Umenikumbusha mbali sana!!! Kumbe Haji ulipotea sana kuwa msemaji! Umetisha una kumbuku sana unafaa kuendeleza uchambuzi!!!
@abuukilanga224911 ай бұрын
Siku mmoja miaka ya nyuma wakati Lunyamila kastaafu yalikuwa yana fanyika mashindano ya kagame cup uwanja wa Taifa ilikuwa lunyamila tumekaa nae jukwaa moja mechi ilikuwa yAnGa vs tusker kuna mtu alikuwa anamwita lunyamila kumsalimia mara kuna mganda mmoja tumekaa naejirani aka nyanyuka akauliza kwa kingereza huyu ni Lunyamila? Tukamwambia ndio akamshangaa akaenda kumkumbatia na kupiga nae picha akasema huyu kwetu ni King (mfalme) huyo ndo Lunyamila Well speaking BuGaTi
@jumaadremane775611 ай бұрын
This man knows what he's talking about. Very professional.
@Qasimarthur-ro5wk
11 ай бұрын
Sikinde mbunga
@dicksonmakota221
11 ай бұрын
Atal xn best
@KhamisSadick
11 ай бұрын
😊😊ppo😊😊
@user-lo9pb1po8l11 ай бұрын
Lunyamila alikuwa moto wa kuotea mbali,manara unajua sana
@sylvestercameo62639 ай бұрын
Jiji la Kampala waliita mtaa mmoja mtaa wa Lunyamila (Lunyamila street) kwa heshiima ya Edibility Lunyamila!
@kazunguclaver25397 ай бұрын
Fainali RTD walichelewa kujiunga baada ya kujiunga tukaambiwa 1-1 mtangazaji Omari Jongo kama sikosei akasema Villa walitangulia kufunga dakika 6 mfungaji Mathias Kawesa dakika ya 10 Said Mwamba Kizota akasawazisha Lunyamila alifunga bao la 2 baada ya kumuacha Nahodha wa Villa Jongoo marehemu Paul Haule beki wa kulia namba 2! 1993 Paul Hasule alikuwa mchezaji Msomi alikuwa na Shahada ya Makelele!
@kazunguclaver25397 ай бұрын
1993 Cecafa leo Kagame Cup Kundi la Yanga ilikuwa Villa Jogoo Yanga Malindi Nafikiri na timu ya Malawi kama sikosei. Hakukuwa na mechi za Robo Fainali kwasababu timu zilikuwa chache. Yanga ilikuwa na ukata wa kutisha ilisafiri kwa Treini ya Kati kutoka Dar mpaka Mwanza! Kabla ya kwenda Kampala ilifika Butiama kumsalimia Marehemu Baba wa Taifa Nyerere. Baada ya kutoka Butiama ikapanda Meli kutoka Mwanza kwenda Kampala. Mechi ya kwanza Yanga ilifungwa na Villa Jogoo mabao 3! Mechi ya mwisho ya kufuzu Nusu Fainali Yanga ilicheza na Malindi ikihitaji ushindi sare ingeaga mashindano!!!
@kazunguclaver25397 ай бұрын
1993 Timu ya Malindi ilikuwa na wachezaji tishio Mfadhili wao Norshad Mohamed alikuwa akishindana na Azim Dewji wa Simba na Abbas Gulamali wa Yanga! Baadhi ya wachezaji wa Malindi ninao wakumbuka. Ally Bushiri GK Juma Bakar Kidishi Amri Aziz Athanas Michael
@mauahills791311 ай бұрын
Dahhhhhh Manara umenirudisha kwenye usiku wa njozi za dhahabu! Pokea Maua Yako Kabisa!
Wachezaji wa zamani walikua wanajua Ila hela zilikua hamna wa Leo hawajui Ila hela wanazo
@kazunguclaver25397 ай бұрын
Tulifungwa bao la peti la kuongoza la Malindi la kosa la Mwakalebela kumwangusha Juma Bakari Kidishi. Wakati tumekata tamaa nakumbula nilikuwa Mwenge nimekosa amani kwa kuaga mashindano mara ghafla Marehemu Said Mwamba Kizota akasawazisha! Baada ya dakika kama 2 Said Mwamba Kizota tena akafunga bao la 2!!!
