Na nyinyi wa ndishi wa habali mnapokea sana vitu vya uwongo simba haina uwezo wa kumsaji Mayeĺĺeĺ
@ZaitunRashid-oz2kr2 ай бұрын
We love mayele. ❤❤😅😅❤❤
@OmarAlly-rm9lh
2 ай бұрын
Ni,yakweri
@justinmwanyingili8073Ай бұрын
Sana tunataka akateteme simba sports kilabu
@shukulufbtz60127 күн бұрын
Karibu sana mayere
@JulioJirestz3 ай бұрын
Kalibu sana fistoni mayere
@VitalisTumain-ip2gh4 ай бұрын
Karibu mayere simba
@user-ke4pl3yw2k Жыл бұрын
Jaman tuwe tunamuogopa na mungu HV mnahc mnavotudanganya ni vzr ety so pow
@SeveriniFabianmpakawasemeeee
4 ай бұрын
Ungo mtupuuuu
@user-cq4pv3gh1y
2 ай бұрын
Simba ebu acheni kutufanya watoto .mwaka jani ilikuwa iviivi kwa mchezaji fulani tukasikia yuko andia. Tena mnataka kutudanganja tena kuhusu mayele duuuu
@VictorPaulo-j4b20 күн бұрын
Karibu sanaaaaa
@SamsoniSamweli21 күн бұрын
Tunamtakka mayele na Feisal waje msimbazi mafundi wa ball
@kulandera2020 Жыл бұрын
Pamoja na yote wenzetu wnalia hawaamini Kama kweli Mayele anaenda Simba hawatajaili sanaakienda popote Soo simba
@user-hk7zq2yn1u2 ай бұрын
Je mayele atakua ana pa form vizuri
@yohanakilangi8116 Жыл бұрын
Jaman ivyi ni kweli mayele yupo msimbanzi
@jumaMohammedi-rt2ys
4 ай бұрын
Jaman nikwer au nimanen2
@BernaFortunatus-sl9ig
3 ай бұрын
Kawaida
@user-cu9tq4eu5h Жыл бұрын
Mayele Yanga si kwao Mayele kwao ni Simba Karibu Mayele ndani ya Simba Usiogope hawakufanyi kitu ha o Simba no.mfalme wa Nyika
@ManenoMaji24 күн бұрын
kariba sana mayere
@KelVin-yz5gc2 ай бұрын
Mayere acha kuwa mjinga rudi yanga heshima yako itashuka naufarume wako utapotea bora uende hata azam sc uta enjoy maisha
@anthonikomba285824 күн бұрын
9, 6 Dr❤😮😮🎉🎉 4:43
@EmanuelMalimi-u2h20 күн бұрын
Kalibu mwanangu
@user-ls1vh5um1u6 ай бұрын
Mayele hawezi kwenda Simba mayele anamapenz na club ya yanga
@hamisimkima-un3jk Жыл бұрын
Majungu FC
@MichaelSingu
6 ай бұрын
Manyele hawezi kwenda kwamakolo
@HabibaRamadhani-pe9kj Жыл бұрын
si sio watoto Simba by king obutu
@DanielSilanga7 ай бұрын
Hivi ni kweli au VP mwanangu wa simba
@SeveriniFabianmpakawasemeeee
4 ай бұрын
Mwana simba nikwli au vp
@wolframduwe Жыл бұрын
karibu kariakoo mayele
@RizikiAbdala
Жыл бұрын
Mnatafuta kik mmbwa mimi nyie chekeni ila mtaula tu
@justinmwanyingili8073Ай бұрын
Tunamkalibixha sana wana simba
@CharlesKipantaАй бұрын
Hapa utopro wanatafuta nini humu mbo awatulii
@user-nn3bt4rr4q4 ай бұрын
Havi kweli jamani Mayele kajiunga na simba
@MwnaharusiSaidi5 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@AloyceCosmas-v6w4 күн бұрын
Simba
@AngelSteven-sg8wp4 ай бұрын
Simbaaa❤
@ChadoKijiko29 күн бұрын
Ni kweli ngoja tuone kama yupo fresh
@GairosMasandawa4 ай бұрын
Mayele ni mtu na nusu tukichukua na dube itakuwa hatar na nusu jamn Simba viongoz wetu fanyen kwel
