HAUTAAIBIKA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Kuna wakati shetani anakupitisha kwenye hali ngumu sana,na lengo lake kubwa sio wewe bali mlengwa ni Yesu unayemtumikia.Anataka ufike mahali ambapo utaona kuwa kumtumikia Mungu hakuna faida.Neno la Mungu linasema shetani ni muongo,na tena baba wa huo.
Wakati akitaka akuaibishe,Mungu hukuheshimisha,akitaka ukate tamaa na usione tena njia mbele,Mungu hukuhuisha.Safari ya wokovu tunaiendeleza na kamwe hatutarudi nyuma.
Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando namna ya kuzitambua mbinu za shetani na jinsi ya kutoka katika njia na mitego yake.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Пікірлер: 98
I will not be ashamed in my life....
Unafafanua vizuri neno la Mungu .. Mungu azidi kukuinua mtumishi
Sitaaibika kwa jina la YESU AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mchungaji nakuelewa sana
I shall not be put to shame in Jesus name
Amen nimebalikiwa sana na ili somo.
Amen amen amen
I really love your teachings and sermons always watching from Kenya ,,may God continue blessing you 🙏🙏
Sitaaibika kwa Jina la yesu Amen 🙏
Sitaabika kwa jina la yesu wataabika wao
I love your preaching's. There is so much truth in each and every sermon. I will be forever greatfull.
Ni kweli aise Mtumishi
Sitaaibika katika jina la yesu amen 🙏🙏
Mungu aendelee kukutunza mtumishi.
Am so blessed pastor 🙏. I reside in Kenya 🇰🇪. But I have been following the sermons online. I request for prayer for my husband, my children and my job.I look forward to hearing from God.God bless your ministry.
Mungu Baba unirehemu mimi kudhani hufanyi kitu. Asante Yesu Kristo ungali ukiandika nipe subira na Roho Mtakatifu anisaidie nitulie tu huku washitaki wangu wakiaibika kiwango cha mafarisayo na waandishi. Mimi sitataharika wala kufadhaika wala kuaibika. Asante Pastor Kyando na wote watendao kazi nawe mabarikiwe na mtumiziwe haja ya mioyo yenu.
I love the translater she must have schooled in Kenya. Soft English and easy to understand with no jargons. Congratulations
Mungu akubaliki mtumishi
Sitaaibika kwa jina la yesu
Watching from Arusha Am so blessed MUNGU AZIDI KUKUTUMIA MTUMISHI WAKE
Hakika we Baba nakupenda mpaka sijielew nataman nikuone mafundisho yako yananiingia Sana
Amen
YESU KRISTO ni Baba na rafiki mzuri sana nakupenda sana Bwana wangu, , Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA 🙏
Amina. Sitaaibika mimi na familia yangu kwa jina la Yesu.
Sitaibika maishani mwangu na familia katika jina la yesu Christ.
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Hatutoayibika kwa Jina la Yesu Christ Amen Amen 🙏🙌👏❤
Mungu naomba neema ya kusamehe na kuachilia
sitaaibika katika jina la yesu... Amen
Nakuelewa sana mtumishi hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu kiwango changu cha imani kinakua
Mungu najua mm c mkamilifu unisamehe dhambi zangu unifunike n damu yako kwa ajili ya Neema yako.barikiwa mtumishi
I will not be ashamed in my life and family in Jesus Christ name.
Ee Bwana uandae meza yangu machoni pa watesi.wangu.
Ameen 🙏 🙏🙏 Asante kwa mafunuo Aya, sitaaibika katika jina la Yesu
Zile aibu mwisho mda huu .SITAAIBIKA KWAJINA LA YESU KRISTO.KUDHARAULIKA MWISHO SAAHII IN JESUS NAME 🙏🏻
Sijui la kusema eh Mungu unirehemu.nijifunze vyema kuwa ni wewe unaandika yote Jambo mgumu kweli lakini utawezesha.
Mungu ni mwaminifu sintaabika kwa jina la Yesu Amen🙏🙏
Ohoooo Yes, halleluyah🙏 Yesu bado anaandika kwa ajili yangu..wakati unakuja sitawaona Tena🙇🙇🙇
@amanishuklani4581
Жыл бұрын
Mambo
Staaibika kwa jina la Yesu
Ahsante sana mchungaji toka nikujue miezi mitatu ulio pita umekua wa msada kwangu
Amen baba.mungu azindi kukuinua ulishe koondoo wako
Yeeeee nimetambua kwanini wananidharau nitasimama na Bwana mpaka mwisho..SITAHAIBIKA
Sitaaibika nimepokea na umekuwa kwangu amin
Nikweli mtumishi wa Mungu🙏🙏🙏 ubarikiwe nikusamehe tu ili yaendelee kuandikwa
Neema ya Mungu ni kubwa 🙏🙏🙏
Ameeen Ameeen Sitaaibika🙏🏽
Baba wa Mbinguni uzidi kunipa neema ya kusamehe na kuachilia.
YESU ANAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Be blessed mtumishi
Sitaabika kwa jina la yesu
Amen mtumishi barikiwa Sana
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu ,hakika ww n mpakwa mafuta
Niko kenya natembelewa na nyoka mwilini nahisi tu...mwili wangu unanona na siku moja kesho nakonda... nimeskiza neno nalia tu sijui chanzo lakini ni mahangaiko sina namna ya kufika tzd
ASANTE kwa somo zuri
Amen mtumishi akika unasema n mimi 😭😭
Amina.Mungu akubariki Mtumishi
Nimebarikiwa sana naomba NEEMA inibebe
Siaibika kwa jina la yesu.Amen
Amen ubarikiwe kwa somo nzuri
I have learned a lot may God bless you man of God
You are good teacher
Aaaamen barikiwa kamanda lindoni
Listening and watching from Kenya Diani beach
Barikiwa sana Mtumishi
Amen🙏 Ubarikiwe Sana Mtumishi ur Gifted 🙌
Amen,sitaabika kamwe
Ameen Naisubiri hiyo siku
Kwa jina la yesu sitahaibikaa
Amen Amen hakika Sintoaibika tena
So powerful
AMINA Sihaibika milele
barikiwa sana baba
watching from Manyonii
Amenii 🖐️
Hata ikitokea tumeaibika hatumpi utukufu shetan kwa kulalamika tuna bali tunamtukuza MUNGU yeye alie tupenda nakutuwazia meme
Good teachings .May God bless you
Amen I am blessed
Amen 🙏🏿
Ameni🙏🙏
Amina
Nimejifunza kudeel na wa kwanza habari yyte mbaya inayonijia natafuta chanzo chake kwanza
🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙏
ahsante Yesu kwa ukombozi wako katika Manisha yangu
Yees
@alexeddie7073
2 жыл бұрын
Ameen
Haleluyah!!!! Amen 🙌🏾 Amen🙌🏾
@shirimaevarista1829
2 жыл бұрын
Thanks rrrrrr57r6rrrrrrr r. Noc. Okkkk kkkkkkk. Kk kk. KkkIkumbarr66rr k8mxkknknkiioxk.
Amen
Sitaaibika kwa jina la yesu
@esterkipesile9274
3 жыл бұрын
Amen kwanzia leo nitamngoja Bwana Yesu aandike 🤐🤐
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
@ronaldabisai5989
2 жыл бұрын
Naamini yesu bado anaandika kwa kidole chake.