@edisonkatunzi11 ай бұрын
Manara Huwa nakukubali sana
@abdunnurahmedsilim745611 ай бұрын
EDIBILY JONAS LUNYAMILA KWANGU MIMI NDIYE MCHEZAJI BORA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA SIO TU HAPA TZ BALI HATA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ... UMEONGEA UKWELI BUGATTI
@nassibnassib207811 ай бұрын
Edibily nilimuona nikiwa nina miaka 10 Ccm kirumba... Yanga akicheza na mamelodi... 2/2 goli alizifunga edy.... Jamaa walikua na mtu anaitwa rafael chuku... Hatari
@SaidSaid-ef8md11 ай бұрын
Tunakosea wapi kuwathamini watu wanaojua historia ya mpira wetu kama Haji Manara, yani huyu jamaa ni computer, anaongea kwa fact, anajua historia ya kitu tunachokipenda, serikali c imtumie au ndo mpaka afe na madini yote haya, tuweni serious bwana, Big up Brother,👍
@richardmasinde9694
11 ай бұрын
Huyu mwamba yuko vizuri sana anajua mengi sana
@kazunguclaver25397 ай бұрын
FAINALI YA CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP MWANZA 1993. TIMU B YA TANZANIA KAKAKUONA ILIFUNGWA 1-0 NA UGANDA MFUNGAJI AKIWA NI ISSA SEKATAWA. ALIKUWA MSHAMBULIAJI WA EXPRESS FC ALILETWA KUCHEZA MECHI YA FAINALI TU!
@user-mh5mx1kn8j9 ай бұрын
Mechi na villa ilikua Gori 2 kwa 1na Gori la pili alifunga yeye mwenyewe Ed got la kwanza alifunga kizota nahiyo store ni kwer alirudi kuchezea hedex cup Toka ujeruman na alikua timu moja na okocha ujerumani na kwer aliondoka ghafla ujeruman Kuja tz kuchezea Ile mach
@happyacrestanzania60039 ай бұрын
jamaa kamba sana!
@victoriamaleko9699
8 ай бұрын
Tafuta ukweli wake utujuze,,huyo Lunya alikuwa chuma Cha hatari ndg yangu
@jamilahjamilah415711 ай бұрын
Alikuwa mwamba kipidi hiko alikuwa mahadi huseni machinga acha kabisa hawa watu walikuwa moto wakuotea mbali mayelee akaisome namba
@lottyabsolom728511 ай бұрын
Eddy alikuwa ana mbio anachenga ana ball control skills kwa kweli ulikuwa moto ule ile mechi ya uganda paul asule alinyosha mikono kwa lunya
@josephmandala222511 ай бұрын
Hapana nakumbuka goli alifunga Innocent Haule pale Liberia .
@gaspeldaniel114011 ай бұрын
Uko sahihi El Bugatti
@ruqaiyahrashid423511 ай бұрын
Kaka yangu au mdogo wangu hebu nakuomba kidogo umfananishe na marehemu Nasoro Mashoto na huyo Edi
@MuhungaMasengo-og3vk11 ай бұрын
Ww. Utakuwa mwenye kiti wasoka mchini skadi mwakizega jeshini bulombola mm nilikuwA jeshi mchezaji ilahuruma mikanda yanini
@user-cy5nc9hq6o11 ай бұрын
mm ninefanikiwa kumuona lunyamila alikuja tpc kama c 93 bas 94 wakitokea kujeza na ushirika tpc walifugwa 7 kipindi hicho alikupo costantin kimanda poa yanga
@hamidumpiga628311 ай бұрын
Edi ni gwij
@AbdiIssa-qh3zo11 ай бұрын
Toto la kihuni buggati ndio mchezaji bora Tanzania kutokea
@jamilahjamilah415711 ай бұрын
eti sasa hivi wanamsifu mayele yani enzi hizo yanga wakati ule kulikuwa na watu mohamedi huseni machinga yanga ikuwa bora
@hamidumpiga628311 ай бұрын
Nimemuona ccm kirumba taifa akiwa yanga na malindi pia
@mathiaslyamunda252611 ай бұрын
Mimi sikuwahi kumuona akicheza uwanjani ila niliwahikusikia kwenye matangazo ya radio, tulikuwa tunashani watangazaji Wanatia chumvi kumbe jamaa alikuwa shida kweli. 😀😀😀🔥🔥
@MuhungaMasengo-og3vk11 ай бұрын
Pichu pawasa ndosimba iyo daima mbele nyuma mwiko
@omarymtandi11 ай бұрын
mwenye kukimbia kama edibili lunyamila co tz Tu jamaa alikuwa fundi
@omarymtandi11 ай бұрын
bakali malima jembe ulaya watoto hawajui
@HaidarOmar-tx7cc11 ай бұрын
Alie hampendi manara anaugonjwa wa akili
@nuhu-sanda11 ай бұрын
Wanae jua huwa nafasi Hawa pewi ila ni kufungiwa tu
@omarymtandi11 ай бұрын
nikweli lunya alikuwa winga enzi hizo na kina ken mkapa
@user-mh5mx1kn8j9 ай бұрын
Nikwer kabisa bugat hivyo ni story ya kwer kabisa got alifunga nasibu husen Sasa marehemu lilikua got moja TU dakika ya 16 ya mchezo
Пікірлер: 48
Umenikumbusha mbali sana!!! Kumbe Haji ulipotea sana kuwa msemaji! Umetisha una kumbuku sana unafaa kuendeleza uchambuzi!!!
