FRIJI BOVU: BIG DEAL!! KOCHA MPYA SIMBA BALAA! REKODI ZAKE ZASHTUA AKITUA KWELI KILIO KWA WAPINZANI.

Спорт

#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi

Пікірлер: 22

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo79384 күн бұрын

    Samahani, David pascal wana undugu na Muro

  • @rahimumushi8736
    @rahimumushi8736Ай бұрын

    Shida so kocha tutakuwa tunafukuza makocha Kila siku shida ni no viongozi

  • @user-ul9qw1re7s
    @user-ul9qw1re7s28 күн бұрын

    Jmn mpeni mgund hat msimu mmoja mwalim mgund anafaa zaidi ebu angalien bax

  • @elijahchegere4974
    @elijahchegere497429 күн бұрын

    Mimi kama mshabiki wa Simba tukileta kocha mpya tujiandae kuporomoka zaidi na zaidi hakuna kocha mgeni wa kumzidi mgunda Kwa sasa

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849Ай бұрын

    Tatizo kubwa Simba ilikwa viongozi na wachezaji. Hawo wote walikwa wana hujumu simba. Naomba kwa wana chama wa Simba fanyeni kill kitu huyu Magungu aondoke hapo Simba sababu huyu magungu ni mwanachama wa pani na pani African ni yanga. Na try Again na huyu CO NAWO wa ondoke hapo Simba. Hapo Simba itakwa safe. Hawo wana hujumu Simba.

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368Ай бұрын

    Ni kweli hapa Angola Santos Alexander ameachana na Atletico lakini anahusishwa na Kaiser Chiefs. Kila mtu ana mtazamo wake

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368Ай бұрын

    Sioni tatizo la Fridge bovu, ana point na anatoa mtazamo wake. Sasa mnamshambulia kwa kosa gani???

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400Ай бұрын

    Hilo fridge nalipa mpaka mwezi wa 7 Baada ya hapo nitaleta Spare litengenezwe. Litatulia tena kidogo kabla halijaharibika tena. Na likiharibika tena sitalitengeneza tena.

  • @mfalmewasoka949

    @mfalmewasoka949

    Ай бұрын

    😄 🤣 😂

  • @edwardaugustino7177
    @edwardaugustino7177Ай бұрын

    Lakini Matola atoke asikae msaidizi atoke kabisa.

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891Ай бұрын

    Kocha aje kwanza kabla usajili yeye ndio asajili wachezaji anaowahitaji hawa wakina Mgunda ni makocha wa hamasa hwana mbinu za kiufundi

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55Ай бұрын

    Christiano Ronaldo hakuzaliwa Lisbon, plze usitulishe matango pori, fanya home work yako kabla ya kutoa taarifa kwa public

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618Ай бұрын

    Hata hivyo ili friji ni bovuuu haswa hakuna taarifa hapo

  • @ErnestPeter-se5zv
    @ErnestPeter-se5zvАй бұрын

    Vitu vingine mtu mwenyewe unabwaga manyanga

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2hАй бұрын

    Kwa hiyo Mgunda kama kawaida?.

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1wАй бұрын

    SAmbusa subirini.. boli ni uwanjani na c kuropoka tu..

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2dАй бұрын

    hamna jipya hapo kwani benchika yupo wapi

  • @ismailhassan5209

    @ismailhassan5209

    Ай бұрын

    Usajili unafanywa wewe tulia subiri utajulishwa

  • @mcharodavis2182
    @mcharodavis2182Ай бұрын

    Hivi anaanza kusajiliwa kocha kwanza au wachezaji? Mm naona vema aje kocha then wanasajiliwa wachezaji kutokana na uhitaji wa timu kwa muongozo wa kocha

  • @ismailhassan5209

    @ismailhassan5209

    Ай бұрын

    We acha kusikilza kelele mashabiki usajili unaenda kimyakimya kuanzia tarehe 15 June 2024 utaanza kujua nani kasajiliwa

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3qАй бұрын

    Kocha bila usajili nzuri ni ushamba na upuuzi mtupu

Келесі