Dakika 8 za Mbunge aliyetaka kuingia Zanzibar kutoka Tanzania bara iwe kwa pasipoti
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
Пікірлер: 95
Safi mbunge sisi Wazanzibari tunakubaliana na ww kwa asilimia 100% wacha baadhi ya Watanganyika watoke povu ila Wazanzibari tumekuelewa sana❤❤❤❤
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
Sawaa hakuna shida jina liludi TANGANYIKA na muwe na passport yenu.msitumie hii iliokuepooo ya sasaaaa....
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
Na nyie luja kwe2 mpka muwe na passport ya nchini kwenuuu zanzibar
@edwardmwambene3748
Ай бұрын
Achaujinga kunamanufaagani ya uomuungano wenu kwendeni uko Yani kakisiwa Ako ndokakujigamba gamba Nako apa ilinitaifa kubwa atubabaiki napumba zenu izo
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
@@edwardmwambene3748 uvunjik e tu Muuungano
@Kokhaako
Ай бұрын
Wacha wazimu wako mnaoing'ang'ania Zanzibar ni nyinyi wa Tanganyika. Sisi ndio kabisa hatutaki Muungano huu kwanza sio halali. Huu Muungano ni batili x 1000.
Asanteeeeee coz wanyamwezi wengi zenj asaiv
Sisi Watanganyika hatuutaki huu muungano.
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
Wewe mbona imekukera sanaaaa. Nikitu muhimu sana hicho. Dar es salaam iwe kuingia kwa passport na Zanzibar watafata na Immigration itatia kipato Fulani baada ya kuwa vurugu mechi.
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
Basi wewe uvunje Kama unayo power yako kwenye Dunia.
@fatimahants1526
Ай бұрын
Jaribu kama utaweza 😄😄😄😄👂🧠👆
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
Zanzibar ndio kabisaaaa. 😂😂😂😂 Weeee jaribu kuungana na jirani yako uwa mmoja utizame kama utaweza hilo vurugu mechi.
He is right
Halafu sisi Zanzibar hatuutaki muungano na hii mpaka lini Tanganyika mutatupatia uhuru wetu Zanzibar tushachoshwa na ukoloni wa mtanganyika kuitawala Zanzibar
hongera mh mbunge
Huyu jamaa akili nyingi kuliko wabunge wote haya maneno alishayaongeya mtaalamu mmoja pale bungeni
ACt Wazalendo KAZI Kazini
Duh
Hongera Mhe Muh'd lssa kweli unajuwa wajibu w ulichopelekewa bungeni. Iteteye Zanzibar na uwateteye Wazanzibar.
Lengo lenu tanganyika linafahamika kwann kila kitu mnakataa au lengo lenu n kuitaifisha zanzibar moja kwamoja
Watanganyika wanatuumiza kimaendeleo na kikazi wizara zote za muungano zipo Bara
Hakuna Mzanzibar anayetaka Muun'gano na Wizi Watanganyika sawa,thanks
@fatimahants1526
Ай бұрын
Akili mgando😷
@ZubeirJuma-up7kb
Ай бұрын
Hakuna mzanzibar anaetaka muungano labda chizi au mwanga au ccm@@fatimahants1526
I like this good boy not afraid just talk
Muungano hauvunjiki namkleta vyakuletwa tunaktandiken hamjui kuwa ni kolon la Tanganyika😂😂
Nyie mna mashamba au mabustani???
eeh waje kwa paspot na kwao twend kwa paspot au uvunjweeeeeeeh
Waliovamia unguja ni wapemba na sii watanganyika pia utalii wanafanya wageni kwa sababu kazi za makafiri hufanywa na makafiri.waislam hatuuzi sanam na pia mahotelini kunauzwa pombe na nyama za nguruwe.
❤
Kabla ya MUNGANO zenji kwa PASPORT baada ya MUNGANO zenji kwa VIBOTI.
