Forodhani Zanzibar

Mchezo wa kujirusha Ndani ya Maji.Mchezo ambao ni kivutio kikubwa sio tu kwa watalii Bali hata kwa sisi wenyeji wa Zanzibar.

Пікірлер: 54

  • @dontbsad12
    @dontbsad128 ай бұрын

    Always enjoy watching you guys ..So amazing

  • @hafidhbadru6651
    @hafidhbadru66514 жыл бұрын

    Nafurahi sana kuona mitaa ya nyumbani ingawa np mbali lkn na enjoy km np home.ndio maana kila siku tunasema Zanzibar ndio kwetu

  • @sharonsheillasheilla5880
    @sharonsheillasheilla58804 жыл бұрын

    From Uganda but great am shy 🙊🙊🙊

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab29104 жыл бұрын

    Jaman nafurah kweli kuona zanzibar japo Niko mbali nafarajika sana kuona wanapiga kachumpe

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85624 жыл бұрын

    Walaurojo wanafurahisha

  • @aminaally3817
    @aminaally38174 жыл бұрын

    Wapiga makachu hao wananikumbusha mbali sana

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali16054 жыл бұрын

    albait yalimkuta kama haya allah awaongoze mmoja yupi sos kule spinal code ndio tatizo.hattari sanna mie naona

  • @fatumayusufu1706

    @fatumayusufu1706

    4 жыл бұрын

    Kabs yaan kuwaona2 nikamkumbuka albaity ni michezo hatarishi

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    @abubakarmuhammadsaid3244

    4 жыл бұрын

    Mimi nilipiga makachu miaka ya 80s, sijamuona aliepata tatizo lolote. Hivi sasa nakaribia miaka 50, mwili umeshakataa tu, la sivyo, natamani nirudi tena 😁

  • @jumahamisi9280
    @jumahamisi92804 жыл бұрын

    Am coming to Zanzibar Soon

  • @fakisunshine3253
    @fakisunshine32534 жыл бұрын

    Nice nyumbani

  • @haidaromar2079
    @haidaromar20794 жыл бұрын

    Nice

  • @AbuuYaseen
    @AbuuYaseen4 жыл бұрын

    MashaAllah raha sana

  • @kikalenampwapwa5483

    @kikalenampwapwa5483

    4 жыл бұрын

    Zanzibar Raha sana.

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын

    Nice ila cwez kuogelea

  • @vuaipanduhaji3681
    @vuaipanduhaji36814 жыл бұрын

    Sawaaa

  • @musictz1805
    @musictz18054 жыл бұрын

    Nyunbani rah wallah

  • @deogratiasgabriel8555
    @deogratiasgabriel85554 жыл бұрын

    Nimepamic sana home ngoj nipate likizooo nije

  • @muhamedhossen4420
    @muhamedhossen44204 жыл бұрын

    Nafrahi sana kuona mta wa Hom foradhan nakubali sana

  • @muhamedhossen4420

    @muhamedhossen4420

    4 жыл бұрын

    Oi

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani75194 жыл бұрын

    Nimepa miss hapo

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid32444 жыл бұрын

    Miaka ya 80s ilikua ndio enzi zangu hapo.

  • @shakerashakira6285
    @shakerashakira62854 жыл бұрын

    Jaman so parefu

  • @hamidhamadhamad5653
    @hamidhamadhamad56534 жыл бұрын

    Home sweet home I love you Zanzibar yetu

  • @afiaiddy3021

    @afiaiddy3021

    4 жыл бұрын

    Hom sweet Hom

  • @allydaruweshi5983
    @allydaruweshi59834 жыл бұрын

    Sasa ndio nn ah munazinguw ban

  • @saadikibinjazaa1511
    @saadikibinjazaa15114 жыл бұрын

    mis zanzibar

  • @ahmedmohd5507
    @ahmedmohd55074 жыл бұрын

    Nawakubali wanangu one day tutakuwa p1 tena hi kwa ixhaka, mze bwax,bbolo, kidoh, farac n.k Nimewamic wanangu

