AJITOSA BAHARINI KUTOKA KATIKA BOTI YA KILIMANJARO 5
Mtu mmoja ambae hakufahamika jina lake amejitoza baharini leo asubuhi majira ya saa nne na nusu eneo la kisiwa cha pungume kutoka katika boti ya kilimanjaro 5 ambayo ilikuwa inatoka Dar essalam kuja Unguja.
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 78
Inna lillah wainna ilayhir raajiuun. Mtihaan huu. Allah ampe wepesi pmj nasi. Inaonesha lbd alikuwa na problem na alihitaji msaada...
Allah amueke mahali pema peponi amiin
Ina lillah waina ilaih rajuun. Alikua jiran yngu uy alie farik qlikwah umwa wasiis n alikua mfanyakz wa shirik la umeme
Shetani ni kiumbe mmbaya sana dah!! Pengine matatizo aliyonayo yangeweza kusawazika kwa uwezo wa Allah. Allah amsameh
@salimnassor7293
6 жыл бұрын
Tunasikitika sna n mdogo we2 wa Pemba gombani anaitwa sleyman Rashid n mgonjwa wa maradhi ya wasi wasi
@kibongobongo4608
6 жыл бұрын
Salim Nassor poleni sana Allah awapeni subra na amsameh Marehemu
Mwenyezi mungu ndie Ajuae
Ahadi yake mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Aamiin
subhnaallah jaman mungu tunusuru yaarabiih
Mtihani kwelikweli
Mtihani kwa kweli
Mungu atuongoze jmn dah
Allah atuhifadh
Mauti yalikuwa yakimwitaa cjui😭😭😭innalillah
innalillah
Allah amuhifadhi mja wako uko alipo
Innaillah wainaaillah raijun daa
@khamissaleh5431
6 жыл бұрын
duhh
😢😢 subhanallah
Hatukujua nn tatizo lake lkn ndo bc tn mungu amsaidie
Mtihan
Duh
Pumzika kwa aman🙏😥😥
Inalillah waina ilayhi rajuun
Tenaaaa mwengineeee mbn balaaaaa
Mungu amuhifadhi mja wake mahali popote alipo
@minangomanoti6097
6 жыл бұрын
Alima Alima iyo pepo sio kusema 2
@swalehechan2630
6 жыл бұрын
inawezekana alikuwa na msongo wa mawazo tatzo hakutaka kusema
Allah amjaalie amsamehe makosa yake na sisi atujaalie mwisho mwema. Pengine inawezekana pia mgonjwa matatizo hayo ya pia kuna watu ukiwaona huwajui kama wagonjwa kumbe wana mitihani ya haya maradhi ya hasada, yapo pia hayo na inawezekana vile vile kajirusha kwa mitihani ya dunia.
Kujiua ni dhambi, swala la peponi sisi hatuna uwezo wa kumshawishi Allah hapa wala pale muhimu watu wajue kunaumuhimu wa kujiweka tayari kwa safari hiyo. Kwakua hata sisi hatujuwi siku wala saa ya kifo.
Rip
Mauti hayakimbilik sawa alisema asaidiwe lkn ilikuwa allah kashapanga na ndomaan akapat mda wakuondok bila kuzuiwa na mtu yyt
Inaonesha wazi kwa Hali aliokuanayo Ni kwamba ana matatizo ya kiswahili huyo , hata Mimi pia nilimshuhudia mtu mwezi uliopita alichupa kwenye jahazi wakati tukitoka bagamoyo kuingia malindi unguja Tena amechupa wakati tumeshaingia maeneo ya mbele ya forodhani . Ila yeye alikua na matatizo ya kiswahili Kama huyo . Ila sisi tulimpata muda huo huo.
Jmn pepo hilo
shabiki wa Chelsea?
mngeliacha life
@mahersaid258
4 жыл бұрын
Wacha roho yakishetan ww
Sasa na nyinyi dakika 45 mnazunguka bila kuita waokoaji jamani vipi hapo .
