CHUMBA KILICHOBEBA HISTORIA HALISI YA PEMBA - ZAIDI YA MIAKA 200
Unaijua Ngome kongwe iliopo Unguja, lakini je waijua Ngome kongwe ilio Pmeba? Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 87
Kama unapenda harakati z KTV zinazoendelea Pemba, comment neno Hakika hii ni Fahari yetu
@clovetv_pba
5 жыл бұрын
Hakika hii ni fahari yetu
Nyumbani ni nyumbani tu Kama unaipnda pmba comment love you pemba
@mwajabusamayuka4400
2 жыл бұрын
Love u pemba
Naipenda pemba ni kwetu nina haki ya kuithamini na nimezaliwa huko🥰🥰
Najisikia fakhari kuwa na asili ya kipemba...Pemba nkwetuuuu I love it
@loveyourneighbor204
5 жыл бұрын
Aisha Ahmed
@ysherahmad652
5 жыл бұрын
@@loveyourneighbor204 naam
Alhamdulillah nashkr san kuwa mpemba na nashkr kufika eneo hili nikiwa form one nilifurahi san ❤❤❤ pemba nikwetu pemba niyetu tunaipenda sana ❤❤❤❤
Ni muhimu sana kujua historia ya maeneo yetu
I love Pemba big up
Yani wapemba sisi tumebarikiwa Sana
Jasiri haachi asili pembe ni kwetu
@damondhamonaizbadowangu4559
5 жыл бұрын
Pmba ni nyumbn
Nilizaliwa pemba nikakulia pemba nikasoma pemba na inshaallah namuomba Allah wakati wa kunichukua kwenda kwake anichukue wakati nikiwa pemba inshaallah,najisifu kua miongoni mwa watu waliopata kuitwa watu wa"PEMBA"
nikiwa italy nime miss pemba ilove pemba
Love u Pemba
Daaah miss sana home kitambo sana nimeondoka ila nyumbn nyumbn tu
Niliwahi kuitembelea miaka y Zaman tangu nasoma shule y msingi...nafurah kuiona pemba na naipenda sn pemba...nakuomba Mungu niwe mmoja Kati y watu wataojaaliwa kuibadilisha pemba kimaendeleo
Kaz nzuri ktv
Love you PEMBA
Like kama umepaona miembeni
Hakik ni fahar yt
jamani mimo mzaliwa Wa unguja lakini napenda kutembea Pemba kwa marafiki zangu
@clovetv_pba
5 жыл бұрын
Nice, welcome i will be your host
@suleimanmazrui6942
4 жыл бұрын
MZEE wetu uko vizuri sana kihistoria Mwenyezi ukupe umri mrefu na wenye Afya.
@omarabeid7490
4 жыл бұрын
Unguja ndo nn?
Assalmu alaykum warahmatullahi wabarakatuhu niependa hili ni jambo zuri kutujuza historia yetu.
Nice
Nice pemba islands
Ahsante ktv kwa kutukumbusha kwetu hio ngome kongwe ya pemba ndio nimesikia leo nilikua sijui na iko sehemu gani chake
@allyibrahim2507
2 жыл бұрын
karibu na spitali ya chake
Naipenda PEMBA
I love you so much pba
@saidcheupe5993
2 жыл бұрын
Mambo
Bora Wende kuwepo wawo Kuliko Saiz tulivyo banwa na maisha
Inshaallah mwaka nikakokuja pemba lazima nikatembelee hio ngome kongwe
Mwazo kuvuka ncwezi labda niende na ndege😛
ILOVE YOU PEMBA
Ilove pemba
kwetu uko jmn
Hakika hii ni Fahari yetu.