Tatizo sio muungano tatizo niubaguzi kama sote ni watanzania Tanganyika nilazima iwe na muhimili wake Rais wa muungano awepo na rais wa Tanganyika awepo na rais wa Zanzibar awepo kama ni viza iwe kote hata Tanganyika tunapaswa kulinda mbuga zetu bandari zetu thahabu alimasi nakila aina ya madini yetu tunufaike kama watanganyika na wao kwa sababu wana rais wao yasiyo husiana na muungano wanufaike wao KARAFU zao hapo kazi iendelee hapa kazi tu
Akili mgando
hahaha! wazanzibar hawana uwezo wa kuja tanganyika kisa umaskin na ushoga sas, mkiona idadi ya wanyakyusa wanakuja kula bata zanzibar mnaisi mnanyonywa senge kweli
Na wao wakija bara waje kwa passport ? au waje bure ?
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
Yan jino kw ajino waje na passport na sio hii.tunayotumia hii inatolewa kwetu tunafanya amrekebisho kidg tu tunaandika TANGANYIKA alaf wao wakatfte style yaooo mbwa hawa...
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
20 күн бұрын
@@JoshNgera8-ff3czMbona unawaita M’mbwa tena? si kila Mtu ana Mtizamo wake
@Puppet666Master
16 күн бұрын
@@JoshNgera8-ff3czMmbwa Mama ako alo firwa akakuzaa aka kutolea kwa Mkunduni kwake Jimbwaa Mwenzake wewe
@JoshNgera8-ff3cz
16 күн бұрын
@@Puppet666Master mbwa alofirwa akanizaa ameshafariki nitamfikishia ujunbe pale kaburini
Watafahamu 2 kwani ukisema ukweli wananuna wanasem taarifa why ila tunajuwa one day yes
bc na wao kuingia bara na waingie na paspot 😅
Kwani bungee zote za Africa mashariki, ugonjwa ni sawa. Yaani wabunge hawahudhurii vikao, viti ndio waakilishi.
Watanganyika ovyohovyo imewauma kwa kweli na uo ndo ukweli zanzibbar freee under tanganyika Inshaalllah wakiisikia ivoo wanapagawa zanzibar kuwa huru 😂😂😂😂😂😂😂
Kama anataka watanganyika tuingia na pasipoti sawa ila wanao waachie maeneo wanayo muliki uku na Waldingfield kwao waje na pasopoti pia
Maneno ya hayati Malim sefu ya kwamba wabara waludi kwao mana ya passport kuingianayo zanzibar
Huyu mbunge anaonekana ni mbaguzi na nimtu hatari sana hivi tukisema wazanzibar wote warudi kwao na watanganyika turudi kwetu nani wataumia? Istoshe anajua ni kitu gani kilipelekea ukafanyika muungano?
@AyoubPapiy
Ай бұрын
Hatoumia mtu kwani wewe ukienda kwenu unaumia"!!? Mtu hukubaliana na mazingira ya kwao na huyazoweapia, wewe inaonekana husamini kwenu.
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
Endeleeni kutoa madongo ila Wazanzibari hatuutaki Muungano kabisa
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
@@OmerSuley-gl7gohata sisi hatuutak muungano ni hauna faida yeyote....iwekwe tu official bas kua sio tanzania tena ni TANGANYIKA na huko zanzibar na kuenda kwa mwenzake taratib za kimataifa zitahusika....
@user-co7bs2sm8g
Ай бұрын
Tukivunja muungano Zanzibar mnaingia Islamic country mkipigana kama Somalia msingae huku kwetu bara
@user-co7bs2sm8g
Ай бұрын
Kama Kuna muungano hakuna ulichonacho tukivunja utapata nn
Kumekucha
iwepo paspoti zanzibar
KAMA WATANGANYIKA HATUUTAKI MUUNGANO NA WAZANZIBAR HAWAUTAKI MUUNGANO VIONGOZI WANAUNGANGANIA WA NINI?????
@mussammsaji1110
16 күн бұрын
Bado hamjasema
@Whoisthismantalking
16 күн бұрын
@@mussammsaji1110 acha tuwssaidie maisha, maana muungano ni wa kisenge sana wa kuwasaidia wazanzibar kila kitu utadhani wamekatika mikono.
MACHOGO WATANGANYIKA LAZIMA WAINGIE ZANZIBAR KWA PASS AKITAKA WASITAKE!
Tunataka passport zirejeshwe zanzibar
Na kuja dar na kokote bara kuwe na pasaport ukitokea zanzibar...na piaaa....jina libandiloshwe officially muungano uvunjwe mana wazenji washaonesha hawatak na sisi hatuwashikilii maana hawatufaidishi kwa lolote.....
