CHUMBA KILICHOBEBA HISTORIA HALISI YA PEMBA - ZAIDI YA MIAKA 200

Unaijua Ngome kongwe iliopo Unguja, lakini je waijua Ngome kongwe ilio Pmeba? Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 87

  • @ktvtzonline
    @ktvtzonline5 жыл бұрын

    Kama unapenda harakati z KTV zinazoendelea Pemba, comment neno Hakika hii ni Fahari yetu

  • @clovetv_pba

    @clovetv_pba

    5 жыл бұрын

    Hakika hii ni fahari yetu

  • @rukiajuma8338
    @rukiajuma83385 жыл бұрын

    Nyumbani ni nyumbani tu Kama unaipnda pmba comment love you pemba

  • @mwajabusamayuka4400

    @mwajabusamayuka4400

    2 жыл бұрын

    Love u pemba

  • @sheyluupinky6061
    @sheyluupinky60615 жыл бұрын

    Naipenda pemba ni kwetu nina haki ya kuithamini na nimezaliwa huko🥰🥰

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad6525 жыл бұрын

    Najisikia fakhari kuwa na asili ya kipemba...Pemba nkwetuuuu I love it

  • @loveyourneighbor204

    @loveyourneighbor204

    5 жыл бұрын

    Aisha Ahmed

  • @ysherahmad652

    @ysherahmad652

    5 жыл бұрын

    @@loveyourneighbor204 naam

  • @MbaroukKhalifa
    @MbaroukKhalifa2 ай бұрын

    Alhamdulillah nashkr san kuwa mpemba na nashkr kufika eneo hili nikiwa form one nilifurahi san ❤❤❤ pemba nikwetu pemba niyetu tunaipenda sana ❤❤❤❤

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Ni muhimu sana kujua historia ya maeneo yetu

  • @issamakameissa7446
    @issamakameissa744610 ай бұрын

    I love Pemba big up

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu3 күн бұрын

    Yani wapemba sisi tumebarikiwa Sana

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya15155 жыл бұрын

    Jasiri haachi asili pembe ni kwetu

  • @damondhamonaizbadowangu4559

    @damondhamonaizbadowangu4559

    5 жыл бұрын

    Pmba ni nyumbn

  • @mohammedmbarouk7711
    @mohammedmbarouk77112 жыл бұрын

    Nilizaliwa pemba nikakulia pemba nikasoma pemba na inshaallah namuomba Allah wakati wa kunichukua kwenda kwake anichukue wakati nikiwa pemba inshaallah,najisifu kua miongoni mwa watu waliopata kuitwa watu wa"PEMBA"

  • @aliyhamim1683
    @aliyhamim16835 жыл бұрын

    nikiwa italy nime miss pemba ilove pemba

  • @husseinali9760
    @husseinali97603 жыл бұрын

    Love u Pemba

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari89035 жыл бұрын

    Daaah miss sana home kitambo sana nimeondoka ila nyumbn nyumbn tu

  • @maidasaid947
    @maidasaid9475 жыл бұрын

    Niliwahi kuitembelea miaka y Zaman tangu nasoma shule y msingi...nafurah kuiona pemba na naipenda sn pemba...nakuomba Mungu niwe mmoja Kati y watu wataojaaliwa kuibadilisha pemba kimaendeleo

  • @BESTTV1LIVE
    @BESTTV1LIVE5 жыл бұрын

    Kaz nzuri ktv

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78025 жыл бұрын

    Love you PEMBA

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove57865 жыл бұрын

    Like kama umepaona miembeni

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp83145 жыл бұрын

    Hakik ni fahar yt

  • @maryammakungu8800
    @maryammakungu88005 жыл бұрын

    jamani mimo mzaliwa Wa unguja lakini napenda kutembea Pemba kwa marafiki zangu

  • @clovetv_pba

    @clovetv_pba

    5 жыл бұрын

    Nice, welcome i will be your host

  • @suleimanmazrui6942

    @suleimanmazrui6942

    4 жыл бұрын

    MZEE wetu uko vizuri sana kihistoria Mwenyezi ukupe umri mrefu na wenye Afya.

  • @omarabeid7490

    @omarabeid7490

    4 жыл бұрын

    Unguja ndo nn?

  • @hatourmohamed1234
    @hatourmohamed12342 жыл бұрын

    Assalmu alaykum warahmatullahi wabarakatuhu niependa hili ni jambo zuri kutujuza historia yetu.

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee98525 жыл бұрын

    Nice

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын

    Nice pemba islands

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Ahsante ktv kwa kutukumbusha kwetu hio ngome kongwe ya pemba ndio nimesikia leo nilikua sijui na iko sehemu gani chake

  • @allyibrahim2507

    @allyibrahim2507

    2 жыл бұрын

    karibu na spitali ya chake

  • @firstname600
    @firstname6005 жыл бұрын

    Naipenda PEMBA

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    I love you so much pba

  • @saidcheupe5993

    @saidcheupe5993

    2 жыл бұрын

    Mambo

  • @MAPETEE
    @MAPETEE4 жыл бұрын

    Bora Wende kuwepo wawo Kuliko Saiz tulivyo banwa na maisha

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Inshaallah mwaka nikakokuja pemba lazima nikatembelee hio ngome kongwe

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza94155 жыл бұрын

    Mwazo kuvuka ncwezi labda niende na ndege😛

  • @omarbyz8695
    @omarbyz86953 жыл бұрын

    ILOVE YOU PEMBA

  • @ashamakame1812
    @ashamakame18124 жыл бұрын

    Ilove pemba

  • @faahusali4689
    @faahusali46895 жыл бұрын

    kwetu uko jmn

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    Hakika hii ni Fahari yetu.

