Tazama nyumba zinazoelea baharini Zanzibar
AyoTV katika pitapita zake ilitembelea visiwani Zanzibar ambapo ni moja kati ya sehemu maarufu duniani zinazopokea wageni wa kitalii kutoka mataifa mbalimbali, leo imetembelea Dreamers Island ambapo ni nyumba zilizojengwa kwa mbao na zinaelea baharini kwa ajili ya vivutio vya utalii na zinapokea wageni mbalimbali.
Пікірлер: 31
Wow so amazing i wish one day i can visit tz insha'Allah
Zanzibar kuzur maa shaa Allah..
Lovely 😊 Mgeni wako mwakani ishallah
Ambao hatutumii bia Na soft drink tuko software tunalipa shi ngapi
Zanzibar raha sana.
I can't sleep under the water coz siwezi pata usingizi ni uoga
Kweli vichogo wamevamia zanzibar
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
acha ubaguzi ww
Mbona mtangazaji umefetua huyo sio manager wa boat 😃 kabisaa
Smrt Sana akiii hata Mimi nitakuja na muzungu wangu siku moja
Noma
tukiacha ubahili tutaibuka huko
Sasa wazungu hawaulizwi hahahaaa
Sasa hizo nyumba zikifikia kama 100 hivi itakuaje hapo ? Si slums ? Jee sewage system iko vp au vinyesi vinaishia baharini tu ! Uchafu.
vipi mshika kipaza mbona mbwebwe zimeisha huulizi maswali husikii hata wanaonhea nn lkn angekuwa mswahili ameshapigwa maswali kibao
@alexchungu8823
5 жыл бұрын
Hahah mtangazaji kawa bubu kwa mda
Yanini kununua maji na mimi mzanzibar hlic
Mazingira yapo powa, Jipange USD 26 ni kawada tu kwa starehe. .!
KUINJOY GANI BWANA KUHANISIWATU KWA MAUCHI YAO KUTUHARIBIYA WATOTO WETU NA TAMAA ZA MAFITINA WA KIISILAMU MAWAZIRI WAJINGA. WAPUMBAVU 😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿🇹🇿🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👹🇹🇿🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿🇹🇿😇👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿🇹🇿👹😇🇹🇿🇹🇿👹😇😇🇹🇿🇹🇿👹😇🇹🇿😂👹😇🇹🇿🇹🇿🇹🇿
nishawahi kufika Ni pazur kwakwel
Mambo ya znz fork iy
Wazungu nyie roho mbaya kwenu mtu akija anabanwa wee Ila nyie kwetu mwajitawala mwae Joy tu
Daaaaaa ko wana wa ujerumani wamekuja tuu kuangalia basi wanalipa mkwanja???? Duu
Say what why Americans no no no no no no no no no now now now now not make no sense because talk your language how are you going to them well maybe if you know if there were 100% sure to 100%Like I’m so mad I’m not mad I’m just what what is that fish what are they doing like they speak our language or something like a cop you
🤔🤔🤔🤔Bia shilingi 6000 maji shilingi 3000 Bei ya kawaida ??? du
@SimuliziMix
5 жыл бұрын
😂😂😂
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
😂😂🤣😃😄😁.. pambana na hali yako😝😝
@sabatomjungu9727
5 жыл бұрын
@@amnemkubwa7353 kwel Aisee
@khamisihasani1171
4 жыл бұрын
Na meeeeeeen