maana watu walicheka hata waliposikia jina lako tuu bimaana wanakufaham ndio maana wakacheka kama kweli wewe ulikuwa unamdharau SHEIKH AYUBU ni shida zako,pili je wewe na wati wako mnaomba dua ya pamoja?na je mnanyayua mikono kuombadua ya pamoja,kama mnavisa vyenu ni nyinyi na mtafutane mumalize tofauti zenu kwa ajili ya Allah sio hivi,ila mimi nilitaka kusikia kwako kuhusu shutuma zako za wizi wa kuchinjwa kichinjo kimoja na ukabadili nguo mara tatu ni kweli?hayo mengine hayana umuhimu Elimu zenu mlizopewa na Allah wafundisheni Umma sio kugombanisha Umman,acha hayo mambo maana unafujo sana ww kila Sheikh anakasoro je ww Sheikh umekamilika hadi Muft Zuber unapingana naye sasa hiyo elimu uliipata kwa mtume au kwa masheikh,tuweni na adabu kwa Masheikh jamani
@user-nr5vn8ou8d4 ай бұрын
Mashekhe wacheni kudhalilishana mtandaoni hii sio mafundusho ya bwana mtume Muhammad!
@hemedsaidi93884 ай бұрын
Haijuzu kuswali tarawej ktk jamaa
@hemedsaidi93884 ай бұрын
Hiyo swala ilizushwa na omar
@SheikhSalimBarahiyan4 ай бұрын
Kauli za Mashia hazizingatiwi .
@hemedsaidi93884 ай бұрын
Sisi shia hatuswali taraweh
@KassimKassim-wv8db4 ай бұрын
Napata huzuni sana nikiona masheikh tunaowaamini kutumia media kujibu vitu ambavyo si kuendesha dini yetu mbele.
@MasaiIbrahim4 ай бұрын
acha kutukana mche allah wew
@mkude4 ай бұрын
Maashallah
@111dudi4 ай бұрын
Ibadhi tunasali rakaa 11. Salat ya sunna si ya kurefushwa ila kama unaisali peke yako. Aslan taraweh ya jamaa misikitini si katika sunna za mtume s.a.w.
@Official_ulipo_tupo4 ай бұрын
Haya baba
@user-zz7ox6iq9m4 ай бұрын
Katika siku nimekuelewa ni leo umepata kuelezea vizuri mno siku ingine unakuwaga sijuhi unawazaga nini😅😅😅😅😅😅😅😅
@SWABRASWALEH-nc2lf4 ай бұрын
Hio maana ya khurafi ni nini? Mpaka waislamu waitane majina kama hayo
@azizimuhibu77714 ай бұрын
Naam, Sheikh Salim barayihan kamjibu vizuri sana Wala si kwa ubaya, allah awaongoze masheikh wetu.amiiyn
@salehaljadidi82064 ай бұрын
Ndevu utafikiri umepaka mavi ya ngamia. Mwarabu gani wewe mchonganishi na mwizi, huogopi moto wa Jahanamu. Rudi kwenu Yemen badala kung'ang'ania nchi ya watu.
Пікірлер
Ww.baluani.unavuta.shisha
Ww.namadevu.kama.mbuzi..na.mjinga.mwezio.mtoto.wa.bachw.hajasomahata
Ww.pepo.huna.mwehu.mkubwa.ww
Uyu.shehena.nae.hanaelimu.hatakidogo.
,twakushtakia kwa Allah kuwadhulum yatima WA said janjira insha'Allah, insha'Allah
,hasb
,taasisi ya vijana mbona yaongozwa na wazee Allah karim taasisi ya kudhulumu yatima
Hehehe kumbe ala ndiohivyo hehe
,sema inafa kudhulumu Kula haki za mayatima na wajane na haki za waislam
@@aminaosman3315 LAANA ya Allah iwashukie WAONGO waliokula Mali za Waislam kwa Madai kwamba wao ni Wajane na Wana Mayatima .
Allah ibarik fiyk
,mbona huzungumzi madam ya dhulma hats siku moja
,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah
,Hina elimu elimu unayofundisha lambda uwafundishe elimu yako ya zulma ndio fani yako wewe Kula haki za yatima na wajane
,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah
Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana
Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana
shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
Shukran sana sheikh wetu
Kumbe usenge uliuanza kitambo
kassim kabla ya kuanzisha taasisi yake ya kusaka tonge,alikuwa atafuta fatawa kutoka kwa SHEIKH YAHYA BIN ALLY ALHAJUURY,lakini baada ya kuazisha taasisi yake alaanza kumtukana sheikh YAHYA na KUMZULIA kila aina ya UWONGO!!
Wakuombe samahani kabla hujafa vinginevyo jambo la kukuzululia uwongo kwa chuki zao allah atoridhia toba ya mtu mwenye kumdhulumu mwenzie pasi na kumuomba samahani kwani mwenyewe lakini vvinginevyo wakaletaa kkibri hkiwasaidia na nivazi la allah, na allah ataulipa shekhe wetu, umefanya jihadi ya kueneza sunna tz miongoni mwa walokuwa mwa walokupinga mafuta mwenyew hapo tamta,ukimuongoza akaja kwenye sunna kupitia ww leo anakulushia mawe kwwa maslah zake binafsi, mstahimili allah ndo mitihani ya dawa hata mtume yalimkuta hayo akizuliwa uwongo lengo kumchafua ww muombe duwa allah muachie yey kazi anaona juhudi zako ulizofanya kueneza sunna misuko suko mingi umepata allah atakulipa na akuingize katika pepo ya firdaus na mtume ndugu zetu hawa majadida shetwani amewaghuli sana wakatupa mipaka so ww tuu, mashekhe wengi na wakubwa katika sunna hawjasalimika na hawa watu.
