Tazama nyumba zinazoelea baharini Zanzibar

AyoTV katika pitapita zake ilitembelea visiwani Zanzibar ambapo ni moja kati ya sehemu maarufu duniani zinazopokea wageni wa kitalii kutoka mataifa mbalimbali, leo imetembelea Dreamers Island ambapo ni nyumba zilizojengwa kwa mbao na zinaelea baharini kwa ajili ya vivutio vya utalii na zinapokea wageni mbalimbali.

Пікірлер: 31

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2415 жыл бұрын

    Wow so amazing i wish one day i can visit tz insha'Allah

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24104 жыл бұрын

    Zanzibar kuzur maa shaa Allah..

  • @dalfatsoud5923
    @dalfatsoud59235 жыл бұрын

    Lovely 😊 Mgeni wako mwakani ishallah

  • @injili90
    @injili905 жыл бұрын

    Ambao hatutumii bia Na soft drink tuko software tunalipa shi ngapi

  • @youngbob9761
    @youngbob97613 жыл бұрын

    Zanzibar raha sana.

  • @janenyambura5165
    @janenyambura51654 жыл бұрын

    I can't sleep under the water coz siwezi pata usingizi ni uoga

  • @hafidhhumoud934
    @hafidhhumoud9344 жыл бұрын

    Kweli vichogo wamevamia zanzibar

  • @abdul-bz1cy

    @abdul-bz1cy

    3 жыл бұрын

    acha ubaguzi ww

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman1885 жыл бұрын

    Mbona mtangazaji umefetua huyo sio manager wa boat 😃 kabisaa

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana99904 жыл бұрын

    Smrt Sana akiii hata Mimi nitakuja na muzungu wangu siku moja

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala62245 жыл бұрын

    Noma

  • @nwntz
    @nwntz5 жыл бұрын

    tukiacha ubahili tutaibuka huko

  • @ednasteven6475
    @ednasteven64754 жыл бұрын

    Sasa wazungu hawaulizwi hahahaaa

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc5 жыл бұрын

    Sasa hizo nyumba zikifikia kama 100 hivi itakuaje hapo ? Si slums ? Jee sewage system iko vp au vinyesi vinaishia baharini tu ! Uchafu.

  • @josephnjeno2582
    @josephnjeno25825 жыл бұрын

    vipi mshika kipaza mbona mbwebwe zimeisha huulizi maswali husikii hata wanaonhea nn lkn angekuwa mswahili ameshapigwa maswali kibao

  • @alexchungu8823

    @alexchungu8823

    5 жыл бұрын

    Hahah mtangazaji kawa bubu kwa mda

  • @muslimusaidi6117
    @muslimusaidi61174 жыл бұрын

    Yanini kununua maji na mimi mzanzibar hlic

  • @hassanhemed4836
    @hassanhemed48364 жыл бұрын

    Mazingira yapo powa, Jipange USD 26 ni kawada tu kwa starehe. .!

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89773 жыл бұрын

    KUINJOY GANI BWANA KUHANISIWATU KWA MAUCHI YAO KUTUHARIBIYA WATOTO WETU NA TAMAA ZA MAFITINA WA KIISILAMU MAWAZIRI WAJINGA. WAPUMBAVU 😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿🇹🇿🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👹🇹🇿🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿🇹🇿😇👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿🇹🇿👹😇🇹🇿🇹🇿👹😇😇🇹🇿🇹🇿👹😇🇹🇿😂👹😇🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nuruhabdul5307
    @nuruhabdul53075 жыл бұрын

    nishawahi kufika Ni pazur kwakwel

  • @mamyrylovemeagain2406
    @mamyrylovemeagain24064 жыл бұрын

    Mambo ya znz fork iy

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa51893 жыл бұрын

    Wazungu nyie roho mbaya kwenu mtu akija anabanwa wee Ila nyie kwetu mwajitawala mwae Joy tu

  • @samwelndiletelevisionc3385
    @samwelndiletelevisionc33854 жыл бұрын

    Daaaaaa ko wana wa ujerumani wamekuja tuu kuangalia basi wanalipa mkwanja???? Duu

  • @sifajuliemme1001
    @sifajuliemme10014 жыл бұрын

    Say what why Americans no no no no no no no no no now now now now not make no sense because talk your language how are you going to them well maybe if you know if there were 100% sure to 100%Like I’m so mad I’m not mad I’m just what what is that fish what are they doing like they speak our language or something like a cop you

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu97275 жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔Bia shilingi 6000 maji shilingi 3000 Bei ya kawaida ??? du

  • @SimuliziMix

    @SimuliziMix

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @amnemkubwa7353

    @amnemkubwa7353

    5 жыл бұрын

    😂😂🤣😃😄😁.. pambana na hali yako😝😝

  • @sabatomjungu9727

    @sabatomjungu9727

    5 жыл бұрын

    @@amnemkubwa7353 kwel Aisee

  • @khamisihasani1171

    @khamisihasani1171

    4 жыл бұрын

    Na meeeeeeen

Келесі