Kumekucha: SIMBA WAMTAMBULISHA FISTON MAYELE Muda huu LEADERS CLUB....

Спорт

#BATTLETV

Пікірлер: 234

  • @VeronicaChambo-o4v
    @VeronicaChambo-o4v20 күн бұрын

    Mungu ijalie Simba insha'Allah

  • @benjaackyoo6563
    @benjaackyoo65632 ай бұрын

    Inaeza ikawa ni kweli fiston kalala mayele kaja msimbazi

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 Жыл бұрын

    Mayele ni mchezaji wa kawaida Sana hawezi kupokewa kwa shamrashara hivi, Kuna jambo linaendelea hapo na CRDB.

  • @Anod-sy9nj

    @Anod-sy9nj

    7 ай бұрын

    Amakweri

  • @user-ty2tb5dj7w
    @user-ty2tb5dj7w4 ай бұрын

    mayele welcam to simba sport club welcam to to home my blother thank u

  • @MagnusLucas-q6f
    @MagnusLucas-q6f23 күн бұрын

    Karibu mzee kutetema ❤ ilove you mayerre

  • @Hamismayila.Nyanda.
    @Hamismayila.Nyanda.3 ай бұрын

    Hata aende simba hatuna wasiwasi pamoja nahayo ila kazi inaendelea "piece and love kwa wanajangwani "ni fireeeee.

  • @yohanakiureimoon-mo4py
    @yohanakiureimoon-mo4py2 ай бұрын

    Shamra shamra huo ni ya lini mbona mnatushua zana sis washabiki wa simba ambao tuko mbali na nchi yetu tetesi zimekua nyingi yasiyo elewk

  • @AllyShaban-y6i
    @AllyShaban-y6i29 күн бұрын

    Sajilieni vizuri kabisa musimuhuu tumeumia sanatu

  • @JenniferJennifer-b1y
    @JenniferJennifer-b1y10 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ mayeleeeeeww

  • @SauliLegeka
    @SauliLegeka2 ай бұрын

    Mayele +dube simba hyoo itakuwa ya moto mtatufurahisha washabiki hebuu fanyeni hivoo

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f29 күн бұрын

    Na nyinyi wa ndishi wa habali mnapokea sana vitu vya uwongo simba haina uwezo wa kumsaji Mayeĺĺeĺ

  • @ZaitunRashid-oz2kr
    @ZaitunRashid-oz2kr2 ай бұрын

    We love mayele. ❤❤😅😅❤❤

  • @OmarAlly-rm9lh

    @OmarAlly-rm9lh

    2 ай бұрын

    Ni,yakweri

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073Ай бұрын

    Sana tunataka akateteme simba sports kilabu

  • @shukulufbtz601
    @shukulufbtz60127 күн бұрын

    Karibu sana mayere

  • @JulioJirestz
    @JulioJirestz3 ай бұрын

    Kalibu sana fistoni mayere

  • @VitalisTumain-ip2gh
    @VitalisTumain-ip2gh4 ай бұрын

    Karibu mayere simba

  • @user-ke4pl3yw2k
    @user-ke4pl3yw2k Жыл бұрын

    Jaman tuwe tunamuogopa na mungu HV mnahc mnavotudanganya ni vzr ety so pow

  • @SeveriniFabianmpakawasemeeee

    @SeveriniFabianmpakawasemeeee

    4 ай бұрын

    Ungo mtupuuuu

  • @user-cq4pv3gh1y

    @user-cq4pv3gh1y

    2 ай бұрын

    Simba ebu acheni kutufanya watoto .mwaka jani ilikuwa iviivi kwa mchezaji fulani tukasikia yuko andia. Tena mnataka kutudanganja tena kuhusu mayele duuuu

  • @VictorPaulo-j4b
    @VictorPaulo-j4b20 күн бұрын

    Karibu sanaaaaa

  • @SamsoniSamweli
    @SamsoniSamweli21 күн бұрын

    Tunamtakka mayele na Feisal waje msimbazi mafundi wa ball

  • @kulandera2020
    @kulandera2020 Жыл бұрын

    Pamoja na yote wenzetu wnalia hawaamini Kama kweli Mayele anaenda Simba hawatajaili sanaakienda popote Soo simba

