FEI TOTO| AZAM WAKICHEZA KAMA WANAVYOCHEZA NA YANGA WANAWEZA KUFIKA MBALI| SIO WAPINZANI WA SIMBA

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 58

  • @TheMrisho
    @TheMrisho11 ай бұрын

    Kipindi cha kusifia Yanga. Wanaongelewa Azam lakini muda wote sifa kwa Yanga, tunapewa sababu za kwanini Yanga ni timu bora

  • @alphakaguo3896

    @alphakaguo3896

    11 ай бұрын

    Inaumaesikamanyinyitu uefm

  • @husseinmkwachu6071
    @husseinmkwachu607111 ай бұрын

    MAYELE aliwahi kusema the same thing ,jamaa wakaja juu eti AWAOMBE radhi

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza109811 ай бұрын

    AZAM INALETA AIBU SANA IMEFANYA UWEKEZAJI MKUBWA LKN IMEZIDIWA HATA NA MUNGO

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad406411 ай бұрын

    Halafu mzee Bakhresa sio mmiliki Azam Fc. Yeye nishabiki wa Simba Fc.

  • @youngbabylon9094

    @youngbabylon9094

    11 ай бұрын

    Mbona hueleweki...mara sio mmiliki mara shabiki wasimbaa😂😂😂

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    11 ай бұрын

    Wacha ung'ombe wewe kwani Bakhressa kuwa shabiki wa simba kuna nini??..mbona Gharib wa GSM nae ni mpenzi wa simba??au we hilo hujui???

  • @mohamedkutwambi

    @mohamedkutwambi

    11 ай бұрын

    Mbona Mo naye ni shabiki wa Timu yangu

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    11 ай бұрын

    Daaah!Kumbe ww ndo mmiliki wa Azam!

  • @saydouside9468
    @saydouside946811 ай бұрын

    mayele..alishaongea..mkamuona mkongo...haya wache waikamie yanga

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza109811 ай бұрын

    Kama nguvu wanayoitumia Azam wangeitumia kucheza na timu nyingine Azam wangekuwa mbali sana

  • @sanda960
    @sanda96011 ай бұрын

    Azam kinachowatesa ni Jina lao. Wabadilishe jina itawapa spirit ya kupambana. Mashujaa watafanya vizuri Kwa AJILI tunya jina lao na sio uwekezaji. Simba wanafanya vizuri Kwa AJILI ya jina lao TU. Hata walipokuwa wabovu walifanya vizuri kimataifa. Unapojiita Azam, mchezaji anajihisi utamuutamu TU na haifanyi mtu akawa jasiri kupambana. Watastragle sana

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    11 ай бұрын

    Swala sio jina uwezo na jina vitu viwili tofauti mpira hausiani na majina ya timu labda ungeniambia washabiki hawana

  • @saidndembo661
    @saidndembo66111 ай бұрын

    Tatizo azam wanateswa na siasa za simba na yanga hawaja simama wao kama wao

  • @frankphiri9132
    @frankphiri913211 ай бұрын

    AZAM ni ndogo sana huwa inatumwa na kuwekewa shekeri za kuikomboa Yanga tu

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    11 ай бұрын

    Kwa wasiofaham neno shekeli maana yake ni hela

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino13011 ай бұрын

    Walipoambiwa na MAYELE kuwa wakicheza na Yanga huwa wanakamia akina Zaka za kazi wakang'ooola --- sasa semeni wenyewe -- wapigaji tu

  • @nasskidy5471
    @nasskidy547111 ай бұрын

    Sasa Azam star wao ni feisal unataka watoboe wapi

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    11 ай бұрын

    Na waliokuwa wanamfanya awe star wote wapo Yanga, hahahahaa! Mtoto akililia wembe mpe. Hakuna ubishi ukitoka hizi klabu kubwa mbili Tanzania hasa Yanga kwenda klabu nyengine Tanzania ujuwe umepotea. Daaa! lkn tamaa imemponza, aliona bora mpira upotew lkn apate pesa, ndio maamuzi yake huwezi kumpangia isipokuwa kutoa ushauri tu.

  • @alexshambutu5927
    @alexshambutu592711 ай бұрын

    Wakamiaji fc

  • @emmanuelkayanda8992
    @emmanuelkayanda899211 ай бұрын

    Unacheza vibaya unapata matokeo ?😂😂😂 Wew ni msemaji kivuli wa ysng africa

  • @biggievandar254
    @biggievandar25411 ай бұрын

    Wanakamia sana hua

  • @mohdhaji709
    @mohdhaji70911 ай бұрын

    Osca acha kuongea ivoo yan timu ndogo yoyote ile ikicheza na yang na simba lazima zijikaze kwan hata ihef alijikaza alipocheza na yanga

  • @user-rx7jg6kh9h

    @user-rx7jg6kh9h

    11 ай бұрын

    Ni kwel lkn azam ana udogo gani?Azam ni mkubwa ki kiundombinu na kifedha na ndo timu kubwa inavyokuwa ko kusema Azam ni timu ndogo sio kwel nazani wana ujinga ujinga mwing wa kushindwa kujipa daraja la hadhi yao.Hawa kwa kule Egypt ni pyramids sema hawajielew tu

