ASKOFU BAGONZA ATOBOA SIRI ''KUNA KUNDI LINATAMANI BAADHI YA VYAMA VIFUTWE''HUKO NYUMA HAKUENDEKI..

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 125

  • @EliazariKaizilege
    @EliazariKaizilegeАй бұрын

    Bwana Awe Nawe. Kamwe nimefuatia kiini: maendeleo na demokrasia ni nyuso mbili za shilingi. Asante sana!

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga4719 күн бұрын

    Asante Mungu kutupatia askofu Bagonza.Mlinde daima

  • @AtupeleA.Mpangaja
    @AtupeleA.MpangajaАй бұрын

    Mungu akubariki Mhe. Askofu Bagonza, humugbunyi maneno umesema kweli tupu, hatima ya nchi hii imo mkononi mwa viongozi watawala ambao ndoto zao wanafikiri wataishi milele ! Mungu akulinde Askofu.

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp2 ай бұрын

    Hongera sana! Mtumishi wa Mungu ALIYE HAI. Wachungaji wengine ni wasaka sadaka tu. MUNGU WA HAKI AKUTANGULIE.

  • @lwihurazakayo3864

    @lwihurazakayo3864

    Ай бұрын

    Hongera baba Askofu.Uko vizuri!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803Ай бұрын

    HONGERA SANA BABA ASKOFU

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344Ай бұрын

    Askofu Bagonza umebarikiwa sana..kuwa kiongozi wa dini ambaye uko wazi, na mungu akuongezee maisha marefu

  • @ivanlyimo6727
    @ivanlyimo6727Ай бұрын

    Huu ni unabii. Kazi kwetu kuamua kunyoa au kusuka. Uamuzi wowote tutakaochukua matokeo yake ni halali yetu. Asante Askofu wewe umenawa mikono yako. Ubarikiwe.

  • @petsmore9955
    @petsmore9955Ай бұрын

    Asante askofu umesema ukweli mtupu. Raisi Samia Ana dhamana kubwa juu ya mustakabali wa taifa hili. Awe makini sana na hao wanaompotosha Hasa katika msimamo wa awali wa maridhiano. Machawa wake wanamvuruga. Sijui kama anaona hilo. Tunakuomba baba askofu ujaribu kumwona wewe binafsi uso kwa uso ili ujaribu kumfumbua macho ! Ataelewa zaidi !😮

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7oАй бұрын

    Asante Sana mtumishi

  • @Meiruzibwe
    @MeiruzibweАй бұрын

    Mungu akubariki SANA.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lwАй бұрын

    Baba askofu Bagonza usivunjwe moyo na watu wanaokubeza ikiwa unayoongea ni ya maana kabisa una msimamo kama Desmond Tutu,ubarikiwe sana baba.

  • @gosbertrugangira5414
    @gosbertrugangira5414Ай бұрын

    Viongozi, viziwi, wabinafsi,waoga , hawana ofu ya Mungu.

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043Ай бұрын

    Asante sana baba Askofu kwa maneno mazuli na yenye khekima kwa taifa wenye kuelewa tumekuelewa japo najuwa hata machawa wamekuelewa ila watapingana na wwe kwa sababu ya njaa yao tu

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852Ай бұрын

    Maneno mazito Sana mama Samia yupo vizuri Ila Kuna watu wanamuangusha askofu bagonza ipo siku tutakukumbuka

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwaАй бұрын

    Hongera Sana mtumishi wa Mungu. Mungu akubariki sana

  • @salummohamed2689
    @salummohamed26892 ай бұрын

    Askofu umenena ila watasema siasa haichanganywi na dini, itakapofika pabaya watalaumu kuwa mmechochoa kwa kusema wasichokipenda.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын

    Brains Bishop,super,super wonderfuly. Usione vyaelea vimeundwa..

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3jАй бұрын

    Well said Askofu Bagonza.

  • @edisonmujwauzi625
    @edisonmujwauzi625Ай бұрын

    Fantastic and resourceful speech to those who are ready to hear.

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    Ай бұрын

    Speech ilitobeba ukuu wa Mungu. Watu wengine wanadhani ktk siasa ni haki kutenda dhambi wanajisahau kuwa wote matokeo ya uumbaji wa Mungu hivyo tunatakiwa tuenende ktk amri zake "..usiibe, usiue, usizini, usiseme uwongo, usimtamani mke/mme wa jirani yako.."!