Allah atakulipa shekhe wetu, umepambana xana tz kueneza sunna na hawa madhalimu mafuta na wenziwe allah anawaona na wasipo tubia allah ndo shahidi na dhulma na kejeli wanazokufanyia allah atawajibu, wanacheza na allah hawa kila nukta mtu ataulizwa na wakuombe razi kabla hujafa arafu warudi kwa allah lakini kwakuwa wana kibri allah atawanyosha, mafuta alikuwa mpiga maulid tamta hajui sunna shekhe leo umemtoa tongo anakupiga mawe kwa maslahi za kidunia tuu, mstahimili allah yalimkuta hata mtume aya
Jadida ndo shida zao hapo waongo xana nahuyo mafuta alipinga taasis na yey leo kaanzisha taasis
Twahiby shekhe vipi kuskiliza mawaiza ya hao majadida shkhe inafaa mana mimi naona mambo mengi tunaingiliana nao vip jadida akiwa anamtandika sufi ahlu bidaa inafaa nisikilize raddi zake kwa makhurafi?? Naomba nijibu
Nikweli wallahi sheikh kipozeo kabadilika alkua anamawaidha mazuri sana lkn kwasasa mmmhh sijui kapatwa na nn Allah atuongoze sote yaarab
Maulidi yeshakufa na bidaa yake, imebaki watu wachaache sana Insha Allah yafe kabisa
,utawalipa akhera zulma uliyowanyia marhum said na ukaapa na kushika mwezi Ramadhan I kuwa hawana hiyo husamehewi mpaka siku giyama insha'Allah familia mbona huwalipi na ukaapa na kushika msaha
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
,mche mola wako wape haki yao familia marhum said janjira ni mayatima na mjane na bibi yao akhera mna kazi kubwa wewe wote ulishirikiana nao allah atawahukumu hapa duniani na kesho akhera nshaallah
,je hukumpeleka mjane WA said janjira mahakamani ukamshtaki zulma kabisa na Allah NI Shahid ukashika msahafu kuapa mwezi WA Ramadhan ukawadhulumu yatima na mama yao Bibi yao insha'Allah haki itasimama
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
,
Answer huyo hakuna kitu
Mzee huyu anawapoteza watu kwanza aya anaziharibu nahw hajui kabisa
Nimeifatilia majadala huu na kisha nikaangalia video yote ya SHEIK Hillal ya Tarehe 15 oct 2022 Hedaru Kilimanjaro,sijaona hizo shituma ulizozitoa kwa Sheikh Shaweji,kama watu kucheka wanxheka wenyewe kwa mahaba ya kumpenda Sheik wao maana watu walicheka hata waliposikia jina lako tuu bimaana wanakufaham ndio maana wakacheka kama kweli wewe ulikuwa unamdharau SHEIKH AYUBU ni shida zako,pili je wewe na wati wako mnaomba dua ya pamoja?na je mnanyayua mikono kuombadua ya pamoja,kama mnavisa vyenu ni nyinyi na mtafutane mumalize tofauti zenu kwa ajili ya Allah sio hivi,ila mimi nilitaka kusikia kwako kuhusu shutuma zako za wizi wa kuchinjwa kichinjo kimoja na ukabadili nguo mara tatu ni kweli?hayo mengine hayana umuhimu Elimu zenu mlizopewa na Allah wafundisheni Umma sio kugombanisha Umman,acha hayo mambo maana unafujo sana ww kila Sheikh anakasoro je ww Sheikh umekamilika hadi Muft Zuber unapingana naye sasa hiyo elimu uliipata kwa mtume au kwa masheikh,tuweni na adabu kwa Masheikh jamani
Mashekhe wacheni kudhalilishana mtandaoni hii sio mafundusho ya bwana mtume Muhammad!
Haijuzu kuswali tarawej ktk jamaa
Hiyo swala ilizushwa na omar
Kauli za Mashia hazizingatiwi .
Sisi shia hatuswali taraweh
Napata huzuni sana nikiona masheikh tunaowaamini kutumia media kujibu vitu ambavyo si kuendesha dini yetu mbele.
acha kutukana mche allah wew
Maashallah
Ibadhi tunasali rakaa 11. Salat ya sunna si ya kurefushwa ila kama unaisali peke yako. Aslan taraweh ya jamaa misikitini si katika sunna za mtume s.a.w.
Haya baba
Katika siku nimekuelewa ni leo umepata kuelezea vizuri mno siku ingine unakuwaga sijuhi unawazaga nini😅😅😅😅😅😅😅😅
Hio maana ya khurafi ni nini? Mpaka waislamu waitane majina kama hayo
Naam, Sheikh Salim barayihan kamjibu vizuri sana Wala si kwa ubaya, allah awaongoze masheikh wetu.amiiyn
Ndevu utafikiri umepaka mavi ya ngamia. Mwarabu gani wewe mchonganishi na mwizi, huogopi moto wa Jahanamu. Rudi kwenu Yemen badala kung'ang'ania nchi ya watu.
HAKUNA KUSEMA WEMA WALIOPITA NI JADIDA
HAKUNA SALAFIYA JADIDA