EXCLUSIVE: HAJI MANARA USO KWA USO NA MZEE SUNDAY MANARA AFUNGUKA KUHUSU SOKA LA ZAMANI KWA UNDANI

Ойын-сауық

Sio Rahisi kuona Interview ya Baba na Mwana,,.huwa haitokei kirahisi rahisi duniani na hata huku kwetu labda ni Rekodi pia,,lakini Manara tv time tumethubutu
HAJI SUNDAY MANARA na Baba yake Mzazi SUNDAY MANARA,, kwenye Exclusive interview Ya kikubwa ,,
Hosted:Haji S. Manara

Пікірлер: 121

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Жыл бұрын

    Sunday na Mpira Sunday na Mpira kashuti gooooooool!!!!! Wahenga Ndio tunaelewa hii comment nimeandika

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Жыл бұрын

    Mahojiano mazuri Sana,old is gold

  • @metsmbajo
    @metsmbajo Жыл бұрын

    Hii inaitwa "to put records in it's perspective ". Big Haji Manara👍

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Жыл бұрын

    Sunday you're so professional in response, you know how to respond on questions I like the way you flow

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Жыл бұрын

    Mzee manara kuna kitu nimekiona kwako ni zaidi ya busara mwenyezi Mungu akupe umri mrefu

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4kАй бұрын

    Mzee mungu akupe maisha marefu yenye afya tele

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Жыл бұрын

    Allah akuzidishieni upendo juu yenu Inshaallah

  • @luqmanothman1692
    @luqmanothman1692 Жыл бұрын

    Huyu mzee yuko very humble. Napenda sana kumsikiliza akifanyiwa interview

  • @aminahahlubayt7399

    @aminahahlubayt7399

    Жыл бұрын

    Baba mkwe salamaleko 😊

  • @Chipanjilo1518
    @Chipanjilo1518 Жыл бұрын

    Swali la msingi ni hili: Usiku wa kuamkia Mechi ya Yanga na Enugu Rangers Sunday Manara na wenzake wawili wanasadikiwa kuwa walitoroka au hawakulala kambini na Coach wa Yanga Marehemu Tambwe Leya hakutaka kuwapanga wachezaji hao pamoja na Manara lakini akashinikizwa na uongozi kwamba ni lazima wacheze! Je hizo tuhuma ni za kweli??? Hili ndilo swali la msingi sana kwa sisi watu wa old school kupatiwa majibu.... Very good interview of Father & Son!!! Job well done....🎉

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 Жыл бұрын

    Big up Haji umekua kiakili Sana hii interview sijawahi kuionaa

  • @user-ni6hn2io5e
    @user-ni6hn2io5e Жыл бұрын

    Manara unatisha❤❤❤

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Жыл бұрын

    My favourable player at our time. Mchezaji aliecheza kuleta ushindi Kwa akili bila madhara kwa mtu. Thank you Haji km ingewezekana tusikie pia mahojiano ya Boban, Kassim na King. Umenielewa🤓

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Жыл бұрын

    The best Interview !

  • @yohanasiminzile2096
    @yohanasiminzile2096 Жыл бұрын

    Hongera sana mdau wetu wa michezo hususani timu yetu ya wananchi Yanga tupo pamoja tunakuuunga mkono asante Mungu akubariki, amina na RAMADAN KAREEM.

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Жыл бұрын

    nimependa sana sana iiiiiii

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын

    Saf nimeipenda sana 💚💛🙏🙏 hiyo ya Baba na mwana🔥🔥🔰🔰🙏🙏🙏

  • @jackarum2517
    @jackarum2517 Жыл бұрын

    I watched Sunday Manara destroy both Abaluhya FC and Gor. Mahia in one weekend they were on transit from Brazil in the mid 70s dribbling genius

  • @ahmedbahajj6551
    @ahmedbahajj6551 Жыл бұрын

    Kazi nzuri Manara ila ingekuwa aula zaidi kama tungeona picha (covershots)za hao wanaojadiliwa.Mumetuacha gizani hatuwajui