Siku mmoja miaka ya nyuma wakati Lunyamila kastaafu yalikuwa yana fanyika mashindano ya kagame cup uwanja wa Taifa ilikuwa lunyamila tumekaa nae jukwaa moja mechi ilikuwa yAnGa vs tusker kuna mtu alikuwa anamwita lunyamila kumsalimia mara kuna mganda mmoja tumekaa naejirani aka nyanyuka akauliza kwa kingereza huyu ni Lunyamila? Tukamwambia ndio akamshangaa akaenda kumkumbatia na kupiga nae picha akasema huyu kwetu ni King (mfalme) huyo ndo Lunyamila Well speaking BuGaTi
This man knows what he's talking about. Very professional.
@Qasimarthur-ro5wk
11 ай бұрын
Sikinde mbunga
@dicksonmakota221
11 ай бұрын
Atal xn best
@KhamisSadick
11 ай бұрын
😊😊ppo😊😊
Lunyamila alikuwa moto wa kuotea mbali,manara unajua sana
Jiji la Kampala waliita mtaa mmoja mtaa wa Lunyamila (Lunyamila street) kwa heshiima ya Edibility Lunyamila!
Fainali RTD walichelewa kujiunga baada ya kujiunga tukaambiwa 1-1 mtangazaji Omari Jongo kama sikosei akasema Villa walitangulia kufunga dakika 6 mfungaji Mathias Kawesa dakika ya 10 Said Mwamba Kizota akasawazisha Lunyamila alifunga bao la 2 baada ya kumuacha Nahodha wa Villa Jongoo marehemu Paul Haule beki wa kulia namba 2! 1993 Paul Hasule alikuwa mchezaji Msomi alikuwa na Shahada ya Makelele!
1993 Cecafa leo Kagame Cup Kundi la Yanga ilikuwa Villa Jogoo Yanga Malindi Nafikiri na timu ya Malawi kama sikosei. Hakukuwa na mechi za Robo Fainali kwasababu timu zilikuwa chache. Yanga ilikuwa na ukata wa kutisha ilisafiri kwa Treini ya Kati kutoka Dar mpaka Mwanza! Kabla ya kwenda Kampala ilifika Butiama kumsalimia Marehemu Baba wa Taifa Nyerere. Baada ya kutoka Butiama ikapanda Meli kutoka Mwanza kwenda Kampala. Mechi ya kwanza Yanga ilifungwa na Villa Jogoo mabao 3! Mechi ya mwisho ya kufuzu Nusu Fainali Yanga ilicheza na Malindi ikihitaji ushindi sare ingeaga mashindano!!!
1993 Timu ya Malindi ilikuwa na wachezaji tishio Mfadhili wao Norshad Mohamed alikuwa akishindana na Azim Dewji wa Simba na Abbas Gulamali wa Yanga! Baadhi ya wachezaji wa Malindi ninao wakumbuka. Ally Bushiri GK Juma Bakar Kidishi Amri Aziz Athanas Michael
Dahhhhhh Manara umenirudisha kwenye usiku wa njozi za dhahabu! Pokea Maua Yako Kabisa!
duuu umeongea mwenyee mpiraa wako miee nani nibishee
Mungu hakupe maisha marefu
Wachezaji wa zamani walikua wanajua Ila hela zilikua hamna wa Leo hawajui Ila hela wanazo
Tulifungwa bao la peti la kuongoza la Malindi la kosa la Mwakalebela kumwangusha Juma Bakari Kidishi. Wakati tumekata tamaa nakumbula nilikuwa Mwenge nimekosa amani kwa kuaga mashindano mara ghafla Marehemu Said Mwamba Kizota akasawazisha! Baada ya dakika kama 2 Said Mwamba Kizota tena akafunga bao la 2!!!
