REKODI ZA KOCHA MPYA SIMBA KOMPHELE BALAA!! KATUA NCHINI KUMALIZA KAZI? MNYAMA MATESO SASA BASIII..
Спорт
#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
Пікірлер: 12
Mungu ibariiki Simba yetu tuko pamoja na viongozi wetu
Mfanye kwel viongoz tumechoka dharau🙏🙏🙏
Kwenye football utatu unatakiwa 1. Kocha bora 2. Wachezaji bora 3. Viongozi bora Kimojawapo kikisuasua hakuna mafanikio
Duuu nitapendeza kama nikweli kocha huyo atajiunga na msimbazi
Walisema Benchicka ni kocha bora Afrika,,,Kiko wapi
Hakuna Cha kocha MKUMBWA. Amna Akiri. Mugunda mnamuonaje nyinyi au ni kwa ajili ya kuokoa jahazi lipokuwa kutaka kuzama tu?
Ni kweli huyokocha kamalizana na s s c mnyama
Kama mafanikio yake ni makombe mawili tu tena ya ndani kulikuwa na haja ya kumuacha Mgunda? Mimi nilijua Mgunda anaachwa kwa sababu mnataka kuleta kocha ambaye ameshawahi kufika kule tunakotaka kufika
Simba kwishaaaaaa hakuna kombe ambalo itabeba kwanzia sasa na kwenye kila kitu atakachopigania ni asante kushiriki
Afadhari angebaki mgunda
Mgunda tunanjua hatoshi simba ndio maana Simba inaingia gharama kutafuta kocha wewe chawa wake ambao anawatumia kupaza sauti ndio unaona anafaa. Kama vipi msajiri wewe atakufaa
LOW PROFILE, TUSIPAMBE MANENO, MIAKA 56 ALAFU ANA MAKOMBE MAWILI TU SINCE AMEANZA UKOCHA ADI LEO?😂😂😂