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281Ай бұрын

    Huyo mtangazaji anavuruga hotuba / maoni ya Askofu Bagonza.,..

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOswardАй бұрын

    Nyimbo za shangwe na sifa. Ni itikadi mpya ya vyama. Tulipotea njia siku nyingi.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    Hawa ndio Watumishi wa Mungu sasa, akina Eliya wa Kileo

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293Ай бұрын

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139Ай бұрын

    Big up askofu Bigonza

  • @estambuya3901
    @estambuya39012 ай бұрын

    Asente baba bagonza

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9rАй бұрын

    🙏🙏🙏Hakuna ukweli zaidi ya hii

  • @knight6757
    @knight67572 ай бұрын

    Sauti mbona zinaingiliana...🤔🤔

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5iАй бұрын

    Kuna sauti ya mpumbavu mmoja inaingilia speech ya Baba Askofu!

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234Ай бұрын

    Baba ubarikiwe

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3sАй бұрын

    Ukitaka kuua chadema mbowe ajiuzuru apatikane wanaomtaka ili wamununue na mwisho wakiua kifo cha kawaida kama CUF nccr mageuzi tlp ukweri mbowe ni mpinzani wa kweri na tishio la cvm

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552Ай бұрын

    Hawa. Jamaa .watshari bu mambo baadae. Wataandka kakita u kuwa walikosea..halafu Mtasahau. Kwani ndiyo yanayotokea. Wanaamini. Sana uwongo lakini wajue uwongo nimuda.tiu watu wanajua.ila.wajue kivuli huwezi kukikmbia. Watajua hawajii . Waendelee kizima data

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173Ай бұрын

    ❤✅

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siАй бұрын

    Hakika kuhani wewe ni mtaaluma wa maisha yetu sote

  • @user-jn9gc8ru6v
    @user-jn9gc8ru6vАй бұрын

    Nakuelewa sana asikofu

  • @marwamagere
    @marwamagereАй бұрын

    Bagonza saluti kwako unajitambua hongera sana

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8xАй бұрын

    Asnt askofu nakukubali

  • @user-uq5vm2ge4q
    @user-uq5vm2ge4qАй бұрын

    MUNGU akubariki

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lwАй бұрын

    Kweli eti CCM wajikute ni wapinzani ni tusi kubwa kwa hiyo tume huru ya uchaguzi ni ndoto za mchana.

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOswardАй бұрын

    Wengine tunaogopa watu ambao matumaini yao huzimwa makusudi

  • @ilankundatimu3164
    @ilankundatimu3164Ай бұрын

    We are blessed having you Bishop Benson

  • @anosiata8242
    @anosiata82422 ай бұрын

    Asikofu mungu akulinde ameongea point sana

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3jАй бұрын

    Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @francismomo7067
    @francismomo70672 ай бұрын

    Bagonza askofu...hua nakuelewa sana.

  • @user-fk6mt5ib6g
    @user-fk6mt5ib6g2 ай бұрын

    Siku zote unaongea maneno ya maana na ya kweli. Ila nchi hii watu wengi wakiwemo viongozi ni wapenzi wa uongo.

  • @Abs-tz8dl

    @Abs-tz8dl

    2 ай бұрын

    Kwani ni upinzania ndo unatawala, unaoeleta umaskini na utumwa kati ya hii Tanzania ?🇹🇿 ccm ni chama amabacho kinatuibia kila mwaka kwenye budget?

  • @salummohamed2689

    @salummohamed2689

    2 ай бұрын

    Viongozi wa dini msiposema haki si vema kuja kuombea wafu huku mkijua kilichofanyika mkiwa na akili ya mbuni Kwa adui wake mbugani.

  • @ezekielkiduge8730

    @ezekielkiduge8730

    2 ай бұрын

    Viongozi wa dini wangekuwa na uelewa kama wa Bishop Bangenda nchi yet ingekuwa mbali sana ninawashauri watumishi wa MUNGU waamke waitetee haki katika nchi yetu

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8xАй бұрын

    Mungu akulinde ukweli utaduma

  • @GavyoleJonas
    @GavyoleJonasАй бұрын

    Ubarikiwe baba,umesema kweli ila hawasikii tatizo

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415Ай бұрын

    Bishop kiuhalisia natamani sana angalau tukutane tu

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine6622 ай бұрын

    Asko yuko vzuli

  • @jumajukikoti8133
    @jumajukikoti81332 ай бұрын

    Mbona speech bora hii inaongiliwa Jamani kwa nini?

