FRIJI BOVU: BREAKING NEWS TRY AGAIN KUMVUTA FEI TOTO SIMBA?/ CHAMA,MAYELE..
Спорт
#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu
Пікірлер: 19
Naomba kutowa maoni yangu. Wako bazi ya wachezaji wa Simba wamesha nunuliwa na timu kubwa. Kwa ligi ya. Ndani. Simba wanayo kocha mzuri sana lakini wako wachezaji wa Simba waleio nunuliwa. Na wana pata wanacho taka kutoka timu hiyo. Kwa hiyo Naomba kwa viongozi wa Simba wachunguze hayo waki kaa kimya hata miaka kumi hamta ona ubingwa.
Karibu sana msimbazi Feisal toto pamoja Mzee wa kutetema
Mimi maoni yangu kama kijana simba wafanye usajir na sio usajir wa wachezaji mabishoo sisi tunataka kazi
Yanga SIMBA kawaida tu atoke nje ya Tanzania au Africa ndio ishu
@laninjeje8290
4 ай бұрын
Huna jipya wewe huwezi kumpangia fei toto kwenda nje ya Tanzania, alafu mlisema akiondoka yanga hatafunga magoli saizi anaongoza😂😂
TRAI AGAN HAWEZI KUMLETA FEI TOTO
Hii ni breaking news au umbea 😅😅
Huo ni UJINGA tu maana sisi tunaangalia tu msimamo WA ligi unavyoenda mambo yakununua na kuuza ni. Msimu ujaoo baada ya kumjua bingwa WA msimu huu
Inakuhusu nn mwache kijana.
Manacho ongea mnamaanisha
VIONGOZI WA SIMBA WACHUKUENI HAO WACHEZAJI SASA MNASUBIRI NN?
Hahaha ni maongezi tu
Umbea
Vioongozi wa Simba Hawa a lolote ni washamba tu
Huna issues aende tu Feisal
Sasa hao Azam itakua ni timu yenye malengo au academy ya timu fulani
@SilaMinanda
4 ай бұрын
Kwani hujuw kwamba azam wana academy pale? Sio mbaya yule ni mfanyabiashara nyinyi mnaotaka ubingwa endeleeni kutupia majini wachezaji
@JUMASABANTINI
3 ай бұрын
N academy tuuu bt inatupa effort kubwa simbaaaaa! 😂😂😂😂
Acheni usanii usajili wa ten pasent mtawezaje kwa fei wakati kwa mdathiri mlichemka akiwa huru kabisa? Kama tunakosa ubingwa na nusu fainali mwaka huu wanasimba tuwawajibishe mo,tyr,na mangungu hatuwezi kukosa watu makini wenye uchungu hawa wamelewa sifa za robo fainali tupate mwekezaji mwenye lengo la ubingwa wa nchi na Afrika au japo fainali tunamshukuru mo alipotufikisha