EXCLUSIVE: HAJI MANARA USO KWA USO NA MZEE SUNDAY MANARA AFUNGUKA KUHUSU SOKA LA ZAMANI KWA UNDANI
Ойын-сауық
Sio Rahisi kuona Interview ya Baba na Mwana,,.huwa haitokei kirahisi rahisi duniani na hata huku kwetu labda ni Rekodi pia,,lakini Manara tv time tumethubutu
HAJI SUNDAY MANARA na Baba yake Mzazi SUNDAY MANARA,, kwenye Exclusive interview Ya kikubwa ,,
Hosted:Haji S. Manara
Пікірлер: 121
Sunday na Mpira Sunday na Mpira kashuti gooooooool!!!!! Wahenga Ndio tunaelewa hii comment nimeandika
Mahojiano mazuri Sana,old is gold
Hii inaitwa "to put records in it's perspective ". Big Haji Manara👍
Sunday you're so professional in response, you know how to respond on questions I like the way you flow
Mzee manara kuna kitu nimekiona kwako ni zaidi ya busara mwenyezi Mungu akupe umri mrefu
Mzee mungu akupe maisha marefu yenye afya tele
Allah akuzidishieni upendo juu yenu Inshaallah
Huyu mzee yuko very humble. Napenda sana kumsikiliza akifanyiwa interview
@aminahahlubayt7399
Жыл бұрын
Baba mkwe salamaleko 😊
Swali la msingi ni hili: Usiku wa kuamkia Mechi ya Yanga na Enugu Rangers Sunday Manara na wenzake wawili wanasadikiwa kuwa walitoroka au hawakulala kambini na Coach wa Yanga Marehemu Tambwe Leya hakutaka kuwapanga wachezaji hao pamoja na Manara lakini akashinikizwa na uongozi kwamba ni lazima wacheze! Je hizo tuhuma ni za kweli??? Hili ndilo swali la msingi sana kwa sisi watu wa old school kupatiwa majibu.... Very good interview of Father & Son!!! Job well done....🎉
Big up Haji umekua kiakili Sana hii interview sijawahi kuionaa
Manara unatisha❤❤❤
My favourable player at our time. Mchezaji aliecheza kuleta ushindi Kwa akili bila madhara kwa mtu. Thank you Haji km ingewezekana tusikie pia mahojiano ya Boban, Kassim na King. Umenielewa🤓
The best Interview !
Hongera sana mdau wetu wa michezo hususani timu yetu ya wananchi Yanga tupo pamoja tunakuuunga mkono asante Mungu akubariki, amina na RAMADAN KAREEM.
nimependa sana sana iiiiiii
Saf nimeipenda sana 💚💛🙏🙏 hiyo ya Baba na mwana🔥🔥🔰🔰🙏🙏🙏
I watched Sunday Manara destroy both Abaluhya FC and Gor. Mahia in one weekend they were on transit from Brazil in the mid 70s dribbling genius
Kazi nzuri Manara ila ingekuwa aula zaidi kama tungeona picha (covershots)za hao wanaojadiliwa.Mumetuacha gizani hatuwajui
Nice creativity aisee
Safi Sana hii Kali bro
Good job! Congratulation
Broo manara uko pow Sana
Mbarikiwe sana jamani so sweet 👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Story anayo elezea sunday Manara mimi nilikuwa bado mdogo lakini nilibaatika kuwaona kwa macho yangu hao wachezaji wote aliyo wataja.Sunday Manara Atabaki kuwa best player wa East Africa
Mzee anajuwa sana
Kazi nzuri mnara
Baba na mwana oyeeeee
Iko poa sana
Kaka uko sawa sana... Sorry hapo mwanzo wa kipindi itapendeza sana kama utampatia nafasi mgeni na kujitambulisha ili watu wapate kumjua kiasi then ndo maswali yaanze.... Ila safi san. 👍👍👍👍👍
Saf sana baba na mwana 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Kazi nzuri sana Buggati
Komputa king👑
Hongera sana Buggati
big up 🔥🔥🔥🔥🔥
Kipindi Kizur Xana Part2
Creativity on point
Jamani...... Mbona KASSIM MANARA hatajwi kivile????? Alikua Striker mzuri sana
Sauti imezaliwa tena. Absolutely baba na mwana maashallah
Safi sana na mwana
Nicee
Mahujiano yenu na baba mzazi
Hapo sasa manara nimekukubali huku unapotupeleka SISI wa old school
Noma
Bonge la interview 💪
MANara safi sana ,lakini ili KIPINDI chako kinoge walete wachezaji wote wa zamani itakuwa safi sana🙏🙏🙏
Hongera sana Haji Manara kwa kuanzisha TV yako. Huo ni mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya mpira wetu nchini. Sasa itabidi ubadilike uwe neutral katika aidha kuchambua mpira au kuelezea mpira wa nchi hii kwani huo ndiyo ukubwa. Vinginevyo sisi Wanasimba hatutapenda kufuatilia video zako kama utakuwa na ubaguzi. Hata hivyo Manara na Manara hamumtendei haki Manara. Ninamaana kwamba Baba na Mwana mlioko hapo mnamsahau vipi Kitwana Manara kuwa miongoni mwa wachezaji bora kabisa kutokea katika timu ya yanga na timu ya Taifa kwa ujumla wake. Ukizingatia kwamba alianza kucheza kama mlinda mlango hodari sana na baadae mshambuliaji wa mbele wa kutumainiwa; labda mumeshindwa kumpa sifa anayostahili kwa kuwa ni ndugu yenu. Haya niwakumbushe nyota wengine wa wakati huo na nyuma kidogo ya hapo. Zimbwe, Chuma wa Mtwara, Hassan Gobbos, Lukongo, Gilbert Mahinya, Arthur Mambeta, Shabani Baraza, Athumani Mambosasa, ,baadae wakaja akina
@gabrielmoses6860
Жыл бұрын
unajua sana kufikiri man
Nice
Sasa mzee mikono aitoki mfukoni kuongea mnafanana big up haji b cool and and free
@zaidihussein4311
Жыл бұрын
Tulia ww kolo
Mungu awape umri mrefu na siha njema baba na mama.