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    Ай бұрын

    Mwenyewe nimeshangaa

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siАй бұрын

    Mkapa alikabidhi chuo kikuu Morogoro Magufuli alijenga misikiti tuepuke udini si sote ni Watanzania

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206Ай бұрын

    Akili kubwa sana

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234Ай бұрын

    Utasikia oooh, dini na siasa haviingiliani, ni udhaifu kufikiri tu

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Na upumbàvu wa haki ya juu

  • @shukuruphanuel1729
    @shukuruphanuel17292 ай бұрын

    Among the few elites in Tanzania

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823Ай бұрын

    Baba askofu UMESEMA KWELI, umewapiga za USO. Mwenye kukuelewa watakuelewa. Mimi BINFSI nimekuelewa. Kila kitu Kiko wazi KABISA.

  • @bilid4128
    @bilid41282 ай бұрын

    Muwe mnaedit video zenu kabla ya Kupost

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107Ай бұрын

    Huwa nakuelewa hujawah kutuangusha kagera

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3sАй бұрын

    Ukizaliwa tz unapewa shaada ya ujinga eti viongozi wa dini wanaingilia siasa kweri wewe unajitambua au wewe ni mzimu ulikufa kiakili na ukafufuka kimwili wewe unataka mungu akufanyie Nini kama sio wazili waubili amani upendo watufufue mioyo akili kimwili kama ujitambui nyamaza viongozi wa dini walisaidie taifa

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3imАй бұрын

    MUNGU akujalie afya askofu mpenda haki

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3sАй бұрын

    Uyo anae ingilia maoni ya msomi na mtu wadini anaakili kweri au ni ujinga mwaache mtumishi asikiwe na waitani wa neno

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    Kichwa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Naviendelee kuwepo

  • @nmatuja2191
    @nmatuja21912 ай бұрын

    Askofu Bagonza,umeongea mambo yakiutumishi,kweli wewe ni mtumishi wa Mungu.ubarikiwe.

  • @Sangaadam
    @SangaadamАй бұрын

    Akili kubwa!!

  • @edesaron9070
    @edesaron9070Ай бұрын

    Mtumishi wa MUNGU aliye hai🙏

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda57662 ай бұрын

    Wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli una hekima na busara na maono ya mbele yatakuaje ubsrikiwa sana

  • @kasomishedrack5027
    @kasomishedrack5027Ай бұрын

    I believe to You Bishop Bagonza your are Luminous of this Country.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    We mwandishi hatutaki makelele acha tusikie nondo

  • @RudelphZabron
    @RudelphZabronАй бұрын

    Tunahitaji maaskofu na mashehe wa Kariba Yako ili watukutanishe tuwe wamoja . Mungu aturehemu na kutusimamia AMINA.

  • @chandechande9642
    @chandechande9642Ай бұрын

    chadema mwenyekiti wao ni wakudumu

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Mbowe kadumu, Russia je putin Yuko miaka mingapi, china je kiongozi kakaa mnda kiasi gani, German ni angel alihudumu mda gani?. Vipi tawala za kifalme. Tunalingana nao maendeleo? . Mkwamo wetu ni mbowe?. Tupanue Wigo twende nchi jirani zinazo tuzunguka na huko ni CCM imekaa madarakani mda mrefu?. Tatizo ni kukariri vitu. Ivyo tunakosa ubunifu, na uelewa wa kawaida tu. Zamani awamu ya kwanza kuna kundi liliitwa kupe, sasa leo hii tunadhani chawa neno jipya na ni ufahari. Chawa na kupe wote wanyonyaji. Ukupe au uchawa wa fikira ni mbaya zaidi. Atuwezi kutoka hapa tulipo kwa mawazo ya kumezeshwa tu.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc2 ай бұрын

    Askofu hawaccm ni wabishi na wana viburi sana

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    Ай бұрын

    Maaskofu wengi na Mapadre wengi sio wanafiki na wanajiamini wakifanyacho,huku tuliko ni tatizo,kuandama tu kwa mwezi BAKWATA wanagombana nusu watoane roho

