FRIJI BOVU: BREAKING NEWS TRY AGAIN KUMVUTA FEI TOTO SIMBA?/ CHAMA,MAYELE..

Спорт

#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu

Пікірлер: 19

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali88494 ай бұрын

    Naomba kutowa maoni yangu. Wako bazi ya wachezaji wa Simba wamesha nunuliwa na timu kubwa. Kwa ligi ya. Ndani. Simba wanayo kocha mzuri sana lakini wako wachezaji wa Simba waleio nunuliwa. Na wana pata wanacho taka kutoka timu hiyo. Kwa hiyo Naomba kwa viongozi wa Simba wachunguze hayo waki kaa kimya hata miaka kumi hamta ona ubingwa.

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat19272 ай бұрын

    Karibu sana msimbazi Feisal toto pamoja Mzee wa kutetema

  • @user-jd1vo9ie4f
    @user-jd1vo9ie4f2 ай бұрын

    Mimi maoni yangu kama kijana simba wafanye usajir na sio usajir wa wachezaji mabishoo sisi tunataka kazi

  • @chinchon2126
    @chinchon21264 ай бұрын

    Yanga SIMBA kawaida tu atoke nje ya Tanzania au Africa ndio ishu

  • @laninjeje8290

    @laninjeje8290

    4 ай бұрын

    Huna jipya wewe huwezi kumpangia fei toto kwenda nje ya Tanzania, alafu mlisema akiondoka yanga hatafunga magoli saizi anaongoza😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75434 ай бұрын

    TRAI AGAN HAWEZI KUMLETA FEI TOTO

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures69334 ай бұрын

    Hii ni breaking news au umbea 😅😅

  • @chinchon2126
    @chinchon21264 ай бұрын

    Huo ni UJINGA tu maana sisi tunaangalia tu msimamo WA ligi unavyoenda mambo yakununua na kuuza ni. Msimu ujaoo baada ya kumjua bingwa WA msimu huu

  • @felixmkude393
    @felixmkude3933 ай бұрын

    Inakuhusu nn mwache kijana.

  • @user-xq3uo7xc1k
    @user-xq3uo7xc1k4 ай бұрын

    Manacho ongea mnamaanisha

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75434 ай бұрын

    VIONGOZI WA SIMBA WACHUKUENI HAO WACHEZAJI SASA MNASUBIRI NN?

  • @eddiemay547
    @eddiemay5474 ай бұрын

    Hahaha ni maongezi tu

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu66184 ай бұрын

    Umbea

  • @user-tw1lp5vh3r
    @user-tw1lp5vh3r4 ай бұрын

    Vioongozi wa Simba Hawa a lolote ni washamba tu

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda4 ай бұрын

    Huna issues aende tu Feisal

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu57674 ай бұрын

    Sasa hao Azam itakua ni timu yenye malengo au academy ya timu fulani

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    4 ай бұрын

    Kwani hujuw kwamba azam wana academy pale? Sio mbaya yule ni mfanyabiashara nyinyi mnaotaka ubingwa endeleeni kutupia majini wachezaji

  • @JUMASABANTINI

    @JUMASABANTINI

    3 ай бұрын

    N academy tuuu bt inatupa effort kubwa simbaaaaa! 😂😂😂😂

  • @kassimntara6901
    @kassimntara69014 ай бұрын

    Acheni usanii usajili wa ten pasent mtawezaje kwa fei wakati kwa mdathiri mlichemka akiwa huru kabisa? Kama tunakosa ubingwa na nusu fainali mwaka huu wanasimba tuwawajibishe mo,tyr,na mangungu hatuwezi kukosa watu makini wenye uchungu hawa wamelewa sifa za robo fainali tupate mwekezaji mwenye lengo la ubingwa wa nchi na Afrika au japo fainali tunamshukuru mo alipotufikisha

Келесі