pemba khalisii na watu wake poa sana
mh mtihani wallah badala ya kulilia dini unaenda kulilia maendeleo maendeleo so kitu kesh akhera
@chingaboy1149
9 ай бұрын
Nyinyi wengine asa maendeleo nimuhimu baba
Waume wa kipemba wako tele si lazima uishi pemba
bora walivofukuzwa hao wareno
Ndio nikasema DNA za kireno zipo bado Pemba. Hebu angalia machotara wa Brazil na machotara wa Kipemba utaona hawana utofauti. Haiwezekani wareno wakae miaka zaidi ya mia tatu wawe hawajazaa na wenyeji. History ndio hivyo tupende tusipende ndio history
Mm na taka niiyone santuri jamani siijui
Dah yan huo wimbo unanikumbusha mbali
Fika na makangale ipo historia
fika na kambini kichokochwe
@ahmedsaidi850
4 жыл бұрын
Nyumban kichokochwe mkambaya Jr hapa
mpaka Leo sipati picha kama bakhresa angekua mpemba kuna wapuuzi wangetusumbua waenda kwa mjombaees
Nyumbani ni nyumbani nitarudi tu
mbon hujaatuoneshaa fahari zeetu
jaman pemba inanikatisha Tamaa ya kimaisha natama nirud nyumban lakin duuui
@maryammakungu8800
5 жыл бұрын
usikate tamaa mpendwa uko wapi kwani kaka
@yassirrashid7802
5 жыл бұрын
Unacomment nini ww....?
@yassirrashid7802
5 жыл бұрын
Comment zako za kibuuzi sana brother
@galayagalaya48
5 жыл бұрын
al bait mkataa kwao mtumwa usikate tamaa m
@MrKhatibu
5 жыл бұрын
Mhh tangia kale wapemba wakipata upenye harudi kwao, huolea ugenini na baadae huwachukia waliowapokea na kuwapa makaazi
Nikienda pemba sitamani kurudi lakini da nimeolewa
Wapemba kweli tutabaki na Mahistoria yetu maana tunawachumia karafuu Maendeleo yanaletwa kwenu sisi Munatuona ni wajinga lakini kumbuka jinga ukilierevua utajua katika maisha yako
Mtabakia na mahistoria yenutu Ila maendeleo mtayasikiatu kwenye radio na vigoma vyenu vya kibati
@ridhiwaniridhiwan4497
5 жыл бұрын
Vzr wewe uliko kwny matajir ingja lakn kmbka bila ya wapmba haujawa
@user-xw5re3bh5x
5 жыл бұрын
Apo unguja mji unanuka mwenyew nimepakimbia unguja niko ughaibuni nikirudi unguja hua naona kam nimeingia shimoni
@hamnakituumupumbatupumohd8505
5 жыл бұрын
nani alokuambia unguja imejengwa na wapemba
@hamnakituumupumbatupumohd8505
5 жыл бұрын
mmmh kojan micheweni kusafi
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Ww hujielewi mpumbav nn , iyo unguja yenu kma hakuijenga MPEMBA au wafany biashara wakubwa wapemba isingekua Ivo nyau ww
hamna kitu hapo kisiwa round about unazihesabu, Pemba nyumba mbele mjini ila kwa nyumba kijijini full migomba
@omarabeid7490
4 жыл бұрын
Na kwenu vipi hakuna migomba?
@khamishamad5044
2 жыл бұрын
Hamna sehemu isiyo na migomba acha uongo na ushamba tutajie ww unatoka mkoa gani kusiko na pori
nyumbani ni nyumbani , kwetu kisiwa cha marash ya karafuuu.
Natafuta mume walipemba lkn maisha kwetu kenya pemba ckuwezi
@shukranahsante2395
5 жыл бұрын
Mimi hapa
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
Hahaha jamani je kama mm jini au kilema
@nacert1754
5 жыл бұрын
ww alie kwambia jini anatumia social media ni nani, ila hata hivyo umentisha naondoa mobile No. yangu
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
Hahahaha
@shukranahsante2395
5 жыл бұрын
Kama wewe ini mimi Doctor wako