  • @francisaloyce3930
    @francisaloyce3930Ай бұрын

    Askofu ana kitu serikali imtumie kuivusha nchi

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249Ай бұрын

    10 tu kama wewe kijani itakua nyekundu,,na ili nikufaidi vizur naamia hukohuko anglikana

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji84732 ай бұрын

    Baba Askofu daima umekuwa mkweli. Mungu akulinde hadi mabadiliko uliyoyatamani nawe uyaone kama mchango wako

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lfАй бұрын

    Tunako enda siokuzuli

  • @fwc5552
    @fwc5552Ай бұрын

    Jabo fake kabisa hizo back sound za nn

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632Ай бұрын

    Baba askofu Bagonza nimekuelewa kwa yote uliyozungumza hakika umedhihirisha kwamba wewe ni mtumishi wa Mungu,unamtumikia Mungu na watu wake, Hongera kwa maneno mazuri yenye mafunzo na maonyo kwa viongozi wote wa serikali, vyama na machawa pia! Mungu akulinde daima,na mwenye masikio na asikie yale Mungu amekutuma kuwasemea wanyonge wa Taifa hili.Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi na sii vinginevyo! Ccm wakatae wakubali,wasikie sma wasisikie utafika wakati wa maamuzi ya Mungu hawatazuia chochote!

  • @StephenChilewa
    @StephenChilewaАй бұрын

    Baba kwanza Mungu akubariki sana Kwa maneno ya hekima na yenye akili ila Kwa inchi yetu mtu mwenye hekima kama wewe hua anapuuziwa na viongozi ila ipo siku Mungu atafanya njia pasipo na njia

  • @enesforosama3008
    @enesforosama30082 ай бұрын

    Askofu Bagonza Dunia ya leo inaumiza sana kwetu sisi wenye Moyo unao fanana nawewe CCM haitakuja kubadilika kamwe maana wabaya na wazuri wamo ndani.

  • @zidatv1122
    @zidatv1122Ай бұрын

    Nasikofu uliyoongea ni ukweli mtupu

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Wee ni mtu wa Mungu kweli kama Maccm yataelewa hayo nadhani tutavuka salama.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Kweli kabisa. Usalama ndiyo kila mtu anaomba. Tunajenga nyumba moja

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4xАй бұрын

    Awana akili

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ffАй бұрын

    Huyu askofu anaijua hii nchi ndani nje....huu ni mtaji wa dira ya siasa bora za kidemokrasia...busara ya kupokezana madaraka kwa amani baina ya vyama ndio namna bora ya kujitawala...

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8sАй бұрын

    Watu wanyoofu na waadilifu ni wapweke sana katika maisha Yao ya uongozi wake wa Kila siku

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl2 ай бұрын

    Mushemiwa kwa ufupi , ccm ni hovyo

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Kweli sijui kwa nini hawana feelings. Hivi WAMELISHWA nini???

  • @elimika01
    @elimika01Ай бұрын

    Umesema ukweli Kila Kona, Kila alie hudhuria umebarikiwa Kwa kadri yake. Uzidi barikiwa kiongozi.

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378Ай бұрын

    Haki ipo ila ccm wanachelesha

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199Ай бұрын

    Ww acha kutudanganya c mtanzania rudi kwenu

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    Ай бұрын

    Mtanzania ni wewe peke yako.

  • @GodfreyMwamaso

    @GodfreyMwamaso

    Ай бұрын

    Acha ujinga huyo ni mtanzania mzaliwa wa karagwe Bukoba na tena mzalendo

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga44912 ай бұрын

    Video mbovu

  • @issaowden4400
    @issaowden4400Ай бұрын

    Fact kubwaa sana

  • @lgf7297
    @lgf7297Ай бұрын

    He has talked about everything and nothing. Alichoanza nacho kakifuta mwishoini. Hajatoa sera mbadala.

  • @user-fn2eg3vn4h

    @user-fn2eg3vn4h

    Ай бұрын

    Tofautisha maoni na Sera, maoni ni maoni yanapingwa kwa maoni bora zaidi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570Ай бұрын

    Askofu uko vzr kwenye Siasa sema tu Imani yako inakuongoza mno

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9rАй бұрын

    Huuu ndio ujumbe kamili

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaaАй бұрын

    Hiii inchi itakuja tawaliwa kidini maneno haya yakamateni zamani asukofu kanisani na shekhe msikitini sasa Kila siku maasukofu wamejaa siasa sijui kunaajenda Gani hebu chaguweni kama ni siasa au kanisani tujuwe kama mtajaa kwenye siasa kinachofata ni nini?

