AJITOSA BAHARINI KUTOKA KATIKA BOTI YA KILIMANJARO 5

Mtu mmoja ambae hakufahamika jina lake amejitoza baharini leo asubuhi majira ya saa nne na nusu eneo la kisiwa cha pungume kutoka katika boti ya kilimanjaro 5 ambayo ilikuwa inatoka Dar essalam kuja Unguja.
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 78

  • @fatmaa4134
    @fatmaa41346 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayhir raajiuun. Mtihaan huu. Allah ampe wepesi pmj nasi. Inaonesha lbd alikuwa na problem na alihitaji msaada...

  • @daprince7545
    @daprince75456 жыл бұрын

    Allah amueke mahali pema peponi amiin

  • @lutfiaalutfia1135
    @lutfiaalutfia11354 жыл бұрын

    Ina lillah waina ilaih rajuun. Alikua jiran yngu uy alie farik qlikwah umwa wasiis n alikua mfanyakz wa shirik la umeme

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46086 жыл бұрын

    Shetani ni kiumbe mmbaya sana dah!! Pengine matatizo aliyonayo yangeweza kusawazika kwa uwezo wa Allah. Allah amsameh

  • @salimnassor7293

    @salimnassor7293

    6 жыл бұрын

    Tunasikitika sna n mdogo we2 wa Pemba gombani anaitwa sleyman Rashid n mgonjwa wa maradhi ya wasi wasi

  • @kibongobongo4608

    @kibongobongo4608

    6 жыл бұрын

    Salim Nassor poleni sana Allah awapeni subra na amsameh Marehemu

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz25156 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ndie Ajuae

  • @azizaothaman549
    @azizaothaman5495 жыл бұрын

    Ahadi yake mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Aamiin

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh94196 жыл бұрын

    subhnaallah jaman mungu tunusuru yaarabiih

  • @suleimanali3716
    @suleimanali37166 жыл бұрын

    Mtihani kwelikweli

  • @nassorchollo2406
    @nassorchollo24066 жыл бұрын

    Mtihani kwa kweli

  • @victoriachesco2833
    @victoriachesco28336 жыл бұрын

    Mungu atuongoze jmn dah

  • @ummuzahrah714
    @ummuzahrah7146 жыл бұрын

    Allah atuhifadh

  • @MdArif-or9um
    @MdArif-or9um6 жыл бұрын

    Mauti yalikuwa yakimwitaa cjui😭😭😭innalillah

  • @bashirisalim2116
    @bashirisalim21166 жыл бұрын

    innalillah

  • @ruqaiyahali8055
    @ruqaiyahali80556 жыл бұрын

    Allah amuhifadhi mja wako uko alipo

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis24616 жыл бұрын

    Innaillah wainaaillah raijun daa

  • @khamissaleh5431

    @khamissaleh5431

    6 жыл бұрын

    duhh

  • @maryamalbahry1387
    @maryamalbahry13876 жыл бұрын

    😢😢 subhanallah

  • @beautyone7737
    @beautyone77376 жыл бұрын

    Hatukujua nn tatizo lake lkn ndo bc tn mungu amsaidie

  • @rahimarajab4306
    @rahimarajab43066 жыл бұрын

    Mtihan

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung73006 жыл бұрын

    Duh

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman🙏😥😥

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa3215 жыл бұрын

    Inalillah waina ilayhi rajuun

  • @ummuzahrah714
    @ummuzahrah7146 жыл бұрын

    Tenaaaa mwengineeee mbn balaaaaa

  • @alimaalima6016
    @alimaalima60166 жыл бұрын

    Mungu amuhifadhi mja wake mahali popote alipo

  • @minangomanoti6097

    @minangomanoti6097

    6 жыл бұрын

    Alima Alima iyo pepo sio kusema 2

  • @swalehechan2630

    @swalehechan2630

    6 жыл бұрын

    inawezekana alikuwa na msongo wa mawazo tatzo hakutaka kusema

  • @zenaal-baalawy3262
    @zenaal-baalawy32624 жыл бұрын

    Allah amjaalie amsamehe makosa yake na sisi atujaalie mwisho mwema. Pengine inawezekana pia mgonjwa matatizo hayo ya pia kuna watu ukiwaona huwajui kama wagonjwa kumbe wana mitihani ya haya maradhi ya hasada, yapo pia hayo na inawezekana vile vile kajirusha kwa mitihani ya dunia.