@AlikeyKibuga-gn7ly Жыл бұрын
Mayele hamna mchezaji apo mm apa ni shabik wa simba lakin kwa Mayele hua simuamini hajui kma chama
@OmariJuma-pk7reАй бұрын
Simba oyeeeeee
@MashakaZanzibarАй бұрын
Nafurahi sana
@Baracka-yo8eq Жыл бұрын
Hii ndiyo simba yamoto mno msimhuu hakika tumezamilia
@VeronicaChambo-o4v20 күн бұрын
❤❤❤
@ZulfaAthuman-m7g8 күн бұрын
❤
@SuleimaniMohamed-rh5qu4 ай бұрын
Simba nichama kikubwa hela tunao simba hatuna shaka kalibu maele
@RafaelKayegeleАй бұрын
Aah!! Mayele ndo nn unaniacha hoi me yanga Queen 😢😢
@GairosMasandawa4 ай бұрын
Simba kama kwel tunamchukua mayele itakuwa Simba bora
@user-ul8vw2on2g
4 ай бұрын
Ivi nikweli ninacho kiona apa kuwa simba inamchuwa mayele jamani
@mjukuubujaga3230 Жыл бұрын
Last season nilikuwa nasikia eti manzoki Sahi mayele aki Simba weeeh🤣🤣🤣
@CorinerybahatiNyambulapi-ql6zm25 күн бұрын
Simba ni style mbovu inatumika ili kurudisha Mashabiki tuu
@MartinLudigery2 ай бұрын
Utopolo acheni zenu simba itabaki kuwa simba
@SleepyHikingWaterfall-js5mo7 ай бұрын
Mmechoka na sisi habar zakizush kias hik mnafanya biashala au ushamba tumewachoka meshindwa kutafta habali za ukweli mnatuona sie mashabiki wa Simba mazizu
@JosephRichard-fj2lh4 ай бұрын
Simba hawana Hela ya kumsajili kijana mayele wao wanaweza kusajili wazee ndo zao.
@FinaKawiza-sw5dw7 ай бұрын
Mbona mijez mingi za msimu uliopita kuna nini hapa japo kauli mbiu ndo inayyonekana ni ya msimu huu
@MusaMalegi2 ай бұрын
Ok good Kama ametuwa msimbaz
@allymnyama1386 Жыл бұрын
Mm ni mshabiki pia mwanachama wa simba lkn kwa hili la nyie battle tv kutoa hbr hakika ni uongo wengine ss tutajitoa kutokuwacliliza
@user-no2me3qs7t4 ай бұрын
Simba mbele kwambele
@MamaObed-zb3om2 ай бұрын
Karibu
@TemboMabalaАй бұрын
Simba kwell achen uong
@yangacongosupporter6051 Жыл бұрын
Mayele awezi kwenda Simba jamani
@maryMushi-wq9qw
Жыл бұрын
Ndo hivyo ameshakuja😪😪😪😪😋
@user-bf9rj2xm1w4 ай бұрын
Shauri kwako
@MukhtarAlly-ch5hq2 ай бұрын
Mnazingua kwani mayele Kawa mess mnatafuta vewers au acheni njaa
@maulidihamis1745 Жыл бұрын
Pumbavu sanaa sasa mbona hamjawatambisha
@user-mc9mu6fp3x6 ай бұрын
Acheni tamaa, Simba watampa nini mayele, wao wenyewe wanakula Kwa shida
@user-hc2nw1mb2z
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂BDO hamjasema
@user-oq6dx8mf9x4 ай бұрын
Je ni kweli sijaamini
@mussammanga7791Ай бұрын
Kumbe Mayele mnahitaji? Si mlisema si mchezaji?
@JenaSikujua4 ай бұрын
Jaman mayele kama kwer unakuja simba tunakukaribisha
@JosephBaranteАй бұрын
Hayo ndo maneno y simb Kila msimu maneno mengi vitendo hakuna
Пікірлер: 234
Mungu ijalie Simba insha'Allah
Inaeza ikawa ni kweli fiston kalala mayele kaja msimbazi
Mayele ni mchezaji wa kawaida Sana hawezi kupokewa kwa shamrashara hivi, Kuna jambo linaendelea hapo na CRDB.
