FEI TOTO| AZAM WAKICHEZA KAMA WANAVYOCHEZA NA YANGA WANAWEZA KUFIKA MBALI| SIO WAPINZANI WA SIMBA
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 58
Kipindi cha kusifia Yanga. Wanaongelewa Azam lakini muda wote sifa kwa Yanga, tunapewa sababu za kwanini Yanga ni timu bora
@alphakaguo3896
11 ай бұрын
Inaumaesikamanyinyitu uefm
MAYELE aliwahi kusema the same thing ,jamaa wakaja juu eti AWAOMBE radhi
AZAM INALETA AIBU SANA IMEFANYA UWEKEZAJI MKUBWA LKN IMEZIDIWA HATA NA MUNGO
Halafu mzee Bakhresa sio mmiliki Azam Fc. Yeye nishabiki wa Simba Fc.
@youngbabylon9094
11 ай бұрын
Mbona hueleweki...mara sio mmiliki mara shabiki wasimbaa😂😂😂
@rockygappi1018
11 ай бұрын
Wacha ung'ombe wewe kwani Bakhressa kuwa shabiki wa simba kuna nini??..mbona Gharib wa GSM nae ni mpenzi wa simba??au we hilo hujui???
@mohamedkutwambi
11 ай бұрын
Mbona Mo naye ni shabiki wa Timu yangu
@yakobokuzenza6837
11 ай бұрын
Daaah!Kumbe ww ndo mmiliki wa Azam!
mayele..alishaongea..mkamuona mkongo...haya wache waikamie yanga
Kama nguvu wanayoitumia Azam wangeitumia kucheza na timu nyingine Azam wangekuwa mbali sana
Azam kinachowatesa ni Jina lao. Wabadilishe jina itawapa spirit ya kupambana. Mashujaa watafanya vizuri Kwa AJILI tunya jina lao na sio uwekezaji. Simba wanafanya vizuri Kwa AJILI ya jina lao TU. Hata walipokuwa wabovu walifanya vizuri kimataifa. Unapojiita Azam, mchezaji anajihisi utamuutamu TU na haifanyi mtu akawa jasiri kupambana. Watastragle sana
@MnubiMm
11 ай бұрын
Swala sio jina uwezo na jina vitu viwili tofauti mpira hausiani na majina ya timu labda ungeniambia washabiki hawana
Tatizo azam wanateswa na siasa za simba na yanga hawaja simama wao kama wao
AZAM ni ndogo sana huwa inatumwa na kuwekewa shekeri za kuikomboa Yanga tu
@highvoltages4169
11 ай бұрын
Kwa wasiofaham neno shekeli maana yake ni hela
Walipoambiwa na MAYELE kuwa wakicheza na Yanga huwa wanakamia akina Zaka za kazi wakang'ooola --- sasa semeni wenyewe -- wapigaji tu
Sasa Azam star wao ni feisal unataka watoboe wapi
@mussammanga7791
11 ай бұрын
Na waliokuwa wanamfanya awe star wote wapo Yanga, hahahahaa! Mtoto akililia wembe mpe. Hakuna ubishi ukitoka hizi klabu kubwa mbili Tanzania hasa Yanga kwenda klabu nyengine Tanzania ujuwe umepotea. Daaa! lkn tamaa imemponza, aliona bora mpira upotew lkn apate pesa, ndio maamuzi yake huwezi kumpangia isipokuwa kutoa ushauri tu.