Shetani huy daa
Kweli kazi yamungu haina makosa
Hata kama ni ugum wamaisha jaman
Kwa kwel huyo kijana alikua ameshapigwa na ugonjwa maana tangu zamani anauguwa maradhi ya wasiwasi.. Anakaa Pemba gombani nijirani yngu
@jeninunu9177
6 жыл бұрын
pole sana ndugu
@Alikidu
6 жыл бұрын
tushapoa... hadi sasa hajaonekana na alienda dar kimatibabu
@salummohdnyiga9760
6 жыл бұрын
Ali Kidu polen
@rahmaally3586
6 жыл бұрын
Ali Kidu Allah awatie nguvu ndng na jama wote jmn polen xan mtiani mzito huo jmn dah inaxikitixha xana xijui alikua anaomb mxahada wanini jmn dah xijui alikua anajixikiaje wallah inaxikitixha xana wallah
@Alikidu
6 жыл бұрын
alikua anaomba msaada wa kukamatwa ili aokoe maisha yake.. maana alijua hayuko sawa.. yeye alikua na ugonjwa wa kurukwa na akili
Nawausia Na kuakumbusha hasira ni hasara Allah atunusuru
@katherinebritish8281
3 жыл бұрын
Sio hasira uyo mtu alkuwa na maradh ya wasiwasi ni jirani yetu mkaazi wa gombani chake chake pemba
kajizuru mwenyewe huyo
Itabid mpige debe inawezekana wengine wanashuka njian wameshafika hao
@dhiabmohammed4238
4 жыл бұрын
Subhanallah masihara na misiba
Sasa mtu ashasema nisaidie kwa kumuuangalia tuu kwa macho hujajua tuu nini kinacho msibu,,amakweli kila mmoja na kichwa chake na akili yake,,,ila kila jambo na sababu yk huwez kupinga alipangalo Jalia,,zake zime fika Allah atuhifadh na adhabu zk mana mhhh uko tunapo kwenda si mchezo,,kila abiria achunge mzigo wke,,
Lakini nanyi ndugu zangu mmefanya uzembe kidogo mtu anakuambia nisaidie kisha unamuuliza ananyamaza hamkuona km tayari anashida?Basi tena imeshatokea.
@mamydame7121
6 жыл бұрын
njoo Tuijenge inchi hakujieleza asaidiwe nn...angesema ndo ungelaum
@flyhigher5393
6 жыл бұрын
njoo Tuijenge inchi ni kweli wajinga sana kwa maelezo waliyoyatoa ilikuwa watoe taarifa kuhic mtu hayuko sawa ila yanaongea kama maboya vile
@joycemashikolo9096
6 жыл бұрын
Mamy D Ame sikushangai sana maana wewe ni sawa na hao walio mwacha mwenzao akapoteza maisha.mtu anakuambia nisaidie kisha ananyamaza huwezi kuhisi kweli anahitaji msaada wa ziada wewe km uko timamu inabidi utumia njia ya ziada.
@joycemashikolo9096
6 жыл бұрын
Abdul Gingo kabisa bro yaani nilisikia asira sana niliposikia maelezo yao.bora ata wangenyamaza tu.
@mamydame7121
6 жыл бұрын
njoo Tuijenge inchi....usilaumu tu ndugu...maisha ni matatizo na changamoto nyingi....na mtu huwez kujua siri ya moyon mwake mpaka akuelezee ndo utajua km huyu kweli anahitaj msaada....sasa labda ungeisikiliza hio clip vizur ndugu halaf ndo ungelaum....anyways ndo imetokea lkn muhusika alikuwa aseme jaman mm nna tatizo hili naomba munisaidie...lkn yy hakusema asaidiwe vp...sasa mtu km uyo utamuelewa vp mmh!!????
Siku zimefika au wachiwi washamla supu ..
@jeninunu9177
6 жыл бұрын
your are silly man!! ungesema hivyo kama nindugu yako?
Huyu si ndo yule alojirusha akaokelwa na wavuvi kwenye kidau?kwenye video ile alikuwa ni kijana mwenye umbo kubwa hivi! Au huyu ni mwengine?
Kajitupa mwenyewe muacheni ukoo atajijua na mungu wke
@salimnassor7293
6 жыл бұрын
Rahma Ame Nashkuru kwa kejeli yco kma n mdogo wco wenge ongea ivyo uyoo n mdogo we2 anaumwa na maradhi ya wasi wasi kma ki2 hamukijui musiongee ovyo
@rahmaame1700
6 жыл бұрын
Salim Nassor mtangazaj hajasema km anaumwa na nyie mshajua mgonjwa mumemuacha asafir pekee yke vp. Maom yngu sina nia ya kukejel hakuna mkamilif
@najma3268
6 жыл бұрын
Rahma Ame usiongee hivyo ndugu yangu kabla hujafa hujaumbika , kikubwa tumuombee tu maana hujui kilichomkuta yawezekana siyo akili yake
@fadhilimlingi6192
6 жыл бұрын
Salim Nassor sasa ninyi Ndugu mnajua kabisa Ndugu yenu anamaradhi, kwa nn mmemuacha akasafiri mwenyewe tu? Halafu leo mnasikitika, si unafiki huo?
@fadhilimlingi6192
6 жыл бұрын
Rahma Ame wala sio kejeli, kwa nn ilihali wakijua Ndugu yao anamatatizo ya wasiwasi wakamuacha akasafiri peke yake ? Halafu wanajifanya wanasikitika
kamamm ndo baharia ningeliacha
innalillah
Rip
Kwan hakunaga walinzi