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary89704 жыл бұрын

    Muje kuvunjika shingo bule jamani kunayule mkaka 1 alikua akifany hivyo mpaka sasa bado yupo hospitalin jaman nyie

  • @mundhirsuleiman9157

    @mundhirsuleiman9157

    4 жыл бұрын

    Utavunjika ww kwanza

  • @tanzania5030
    @tanzania50304 жыл бұрын

    Lazima umwage che... Bonyeza hapa 👇 subscribe kzread.info/dash/bejne/aGWFzbeLnKqql7w.html

  • @allymohamed7417
    @allymohamed74174 жыл бұрын

    Forodhani ni sehemu ambayo itaendelea kua na heshima bustani pamoja na upepo mwanana wa bahari ya hindi

  • @frozen4rozen475

    @frozen4rozen475

    4 жыл бұрын

    Samani forodhani ndo nini

  • @khamissharifu888

    @khamissharifu888

    4 жыл бұрын

    sijaona cha ajabu apo vijana wang

  • @jumaseifjuma4185

    @jumaseifjuma4185

    4 жыл бұрын

    @@khamissharifu888 hujaona wala hutoona cha ajabu kwako hapo kwa sababu wewe siyo sehemu ya hao. Miye nafikiri wewe si wa Forodhani, wala Shangani wala wa Mkunazini wala Kiponda wala Vuga wala Malindi wala Kikwajuni n.k.Waulize wenyewe raha walizozipata au tulizozipata kwa kupiga KACHUMBE........ Endelezeeni wanetu na wajukuu zetu 'entertainment' yenu badala ya kukaa vijiweni mkawaza mambo mabaya.

  • @ruhaimaothman2716

    @ruhaimaothman2716

    4 жыл бұрын

    @@frozen4rozen475 asany

  • @kikalenampwapwa5483

    @kikalenampwapwa5483

    4 жыл бұрын

    @@jumaseifjuma4185 Maneno Kuntu

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout61164 жыл бұрын

    So funny nigga

  • @bramoajibu5058
    @bramoajibu50584 жыл бұрын

    Wabara wnaogop kuogelea ukiwaingz Kam machubw

  • @chujirai2822

    @chujirai2822

    4 жыл бұрын

    Bramo Ajibu kwaiy hapo ndo mnaogelea wenyew

  • @sashaaishajamani1979

    @sashaaishajamani1979

    4 жыл бұрын

    Bramo Ajibu unataka tujue wote nani atakushangilia

  • @abdillahnassor8371

    @abdillahnassor8371

    4 жыл бұрын

    uko kwao hakuna bahari ya kupiga show kama hizo

  • @sashaaishajamani1979

    @sashaaishajamani1979

    4 жыл бұрын

    Abdillah Nassor ku mbe hongereni sana bahari ipo sema watu tuko busy na kazi

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv62664 жыл бұрын

    Ajabu sana atimae dawa ya bawasili imepatikana na unaweza kujitibu mwenyewe bila kutumia pesa bonyeza hapa👉 kzread.info/dash/bejne/npWZqNSviKXPfLA.html

  • @munasaidi614
    @munasaidi6144 жыл бұрын

    Natamani kujuwa kuogelea jamani mm siwezi

  • @ismailmjesh3511

    @ismailmjesh3511

    4 жыл бұрын

    uko wap muna saidi

  • @saidfaki2894

    @saidfaki2894

    4 жыл бұрын

    Ukiwa tayar sema utafundishwa,,,,, simple sana kuogelea madam

  • @hassanmahmoue3034

    @hassanmahmoue3034

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @hamiyarsaid2844

    @hamiyarsaid2844

    4 жыл бұрын

    Apply newton third law of motion rahisi tu,unaskma maji nyuma ww utaenda mbele,

  • @teggertegger3669

    @teggertegger3669

    4 жыл бұрын

    Muna tukutane tanga pale pale home kwa mzee sawa lol

  • @arjunpanditi8661
    @arjunpanditi86614 жыл бұрын

    Nice

  • @kikalenampwapwa5483

    @kikalenampwapwa5483

    4 жыл бұрын

    Thanks for watching