@AMRIMZEE-dl5zq
Жыл бұрын
Mungu awape umri mrefu na siha njema baba(computer) na mwana(king manara)
Nakubali
Sunday manara alikuwa computer
Good
❤
Safi
Baba na mwana
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
❤❤❤❤ sauti zao zimefanana
🎉🎉🎉
Hii nimeilewa Sana bro
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
👏👏👏👏👏👏👍👍👍
👍👍👍
Safi sana
Wewe mhuni sana jamaa nakukubalii sana
Nc san
Sf sana bugati nakukubali
🙏🙏🙏🙏
charnal yenu mbaya sana na hasa ulivyokuwa mtangazaji sasa
Haji sf
1
Sauti zimefanana
Mpira ulianza kuchezwa miaka ya 1960s...😢😢😢😢
🔥🔥🔥
@abdulnasuma9729
Жыл бұрын
Sauti zimefafa aisee noma sana mungu anatsha sana
Sauti the same
@kanyeshahigirimana5686
Жыл бұрын
umeonaa ee yan ni kama vile mtu anajihoji mwenyewe na kujijibu mwenyewe kwa jinsi wanavyofanana sauti
Mwamba anaongea kama mwanae Haji kabisa
Sunday Manara alikuwa pacha wake Gibson ẞembuli. Sembuli alikuwa na pikipiki Honda 250 ukikutana naye mara nyingi kabebana na Sunday Manara. Maulid Dilunga alinulikana Kama Mexico kutokana na kuchaguliwa katika kikosi cha bara la Afrika kilichoiwaliwakilisha bara la Afrika katika mashindano ya mabara huko Mexico
Ilitokea Diamond Platnumz Na Mzee Wqke😊
baadae wakaja akina Peter Tino, Jumanne Masiment, Martin Kikwa, Willy Mwaijibe, Lunyamila, Saadi Aly, Adam Sabu, Abas Dilunga, Athunan Juma Chama, Gumbo, Haidari Abed, Khalid Abed n.k.
@haggaiandagile6232
3 ай бұрын
Lunyamila wa juzi ...hayuko kwenye mida ya hawa
Omari mahadhi bin jabir na maulidi dilunga na kwa kizazi cha leo ni samatta tuwataje kama wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea ndani ya taifa letu
Mzee Sunday Manara...ENZI HIZO AKIWA YANGA ILIKUWA HATARI SANA AKIWA NA STAMBULI
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
SEMBULI Gibson na sio STAMBULI
@ahamadarashid8797
Жыл бұрын
@@minskbelarus7255 ni kweli nimetamka sembuli but maandishi yakaja STAMBULI.. thanks
@ramadhaniomary3785
Жыл бұрын
Sembuli sio stambuli
Nilimuona wakati wake nikiwa kenya nyakathi hizo alipokuja mombasa akicheza na Gor mahia lol atari nilikua mdogo sana 80ties
Nimekuwa wakwanza leo 😂
Mzee Sunday Manara! Diplomasia ya Mpira Uaiweza sana hasa! Unaongea maneno ya Hikma sana Mzee!
Kwann kipindi cha nyuma kinaonekana nibora kuliko sasa
Mzee ni nan hapo
Tupe mwisho wa interview
Hawa kweli ni mtu na baba yake maana hata hizo sauti ni exactly ile ile. Utadhani anayeongea ni yule yule mtu mmoja
Kiufupi Sunday Manara anasema sasa hivi hakuna mpira ni ujinga tu na mimi namuonga mkono
lakini Mzee na Mazowezi ufanye itakuwa supper sana kwa Afya yako
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Tembea yake mzee inuka yake kwa mbinde halafu hayo mazoezi anayafanyaje 😅😅😅
Duh hatari copy hadi sauti.
Hadji kama vile ana ka ibu fulani 😅😅
Kpind kzur sn
Anajikuta millardayo 😂😂😂😂
Saf
Mbona fupi hivyo😰😰
Mbn unajishikashika hivo Mzee tatzo nn
@ramadhaniomary3785
Жыл бұрын
Anamuhoji baba yake
@ramadhaniomary3785
Жыл бұрын
Anamuhoji baba yake
Haji ur so weak compared Sunday manara he iz mr so smart blv
tuliza mikono
Shirazi Sharif kahusika na wewe mzee mwezangu ulifanya madudu ndio timu ikasambaratika.
Computer. ....
Post ya Mange kimambi imefanya Haji amuite bqba
Jombaa kafanana na mshua xana,,copy n paste