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict576111 ай бұрын

    Mayele alisema hayo maneno alishambuliwa sana

  • @AzizJawad-br3ij
    @AzizJawad-br3ij11 ай бұрын

    Wasafi = Yanga Huna haja kusikiliza maana unasikiliza YANGA FM

  • @sylvetermtunga4587

    @sylvetermtunga4587

    11 ай бұрын

    Efm simba fc ngoma draw😂😂😂

  • @kassimkingu5512
    @kassimkingu551211 ай бұрын

    Wasafi mnajipotezea heshima ila nyie hamwelewi

  • @eduwadylelya
    @eduwadylelya11 ай бұрын

    Wa kwanza mimi

  • @AdamuMchuchuba
    @AdamuMchuchuba11 ай бұрын

    wachezaji wengi wa Azam wanapenda kuchezea yanga na ndio maana wanajituma lengo mchezaji aonekane lengo wasajiliwe mujue hivyo

  • @AzizJawad-br3ij

    @AzizJawad-br3ij

    11 ай бұрын

    Kama wanapenda Yanga na Fei toto anapenda nini ????

  • @user-jx1qh9us7z
    @user-jx1qh9us7z11 ай бұрын

    Azam iko hovyo

  • @seneu.2128
    @seneu.212811 ай бұрын

    Mapema sana kuihukumu Azam kwa msimu huu subirini hata mechi ya marudiano kwanzo kwa ufupi mmekosa mjadala wa kumalizia show

  • @patrickmukundichalamila3038

    @patrickmukundichalamila3038

    11 ай бұрын

    Mmmhhh eti mapema kweli? Basi kama hujui baba mpira unaanza na mechi ya kwanza iwe ya kirafiki au ya kimashindano.

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo11 ай бұрын

    Wakamiaji tuuu!!!hawanatimuuuuuù😂😃😂😂

  • @Sophiaalistidi-mv5j
    @Sophiaalistidi-mv5j11 ай бұрын

    Yanga ndo kirakitu hapa tz

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera114711 ай бұрын

    Wakamiaji hao, hawana mchezo wa kiuungwana akamiko kamuumiza skudu

  • @paulsamwel1144
    @paulsamwel114411 ай бұрын

    Yani me siwapendag hawa wasenge wachambuz kila siku wanaichambua utopol tuuu

  • @chikapuog7284
    @chikapuog728411 ай бұрын

    Baba levo mbona achangii mada

  • @daruzein

    @daruzein

    11 ай бұрын

    Anachangia nini wakati ye hakuna anachojua tofauti na Yanga

  • @guccij6236
    @guccij623611 ай бұрын

    😅

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp10 ай бұрын

    Muna ongea matope tu hamu juwi mpila

  • @user-dh5tg3vr8q
    @user-dh5tg3vr8q8 ай бұрын

    Mnazngua

  • @mohamedbakhuwar4749
    @mohamedbakhuwar474911 ай бұрын

    Azam wamefungwa ugenini. Hata Al ahly wanafungwa ugenini. Mnakosoa mapema sana. Ndio maana wachambuzi wa Kibongo mnatafuta pa kukosoa badala ya uhalisia wa mambo.

  • @ibadymanyuka1611

    @ibadymanyuka1611

    11 ай бұрын

    😁😁😁😁😁 wamefungwa tena huko 🤪🤪🤪 na ndo wameshatolewa wanajipanga tena nwakani

  • @franccoz94
    @franccoz9411 ай бұрын

    MOJA KATI YA WACHAMBUZI WABOVU AMBAO MASHABIKI HAWAKUBALI N WA WASAFII KILA SIKU WANASIFIA UTOPOLOO

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    11 ай бұрын

    Sasa wasifiwe mandunduka wkt mpira wao haonekani. Tusione haya kusema misimu hii timu yenye kucheza mpira wakueleweka ni Yanga peke yake waliobakia ni kupakana madenda. hahahahaaa!

  • @ahmadsalim4417

    @ahmadsalim4417

    11 ай бұрын

    Kwasababu ndio timu bora 😅😅😅

  • @seifmbarouk9559
    @seifmbarouk955911 ай бұрын

    Mbona Al Ahly miaka yote Akija Tz anakosa ushindi sembuse Azamfc kufungwa Away na tim hle

  • @bsmonline8482

    @bsmonline8482

    11 ай бұрын

    Anakosa ushindi ila miaka yote anachukua ubingwa 😂😂😂. Al Ahly anacheza kimkakati niambie lini Al Ahly kafungwa goli 2 hapa Tz. Haya ukienda kwake 😅😅😅 anataka matokeo anakupiga ngapi? Azam angeshinda nyumbani

  • @ibadymanyuka1611

    @ibadymanyuka1611

    11 ай бұрын

    Wamefungwa tena huko hahahaha wakaniaji bahna

  • @user-fy9lo9bw7p
    @user-fy9lo9bw7p11 ай бұрын

    Ujinga tu muda wote Yanga kacheza usenge tu Tanga Leo majitu yanasifia tunashaka na vyeti vyenu

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa836311 ай бұрын

    O umsm kwel

  • @suleimankombo1743
    @suleimankombo174311 ай бұрын

    Azam inafanya vizuri msimu huu mtakuja kushagaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @user-vb1fy5uv1x
    @user-vb1fy5uv1x11 ай бұрын

    Jamani kila jambo lina wakati wake azam nao mda wao utafika watafanya vizuri

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu11 ай бұрын

    Nyie simulisema Azam no ziro kuliko Simba.

Келесі