  • @paschalmsongo4143
    @paschalmsongo4143 Жыл бұрын

    Nice creativity aisee

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Safi Sana hii Kali bro

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Жыл бұрын

    Good job! Congratulation

  • @edenilyimoedenilyimo-we6dg
    @edenilyimoedenilyimo-we6dg Жыл бұрын

    Broo manara uko pow Sana

  • @sarahmichael1327
    @sarahmichael1327 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana jamani so sweet 👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏

  • @mohammedkindi3936
    @mohammedkindi3936 Жыл бұрын

    Story anayo elezea sunday Manara mimi nilikuwa bado mdogo lakini nilibaatika kuwaona kwa macho yangu hao wachezaji wote aliyo wataja.Sunday Manara Atabaki kuwa best player wa East Africa

  • @cosmaskabila3058
    @cosmaskabila3058 Жыл бұрын

    Mzee anajuwa sana

  • @erastomadary2891
    @erastomadary2891 Жыл бұрын

    Kazi nzuri mnara

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Жыл бұрын

    Baba na mwana oyeeeee

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Жыл бұрын

    Iko poa sana

  • @nadarissa575
    @nadarissa575 Жыл бұрын

    Kaka uko sawa sana... Sorry hapo mwanzo wa kipindi itapendeza sana kama utampatia nafasi mgeni na kujitambulisha ili watu wapate kumjua kiasi then ndo maswali yaanze.... Ila safi san. 👍👍👍👍👍

  • @vanessarminaji8379
    @vanessarminaji8379 Жыл бұрын

    Saf sana baba na mwana 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Buggati

  • @Ay-vw3yt
    @Ay-vw3yt Жыл бұрын

    Komputa king👑

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Жыл бұрын

    Hongera sana Buggati

  • @stevensimbeya2212
    @stevensimbeya2212 Жыл бұрын

    big up 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @martingeorgenzali5614
    @martingeorgenzali5614 Жыл бұрын

    Kipindi Kizur Xana Part2

  • @UpendoMagelewanya-ip8mg
    @UpendoMagelewanya-ip8mg Жыл бұрын

    Creativity on point

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Жыл бұрын

    Jamani...... Mbona KASSIM MANARA hatajwi kivile????? Alikua Striker mzuri sana

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Жыл бұрын

    Sauti imezaliwa tena. Absolutely baba na mwana maashallah

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Жыл бұрын

    Safi sana na mwana

  • @josephmwasabwite2231
    @josephmwasabwite2231 Жыл бұрын

    Nicee

  • @edenilyimoedenilyimo-we6dg
    @edenilyimoedenilyimo-we6dg Жыл бұрын

    Mahujiano yenu na baba mzazi

  • @feruzmbaya1967
    @feruzmbaya1967 Жыл бұрын

    Hapo sasa manara nimekukubali huku unapotupeleka SISI wa old school

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Жыл бұрын

    Noma

  • @crespokimath7185
    @crespokimath7185 Жыл бұрын

    Bonge la interview 💪

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын

    MANara safi sana ,lakini ili KIPINDI chako kinoge walete wachezaji wote wa zamani itakuwa safi sana🙏🙏🙏

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Жыл бұрын

    Hongera sana Haji Manara kwa kuanzisha TV yako. Huo ni mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya mpira wetu nchini. Sasa itabidi ubadilike uwe neutral katika aidha kuchambua mpira au kuelezea mpira wa nchi hii kwani huo ndiyo ukubwa. Vinginevyo sisi Wanasimba hatutapenda kufuatilia video zako kama utakuwa na ubaguzi. Hata hivyo Manara na Manara hamumtendei haki Manara. Ninamaana kwamba Baba na Mwana mlioko hapo mnamsahau vipi Kitwana Manara kuwa miongoni mwa wachezaji bora kabisa kutokea katika timu ya yanga na timu ya Taifa kwa ujumla wake. Ukizingatia kwamba alianza kucheza kama mlinda mlango hodari sana na baadae mshambuliaji wa mbele wa kutumainiwa; labda mumeshindwa kumpa sifa anayostahili kwa kuwa ni ndugu yenu. Haya niwakumbushe nyota wengine wa wakati huo na nyuma kidogo ya hapo. Zimbwe, Chuma wa Mtwara, Hassan Gobbos, Lukongo, Gilbert Mahinya, Arthur Mambeta, Shabani Baraza, Athumani Mambosasa, ,baadae wakaja akina