@Anod-sy9nj
7 ай бұрын
Amakweri
mayele welcam to simba sport club welcam to to home my blother thank u
Karibu mzee kutetema ❤ ilove you mayerre
Hata aende simba hatuna wasiwasi pamoja nahayo ila kazi inaendelea "piece and love kwa wanajangwani "ni fireeeee.
Shamra shamra huo ni ya lini mbona mnatushua zana sis washabiki wa simba ambao tuko mbali na nchi yetu tetesi zimekua nyingi yasiyo elewk
Sajilieni vizuri kabisa musimuhuu tumeumia sanatu
❤❤❤❤❤❤❤❤ mayeleeeeeww
Mayele +dube simba hyoo itakuwa ya moto mtatufurahisha washabiki hebuu fanyeni hivoo
Na nyinyi wa ndishi wa habali mnapokea sana vitu vya uwongo simba haina uwezo wa kumsaji Mayeĺĺeĺ
We love mayele. ❤❤😅😅❤❤
@OmarAlly-rm9lh
2 ай бұрын
Ni,yakweri
Sana tunataka akateteme simba sports kilabu
Karibu sana mayere
Kalibu sana fistoni mayere
Karibu mayere simba
Jaman tuwe tunamuogopa na mungu HV mnahc mnavotudanganya ni vzr ety so pow
@SeveriniFabianmpakawasemeeee
4 ай бұрын
Ungo mtupuuuu
@user-cq4pv3gh1y
2 ай бұрын
Simba ebu acheni kutufanya watoto .mwaka jani ilikuwa iviivi kwa mchezaji fulani tukasikia yuko andia. Tena mnataka kutudanganja tena kuhusu mayele duuuu
Karibu sanaaaaa
Tunamtakka mayele na Feisal waje msimbazi mafundi wa ball
Pamoja na yote wenzetu wnalia hawaamini Kama kweli Mayele anaenda Simba hawatajaili sanaakienda popote Soo simba
Je mayele atakua ana pa form vizuri
Jaman ivyi ni kweli mayele yupo msimbanzi
@jumaMohammedi-rt2ys
4 ай бұрын
Jaman nikwer au nimanen2
@BernaFortunatus-sl9ig
3 ай бұрын
Kawaida
Mayele Yanga si kwao Mayele kwao ni Simba Karibu Mayele ndani ya Simba Usiogope hawakufanyi kitu ha o Simba no.mfalme wa Nyika
kariba sana mayere
Mayere acha kuwa mjinga rudi yanga heshima yako itashuka naufarume wako utapotea bora uende hata azam sc uta enjoy maisha
9, 6 Dr❤😮😮🎉🎉 4:43
Kalibu mwanangu
Mayele hawezi kwenda Simba mayele anamapenz na club ya yanga
Majungu FC
@MichaelSingu
6 ай бұрын
Manyele hawezi kwenda kwamakolo
si sio watoto Simba by king obutu
Hivi ni kweli au VP mwanangu wa simba
@SeveriniFabianmpakawasemeeee
4 ай бұрын
Mwana simba nikwli au vp
karibu kariakoo mayele
@RizikiAbdala
Жыл бұрын
Mnatafuta kik mmbwa mimi nyie chekeni ila mtaula tu
Tunamkalibixha sana wana simba
Hapa utopro wanatafuta nini humu mbo awatulii
Havi kweli jamani Mayele kajiunga na simba
❤❤❤❤❤
Simba
Simbaaa❤
Ni kweli ngoja tuone kama yupo fresh
Mayele ni mtu na nusu tukichukua na dube itakuwa hatar na nusu jamn Simba viongoz wetu fanyen kwel
Mayele hamna mchezaji apo mm apa ni shabik wa simba lakin kwa Mayele hua simuamini hajui kma chama
Simba oyeeeeee
Nafurahi sana
Hii ndiyo simba yamoto mno msimhuu hakika tumezamilia
❤❤❤
❤
Simba nichama kikubwa hela tunao simba hatuna shaka kalibu maele
Aah!! Mayele ndo nn unaniacha hoi me yanga Queen 😢😢
Simba kama kwel tunamchukua mayele itakuwa Simba bora
@user-ul8vw2on2g
4 ай бұрын
Ivi nikweli ninacho kiona apa kuwa simba inamchuwa mayele jamani
Last season nilikuwa nasikia eti manzoki Sahi mayele aki Simba weeeh🤣🤣🤣
Simba ni style mbovu inatumika ili kurudisha Mashabiki tuu
Utopolo acheni zenu simba itabaki kuwa simba
Mmechoka na sisi habar zakizush kias hik mnafanya biashala au ushamba tumewachoka meshindwa kutafta habali za ukweli mnatuona sie mashabiki wa Simba mazizu
Simba hawana Hela ya kumsajili kijana mayele wao wanaweza kusajili wazee ndo zao.
