#LIVE
Спорт
#daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts
Пікірлер: 40
Hata ya chama yalianza hivihivi Tanzania hii niko pale Simba sc wapo serious sana na usajili msimu huu
Dah! Hatari sana 💪🦁
💥💥💥💥💥#simbafc_fans staying tuned TAREHE 4/07/2024 MAMBO NI MOTO💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 FEI TOTO NI MNYAMAAAAA
AZAM INAWACHEZAJI BORA SANA. TENA INAKIKOSI KIPANA SANA KULIKO HATA YANGA.
Kalibu Feitoto Msimbaz❤
aaaaaaaah kama nikwel inshalah
Ni ngumu sana fei kwenda simba labda sijui itokee nini maana moja ya vipengere vilivyoko azam na yanga ni pamoja kutouzwa simba
Tetesi zako nizaukweli sana❤
Yanga wanaumia
WABAYA WANAOIOMBEA MABAYA SIMBA NA WASHINDWE KABISA KWA JINA LA YESU
@marthamsacky6973
2 күн бұрын
Mamiina
@bonifacealphonce490
2 күн бұрын
Amina
Azam sisi na wao hatuna matatizo watupe tuu feisal
Yess kuna haja ya kumwiita Mchungaji Mwamposa aiombee timu
@marthamsacky6973
2 күн бұрын
Kabisa
❤❤❤
Modwej mwaga pesa kwa Feitoto na Mayele
Shida viongozi wa azam wengi ni yanga ndio maana dude ilikuwa rahisi
Simba tukitaka mchezaji .kwania tunamchukua...
itakua sajili kubwa sana unyamani mo kamilisha iyo watu wakupigie saluti
Peleka mwenyewe Kwa walokole
Yanga wamezoea kudanganywa Kila kitu wanachukulia ni uongo...
Aliye sikia jina la marehem Yusufu maji hebu gonga like hapo ili mwana michezo huyo apumzike kwa amani huko aliko
Mambo mzuli ayataki alaka
AZAM WATACHEMKA
Mo msajili mayele
Haya yangu macho!!! viongozi wasimba mkumbuke kupeleka wachezaji kwa walokole wawaombee ooo yanga wachawi!!
@ImaniMadiba-yu7wn
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@rayisadesigns2646
2 күн бұрын
@JohnJoseph Jamaa ni sikio la kufa, badala ya kuandaa timu halafu wamuombe Mungu awawezeshe washinde, wao wanafanya kinyume chake... 😂😂😂 msimu ulioisha walimuita Mwamposa akawaombea na timu lao bovu matokeo yake wakaishia kula mkono... 😂😂😂 tano baba 😂😂 tena na nafasi ya tatu juu... chaliii kuleee shirikishooo mammaee 🤣🤣🤣😂😂😂
Mke wa kudhulumu haoleki
Wakimtoa tutadhihirisha kuwa wao ni Simba B
@taseleli9181
2 күн бұрын
Kwayo nanyinmliomchukua Chama ni Simba B
simba na taperi wao mo hawana hela ya kumnunua fei ni ndoto hiyooo
@user-tm7nt8wm1x
2 күн бұрын
Tapering mama yako ngombe weee
@user-tm7nt8wm1x
2 күн бұрын
Tapeli mama yako siyo simba msinge weee
@AkidaNzambah
2 күн бұрын
LKN HUWA MNAWAZA NN KUONGEA UPUUZI??
@nasrayusuph8136
2 күн бұрын
Una teseka ukiwa wp
@AllykhamisAlly-nq5jk
Күн бұрын
Hersi ndo tapeli namba moja utopolo amkeni musione munafanya vizur mukajiona majibwa kumbe makenge tuu
Mhuuu ya kwl???! Eb tusubl