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    Жыл бұрын

    unajua sana kufikiri man

  • @mtaliimwenyeji7890
    @mtaliimwenyeji7890 Жыл бұрын

    Nice

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Жыл бұрын

    Sasa mzee mikono aitoki mfukoni kuongea mnafanana big up haji b cool and and free

  • @zaidihussein4311

    @zaidihussein4311

    Жыл бұрын

    Tulia ww kolo

  • @AMRIMZEE-dl5zq
    @AMRIMZEE-dl5zq Жыл бұрын

    Mungu awape umri mrefu na siha njema baba na mama.

  • @AMRIMZEE-dl5zq

    @AMRIMZEE-dl5zq

    Жыл бұрын

    Mungu awape umri mrefu na siha njema baba(computer) na mwana(king manara)

  • @hashimtambulegeni8931
    @hashimtambulegeni8931 Жыл бұрын

    Nakubali

  • @user-vk4mv8vs7c
    @user-vk4mv8vs7c7 ай бұрын

    Sunday manara alikuwa computer

  • @MarryAlly-wp3be
    @MarryAlly-wp3be Жыл бұрын

    Good

  • @barakamoshi4676
    @barakamoshi4676 Жыл бұрын

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Жыл бұрын

    Safi

  • @theophilojohn7331
    @theophilojohn7331 Жыл бұрын

    Baba na mwana

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤ sauti zao zimefanana

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Жыл бұрын

    🎉🎉🎉

  • @georgelameckbudeba3373
    @georgelameckbudeba3373 Жыл бұрын

    Hii nimeilewa Sana bro

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @willyfreddaud390
    @willyfreddaud390 Жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👍👍👍

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    👍👍👍

  • @tadeitadeo943
    @tadeitadeo94310 ай бұрын

    Safi sana

  • @abuubura5071
    @abuubura5071 Жыл бұрын

    Wewe mhuni sana jamaa nakukubalii sana

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 Жыл бұрын

    Nc san

  • @edwardsolomon169
    @edwardsolomon169 Жыл бұрын

    Sf sana bugati nakukubali

  • @festoismail7648
    @festoismail7648 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    charnal yenu mbaya sana na hasa ulivyokuwa mtangazaji sasa

  • @gracefrancis5390
    @gracefrancis539011 ай бұрын

    Haji sf

  • @AminaGervas-yg1gz
    @AminaGervas-yg1gz Жыл бұрын

    1

  • @emmyally1511
    @emmyally1511 Жыл бұрын

    Sauti zimefanana

  • @Director255
    @Director255 Жыл бұрын

    Mpira ulianza kuchezwa miaka ya 1960s...😢😢😢😢

  • @costantinedraxler3629
    @costantinedraxler3629 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @abdulnasuma9729

    @abdulnasuma9729

    Жыл бұрын

    Sauti zimefafa aisee noma sana mungu anatsha sana

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Жыл бұрын

    Sauti the same

  • @kanyeshahigirimana5686

    @kanyeshahigirimana5686

    Жыл бұрын

    umeonaa ee yan ni kama vile mtu anajihoji mwenyewe na kujijibu mwenyewe kwa jinsi wanavyofanana sauti

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 Жыл бұрын

    Mwamba anaongea kama mwanae Haji kabisa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Жыл бұрын

    Sunday Manara alikuwa pacha wake Gibson ẞembuli. Sembuli alikuwa na pikipiki Honda 250 ukikutana naye mara nyingi kabebana na Sunday Manara. Maulid Dilunga alinulikana Kama Mexico kutokana na kuchaguliwa katika kikosi cha bara la Afrika kilichoiwaliwakilisha bara la Afrika katika mashindano ya mabara huko Mexico

  • @njoostudio_
    @njoostudio_ Жыл бұрын

    Ilitokea Diamond Platnumz Na Mzee Wqke😊

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Жыл бұрын

    baadae wakaja akina Peter Tino, Jumanne Masiment, Martin Kikwa, Willy Mwaijibe, Lunyamila, Saadi Aly, Adam Sabu, Abas Dilunga, Athunan Juma Chama, Gumbo, Haidari Abed, Khalid Abed n.k.