Manara Huwa nakukubali sana
EDIBILY JONAS LUNYAMILA KWANGU MIMI NDIYE MCHEZAJI BORA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA SIO TU HAPA TZ BALI HATA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ... UMEONGEA UKWELI BUGATTI
Edibily nilimuona nikiwa nina miaka 10 Ccm kirumba... Yanga akicheza na mamelodi... 2/2 goli alizifunga edy.... Jamaa walikua na mtu anaitwa rafael chuku... Hatari
Tunakosea wapi kuwathamini watu wanaojua historia ya mpira wetu kama Haji Manara, yani huyu jamaa ni computer, anaongea kwa fact, anajua historia ya kitu tunachokipenda, serikali c imtumie au ndo mpaka afe na madini yote haya, tuweni serious bwana, Big up Brother,👍
@richardmasinde9694
11 ай бұрын
Huyu mwamba yuko vizuri sana anajua mengi sana
FAINALI YA CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP MWANZA 1993. TIMU B YA TANZANIA KAKAKUONA ILIFUNGWA 1-0 NA UGANDA MFUNGAJI AKIWA NI ISSA SEKATAWA. ALIKUWA MSHAMBULIAJI WA EXPRESS FC ALILETWA KUCHEZA MECHI YA FAINALI TU!
Mechi na villa ilikua Gori 2 kwa 1na Gori la pili alifunga yeye mwenyewe Ed got la kwanza alifunga kizota nahiyo store ni kwer alirudi kuchezea hedex cup Toka ujeruman na alikua timu moja na okocha ujerumani na kwer aliondoka ghafla ujeruman Kuja tz kuchezea Ile mach
jamaa kamba sana!
@victoriamaleko9699
8 ай бұрын
Tafuta ukweli wake utujuze,,huyo Lunya alikuwa chuma Cha hatari ndg yangu
Alikuwa mwamba kipidi hiko alikuwa mahadi huseni machinga acha kabisa hawa watu walikuwa moto wakuotea mbali mayelee akaisome namba
Eddy alikuwa ana mbio anachenga ana ball control skills kwa kweli ulikuwa moto ule ile mechi ya uganda paul asule alinyosha mikono kwa lunya
Hapana nakumbuka goli alifunga Innocent Haule pale Liberia .
Uko sahihi El Bugatti
Kaka yangu au mdogo wangu hebu nakuomba kidogo umfananishe na marehemu Nasoro Mashoto na huyo Edi
Ww. Utakuwa mwenye kiti wasoka mchini skadi mwakizega jeshini bulombola mm nilikuwA jeshi mchezaji ilahuruma mikanda yanini
mm ninefanikiwa kumuona lunyamila alikuja tpc kama c 93 bas 94 wakitokea kujeza na ushirika tpc walifugwa 7 kipindi hicho alikupo costantin kimanda poa yanga
Edi ni gwij
Toto la kihuni buggati ndio mchezaji bora Tanzania kutokea
eti sasa hivi wanamsifu mayele yani enzi hizo yanga wakati ule kulikuwa na watu mohamedi huseni machinga yanga ikuwa bora
Nimemuona ccm kirumba taifa akiwa yanga na malindi pia
Mimi sikuwahi kumuona akicheza uwanjani ila niliwahikusikia kwenye matangazo ya radio, tulikuwa tunashani watangazaji Wanatia chumvi kumbe jamaa alikuwa shida kweli. 😀😀😀🔥🔥
Pichu pawasa ndosimba iyo daima mbele nyuma mwiko
mwenye kukimbia kama edibili lunyamila co tz Tu jamaa alikuwa fundi
bakali malima jembe ulaya watoto hawajui
Alie hampendi manara anaugonjwa wa akili
Wanae jua huwa nafasi Hawa pewi ila ni kufungiwa tu
nikweli lunya alikuwa winga enzi hizo na kina ken mkapa
Nikwer kabisa bugat hivyo ni story ya kwer kabisa got alifunga nasibu husen Sasa marehemu lilikua got moja TU dakika ya 16 ya mchezo
Hatukuelewi unaongea nini kaimbe taarabu mpira umekushinda
@chrisphabyevents7826
11 ай бұрын
Mimi nadhani bado ulicho taka kukitoa bado umebaki nacho' yaani unamaanisha nini? Au Mayele imeshindikana kubaki Yanga? fumbo