GHARIB MZINGA Amdadavua MVP Jean Charles Ahou ndani ya SPORTS BANDO ya UFM
Msikilize mchambuzi na mtangazaji wa Azam Media, Gharib Mzinga akimchambua kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Ahoua aliyetokea Ivory Coast.
Ahoua ni MVP wa msimu uliopita katika ligi kuu ya Ivory Coast akiwa na klabu ya Stella Club d' Adjamé.
Пікірлер: 1
Nilikua na wasiwasi na usajiri wa simba, lakini baada ya kumsikliza gharib sasa nina aman na team yangu...msimu uanze tu