  • @madievaratz1684
    @madievaratz16842 жыл бұрын

    pemba khalisii na watu wake poa sana

  • @mohdsalum5836
    @mohdsalum58362 жыл бұрын

    mh mtihani wallah badala ya kulilia dini unaenda kulilia maendeleo maendeleo so kitu kesh akhera

  • @chingaboy1149

    @chingaboy1149

    9 ай бұрын

    Nyinyi wengine asa maendeleo nimuhimu baba

  • @user-lj4hg2xr2u
    @user-lj4hg2xr2uАй бұрын

    Waume wa kipemba wako tele si lazima uishi pemba

  • @maryammakungu8800
    @maryammakungu88005 жыл бұрын

    bora walivofukuzwa hao wareno

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu5 жыл бұрын

    Ndio nikasema DNA za kireno zipo bado Pemba. Hebu angalia machotara wa Brazil na machotara wa Kipemba utaona hawana utofauti. Haiwezekani wareno wakae miaka zaidi ya mia tatu wawe hawajazaa na wenyeji. History ndio hivyo tupende tusipende ndio history

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Mm na taka niiyone santuri jamani siijui

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis30633 жыл бұрын

    Dah yan huo wimbo unanikumbusha mbali

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp83145 жыл бұрын

    Fika na makangale ipo historia

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari89035 жыл бұрын

    fika na kambini kichokochwe

  • @ahmedsaidi850

    @ahmedsaidi850

    4 жыл бұрын

    Nyumban kichokochwe mkambaya Jr hapa

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd85055 жыл бұрын

    mpaka Leo sipati picha kama bakhresa angekua mpemba kuna wapuuzi wangetusumbua waenda kwa mjombaees

  • @moodkhamis3850
    @moodkhamis38505 жыл бұрын

    Nyumbani ni nyumbani nitarudi tu

  • @abdijuma2435
    @abdijuma24355 жыл бұрын

    mbon hujaatuoneshaa fahari zeetu

  • @albait5227
    @albait52275 жыл бұрын

    jaman pemba inanikatisha Tamaa ya kimaisha natama nirud nyumban lakin duuui

  • @maryammakungu8800

    @maryammakungu8800

    5 жыл бұрын

    usikate tamaa mpendwa uko wapi kwani kaka

  • @yassirrashid7802

    @yassirrashid7802

    5 жыл бұрын

    Unacomment nini ww....?

  • @yassirrashid7802

    @yassirrashid7802

    5 жыл бұрын

    Comment zako za kibuuzi sana brother

  • @galayagalaya48

    @galayagalaya48

    5 жыл бұрын

    al bait mkataa kwao mtumwa usikate tamaa m

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    5 жыл бұрын

    Mhh tangia kale wapemba wakipata upenye harudi kwao, huolea ugenini na baadae huwachukia waliowapokea na kuwapa makaazi

  • @hidayaali8619
    @hidayaali86195 жыл бұрын

    Nikienda pemba sitamani kurudi lakini da nimeolewa

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын

    Wapemba kweli tutabaki na Mahistoria yetu maana tunawachumia karafuu Maendeleo yanaletwa kwenu sisi Munatuona ni wajinga lakini kumbuka jinga ukilierevua utajua katika maisha yako

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum80135 жыл бұрын

    Mtabakia na mahistoria yenutu Ila maendeleo mtayasikiatu kwenye radio na vigoma vyenu vya kibati

  • @ridhiwaniridhiwan4497

    @ridhiwaniridhiwan4497

    5 жыл бұрын

    Vzr wewe uliko kwny matajir ingja lakn kmbka bila ya wapmba haujawa

  • @user-xw5re3bh5x

    @user-xw5re3bh5x

    5 жыл бұрын

    Apo unguja mji unanuka mwenyew nimepakimbia unguja niko ughaibuni nikirudi unguja hua naona kam nimeingia shimoni

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    nani alokuambia unguja imejengwa na wapemba

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    mmmh kojan micheweni kusafi

  • @talibmuhsin5221

    @talibmuhsin5221

    2 жыл бұрын

    Ww hujielewi mpumbav nn , iyo unguja yenu kma hakuijenga MPEMBA au wafany biashara wakubwa wapemba isingekua Ivo nyau ww

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd85055 жыл бұрын

    hamna kitu hapo kisiwa round about unazihesabu, Pemba nyumba mbele mjini ila kwa nyumba kijijini full migomba

  • @omarabeid7490

    @omarabeid7490

    4 жыл бұрын

    Na kwenu vipi hakuna migomba?

  • @khamishamad5044

    @khamishamad5044

    2 жыл бұрын

    Hamna sehemu isiyo na migomba acha uongo na ushamba tutajie ww unatoka mkoa gani kusiko na pori

  • @khamisally5436
    @khamisally54365 жыл бұрын

    nyumbani ni nyumbani , kwetu kisiwa cha marash ya karafuuu.

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza94155 жыл бұрын

    Natafuta mume walipemba lkn maisha kwetu kenya pemba ckuwezi

  • @shukranahsante2395

    @shukranahsante2395

    5 жыл бұрын

    Mimi hapa

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    Hahaha jamani je kama mm jini au kilema

  • @nacert1754

    @nacert1754

    5 жыл бұрын

    ww alie kwambia jini anatumia social media ni nani, ila hata hivyo umentisha naondoa mobile No. yangu

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @shukranahsante2395

    @shukranahsante2395

    5 жыл бұрын

    Kama wewe ini mimi Doctor wako