Wakamiaji fc
Unacheza vibaya unapata matokeo ?😂😂😂 Wew ni msemaji kivuli wa ysng africa
Wanakamia sana hua
Osca acha kuongea ivoo yan timu ndogo yoyote ile ikicheza na yang na simba lazima zijikaze kwan hata ihef alijikaza alipocheza na yanga
@user-rx7jg6kh9h
11 ай бұрын
Ni kwel lkn azam ana udogo gani?Azam ni mkubwa ki kiundombinu na kifedha na ndo timu kubwa inavyokuwa ko kusema Azam ni timu ndogo sio kwel nazani wana ujinga ujinga mwing wa kushindwa kujipa daraja la hadhi yao.Hawa kwa kule Egypt ni pyramids sema hawajielew tu
Mayele alisema hayo maneno alishambuliwa sana
Wasafi = Yanga Huna haja kusikiliza maana unasikiliza YANGA FM
@sylvetermtunga4587
11 ай бұрын
Efm simba fc ngoma draw😂😂😂
Wasafi mnajipotezea heshima ila nyie hamwelewi
Wa kwanza mimi
wachezaji wengi wa Azam wanapenda kuchezea yanga na ndio maana wanajituma lengo mchezaji aonekane lengo wasajiliwe mujue hivyo
@AzizJawad-br3ij
11 ай бұрын
Kama wanapenda Yanga na Fei toto anapenda nini ????
Azam iko hovyo
Mapema sana kuihukumu Azam kwa msimu huu subirini hata mechi ya marudiano kwanzo kwa ufupi mmekosa mjadala wa kumalizia show
@patrickmukundichalamila3038
11 ай бұрын
Mmmhhh eti mapema kweli? Basi kama hujui baba mpira unaanza na mechi ya kwanza iwe ya kirafiki au ya kimashindano.
Wakamiaji tuuu!!!hawanatimuuuuuù😂😃😂😂
Yanga ndo kirakitu hapa tz
Wakamiaji hao, hawana mchezo wa kiuungwana akamiko kamuumiza skudu
Yani me siwapendag hawa wasenge wachambuz kila siku wanaichambua utopol tuuu
Baba levo mbona achangii mada
@daruzein
11 ай бұрын
Anachangia nini wakati ye hakuna anachojua tofauti na Yanga
😅
Muna ongea matope tu hamu juwi mpila
Mnazngua
Azam wamefungwa ugenini. Hata Al ahly wanafungwa ugenini. Mnakosoa mapema sana. Ndio maana wachambuzi wa Kibongo mnatafuta pa kukosoa badala ya uhalisia wa mambo.
@ibadymanyuka1611
11 ай бұрын
😁😁😁😁😁 wamefungwa tena huko 🤪🤪🤪 na ndo wameshatolewa wanajipanga tena nwakani
MOJA KATI YA WACHAMBUZI WABOVU AMBAO MASHABIKI HAWAKUBALI N WA WASAFII KILA SIKU WANASIFIA UTOPOLOO
@mussammanga7791
11 ай бұрын
Sasa wasifiwe mandunduka wkt mpira wao haonekani. Tusione haya kusema misimu hii timu yenye kucheza mpira wakueleweka ni Yanga peke yake waliobakia ni kupakana madenda. hahahahaaa!
@ahmadsalim4417
11 ай бұрын
Kwasababu ndio timu bora 😅😅😅
Mbona Al Ahly miaka yote Akija Tz anakosa ushindi sembuse Azamfc kufungwa Away na tim hle
@bsmonline8482
11 ай бұрын
Anakosa ushindi ila miaka yote anachukua ubingwa 😂😂😂. Al Ahly anacheza kimkakati niambie lini Al Ahly kafungwa goli 2 hapa Tz. Haya ukienda kwake 😅😅😅 anataka matokeo anakupiga ngapi? Azam angeshinda nyumbani
@ibadymanyuka1611
11 ай бұрын
Wamefungwa tena huko hahahaha wakaniaji bahna
Ujinga tu muda wote Yanga kacheza usenge tu Tanga Leo majitu yanasifia tunashaka na vyeti vyenu
O umsm kwel
Azam inafanya vizuri msimu huu mtakuja kushagaaaaaaaaaaaaaaaaa
Jamani kila jambo lina wakati wake azam nao mda wao utafika watafanya vizuri
Nyie simulisema Azam no ziro kuliko Simba.