MUHADHARA | NASAHA ZA WAZI NO 01 ( C ) - SHEIKH ABUU MUAWIYA HASSAN AWADHI

Muhadhara wa kielimu uliotolewa katika masjid BUKHAARIY , Unguja - Zanzibar - Tanzania. Muhadhiri wa MUHADHARA huu ni Sheikh Abuu MUAWIYAH HASSAN AWADHI (Allah Amuhifadhi). Huu ni mwendelezo wa NASAHA ZA WAZI kwenda kwa waislamu katika safu ya masalafiy Tanzania kote na popote watakapofikiwa na ujumbe huu!
Yaliyomo katika Kipande hich cha kwanza ni : -
• YANAYOENDELEA KATIKA SAFI YA MASALAFI
• MAKOSA YANAYOFANYIKA KWA BAADHI YA MASHEUKH WA KISALAFI NA WANAFUNZI WAO
Sheikh Abuu MUAWIYAH HASSAN AWADHI ametahadharisha kuwa huu ni muhadhara na wala si ruduud kama ilivyozoeleka katika hizi siku za karibuni! hii sio Radd kwa masalafiy au raddi kwa masuffiy, ispokuwa ni masaha za kielimu kwa wote.
Sheikh amezungumzia baadhi ya mambo yahusuyo elimu katika dini, fuatilia muendelezo wa muhadhara huu kupitia Channel yetu hapa!
baarakallah fiykum Wajazzakumullah khayra.

Пікірлер: 32

  • @SheikhYussuf-iv6lo
    @SheikhYussuf-iv6lo5 күн бұрын

    اللهم غفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    3 күн бұрын

    امين.

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly6 ай бұрын

    Baarakallah fikum Wajazaakumullahu Khaira

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    4 ай бұрын

    Wafiyka Baarakallahu!

  • @user-wb2br3bs7r
    @user-wb2br3bs7r5 ай бұрын

    Allah akuhifadhi........... Shekhe

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    4 ай бұрын

    Amiin! Atuhifafhi sote!

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21886 ай бұрын

    Naam shekh ALLAH akuhifadh

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    6 ай бұрын

    Amiin, atuhifafhi sote!

  • @adamh1751

    @adamh1751

    6 ай бұрын

    Huyu ni hana elimu amefika hadi asema ata niqash na sheikh khasim mafuta! Dawah ya sheikh khasim Allah ameipa qubul..

  • @user-qz8dq3wu5y

    @user-qz8dq3wu5y

    6 ай бұрын

    Hakuna kubuli Wala makabila huyu ni manafiki kassim mafia

  • @adamh1751

    @adamh1751

    6 ай бұрын

    @@user-qz8dq3wu5y mche Allah na acha kusema sheikh ni mnafik...

  • @kylesmeight4837

    @kylesmeight4837

    6 ай бұрын

    Masheikh km mnania njema na dini yet mukae chin muzungumze nje ya hapo mna maslah yen binafs na sio din

  • @santossantos883
    @santossantos8836 ай бұрын

    Allah akujalie kil la kher sheikh letu hii ndio daawah sio kuendelez ubaya tunahitaj elim hatuhitaj fitna

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    6 ай бұрын

    Amiin, walakum!

  • @HamadJuma-es8pw
    @HamadJuma-es8pw6 ай бұрын

    Tulia kwa nafasi ambayo allah amekuweka ,ata ufanye nini Allah amempa qabul sheikh qasim mafuta .tunamuombea allah amsamehe makosa yake na aendelee kumdumisha katika kusimamia katika daawa.AMIIN

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    6 ай бұрын

    Mzungumzaji Sheikh ABUU MUAWIYAH hajapingana na Qabul aliyojaaliwa Sheikh Abul Fadhwil Qasim (Allah awahifadhi wote wawili). Yeye ametoa nasaha zake juu ya mambo yaliyotokea labda kama amesingizia mahali, Allahu a'ghalam.

  • @abuubakarshabanabuubakar5115

    @abuubakarshabanabuubakar5115

    6 ай бұрын

    Qaasim bin mafuta ni Hizbi mkubwa Sana hapa Tanzania kapasua swafu ya jamaa

  • @HamadJuma-es8pw

    @HamadJuma-es8pw

    6 ай бұрын

    @@abuubakarshabanabuubakar5115 usikimbie shekh .Naomba unitajie arkanul-hizbiyyah ambazo shekh mukbil amezitaja kisha nitajie moja iliokufanya useme qassim mafuta ni hizb .baraka alllahu fiik

  • @masoudabdallah9878

    @masoudabdallah9878

    Ай бұрын

    hata wasanii na masufi wamepat qabuul

  • @OmarAbdalla-ug5yg

    @OmarAbdalla-ug5yg

    5 күн бұрын

    yeye mtume?? sh kassim acheni ushmba dini hainglii mtu intizama kauli za wanchuoni ci yeye daaiyah ..znpoku kauli za wanachuoni ach kauli yke...fta kauli za wanchuon sh kasim cio maasum....ahy acheni uhaddaadia ktk dini yaa allh kaen kitko msome cio mna sema tu mmbo msiyoyjua Allh ataenda kuwahkumu...vbya. Tubieni kwa hakik hii ni dhulm ya wazi hamtofankiwa Abadan na allh shaahid ktk hili

  • @omarsule120
    @omarsule1206 ай бұрын

    Pamesemwa ADHABU YA MUONGO NI KUTOKUKUBALIWA UKWELI WAKE

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    6 ай бұрын

    Naam, Allah atuhifafhi!

  • @abuubakarshabanabuubakar5115
    @abuubakarshabanabuubakar51156 ай бұрын

    Abuu muawiya nakujua vizur Sana wewe ni Hizbi mkubwa Sana Sasa sjui unachozungumzia Nini

  • @DhuicTz

    @DhuicTz

    4 ай бұрын

    SubhanAllah! Unaweza ukatujuza pia Maana ya hizbi? Baarakallah fiyka!

  • @ABUUDARDAAI

    @ABUUDARDAAI

    12 күн бұрын

    kila mtu kwenu ni hizb mpak akubaliane na nyinyi nyinyi ndio ma hizb

  • @OmarAbdalla-ug5yg

    @OmarAbdalla-ug5yg

    5 күн бұрын

    hizby wewe usiejitambua na huujui uslubu wa dini upoje katfute kitanda ulle...ماتوا قلوبكم

  • @OmarAbdalla-ug5yg

    @OmarAbdalla-ug5yg

    5 күн бұрын

    Washamba hawa vijna wanaleta vurugu katika safu za aawah ya ahlussuna..hizbyy weye uliosom vtbu vw2...n kuvshwa chuki n walimu wenu huo sio usalfi huoni uhaddaadia ktik dini... Allah amrhmu mwalmu wetu sheikh Abuu Muaawiyah❤.

  • @OmarAbdalla-ug5yg

    @OmarAbdalla-ug5yg

    5 күн бұрын

    weye ata una elmu mtu mwenye elmu htamki mnno hya...ktfte nzi ubnje.....hizby weye mropokwaji...mkbwa toa dalili za wanchuoni hamn kusem hzbby hizby weye usye jua kupima kauli za wanchuoni. wanchuoni.

Келесі