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba47156 жыл бұрын

    Kujiua ni dhambi, swala la peponi sisi hatuna uwezo wa kumshawishi Allah hapa wala pale muhimu watu wajue kunaumuhimu wa kujiweka tayari kwa safari hiyo. Kwakua hata sisi hatujuwi siku wala saa ya kifo.

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute68366 жыл бұрын

    Rip

  • @rayambarouk9972
    @rayambarouk99722 жыл бұрын

    Mauti hayakimbilik sawa alisema asaidiwe lkn ilikuwa allah kashapanga na ndomaan akapat mda wakuondok bila kuzuiwa na mtu yyt

  • @khamistano4848
    @khamistano48483 жыл бұрын

    Inaonesha wazi kwa Hali aliokuanayo Ni kwamba ana matatizo ya kiswahili huyo , hata Mimi pia nilimshuhudia mtu mwezi uliopita alichupa kwenye jahazi wakati tukitoka bagamoyo kuingia malindi unguja Tena amechupa wakati tumeshaingia maeneo ya mbele ya forodhani . Ila yeye alikua na matatizo ya kiswahili Kama huyo . Ila sisi tulimpata muda huo huo.

  • @hawamsuya9770
    @hawamsuya97704 жыл бұрын

    Jmn pepo hilo

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd85055 жыл бұрын

    shabiki wa Chelsea?

  • @ibrahimothmansuleiman5330
    @ibrahimothmansuleiman53305 жыл бұрын

    mngeliacha life

  • @mahersaid258

    @mahersaid258

    4 жыл бұрын

    Wacha roho yakishetan ww

  • @bjzee1981
    @bjzee19816 жыл бұрын

    Sasa na nyinyi dakika 45 mnazunguka bila kuita waokoaji jamani vipi hapo .

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp83146 жыл бұрын

    Shetani huy daa

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    Kweli kazi yamungu haina makosa

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Hata kama ni ugum wamaisha jaman

  • @Alikidu
    @Alikidu6 жыл бұрын

    Kwa kwel huyo kijana alikua ameshapigwa na ugonjwa maana tangu zamani anauguwa maradhi ya wasiwasi.. Anakaa Pemba gombani nijirani yngu

  • @jeninunu9177

    @jeninunu9177

    6 жыл бұрын

    pole sana ndugu

  • @Alikidu

    @Alikidu

    6 жыл бұрын

    tushapoa... hadi sasa hajaonekana na alienda dar kimatibabu

  • @salummohdnyiga9760

    @salummohdnyiga9760

    6 жыл бұрын

    Ali Kidu polen

  • @rahmaally3586

    @rahmaally3586

    6 жыл бұрын

    Ali Kidu Allah awatie nguvu ndng na jama wote jmn polen xan mtiani mzito huo jmn dah inaxikitixha xana xijui alikua anaomb mxahada wanini jmn dah xijui alikua anajixikiaje wallah inaxikitixha xana wallah

  • @Alikidu

    @Alikidu

    6 жыл бұрын

    alikua anaomba msaada wa kukamatwa ili aokoe maisha yake.. maana alijua hayuko sawa.. yeye alikua na ugonjwa wa kurukwa na akili

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi56675 жыл бұрын

    Nawausia Na kuakumbusha hasira ni hasara Allah atunusuru

  • @katherinebritish8281

    @katherinebritish8281

    3 жыл бұрын

    Sio hasira uyo mtu alkuwa na maradh ya wasiwasi ni jirani yetu mkaazi wa gombani chake chake pemba

  • @daudipaulomatanga6479
    @daudipaulomatanga64795 жыл бұрын

    kajizuru mwenyewe huyo

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12185 жыл бұрын

    Itabid mpige debe inawezekana wengine wanashuka njian wameshafika hao

  • @dhiabmohammed4238

    @dhiabmohammed4238

    4 жыл бұрын

    Subhanallah masihara na misiba

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis53236 жыл бұрын

    Sasa mtu ashasema nisaidie kwa kumuuangalia tuu kwa macho hujajua tuu nini kinacho msibu,,amakweli kila mmoja na kichwa chake na akili yake,,,ila kila jambo na sababu yk huwez kupinga alipangalo Jalia,,zake zime fika Allah atuhifadh na adhabu zk mana mhhh uko tunapo kwenda si mchezo,,kila abiria achunge mzigo wke,,

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90966 жыл бұрын

    Lakini nanyi ndugu zangu mmefanya uzembe kidogo mtu anakuambia nisaidie kisha unamuuliza ananyamaza hamkuona km tayari anashida?Basi tena imeshatokea.