Haya mazanziba yanafanya nini huku kwetu, HATUTAKI WAZANZIBAR WAISHI HU KWETU WARUDI KWAO, NA MUUNGANO HATUUTAKI.
@user-hn6kv6xe7m
15 күн бұрын
Watarudi zanzibar.lakini mnao shida nyinyi watanganyika mana nyinyi ndio wengi huku zanzibar.tena tunamani sana muungano uvunjike
@user-hn6kv6xe7m
15 күн бұрын
Na nyinyi wanyamwezi mmejaa tele huku Zanzibar muondoke tumechoka na nyinyi wachafu sana watanganyika
Amelewa huyo
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
20 күн бұрын
Hapana huyu Jamaa ata Sigara havuti, kasema Ukweli
@alikidungura9419
19 күн бұрын
Umelewa wew usio fahamu utakuwa wew mtanganyika safi japo upo Zanzibar au sibure unapewa kofia na fulana
Wakitokeya viongozi tano kama huyo, muungano hatuna na wanaweza kutokeya tusiyatarajiya
@MAPETEE
Ай бұрын
Au sio
Unganisha TZ na ZENJI ziwe nchi moja sio mnajikanyaga wee
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
Inaonekana hujielewi kabisa TZ ni kifupo cha Tanganyika na Zanzibar sasa sijui unawezaje kuunganisha TZ na Zanzibar
Wazabari mtu wenu katuunzia bandari zetu,na mbuga za wanyama, kweli ni kero bora mmbaki kwenu huko
@user-rk9gr9yf3i
22 күн бұрын
Mitano mingine Mama Samia tuko pamoja bado hamjasema
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
20 күн бұрын
@@user-rk9gr9yf3i😂😂😂😂😂
Mnasema wanao fanya kazi za. Utalii ni wageni mkasome mjitahidi kwenda shule
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
20 күн бұрын
Kazi za Utalii wala hazitaki Shule mana Watanganyika wingi wanaenda kufanya kazi kwenye Ma Hotels Zanzibar hawajasoma angelisema Wazanzibar hawapendi Kazi za Kitwana Sawa mana Kazi kubwa Mishaara midogo
nani amechukuwa viwanja? Ni akina nai hao wanaoitwa wageni? HUYU hajuwi kuwa na BARA kuna WAZANZIBARI wengi tu kwenye payroll za BARA na wanafanya kazi kwenye idara ambazo siyo kabisa za MUUNGANO?
@AliAhmed-jf9ys
Ай бұрын
ivi sisis na oman aunss na ulaya au amerika tuna muungano wangpa wana ishi huko na wana fanya shughuli zao achana na mawazo magndo
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
Wazanzibari wapo kila sehemu na wanamiliki mali kulingana na sheria za nchi husika nyinyi muna miliki mali hapa kwa sheria za Zanzibar kwa iyo acha choyo
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
Et wagen utazan sio watanzania😂😂😂kauli ya kibaguz kabisa...sema.sio kesiii....kama anavtaka hatujakataa ila.waooo pia kuja baraa waje na passport tena sio hii tunayotumia sab hii mal yetu watengeneze ya kwao...na sie tutalekebisha jina pale.TANGANYIKA.....
@user-ww5or9om1n
Ай бұрын
hio sio yenu,hio ya TANZANIA,rudisheni TANGANYIKA yenu kwanza ndio mpate chenu.
@JoshNgera8-ff3cz
Ай бұрын
@@user-ww5or9om1n of coz irudi tu tanganyika
angekaa kimya tu kuliko kuleta chuki
Huyu jamaa hana sifa za kuwa kiongozi Kwan yeye huku Tz bara amekuja kwa pasport ?
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
Kwani wewe ni Mzanzibari mbona kelele nyingi?
@user-qy4vk2qp9t
Ай бұрын
Sisi si tuanaenda kuwapelekea moto mashogazao wanona wivu 😂
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
20 күн бұрын
Sio Jambo geni passports zilikuwepo Tangu Mwanzo wa Muungano sema Ali Mwinyi alipokuja kuwa Raisi wa Zanzibar Ndio aliondoa Passports
Kumekucha