  • @user-hk7zq2yn1u
    @user-hk7zq2yn1u2 ай бұрын

    Je mayele atakua ana pa form vizuri

  • @yohanakilangi8116
    @yohanakilangi8116 Жыл бұрын

    Jaman ivyi ni kweli mayele yupo msimbanzi

  • @jumaMohammedi-rt2ys

    @jumaMohammedi-rt2ys

    4 ай бұрын

    Jaman nikwer au nimanen2

  • @BernaFortunatus-sl9ig

    @BernaFortunatus-sl9ig

    3 ай бұрын

    Kawaida

  • @user-cu9tq4eu5h
    @user-cu9tq4eu5h Жыл бұрын

    Mayele Yanga si kwao Mayele kwao ni Simba Karibu Mayele ndani ya Simba Usiogope hawakufanyi kitu ha o Simba no.mfalme wa Nyika

  • @ManenoMaji
    @ManenoMaji24 күн бұрын

    kariba sana mayere

  • @KelVin-yz5gc
    @KelVin-yz5gc2 ай бұрын

    Mayere acha kuwa mjinga rudi yanga heshima yako itashuka naufarume wako utapotea bora uende hata azam sc uta enjoy maisha

  • @anthonikomba2858
    @anthonikomba285824 күн бұрын

    9, 6 Dr❤😮😮🎉🎉 4:43

  • @EmanuelMalimi-u2h
    @EmanuelMalimi-u2h20 күн бұрын

    Kalibu mwanangu

  • @user-ls1vh5um1u
    @user-ls1vh5um1u6 ай бұрын

    Mayele hawezi kwenda Simba mayele anamapenz na club ya yanga

  • @hamisimkima-un3jk
    @hamisimkima-un3jk Жыл бұрын

    Majungu FC

  • @MichaelSingu

    @MichaelSingu

    6 ай бұрын

    Manyele hawezi kwenda kwamakolo

  • @HabibaRamadhani-pe9kj
    @HabibaRamadhani-pe9kj Жыл бұрын

    si sio watoto Simba by king obutu

  • @DanielSilanga
    @DanielSilanga7 ай бұрын

    Hivi ni kweli au VP mwanangu wa simba

  • @SeveriniFabianmpakawasemeeee

    @SeveriniFabianmpakawasemeeee

    4 ай бұрын

    Mwana simba nikwli au vp

  • @wolframduwe
    @wolframduwe Жыл бұрын

    karibu kariakoo mayele

  • @RizikiAbdala

    @RizikiAbdala

    Жыл бұрын

    Mnatafuta kik mmbwa mimi nyie chekeni ila mtaula tu

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073Ай бұрын

    Tunamkalibixha sana wana simba

  • @CharlesKipanta
    @CharlesKipantaАй бұрын

    Hapa utopro wanatafuta nini humu mbo awatulii

  • @user-nn3bt4rr4q
    @user-nn3bt4rr4q4 ай бұрын

    Havi kweli jamani Mayele kajiunga na simba

  • @MwnaharusiSaidi
    @MwnaharusiSaidi5 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @AloyceCosmas-v6w
    @AloyceCosmas-v6w4 күн бұрын

    Simba

  • @AngelSteven-sg8wp
    @AngelSteven-sg8wp4 ай бұрын

    Simbaaa❤

  • @ChadoKijiko
    @ChadoKijiko29 күн бұрын

    Ni kweli ngoja tuone kama yupo fresh

  • @GairosMasandawa
    @GairosMasandawa4 ай бұрын

    Mayele ni mtu na nusu tukichukua na dube itakuwa hatar na nusu jamn Simba viongoz wetu fanyen kwel

  • @AlikeyKibuga-gn7ly
    @AlikeyKibuga-gn7ly Жыл бұрын

    Mayele hamna mchezaji apo mm apa ni shabik wa simba lakin kwa Mayele hua simuamini hajui kma chama

  • @OmariJuma-pk7re
    @OmariJuma-pk7reАй бұрын

    Simba oyeeeeee

  • @MashakaZanzibar
    @MashakaZanzibarАй бұрын

    Nafurahi sana

  • @Baracka-yo8eq
    @Baracka-yo8eq Жыл бұрын

    Hii ndiyo simba yamoto mno msimhuu hakika tumezamilia

  • @VeronicaChambo-o4v
    @VeronicaChambo-o4v20 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @ZulfaAthuman-m7g
    @ZulfaAthuman-m7g8 күн бұрын