Mbona mijez mingi za msimu uliopita kuna nini hapa japo kauli mbiu ndo inayyonekana ni ya msimu huu
Ok good Kama ametuwa msimbaz
Mm ni mshabiki pia mwanachama wa simba lkn kwa hili la nyie battle tv kutoa hbr hakika ni uongo wengine ss tutajitoa kutokuwacliliza
Simba mbele kwambele
Karibu
Simba kwell achen uong
Mayele awezi kwenda Simba jamani
@maryMushi-wq9qw
Жыл бұрын
Ndo hivyo ameshakuja😪😪😪😪😋
Shauri kwako
Mnazingua kwani mayele Kawa mess mnatafuta vewers au acheni njaa
Pumbavu sanaa sasa mbona hamjawatambisha
Acheni tamaa, Simba watampa nini mayele, wao wenyewe wanakula Kwa shida
@user-hc2nw1mb2z
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂BDO hamjasema
Je ni kweli sijaamini
Kumbe Mayele mnahitaji? Si mlisema si mchezaji?
Jaman mayele kama kwer unakuja simba tunakukaribisha
Hayo ndo maneno y simb Kila msimu maneno mengi vitendo hakuna
Yuko wapi huyo Mayele hapa?hebu mtambulisheni tumwone
Msibani natoa 100m kwa shabiki wa yanga atakaelia kumkosa mayele
daaah mungu anisamehe kama nimewatukana kimoyomoyo. ngoja nitie ka dislike hapo juu
OK hata mimi naungana na kumchukua mayele
Aise isijeikawa mnatulusha tu hapa
Naisi ao waomaliza mb zetu kwa kutuongopea wanafilana
Akuna kitu kama icho yanga aiwez maanake simba munaiga
Imeisha iyo
Mayele aje msimbazi tunamtakka San ,,,fundi wa mpira
Iwe kweli
Nijambo la heri ajitahidi naawe imara kama mwanzo
Ukwer wanasimba tunateka xana me niwaombe viongoz waache tamaa watuxajilie kwanza watu xio Bola wa2
Kama kweli haya
Unyama sana
@ShijaKulwa-fz4ex
4 ай бұрын
Video
Siamini haya Kama ni ya kweli
Simba nimadunduka hayajielewi
Kwani nikwer mayere kasajiliwa Simba au niuongotu
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Wanataka tuangalie juu utumbo huu
Weeee achen utan mayelee so mchezaji wamchongo msifananishe nautopolo mwingine msiwe mnatudanganya
Kateteme Kama yangaa baba
😂😂😂Simba kazi mnayo
@maryMushi-wq9qw
Жыл бұрын
Wapi wee😪😆😄😁
Siliasi kaja mzeee wakutetemaaaa msimbaziiiiii
Acheni habari zenu
Hawa jamaa waongo nyie mtwaua vyura kwa preshaaa
Sisi sio watoto bwa wakudaganya ovyo
Mayele laza asajiliwe simba
Niite mbwa Madeley akienda simba
Kwenye kazi panakazi simba nguvu moja mbaka waseme.
ohyoooooo jembe iro
Kwani nikweli mayele yupo
Hii. Ni lini mwaka gani
Ukiziamin habar za kwenye mitandao utakufa na presha
@restkikiwa9938
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Hakuna presha kwa Yanga presha wanayo hawa madunduka na watangazaji wao