MUHADHARA | NASAHA ZA WAZI NO 01 (B) - SHEIKH ABUU MUAWIYA HASSAN AWADHI
Muhadhara wa kielimu uliotolewa katika masjid BUKHAARIY , Unguja - Zanzibar - Tanzania. Muhadhiri wa MUHADHARA huu ni Sheikh Abuu MUAWIYAH HASSAN AWADHI (Allah Amuhifadhi). Huu ni mwendelezo wa NASAHA ZA WAZI kwenda kwa waislamu katika safu ya masalafiy Tanzania kote na popote watakapofikiwa na ujumbe huu!
Yaliyomo katika Kipande hich cha kwanza ni : -
• MALEZI KATIKA ELIMU
• NI KIPI MWANAFUNZI AANZE NACHO KATIKA ELIMU?
• NAFASI YA BIDAA, NI IPI BIDAA KATIKA DINI?
Sheikh Abuu MUAWIYAH HASSAN AWADHI ametahadharisha kuwa huu ni muhadhara na wala si ruduud kama ilivyozoeleka katika hizi siku za karibuni! hii sio Radd kwa masalafiy au raddi kwa masuffiy, ispokuwa ni masaha za kielimu kwa wote.
Sheikh amezungumzia baadhi ya mambo yahusuyo elimu katika dini, fuatilia muendelezo wa muhadhara huu kupitia Channel yetu hapa!
baarakallah fiykum Wajazzakumullah khayra.
Пікірлер: 6
Allah amsamehe sh wetu na amrahamu 😭😭😭😭 kwakweli kazi ya Allah haina makosa
@DhuicTz
6 күн бұрын
Allahuma Amiin!
Naam pamoja ndugu
@DhuicTz
6 ай бұрын
Baarakallah fiyka
Allah akulipe kher
@DhuicTz
4 ай бұрын
Amiin!