  • @SuleimaniMohamed-rh5qu
    @SuleimaniMohamed-rh5qu4 ай бұрын

    Simba nichama kikubwa hela tunao simba hatuna shaka kalibu maele

  • @RafaelKayegele
    @RafaelKayegeleАй бұрын

    Aah!! Mayele ndo nn unaniacha hoi me yanga Queen 😢😢

  • @GairosMasandawa
    @GairosMasandawa4 ай бұрын

    Simba kama kwel tunamchukua mayele itakuwa Simba bora

  • @user-ul8vw2on2g

    @user-ul8vw2on2g

    4 ай бұрын

    Ivi nikweli ninacho kiona apa kuwa simba inamchuwa mayele jamani

  • @mjukuubujaga3230
    @mjukuubujaga3230 Жыл бұрын

    Last season nilikuwa nasikia eti manzoki Sahi mayele aki Simba weeeh🤣🤣🤣

  • @CorinerybahatiNyambulapi-ql6zm
    @CorinerybahatiNyambulapi-ql6zm25 күн бұрын

    Simba ni style mbovu inatumika ili kurudisha Mashabiki tuu

  • @MartinLudigery
    @MartinLudigery2 ай бұрын

    Utopolo acheni zenu simba itabaki kuwa simba

  • @SleepyHikingWaterfall-js5mo
    @SleepyHikingWaterfall-js5mo7 ай бұрын

    Mmechoka na sisi habar zakizush kias hik mnafanya biashala au ushamba tumewachoka meshindwa kutafta habali za ukweli mnatuona sie mashabiki wa Simba mazizu

  • @JosephRichard-fj2lh
    @JosephRichard-fj2lh4 ай бұрын

    Simba hawana Hela ya kumsajili kijana mayele wao wanaweza kusajili wazee ndo zao.

  • @FinaKawiza-sw5dw
    @FinaKawiza-sw5dw7 ай бұрын

    Mbona mijez mingi za msimu uliopita kuna nini hapa japo kauli mbiu ndo inayyonekana ni ya msimu huu

  • @MusaMalegi
    @MusaMalegi2 ай бұрын

    Ok good Kama ametuwa msimbaz

  • @allymnyama1386
    @allymnyama1386 Жыл бұрын

    Mm ni mshabiki pia mwanachama wa simba lkn kwa hili la nyie battle tv kutoa hbr hakika ni uongo wengine ss tutajitoa kutokuwacliliza

  • @user-no2me3qs7t
    @user-no2me3qs7t4 ай бұрын

    Simba mbele kwambele

  • @MamaObed-zb3om
    @MamaObed-zb3om2 ай бұрын

    Karibu

  • @TemboMabala
    @TemboMabalaАй бұрын

    Simba kwell achen uong

  • @yangacongosupporter6051
    @yangacongosupporter6051 Жыл бұрын

    Mayele awezi kwenda Simba jamani

  • @maryMushi-wq9qw

    @maryMushi-wq9qw

    Жыл бұрын

    Ndo hivyo ameshakuja😪😪😪😪😋

  • @user-bf9rj2xm1w
    @user-bf9rj2xm1w4 ай бұрын

    Shauri kwako

  • @MukhtarAlly-ch5hq
    @MukhtarAlly-ch5hq2 ай бұрын

    Mnazingua kwani mayele Kawa mess mnatafuta vewers au acheni njaa

  • @maulidihamis1745
    @maulidihamis1745 Жыл бұрын

    Pumbavu sanaa sasa mbona hamjawatambisha

  • @user-mc9mu6fp3x
    @user-mc9mu6fp3x6 ай бұрын

    Acheni tamaa, Simba watampa nini mayele, wao wenyewe wanakula Kwa shida

  • @user-hc2nw1mb2z

    @user-hc2nw1mb2z

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂BDO hamjasema

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x4 ай бұрын

    Je ni kweli sijaamini

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791Ай бұрын

    Kumbe Mayele mnahitaji? Si mlisema si mchezaji?

  • @JenaSikujua
    @JenaSikujua4 ай бұрын

    Jaman mayele kama kwer unakuja simba tunakukaribisha

  • @JosephBarante
    @JosephBaranteАй бұрын

    Hayo ndo maneno y simb Kila msimu maneno mengi vitendo hakuna

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat19277 ай бұрын

    Yuko wapi huyo Mayele hapa?hebu mtambulisheni tumwone

  • @user-wr2kv8cf1l
    @user-wr2kv8cf1l7 ай бұрын

    Msibani natoa 100m kwa shabiki wa yanga atakaelia kumkosa mayele

  • @Changamko
    @Changamko Жыл бұрын

    daaah mungu anisamehe kama nimewatukana kimoyomoyo. ngoja nitie ka dislike hapo juu