  • @haggaiandagile6232

    @haggaiandagile6232

    3 ай бұрын

    Lunyamila wa juzi ...hayuko kwenye mida ya hawa

  • @husseinibrahim2929
    @husseinibrahim2929 Жыл бұрын

    Omari mahadhi bin jabir na maulidi dilunga na kwa kizazi cha leo ni samatta tuwataje kama wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea ndani ya taifa letu

  • @ahamadarashid8797
    @ahamadarashid8797 Жыл бұрын

    Mzee Sunday Manara...ENZI HIZO AKIWA YANGA ILIKUWA HATARI SANA AKIWA NA STAMBULI

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    Жыл бұрын

    SEMBULI Gibson na sio STAMBULI

  • @ahamadarashid8797

    @ahamadarashid8797

    Жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 ni kweli nimetamka sembuli but maandishi yakaja STAMBULI.. thanks

  • @ramadhaniomary3785

    @ramadhaniomary3785

    Жыл бұрын

    Sembuli sio stambuli

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana85945 ай бұрын

    Nilimuona wakati wake nikiwa kenya nyakathi hizo alipokuja mombasa akicheza na Gor mahia lol atari nilikua mdogo sana 80ties

  • @samwelyvenance2531
    @samwelyvenance2531 Жыл бұрын

    Nimekuwa wakwanza leo 😂

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 Жыл бұрын

    Mzee Sunday Manara! Diplomasia ya Mpira Uaiweza sana hasa! Unaongea maneno ya Hikma sana Mzee!

  • @meshackmwakunja
    @meshackmwakunja Жыл бұрын

    Kwann kipindi cha nyuma kinaonekana nibora kuliko sasa

  • @onesmoakwilini7197
    @onesmoakwilini7197Ай бұрын

    Mzee ni nan hapo

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Жыл бұрын

    Tupe mwisho wa interview

  • @rtp9010
    @rtp9010 Жыл бұрын

    Hawa kweli ni mtu na baba yake maana hata hizo sauti ni exactly ile ile. Utadhani anayeongea ni yule yule mtu mmoja

  • @Ahdall
    @Ahdall Жыл бұрын

    Kiufupi Sunday Manara anasema sasa hivi hakuna mpira ni ujinga tu na mimi namuonga mkono

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    lakini Mzee na Mazowezi ufanye itakuwa supper sana kwa Afya yako

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Tembea yake mzee inuka yake kwa mbinde halafu hayo mazoezi anayafanyaje 😅😅😅

  • @athumanikadaika5817
    @athumanikadaika5817 Жыл бұрын

    Duh hatari copy hadi sauti.

  • @worldwide9207
    @worldwide9207 Жыл бұрын

    Hadji kama vile ana ka ibu fulani 😅😅

  • @mohdabdalla7070
    @mohdabdalla7070 Жыл бұрын

    Kpind kzur sn

  • @hamisissa1115
    @hamisissa1115 Жыл бұрын

    Anajikuta millardayo 😂😂😂😂

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Жыл бұрын

    Saf

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Жыл бұрын

    Mbona fupi hivyo😰😰

  • @kamikazejoseph8799
    @kamikazejoseph8799 Жыл бұрын

    Mbn unajishikashika hivo Mzee tatzo nn

  • @ramadhaniomary3785

    @ramadhaniomary3785

    Жыл бұрын

    Anamuhoji baba yake

  • @ramadhaniomary3785

    @ramadhaniomary3785

    Жыл бұрын

    Anamuhoji baba yake

  • @leonardsulle1550
    @leonardsulle1550 Жыл бұрын

    Haji ur so weak compared Sunday manara he iz mr so smart blv

  • @nehemiamathias3317
    @nehemiamathias3317 Жыл бұрын

    tuliza mikono

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 Жыл бұрын

    Shirazi Sharif kahusika na wewe mzee mwezangu ulifanya madudu ndio timu ikasambaratika.

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Жыл бұрын

    Computer. ....

  • @alantonio855
    @alantonio855 Жыл бұрын

    Post ya Mange kimambi imefanya Haji amuite bqba

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 Жыл бұрын

    Jombaa kafanana na mshua xana,,copy n paste

Келесі