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    Ай бұрын

    Ujinga unakusumbua, kama sio basi udini unakutesa. Msimilize kwa makini utaelewa anachokisema. Yeye hajamkataa mtawala isipokuwa anakataa unafiki uliopo kwenye katiba na wale watendaji wakuu.

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Ujinga pale Malawi Rais ni Askofu. Kule Zanzibar wapigania UHURU wa mwanzo alitoka Kanisani. Obama kuongoza USA msingi uliwekwa na Martin Luther king tokea Kanisani.Mzee mwinyi atengwi na imani

  • @IjumaaIjumaa

    @IjumaaIjumaa

    Ай бұрын

    @@GodfreyOsward kwahiyo na hapa tz mnataka tuongozwe na maasukofu au mashekhe hili halitakunalika kama mnampango huo hatukubali Tanzania imebeba wanadini na wasiokuwa na dini acha uasukofu na ushekhe uwe mwanasiasa hili likemeo ni hatari sana kuvunja amani na kupigana kidini

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Ni ukweli hauwezi kupata kiongozi asiyetoka katika makundi hayo matatu. Hata na wale ambao hawana dini kuna mambo hûwa wanaamini. Kinacho kataliwa ni tararibu za dini fulani kufanywa sheria Za kuongoza taifa. Ivi ni kwa nini uwanja arusha wa mpira unaitwa shehe amri abeid. Hatuna akika kama alichanganya dini na siasa. Mfano Askofu yote aliyosema nini ni dini yake. Kuna pahali alisema tunnge katiba watu wote tukaungame zambi au watu wate walazimishwe kufuata dini fulani. Kinachoweza Kueneza udini ni watu kutokupata majibu ya changamoto zao. Africa na tz kuna tatizo la ajira, rushwa, unyonyaji wa kimfumo na kitaasisi dhidi ya raia. Ubaguzi na nk. Ukipata mtu wa kutuonya kwa haya udini unatoka wapi? Au ukweli ni upanga.

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Ijumaa. Hebu jaribu kusoma kitabu Major Events in Africa History. Utaona sababu za vita ya Jihad 1800-1880 kule Africa magharibi. Kodi na namna ya kusanya, haki mahakamani, uadilifu wa viongozi, iman moja kitakatifu kumeza zingine,rushwa ktk jamii, umabavu wa viongozi wa makabila, vilichangia kuibua wasomi wa elimu Quran tukufu kuanzisha jihad ili kutafsri haki ktk jamii kwa kutumia Quran. Hivyo hali yetu hii Africa na tz tukizoea inaweza kuibua makundi ya kiimani kutaka kutoa majibu kwa kutumia vitabu vyao. Hivyo hata kwa upande wetu sio sawa kuchanganya dini na siasa. Ila la msingi tunajikwaa wapi?. Sisi tumeanza kuachana kitambo sana hasa kwenye swala la haki ya kila mmoja wetu. Hivyo lolote linaweza kutoka kulingana kiwango cha maisha ya Taifa lenyewe. Tunaogopa sana kumeza maneno ya watu wengine ili yasituzuie kuona mwanga kidogo unaotokeza katika Giza tororo.

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673Ай бұрын

    Naona maaskofu karibu wote mmehamia chadema kwa kuwa Rais muislam akija mkristo ccm mtaipenda tena hapo nimewaelewa

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    Ай бұрын

    Ni vizuri ukatumia akili yako vizuri kuliko ukatumika vibaya na hiyo CCM yako.

  • @maggiehiza5884

    @maggiehiza5884

    Ай бұрын

    Akili ndogo

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    Ай бұрын

    Mawazo hayana chama.

  • @RudelphZabron

    @RudelphZabron

    Ай бұрын

    Mungu awe nasi sisi sote tu WATANZANIA MUNGU IBARIKI TANZANIA AMINA.

  • @rastheunique
    @rastheuniqueАй бұрын

    Asante Askofu kwa kunena uzalendo wa hali ya juu

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji84732 ай бұрын

    Baba Askofu daima umekuwa mkweli. Mungu akulinde hadi mabadiliko uliyoyatamani nawe uyaone kama mchango wako

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    4R is an ambiguous sentiment.

Келесі