  • @PaulJacksonKazungu
    @PaulJacksonKazungu11 күн бұрын

    OK hata mimi naungana na kumchukua mayele

  • @erickmhule
    @erickmhuleАй бұрын

    Aise isijeikawa mnatulusha tu hapa

  • @kulwahemedi1110
    @kulwahemedi11107 ай бұрын

    Naisi ao waomaliza mb zetu kwa kutuongopea wanafilana

  • @henryjmwampashi1499
    @henryjmwampashi14994 ай бұрын

    Akuna kitu kama icho yanga aiwez maanake simba munaiga

  • @user-qs4ht5oe8u
    @user-qs4ht5oe8u Жыл бұрын

    Imeisha iyo

  • @SamsoniSamweli
    @SamsoniSamweli21 күн бұрын

    Mayele aje msimbazi tunamtakka San ,,,fundi wa mpira

  • @user-ve2so8yg2i
    @user-ve2so8yg2iАй бұрын

    Iwe kweli

  • @JulianaSamson-ib2qi
    @JulianaSamson-ib2qi Жыл бұрын

    Nijambo la heri ajitahidi naawe imara kama mwanzo

  • @AziziNgunda
    @AziziNgundaАй бұрын

    Ukwer wanasimba tunateka xana me niwaombe viongoz waache tamaa watuxajilie kwanza watu xio Bola wa2

  • @AshirafuRajabu-uz4bt
    @AshirafuRajabu-uz4btАй бұрын

    Kama kweli haya

  • @maryMushi-wq9qw
    @maryMushi-wq9qw Жыл бұрын

    Unyama sana

  • @ShijaKulwa-fz4ex

    @ShijaKulwa-fz4ex

    4 ай бұрын

    Video

  • @RamaIlala
    @RamaIlala2 ай бұрын

    Siamini haya Kama ni ya kweli

  • @user-ft8yq9rh6h
    @user-ft8yq9rh6h4 ай бұрын

    Simba nimadunduka hayajielewi

  • @manenoalfred5111
    @manenoalfred5111 Жыл бұрын

    Kwani nikwer mayere kasajiliwa Simba au niuongotu

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Жыл бұрын

    Wanataka tuangalie juu utumbo huu

  • @user-fw5wn3tp4t
    @user-fw5wn3tp4t4 ай бұрын

    Weeee achen utan mayelee so mchezaji wamchongo msifananishe nautopolo mwingine msiwe mnatudanganya

  • @Mariameric
    @Mariameric24 күн бұрын

    Kateteme Kama yangaa baba

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Жыл бұрын

    😂😂😂Simba kazi mnayo

  • @maryMushi-wq9qw

    @maryMushi-wq9qw

    Жыл бұрын

    Wapi wee😪😆😄😁

  • @SimonMbembela
    @SimonMbembelaАй бұрын

    Siliasi kaja mzeee wakutetemaaaa msimbaziiiiii

  • @user-zz8oc8wk2c
    @user-zz8oc8wk2c7 ай бұрын

    Acheni habari zenu

  • @HolnesJones-bz1vg
    @HolnesJones-bz1vg Жыл бұрын

    Hawa jamaa waongo nyie mtwaua vyura kwa preshaaa

  • @user-xn2ly3kq9c
    @user-xn2ly3kq9c7 ай бұрын

    Sisi sio watoto bwa wakudaganya ovyo

  • @user-sn6ih7yl5z
    @user-sn6ih7yl5z17 күн бұрын

    Mayele laza asajiliwe simba

  • @blandinamdota3200
    @blandinamdota32007 ай бұрын

    Niite mbwa Madeley akienda simba

  • @husseinsalumu6214
    @husseinsalumu62144 ай бұрын

    Kwenye kazi panakazi simba nguvu moja mbaka waseme.

  • @SajentBoniface
    @SajentBoniface3 ай бұрын

    ohyoooooo jembe iro

  • @SandahassaniKipndaroho
    @SandahassaniKipndaroho4 ай бұрын

    Kwani nikweli mayele yupo

  • @KenyataMwijarubi
    @KenyataMwijarubi3 ай бұрын

    Hii. Ni lini mwaka gani

  • @TemwaJilaha-vw9md
    @TemwaJilaha-vw9md Жыл бұрын

    Ukiziamin habar za kwenye mitandao utakufa na presha

  • @restkikiwa9938

    @restkikiwa9938

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Жыл бұрын

    Hakuna presha kwa Yanga presha wanayo hawa madunduka na watangazaji wao

Келесі