  • @mamydame7121

    @mamydame7121

    6 жыл бұрын

    njoo Tuijenge inchi hakujieleza asaidiwe nn...angesema ndo ungelaum

  • @flyhigher5393

    @flyhigher5393

    6 жыл бұрын

    njoo Tuijenge inchi ni kweli wajinga sana kwa maelezo waliyoyatoa ilikuwa watoe taarifa kuhic mtu hayuko sawa ila yanaongea kama maboya vile

  • @joycemashikolo9096

    @joycemashikolo9096

    6 жыл бұрын

    Mamy D Ame sikushangai sana maana wewe ni sawa na hao walio mwacha mwenzao akapoteza maisha.mtu anakuambia nisaidie kisha ananyamaza huwezi kuhisi kweli anahitaji msaada wa ziada wewe km uko timamu inabidi utumia njia ya ziada.

  • @joycemashikolo9096

    @joycemashikolo9096

    6 жыл бұрын

    Abdul Gingo kabisa bro yaani nilisikia asira sana niliposikia maelezo yao.bora ata wangenyamaza tu.

  • @mamydame7121

    @mamydame7121

    6 жыл бұрын

    njoo Tuijenge inchi....usilaumu tu ndugu...maisha ni matatizo na changamoto nyingi....na mtu huwez kujua siri ya moyon mwake mpaka akuelezee ndo utajua km huyu kweli anahitaj msaada....sasa labda ungeisikiliza hio clip vizur ndugu halaf ndo ungelaum....anyways ndo imetokea lkn muhusika alikuwa aseme jaman mm nna tatizo hili naomba munisaidie...lkn yy hakusema asaidiwe vp...sasa mtu km uyo utamuelewa vp mmh!!????

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57726 жыл бұрын

    Siku zimefika au wachiwi washamla supu ..

  • @jeninunu9177

    @jeninunu9177

    6 жыл бұрын

    your are silly man!! ungesema hivyo kama nindugu yako?

  • @jenijeni9785
    @jenijeni97855 жыл бұрын

    Huyu si ndo yule alojirusha akaokelwa na wavuvi kwenye kidau?kwenye video ile alikuwa ni kijana mwenye umbo kubwa hivi! Au huyu ni mwengine?

  • @rahmaame1700
    @rahmaame17006 жыл бұрын

    Kajitupa mwenyewe muacheni ukoo atajijua na mungu wke

  • @salimnassor7293

    @salimnassor7293

    6 жыл бұрын

    Rahma Ame Nashkuru kwa kejeli yco kma n mdogo wco wenge ongea ivyo uyoo n mdogo we2 anaumwa na maradhi ya wasi wasi kma ki2 hamukijui musiongee ovyo

  • @rahmaame1700

    @rahmaame1700

    6 жыл бұрын

    Salim Nassor mtangazaj hajasema km anaumwa na nyie mshajua mgonjwa mumemuacha asafir pekee yke vp. Maom yngu sina nia ya kukejel hakuna mkamilif

  • @najma3268

    @najma3268

    6 жыл бұрын

    Rahma Ame usiongee hivyo ndugu yangu kabla hujafa hujaumbika , kikubwa tumuombee tu maana hujui kilichomkuta yawezekana siyo akili yake

  • @fadhilimlingi6192

    @fadhilimlingi6192

    6 жыл бұрын

    Salim Nassor sasa ninyi Ndugu mnajua kabisa Ndugu yenu anamaradhi, kwa nn mmemuacha akasafiri mwenyewe tu? Halafu leo mnasikitika, si unafiki huo?

  • @fadhilimlingi6192

    @fadhilimlingi6192

    6 жыл бұрын

    Rahma Ame wala sio kejeli, kwa nn ilihali wakijua Ndugu yao anamatatizo ya wasiwasi wakamuacha akasafiri peke yake ? Halafu wanajifanya wanasikitika

  • @ibrahimothmansuleiman5330
    @ibrahimothmansuleiman53305 жыл бұрын

    kamamm ndo baharia ningeliacha

  • @bashirisalim2116
    @bashirisalim21166 жыл бұрын

    innalillah

  • @zaitunikijumu9612
    @zaitunikijumu96126 жыл бұрын

    Rip

  • @husnauthman7609
    @husnauthman76096 жыл бұрын

    Kwan hakunaga walinzi